Arch. Bishop Dr Moses Kulola. 2

UJUMBE: "WANANGU" NIMEVIPIGA VITA VILIVYO VIZURI, MWENDO NIMEUMALIZA, IMANI NIMEILINDA.
(2 Timotheo 4:7)

Пікірлер: 62

  • @josephharri9015
    @josephharri90155 жыл бұрын

    Nahisi nitaokoka soon , Yesu aniingie.

  • @maryosward1879
    @maryosward18795 жыл бұрын

    Mahubiri yatofauti sana ukisikia unajiona huru sana kimwili na kiroho wakiti mwingine hatakama umechoka unanjaa unamwazo yaani vinakwisha mungu akutunze mtumishi endelea kutuletea zaidi

  • @anithakalist6194
    @anithakalist61945 жыл бұрын

    Jamani walobahatika kuonana na Moses kulola live walipata chakula kuzuri sana pumzika Baba yetu shujaa wa imani

  • @stewartmillanzi7198
    @stewartmillanzi71985 жыл бұрын

    Kamanda, mpiganaji, askari hodari na shujaa wa imani. Naipenda injili yako. We miss you Grandpa...

  • @khairatzinzibar1434
    @khairatzinzibar14345 жыл бұрын

    Jamani huyu mtumishi kweli melala katika haki natamani mahubiri yasiishe yupo paradise saiv anasubiri kuvikwa taji na ujira ulio mwema

  • @bimazubutejules-kone1789
    @bimazubutejules-kone17895 жыл бұрын

    Mutumishi wangu kwel

  • @samsonnzisabira768
    @samsonnzisabira7685 жыл бұрын

    Mungu akubariki sana ndugu yangu,uendeleye kutupa mahuburi ya marehemu Moses ,tulibarikiwa sana na mahubiri yake alipokuwa anatutembelea huku Burundi.

  • @Cado_TV.

    @Cado_TV.

    5 жыл бұрын

    Ubarikiwe pia Mnadhiri wa Mungu Mr Samson

  • @jescamlungwana8158
    @jescamlungwana81585 жыл бұрын

    Tutakukumbuka daima mtumish

  • @abrahamelias9665
    @abrahamelias96654 жыл бұрын

    Hii ni kazi ya Mungu hakika

  • @michaelmasola1351
    @michaelmasola13515 жыл бұрын

    Amen.Mungu atukuzwe katika Kristo Yesu ubarikiwe mtumishi....

  • @shalamwanayusuph8008
    @shalamwanayusuph80085 жыл бұрын

    Ameen asante yesu kwanipa neema ya kuwa mwanao asante kwakunipa neema ya wokovu

  • @barnabamollelysaruni4613

    @barnabamollelysaruni4613

    5 жыл бұрын

    Amen

  • @tinnassulle2779
    @tinnassulle27795 жыл бұрын

    Asante mtu wa Mungu

  • @bilugwemwanzije
    @bilugwemwanzije Жыл бұрын

    Amen !! Amen !!?...kenya...watamu.

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd38865 жыл бұрын

    Yesu asante kwa ajili ya mtumishi wako Moses Kulola hakika kaifanya kazi yako vyema.

  • @aulelialeonard1831

    @aulelialeonard1831

    5 жыл бұрын

    Ameen

  • @jocktankaka1095

    @jocktankaka1095

    4 жыл бұрын

    Nikwamsaada wa mungu aliyafanya yaliyomema na kwakuwa alijikana mungu ni mwema sana.

  • @jocktankaka1095

    @jocktankaka1095

    4 жыл бұрын

    Nampenda sana yesu mwana wa mungu.

  • @jocktankaka1095

    @jocktankaka1095

    4 жыл бұрын

    Kazi kwetu sisi tiliobaki timejiandaaje?

  • @paulsaimon8750
    @paulsaimon87505 жыл бұрын

    huyu mzee alikuwa mashine nyngne kabisa

  • @elishamnazaretikyando834
    @elishamnazaretikyando8345 жыл бұрын

    Amen

  • @Cado_TV.
    @Cado_TV.5 жыл бұрын

    Mwanzonii sauti ni ndogo lakini baadaye inakaa vizuri, mniwie radhi kwa hilo tatizo

  • @danielfrank303

    @danielfrank303

    5 жыл бұрын

    Sadocky S. Boaz ucjal tunashukur sana maana tunajifunza kitu kikubwa

  • @nanutuannet5134

    @nanutuannet5134

    4 жыл бұрын

    Okay dear

  • @teddyjoseph2634

    @teddyjoseph2634

    4 жыл бұрын

    Barikiwa Sana Sadocky s.Boaz

  • @Cado_TV.

    @Cado_TV.

    4 жыл бұрын

    @@teddyjoseph2634 Amina tubarikiwe wote

  • @albertludago7374
    @albertludago73745 жыл бұрын

    Mungu akubarik sana kk kwa kutuletea injli ya mzee wetu Kulola hakika mtumishi huyu alifanya kazi ya MUNGU kwa namna ya pekee sana.. Nampenda sana..nmebarikiwa sana

  • @Cado_TV.

    @Cado_TV.

    5 жыл бұрын

    Mungu AKUBARIKI pia

  • @albertludago7374

    @albertludago7374

    5 жыл бұрын

    Sadocky S. Boaz Amen kk

  • @albertludago7374

    @albertludago7374

    5 жыл бұрын

    Sadocky S. Boaz Amen kk

  • @jocktankaka1095
    @jocktankaka10954 жыл бұрын

    Haleluyaaa!

  • @kenyanniggar357
    @kenyanniggar3575 жыл бұрын

    free masson wewe hapanaa Baba

  • @barakajacobs5485
    @barakajacobs54855 жыл бұрын

    Glory be unto you God. Amen

  • @esterjuma5682
    @esterjuma56825 жыл бұрын

    barikiwa sanaa unarusha mahubiri hayaa ya babu etu moses kulola nabarikiwa sana nikisikiliza mahubiri yake . glory to god

  • @Cado_TV.

    @Cado_TV.

    5 жыл бұрын

    Amina ubarikiwe Ester lakini nikusihi mtumishi wa MUNGU zingatia sana utukufu wake aliye juu "Grory to God" write the really letter of our Great God cause you will got wrong meaning

  • @esterjuma5682

    @esterjuma5682

    5 жыл бұрын

    +Sadick Said (Boaz) amina mtumishi nitazingatii na mungu akubariki sanaaaa huaa nikisikilizaa haya mahubili nahisi uwepo wa mungu ndani yani mungu akuongozee uendelee kuweka vipindi vya babu etuu hewan wengine wanafunguliwa kupitia mafundisho haya Mungu akubariki sana

  • @Cado_TV.

    @Cado_TV.

    5 жыл бұрын

    Amina tubarikiwe wote

  • @esterjuma5682

    @esterjuma5682

    5 жыл бұрын

    +Sadocky S. Boaz amen

  • @nsimireshokano6198
    @nsimireshokano61985 жыл бұрын

    Habari bazima mafiye charline mihigo

  • @halimajuma3077
    @halimajuma30775 жыл бұрын

    Ameeeeeen...

  • @frankjonas1094

    @frankjonas1094

    5 жыл бұрын

    Halima Mungu akubariki sana!!..

  • @jonhgelevas4717

    @jonhgelevas4717

    5 жыл бұрын

    mutumishi lazima tuinge njia zilizo za haki tumuombe mungu yeye ndo kilakitu mutumishI wa mungu umelala katka haki ya mungu nawanadamu tufate muhubilI yako ili yatujenge kiimani tuishi kumutengemea mokoziwetu yesu kiristo

  • @mmasabahelanya5471
    @mmasabahelanya54715 жыл бұрын

    Amina mbarikiwe ndugu zangu nawatakia kazi njema kazi kamaii.

  • @samuelogolla689

    @samuelogolla689

    5 жыл бұрын

    Hakika mungu anafanya kazi yake kupitia kwa watumishi wake wa ukweli kama huyu mze e ambaye sasa yuko paradiso.amen mungu ni mkuu

  • @dawhiteschola8847
    @dawhiteschola88474 жыл бұрын

    Mahubiri mazuri ila katka maombi. Huwa ham.maliziii jamani ili wengine tupone kupitia maombii

  • @nsimireshokano6198
    @nsimireshokano61985 жыл бұрын

    Malawi

  • @nsimireshokano6198
    @nsimireshokano61985 жыл бұрын

    Minapeda mahubiri Ohio

  • @myself4128
    @myself41283 жыл бұрын

    Kuna mapepo yametawala.watu Wanaweka Thumbs down pengine hata hawaelewi anachokisema inasikitisha! Ila angeongelea Majini aaah 1.5m views

  • @anglemichael2422
    @anglemichael24225 жыл бұрын

    Ni Nan Tena aliye Kama huyu baba ,,

  • @nsimireshokano6198
    @nsimireshokano61985 жыл бұрын

    Pascaline malawi

  • @Cado_TV.

    @Cado_TV.

    5 жыл бұрын

    What do you mean Mr shokano

  • @myself4128
    @myself41283 жыл бұрын

    Enzi za mzee kulikuwa hakuna Usanii wa mitume na Manabii Vurugu izo hazikuwepo sababu mzee alikuwa anawaita vikao na kuwapasha habari nyie acheni kuibia watu!

  • @nsimireshokano6198
    @nsimireshokano61985 жыл бұрын

    Simire nshokano

  • @nsimireshokano6198

    @nsimireshokano6198

    5 жыл бұрын

    Mungu akumbariki

  • @nsimireshokano6198

    @nsimireshokano6198

    5 жыл бұрын

    Yesu akubariki

  • @yohanajames863

    @yohanajames863

    5 жыл бұрын

    Yeyote atakaye amini maneno haya, Ataokolewa, Bwana awabariki wote mnaofanya kazi ya kusambaza mahubiri haya, Tendeni ktk Roho wa Mungu,

  • @evodeardeus8985

    @evodeardeus8985

    5 жыл бұрын

    Moses Kulola Amelala Katka Bwana.

  • @sylussdenniss9203
    @sylussdenniss92034 жыл бұрын

    sadocky naomba unitafute mimi sylass 0742692079

  • @Cado_TV.

    @Cado_TV.

    4 жыл бұрын

    Call me +255683756333

  • @carolinetalam5832
    @carolinetalam58325 жыл бұрын

    Amen

  • @elishamnazaretikyando834
    @elishamnazaretikyando8345 жыл бұрын

    Amen