USHUHUDA WA MCH. MAMA DOMITILA NABIBONE ALIYEKUFA SIKU 4 NA MUNGU AKUMPA KUISHI TENA PART 1 A .

Ushuhuda aliusema akiwa dodoma kanisa la EAGT.

Пікірлер: 27

  • @josephinemumbua159
    @josephinemumbua1594 жыл бұрын

    Asante kwa ushuuda wako mzuri mama mungu akumbariki pahali popote nduniani na ata mbinguni ameni

  • @numpegemwaipopo7871
    @numpegemwaipopo78714 жыл бұрын

    Amina mtumishi Mungu azidi kukutumia

  • @angelangare863
    @angelangare8634 жыл бұрын

    Àmen

  • @kingboy534
    @kingboy5344 жыл бұрын

    Amina

  • @eunicekamamaa2437
    @eunicekamamaa24374 жыл бұрын

    Amen

  • @charlesgeorge2327
    @charlesgeorge23273 жыл бұрын

    Ubarikiwe mtumishi

  • @glorymziray4153
    @glorymziray41534 жыл бұрын

    EMUNGU NIKUMBUKE KWENYE UFALME WAKO

  • @lidiamhoka4411

    @lidiamhoka4411

    4 жыл бұрын

    Yesu Tusaidie tujupende na tufike kwako.

  • @tifundinzeberi1379
    @tifundinzeberi13794 жыл бұрын

    Naomba kuuliza; huyu mama mchungaji ameenda tena kwa mara ya pili? Maana niliwahi ona ushuhuda wake kwa mara ya kwanza lakini sauti ilikuwa tofauti na pia nilimuona , lakin nasikia sauti tofauti kidogo ; jee kaenda tena kwa miaka hii ya karibu au ni marudio ya ile shuhuda yake ya zamani ? Naomba msaada

  • @Cado_TV.

    @Cado_TV.

    4 жыл бұрын

    Ni ile ile ya kwanza. Hii aliisema akiwa dodoma.

  • @tifundinzeberi1379

    @tifundinzeberi1379

    4 жыл бұрын

    @@Cado_TV. Asante, mama huyu yuko wapi kwa sasa ? Yani mkoa gani? Na jee bado anamtumikia Mungu ?

  • @Cado_TV.

    @Cado_TV.

    4 жыл бұрын

    @@tifundinzeberi1379 Yupo Canada ana kanisa anachunga. Yaan Mchungaji.

  • @mankamohamed4429

    @mankamohamed4429

    4 жыл бұрын

    Kweli sauti ya Mama Domitila imebadilika naona umri pia umesogea

  • @tifundinzeberi1379

    @tifundinzeberi1379

    4 жыл бұрын

    @@mankamohamed4429 yani hakika , eeh Mungu atujalie mwisho mwema, hivi mama huyu ameolewa? Ana watoto?

  • @mbarikiwaamina5885
    @mbarikiwaamina58854 жыл бұрын

    Haongei ki congo

  • @Cado_TV.

    @Cado_TV.

    4 жыл бұрын

    Anaongea kwani ndiko alikokulia

  • @maggiealf4474

    @maggiealf4474

    4 жыл бұрын

    Hiki ni kiswahili ya Congo

  • @robertntv1622

    @robertntv1622

    3 жыл бұрын

    Nimu congo kwa jamii ya wanyamulenge

  • @adamscott2601
    @adamscott26014 жыл бұрын

    Hivi ukiweka nywele dawa utaenda mbinguni?

  • @rebecafuraha8051

    @rebecafuraha8051

    3 жыл бұрын

    hapana hutaenda kwasababu umebadilika nywele zako nisawa na anayebadili ngozi.

  • @xcaliber8300

    @xcaliber8300

    3 жыл бұрын

    Kwani zinaumwa nini?

Келесі