Ningeomb ktk hiz design muweke sehem za underground rooms or halls kuna nyakat za dharura kama vita nk...hivy baadhi ya majengo ata matatu au manne yafanyike hivy..mnawez tumia kama wodi, hall au store za madawa ambapo emergency ikitokea tunawez kufanya chochote
@omarkapula5884 ай бұрын
Hongereni sana haya yanayoelezwa ni makubwa sana siawahi kuyasikia huko nyuma kwa uwazi kama huu na kutupa imani na huduma zinazotolewa na hospitali yetu ya taifa halafu kumbe ndio hospitali kubwa afrika ya mashariki hongera sana dokta na timu yako yote
@AdamSaffi2114 ай бұрын
A contradiction, vipara, mbona professor yeye ana kipara?
@emmanueljoshua9034 ай бұрын
This Man....Deserves To Be a Secretary Of State In Health Ministry...Before His Time Pass.
@geofreykazaula79405 ай бұрын
Bima kwa kila Mtanzania itakuwa ni achievement kubwa sana Prof, naomba iteteeni. Asante sana kwa maelezo mazuru sana uliyotoa.
@DennisDidas
4 ай бұрын
Swala la bima ni muhimu ila kuchukua tahadhari ni muhimu zaidi kabla ya bima.
@user-mo5mi6bt6v4 ай бұрын
Mbona yeye anakipara na hajajifanyia surgery
@jacksonsongora93764 ай бұрын
Dr. Janabi anawaambia ukweli kisayansi. Ana nuru ya hali ya juu, ana akili safi. Tuliopata bahati ya kuongea nae akiwa JKCI tunamuelewa.
@charlesshija73715 ай бұрын
Hivi kipara ni ugonjwa ama?? Naomba afafanue maana mm kijana wa miaka 30 nina kipara
@yugemasanza1008
4 ай бұрын
Ndiyo. Kipara ni ugonjwa.
@charlesshija7371
4 ай бұрын
@@yugemasanza1008 unatibika?
@ameranishebe63314 ай бұрын
Doctor kama mtu anafanya mazoezi akinywa bia vipi
@Moresa1964 ай бұрын
Audio mbona iko Mono?? Inasikika sikio la kushoto tuu?? Admin vpy??
@King_Of_Everything4 ай бұрын
👊✌️👍.
@hassanjuma19354 ай бұрын
Joseph nabii
@AdamSaffi2114 ай бұрын
Vipara? Is this really has to be done in a hospital? I have been to many countries, never heard this hair treatment has to be done in a hospial. An African man concerned by his kipara, is that not a waste of money.
@Burner_Acc5 ай бұрын
Huyu dr kakonda na hana nuru
@kibbysaidi78135 ай бұрын
May Allah help us!! What has become of this cardiologist! He has become political...a doctor is a doer and not campaigner! There are people qualified for that in all hospitals
Пікірлер: 20
Ningeomb ktk hiz design muweke sehem za underground rooms or halls kuna nyakat za dharura kama vita nk...hivy baadhi ya majengo ata matatu au manne yafanyike hivy..mnawez tumia kama wodi, hall au store za madawa ambapo emergency ikitokea tunawez kufanya chochote
Hongereni sana haya yanayoelezwa ni makubwa sana siawahi kuyasikia huko nyuma kwa uwazi kama huu na kutupa imani na huduma zinazotolewa na hospitali yetu ya taifa halafu kumbe ndio hospitali kubwa afrika ya mashariki hongera sana dokta na timu yako yote
A contradiction, vipara, mbona professor yeye ana kipara?
This Man....Deserves To Be a Secretary Of State In Health Ministry...Before His Time Pass.
Bima kwa kila Mtanzania itakuwa ni achievement kubwa sana Prof, naomba iteteeni. Asante sana kwa maelezo mazuru sana uliyotoa.
@DennisDidas
4 ай бұрын
Swala la bima ni muhimu ila kuchukua tahadhari ni muhimu zaidi kabla ya bima.
Mbona yeye anakipara na hajajifanyia surgery
Dr. Janabi anawaambia ukweli kisayansi. Ana nuru ya hali ya juu, ana akili safi. Tuliopata bahati ya kuongea nae akiwa JKCI tunamuelewa.
Hivi kipara ni ugonjwa ama?? Naomba afafanue maana mm kijana wa miaka 30 nina kipara
@yugemasanza1008
4 ай бұрын
Ndiyo. Kipara ni ugonjwa.
@charlesshija7371
4 ай бұрын
@@yugemasanza1008 unatibika?
Doctor kama mtu anafanya mazoezi akinywa bia vipi
Audio mbona iko Mono?? Inasikika sikio la kushoto tuu?? Admin vpy??
👊✌️👍.
Joseph nabii
Vipara? Is this really has to be done in a hospital? I have been to many countries, never heard this hair treatment has to be done in a hospial. An African man concerned by his kipara, is that not a waste of money.
Huyu dr kakonda na hana nuru
May Allah help us!! What has become of this cardiologist! He has become political...a doctor is a doer and not campaigner! There are people qualified for that in all hospitals
Doctor kama mtu anafanya mazoezi akinywa bia vipi
@yugemasanza1008
4 ай бұрын
Elewa madhara ya bia kabla hujaanza kuitumia