DK SULLE ACHAMBUA, HISTORIA YA BIBLIA NA KWA NINI ILIITWA BIBILIA , JE NI KITABU CHA MUNGU KWELI ?

Пікірлер: 454

  • @babauna3458
    @babauna34583 жыл бұрын

    Maahaallah Dr sule , hii ndio kazi ya Amani na upendo. Allah akurehemu wewe na waislamu wote ulimwenguni.

  • @kelvinpius-ne9rz
    @kelvinpius-ne9rzАй бұрын

    asante BWANA kwa roho wako,roho mtakatifu,roho wa kweli,nakuomba Mungu wangu, utukufu wako uujaze ulimwengu,uwajaze watu wako kwa roho wako katika ukuu wako Yesu kristo Mungu na muumba wetu

  • @fadhilikawambwa1586
    @fadhilikawambwa15863 жыл бұрын

    DR SULLEY ALLAH SW AKUPE UMRI MREFU TUFAIDI ZAIDI HAYA MAMBO MATAMU.

  • @hassanimouigni6648

    @hassanimouigni6648

    3 жыл бұрын

    Amine

  • @user-ki6nw6ve7p
    @user-ki6nw6ve7p3 жыл бұрын

    Asaalmwalekm warahmatourlaih wabarakatu, mweyezimungu akufanyi wepesi ishaalh kutujuza tusio fahamu

  • @shabanmuyale7671

    @shabanmuyale7671

    2 жыл бұрын

    00000

  • @nalingarowl7048
    @nalingarowl7048 Жыл бұрын

    Ukristo ni mfumo ambao haujawahi kufeli. Tafiti zake na mipango yake ni endelevu na ndiyo maana hawaangaishwi na wanojaribu kuwakosoa.mfumo wa Ukristo utawala Hadi Yesu arudi Hilo alisema Yesu mwenywe. Mt 16:16-18 * Hakuna kama Yesu,Hakuna kitabu kama Injili.Injili Ina Habari. Za Yesu Alie hai*

  • @nalingarowl7048
    @nalingarowl7048 Жыл бұрын

    Kuongelea Ukristo au Bible ni wazi kuwa Q,ran Haina Cha kusimulia na kutoa challenge Kwa jamii. Ni rahisi Waislamu kuichambua,lakini hutamkuta Mkristo anaichambua Q,ran Kwa sababu Ukristo umetosha. Yesu atarudi na kuwahukimu wote.

  • @jeanbb1385
    @jeanbb13853 жыл бұрын

    Ubarikiwe Sana

  • @hussaynmuhammad8782
    @hussaynmuhammad87823 жыл бұрын

    Mashallah

  • @nalingarowl7048
    @nalingarowl7048 Жыл бұрын

    Ni Mungu yupo aliiteremsha Quran. Nani walishuhidia.mwaka Gani na katika eneo Gani. Mungu mnaomuamini mnasema haionekani. Kama hakuna walioshuhudia ikiteremshwa,basi Hilo ni jambo la kushangaza. Maneno ya Biblia Yana umri mrefu kuliko kitabu chochote * Biblia ni kitabu kilichofanyiwa tafiti*

  • @esthertungani676

    @esthertungani676

    9 ай бұрын

    Amen

  • @kelvinpius-ne9rz

    @kelvinpius-ne9rz

    Ай бұрын

    thank you LORD JESUS CHRIST for the HOLY SPIRIT

  • @kelvinpius-ne9rz
    @kelvinpius-ne9rzАй бұрын

    Na Mungu wetu,muumba wetu, YESU KRISTO wa Nazareth,akulipe sawa na uovu wako, wewe unayemkataa roho mtakatifu,

  • @athumanihussein7827
    @athumanihussein78273 жыл бұрын

    Nimekuelewa

  • @UtufyoPangachini-ru3yg
    @UtufyoPangachini-ru3yg Жыл бұрын

    Unahitaji kusoma sana mr sule ili uelewe mambo

  • @joachimluhamo3042
    @joachimluhamo3042 Жыл бұрын

    Biblia ni mkusanyiko wa vitabu neno biblia ni neno la kilatini na kigiliki lenye maana ya kitabu au vitabu usipotoshe watu we shee . Inaonekana bado sana hujui kuhusu neno la Mungu

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 Жыл бұрын

    Jiulize bible ilikuwepo lini na mohamed kaja lini baada ya yesu ni ujingatu ulio jificha

  • @abdalahsuleman2791

    @abdalahsuleman2791

    Жыл бұрын

    Yaani wewe hujui kitu

  • @gtunewaves2867

    @gtunewaves2867

    Жыл бұрын

    @@abdalahsuleman2791 Amna anayejua kila mtu anasema kwa anavyoelewa

  • @shukurubalahi8630
    @shukurubalahi8630 Жыл бұрын

    Neno la Mungu ni taa ya miguu yangu. Sitateteleka na kama bibilia ni ya uongo nitaifuta na kuiamini hata kufa kwangu. Na ukweli ni kwamba unachokitafutia udhaifu ili watu wasikiamini ndicho cha kweli

  • @kefajoseph158

    @kefajoseph158

    Жыл бұрын

    Waisilamu wanawazaga kuuwa tu achana nao

  • @fatmazullu4933

    @fatmazullu4933

    Жыл бұрын

    @@kefajoseph158 imani potofu!!

  • @paschaljuma3312

    @paschaljuma3312

    Жыл бұрын

    Mnaifata kwa sababu inaendana na matamanio yenu, inawaruhusu kula nguruwe, kunywa pombe bila ata kukemewa inaeapambia maisha ya dunia

  • @irenekaluse3213

    @irenekaluse3213

    Жыл бұрын

    @@paschaljuma3312 nyie waislam hawanywi pombe?hawali nguruwe🤣🤣🤣🤣🤣

  • @haidarsalum9228

    @haidarsalum9228

    Жыл бұрын

    Sio uutafute ukwl ndgu, ukifata kilichokua sio cha kwl, utapata unachoratajia siku ya mwisho?

  • @hassanmohdally5217
    @hassanmohdally52173 жыл бұрын

    Daaah yaaan mungu akuongoze kwakweli kwasababu

  • @nurudinehamimu5658
    @nurudinehamimu56583 жыл бұрын

    Naam shekhe.

  • @nevillekanju9491
    @nevillekanju949110 ай бұрын

    Sule uislamu wenyewe haujui vizuri je Biblia utaifaham

  • @paulmalagila4152
    @paulmalagila4152 Жыл бұрын

    Mwenyez mungu hawez kuruhusu vitabu vyak vipotezwe

  • @haidarsalum9228

    @haidarsalum9228

    Жыл бұрын

    Hakika, ndio maan hiyo hajachafua kitabu cha mungu ispokuwa wmchkua maneno na kuyawka ndan ya kitabu chauo, pia kwa kulithibitsha hilo kuwa vitabu vya mungu havichafuliw ni kwamba, Quran inamiak mingi sasa laki hkuna version wala kuonguza/ kuongeza katika kitabu hcho, ahdi hii imo ndan y Quran, ukifatlia utajua hilo..

  • @bazibaker7986
    @bazibaker79863 жыл бұрын

    Asalaamu aleykum my brother Dr sule mashalaah may Allah give you long life to do what you are doing wallaahi I'm following you for long time nimefaidika nyingi. Your brother Bazi abu Baker from London msomali

  • @shabanrama802
    @shabanrama8023 жыл бұрын

    Nimekuelewa sana Dr sule

  • @shabanirukundo4272
    @shabanirukundo42723 жыл бұрын

    Wewe Benson msikilize vizur siokuropokatu

  • @casmuiddy7304
    @casmuiddy73049 ай бұрын

    Allah akujalie

  • @munic6686
    @munic6686 Жыл бұрын

    ❤jazakallahu khaira Allah akupe umri mrefu shekh tuzd kunufaika

  • @japhetndoro6533
    @japhetndoro6533 Жыл бұрын

    Bibilia n mkusanyiko wa vitabu je quran nini

  • @osmanabdi2632
    @osmanabdi26323 жыл бұрын

    Asalaam aleikum Ustadh, Naomba nukusihi vitabu vya agano ya kale inna vitabu 39 na site 29 kama vile ulivvyo tamka. Pili, wana Israili wapitishwa bahari Nyekundu (Red Sea) na site Mediterranean Sea. Naomba radhi.

  • @januarymagai

    @januarymagai

    Жыл бұрын

    Hana jipya

  • @martoo539
    @martoo539 Жыл бұрын

    Siogopi kusema Ivi Bible is the only holy book ,,,,,I believe in BIBLE only ,,,,,,

  • @user-op8pk1jt5k

    @user-op8pk1jt5k

    3 ай бұрын

    Kumbe mpuzi 2

  • @maulideabdala3832
    @maulideabdala38322 жыл бұрын

    sawa nimekuelewa

  • @tozzaalexandar4905
    @tozzaalexandar4905 Жыл бұрын

    Swadacta doctor sule

  • @mullamtupa9116
    @mullamtupa9116 Жыл бұрын

    MashaAllah

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor78473 жыл бұрын

    Mashallah Allah

  • @isiakaJungu

    @isiakaJungu

    Жыл бұрын

    Maxhalah

  • @kusakisoma3168
    @kusakisoma31683 жыл бұрын

    masha allah

  • @ridhiwaanimlula1040

    @ridhiwaanimlula1040

    3 жыл бұрын

    Maa shaallwah

  • @user-gu5ws4yl1l
    @user-gu5ws4yl1l Жыл бұрын

    Dr sulle vizur sana, wakristo jifunzeni darasa hili, msipohelewa hapa hamtaelewa tena.

  • @ukorainzuku8301
    @ukorainzuku83013 жыл бұрын

    Masha Allah mungu akuongezee maisha ili udufundishe zaidi

  • @asiakheir8684
    @asiakheir8684 Жыл бұрын

    Wakristo hawapendi kujifunza wao wanaushabikituu, mwalimu anadomesha vizuri sana lakini wanacomment kwa hasira , sababu wao wanashabikia hata ujinga , walimu wao akipiga mikeleletuu bila kusomesha wao wanaamini hiyo ndoo ibada , hebu jifunzeni bila ushabiki halafu kawaulizeni wachungaji wenu

  • @kelvinpius-ne9rz
    @kelvinpius-ne9rzАй бұрын

    sisi ni mashahidi,tumeuona uwepo wako wazi, eeeeh Mungu wangu, YESU KRISTO, BWANA,utuokoe na watu wa dunia hii wanaofuta mapenzi yao,kila akuaminiye wewe BWANA muumba mbingu na nchi,na vyote viujazavyo ulimwengu,tumekuona na wewe hakika ni YAHWE

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe78233 жыл бұрын

    Watu wa msalaba wanapingana na ukweli wa maandiko kama kawaida yao full coment za uzwazwa 😅 elezea shekhe wangu mwenye masikio na asikie asie sikia wacha apinge.

  • @fadhilikawambwa1586

    @fadhilikawambwa1586

    3 жыл бұрын

    KWELI KABISA

  • @truthspeaker2405

    @truthspeaker2405

    3 жыл бұрын

    Kama kweli Biblia iliharibuliwa kwanin Muhammad alisema Wakristo na wayahudi waifuate vitabu vyao? Al-Baqarah 2:89 And when there came to them (the Jews), a Book (this Quran) from Allah confirming what is with them *[the Taurat (Torah) and the Injeel (Gospel)],* although aforetime they had invoked Allah (for coming of Muhammad Peace be upon him) in order to gain victory over those who disbelieved, then when there came to them that which they had recognised, they disbelieved in it. So let the Curse of Allah be on the disbelievers.

  • @nakundwamkubwe7823

    @nakundwamkubwe7823

    3 жыл бұрын

    @@truthspeaker2405 mpigie simu Dr Sulle akupe elimu au kasome mwenyewe .

  • @nurualishaban7383

    @nurualishaban7383

    Жыл бұрын

    @@truthspeaker2405 kama wapinga Nani alipewa hiyo biblia basi kama wakazana? Yesu alipewa injili sio biblia,mbona hamna akili nyie wakristo wenye shingo ngumu?

  • @suleimanmuhidin1753

    @suleimanmuhidin1753

    Жыл бұрын

    Kwayyte yule atakaye kufa akiwa si muslim ataingia motoni milele namuomba mungu atutowe dunian haliyakuwa waislam mungu atufufue n mtume muhammad (saw) izo dini yengine n vitabu nyengine visivokuwa vile 4 ivo vyengine ni empty

  • @rumumbarumumba2403
    @rumumbarumumba24032 жыл бұрын

    Man sha Allah sasa chekh wetu Sule injili yakweli ingepatikana??

  • @dani72130
    @dani72130 Жыл бұрын

    Bible ni mkusanyiko wa vitabu vitakatifu vya Mungu ambavyo ni Torati, zaburi, injili .

  • @marymnemela2432
    @marymnemela2432 Жыл бұрын

    Mungu akusaidie kuutambua ukweli, ipo siku Yesu atakuokoa

  • @ilungavumu6508

    @ilungavumu6508

    Жыл бұрын

    Ni vyema ukamjibu tu swali hilo kama unajua na sisi tujue

  • @martoo539

    @martoo539

    Жыл бұрын

    Mwambie tenaa

  • @eliudibosco
    @eliudibosco Жыл бұрын

    Kumbe ni historian siyo maneno ya mungu

  • @justinejonas4187
    @justinejonas4187 Жыл бұрын

    Congratulations Dr,Sule

  • @royalpriestsmusic5685
    @royalpriestsmusic5685 Жыл бұрын

    TOKA MWANZO HAD UFUNUO NI YESU MANENO TOTE YANAMUHUSU YESU NI KUTOKUJUA TU NAKUOMBEA KWA MUNGU AKUPE ROHO WAKE MTAKATIFU AKUONGOZE

  • @husha6372
    @husha6372 Жыл бұрын

    Assalamu Aleikum warahmatullahi wabarakatuhu Mbona Injili Ya mwanafunzi wa Yesu Barnabas haiko na ndio injili ya kweli Kwa Sababu jina la mtume Muhamed SaW liko kwenye injili ya Barnabas

  • @stephenmvuo7363
    @stephenmvuo7363Ай бұрын

    According to me,,,,,god did not create religion bt this is an idea of some people's business

  • @mwambakibucheche1119
    @mwambakibucheche11192 жыл бұрын

    Mtatafakari sana lakin inatakiwa mjue kuwa akili za Mungu hazichunguziki.Bali utafuteni uso wa bwana Yesu mpate kuokolewa.

  • @peterMwamwenda-jv6bc

    @peterMwamwenda-jv6bc

    Жыл бұрын

    Kafiri wewe subiliufe utanuja jua

  • @mundhir2859

    @mundhir2859

    Жыл бұрын

    Fata uislam usalimike acha kudanganywa kanisani

  • @abdulkhalimahmed5194

    @abdulkhalimahmed5194

    Жыл бұрын

    Sawa mfate yesu lkn yesu hakupewa bibilia

  • @eliudibosco
    @eliudibosco Жыл бұрын

    Huu ni uongo na hiyo niroho ya mpinga kristo kama toratai ni ya uongo unaisoma ili iweze kuwadanganya watu acha haraka usitafute masirahi yako kwenye maneno ya mungu tafuta masirahi yako tu.

  • @shabanirukundo4272
    @shabanirukundo42723 жыл бұрын

    Sasa hio bibilia kapewanani benson

  • @pstyothamusabuye4111
    @pstyothamusabuye41119 ай бұрын

    kuwa ni Neno la Mungu hakutegemei kukubali au kukataa kwako, ukweli unabaki pale pale hilo ni Neno la Mungu ukilitii unaona matokeo yake yalivyo, kwanza huna taalumu ya theology, unahitaji uokoke tu, uislamu umeanza juzijuzi tu.

  • @lenardkenedy542
    @lenardkenedy54210 ай бұрын

    Nawasii Waislam tukiichambua Quran Usichukie Mue wapole kama sisi 🙏

  • @shahabdallah9407

    @shahabdallah9407

    8 ай бұрын

    Chambua bora useme ya kweli tu

  • @ElishaPeter-ln1ud

    @ElishaPeter-ln1ud

    5 ай бұрын

    Utopata mapungufu we chambua paka kiama

  • @sayidabdillah8505

    @sayidabdillah8505

    3 ай бұрын

    Quran ni kitambu cha mungu Allah sw ww chambua tuu hutakuta madhaifu bali itakufanya kjmuamini Allah sw yaani mungu mmoja tuu bila ya kjmshirikisha na kitu chochote Quran inaamrisha upweke wa mungu mmoja Allah sw, uchamungu,Quran ni sumarize ya vitabu 3 vilivyokuja kabla yake Zabur tauranga injil and last book nj Quran

  • @martoo539
    @martoo539 Жыл бұрын

    Hebu angalieni hapa wenzagu😂 Quaran Inasema endeni mkapiganie dini yenuu 😂 Bible Inasema endeni mkawahubirie na muwabatizee kwa jina Kristu yesu🙏 Which side makes sense 🙏🙏 I believe in bibke

  • @shukurubalahi8630
    @shukurubalahi8630 Жыл бұрын

    Neno linasema mwapotea kwa sababu hamyajui maandiko

  • @user-ck9yy6zt9q
    @user-ck9yy6zt9q Жыл бұрын

    Wewe bado upo kwenye kwenye nyakati za unabii hivyo huwez jua chochote ila kumbuka si kila asemaye bwana bwana atauona ufalme wa mbinguni Bali yeye ayatendaye mapenzi ya mungu chambua bible verses zote na Korean ila jichunguze roho Yako unaenda sawasawa na mapenzi ya mungu

  • @mgallaeliah1364
    @mgallaeliah1364 Жыл бұрын

    Pamoja na kwamba nimechelewa kuisikiliza Mbona unatoa references za manabii wote waliotumwa na MUNGU kutoka kwenye Biblia, lakini Mohammad hayupo, musa yopo kwenye Quran, Yesu yupo kwenye Qurani, na hao pia kwenye biblia wapo Kwanini Mohammad hayupo kwenye Biblia? Je yeye(Mohammad) alitumwa na nani mbona hathibitishi kwenye biblia. (Torati ni sheria ukumbuke hilo popote utakaposoma pameandikwa torati kuwa na kumbukumbu)

  • @AbJsm
    @AbJsm Жыл бұрын

    Na Pia Sisi WAISILAMU Lazima Tujiulie Hivi Vitabu Mfano Bukhari Muslim Al Kafi Ibn Maja Ni Vitabu Vya MMungu? Maana Asilimia 99 Dini Yetu Inategemea Hivyo Vitabu Visiokuwa Vya MMungu

  • @dani72130
    @dani72130 Жыл бұрын

    dr sule inajichanganya, soma malaki 4:4

  • @user-fu3cg3gv9g
    @user-fu3cg3gv9gАй бұрын

    Haina haja kuumiza kichwa biblia ni mkusanyiko wa vitabu vingi

  • @gitongatitus1553
    @gitongatitus1553 Жыл бұрын

    Bible is the messages that had been given to prophets of GOD himself or it is GOD who had written the same bible or in another word it is to say that bible it is GOD himself in the physical. But it doesn't address truly who Jesus Christ is because Jesus Christ is the true GOD as per the bible in the book of John chapter 17 as from verse 2 to 3 read together with bible in the book of John chapter 14 as from verse 10 to 11 and bible in the book of John chapter 10 verse 30 as well in the bible in the book of John chapter 15 as from verse 22 to 24. Here meaning or saying that GOD is the one who had originated from Jesus Christ who was there before anything else being life entity and his real name is life where all other lifes had been originated the life of GOD included.

  • @jacobjulius6244
    @jacobjulius6244 Жыл бұрын

    Nyie ndo mlipewa yenu close your mouse

  • @elyonredtech
    @elyonredtech5 ай бұрын

    Uyu jamaa ni cartel anasema biblia si kitabu cha mungu alafu anatusomea kutuonyesha vile torati injiri na zaburi kwa biblia na anaiita maandiko matakatifu. Kuran pia iekwe kwa biblia

  • @franciscaaugustino4305
    @franciscaaugustino43053 жыл бұрын

    Ukisikiliza hapa nahisi unamkosea hata Mungu. Maana si kila asemaye Bwana, Bwana atauona ufalme wa Allh

  • @user-xi4le1hp4y
    @user-xi4le1hp4y Жыл бұрын

    Wee joezono8 ndie unaeropoka, hizo zinzotolewa na dr sule ni hoja madhubuti, za kielimu, sasa na ww unatakiwa uzijibu kielimu, jibu hoja acha kuropoka, au kulalamika,

  • @georgemassebu2083
    @georgemassebu20838 ай бұрын

    Hivi kwa nini mnapenda sana kusema sema ukristo? Miaka kadhaa hapa nyuma mlikua mkiponda sana Biblia, leo hii mnaitumia Biblia kufundishia na kuuponda teana ukristo.... ajabu sana, Biblia ni jina la mjumuiko wa hivyo vitabu vyote ulivyo sema, sasa kuweka hoja ya ubishi ubishi inasaidia nini sasa

  • @naomimachumu5480
    @naomimachumu5480 Жыл бұрын

    Rudi usome kwa makini bibilia Ni muunganiko wa vitabu vyote vya manabiii au watu mungu aliowaandaa ili watuletee sisi . Then tofautisha majors na nyakati usiunganishe nyakati kwa akili yako au ulichokalilidhwa mungu hajawah kushusha kitabi Bal alishusha mbao zilizobeba amri na pia alikuwa anaongea na manabii Kisha manabii wanaandika, jiulize Mohammad alikuwepo lini na yesu alikuwepo Lin ujue kuwa Mungu ni wa wote wenye mwili. Hivyo vtab unavyotaja ndivyo muunganiko wa biblia Kama unajua injili ya yesu inauongofu na Nuru amka sasa ukatubu maana unachokiongea hukojui vzuri

  • @mamasmartcollection7063
    @mamasmartcollection70633 жыл бұрын

    Hizi ni nyakati za mwisho kila mtu ashike yake,ushauri wangu mtafute Mungu wa kweli

  • @hassanmfaume4522

    @hassanmfaume4522

    3 жыл бұрын

    Mungu wa kweli tunayemuabudu ss waislamu..! Wengine huabudu watu waliokuwa wakila na kwenda choo ..!

  • @mukrimmohd8954

    @mukrimmohd8954

    2 жыл бұрын

    Hakuna kushika lake dini ipo na imetimia na tunatakiwa tuiftate

  • @dulividuli5237

    @dulividuli5237

    Жыл бұрын

    Waislam wanamjua mungu wa kweli ila Wakristo hamumjui mnabakia kumuabudu mwanaadam mwenzenu tu

  • @justussafari8111
    @justussafari8111 Жыл бұрын

    Huyu Dr Sulle anaufahamu mkubwa sana hata kuliko mapadri wengi na walimu wengi WA kikristo ijapikuwa Mimi ni mkiristo lakini lazima tukubali ukweli yakwamba Dr Sulle anaufahamu mkubwa sana.

  • @MapsizoShentee

    @MapsizoShentee

    Жыл бұрын

    Na vizur kusikiliza hoja zake na c kupinga ... SIKILIZA Fanya UTAFITI

  • @josephosborne3072

    @josephosborne3072

    Жыл бұрын

    Mmh huyu ni much know,, biblia ni kibebeo tu ambapo ndan yake kuna vtab vitatu ukiondoa qran ambyo haimo,, biblia sio maandiko matakatf, sema huyu hamnazo

  • @allyhemed6380

    @allyhemed6380

    11 ай бұрын

    Allah akuongoze upate salama ukisilimu madhambi yote mungu anakufutia uisilamu uko sawa Kama unavyoona uisilamu ni unyenyekevu hata yesu ni mnyenyekevu

  • @irenekaluse3213
    @irenekaluse3213 Жыл бұрын

    Kaeni na mtume wenu alokuwa hajui kusoma na na siku akirudi nabii isa hajui atafanywa nini

  • @sharomdguda
    @sharomdguda8 ай бұрын

    Hivi wakristo wanaweza kukaa hata dakika Moja kukisoma kitabu Cha qurani ! Haslan habadan , kitu haramu ni haramu tu, waislamu miaka yote hooo Biblia siyo kitabu Cha mungu lkn kitabu hiki kinawafanya waislamu hawalali usiku na mchana wakiangaika na Biblia tangu enzi na enzi . Mbona wakristo na wayahudi mbona hawana time na qurani! , Uislam umekuja duniani na kukuta ukristo na uyahudi upo miaka kabla ya Muhammad?! Sikiliza maswali yake yalivyo ya kislam kislam ovyo ovyo eti Biblia kapewa bwege gani? Kweli umewapata waislamu

  • @havyarimanaemery
    @havyarimanaemery Жыл бұрын

    Ndugu yangu jifunze biblia yeremiya hajasema tautati

  • @user-xr3iv3ts3p
    @user-xr3iv3ts3p8 ай бұрын

    Wewe hata ndacha hakufai una hoja za kitoto mahadhiri muisilamu pekee nadhani shafi mazinge kazeeeka anautindio wa bongo

  • @kristensiamartin9114
    @kristensiamartin91142 жыл бұрын

    Angeanza na kitabu chake kwanza

  • @salummzee9739
    @salummzee9739 Жыл бұрын

    Hakika ya Uislamu ni dini ya haki

  • @januarymagai

    @januarymagai

    Жыл бұрын

    Poteeni tu wazee wa kukariri

  • @martinekanji8537
    @martinekanji8537 Жыл бұрын

    Mbona hafanya research kuhusu vyanzo vya uislam amachacha na bible ambayo imefanyiwa research na karibu kilamtu.? Acheni unafiki fanyieni Quranic research .. mtakayo yapata mtakuja hapa na machozi.. Quran Ina habari mingi ilihepa sana Kisha muhim.. na zingefanya Quran muhim sana but vile ilihepa ni pigo kubwa sana kwake

  • @mchopaluka4319
    @mchopaluka43193 жыл бұрын

    Ukristo ulipingwa sana hasa ni kwa sababu hata Bwana Yesu mwenyewe alipingwa ila ukweli utabaki pale pale

  • @mchopaluka4319
    @mchopaluka43193 жыл бұрын

    Naamini ipo siku utaokoka tu Bwana Mungu mwenyezi ikimpendeza amina.

  • @finiasezra7072
    @finiasezra70722 жыл бұрын

    Mbona unatuchanganya inashauri gani kua ayo unayoyasoma ni ya Alla?

  • @japhetndoro6533
    @japhetndoro6533 Жыл бұрын

    Nakuliza swali wakati quran inataja kwamba watu wa bibilia Yani mayahudi na wakristo ulikuwa waelewaje quran yako

  • @jamalmnema8334

    @jamalmnema8334

    10 ай бұрын

    Imesema watu wa vitabu haujasema bibilia

  • @NanaGyfty-gt1ie
    @NanaGyfty-gt1ie8 ай бұрын

    Ni vema kusikiliza na kuelewa sio mtu anabishana na kuona kuwa shehe ayuko sawa hata nyie wakristu mkisikiliza vizuli mtaelewa

  • @januarymagai
    @januarymagai Жыл бұрын

    Ameweka namba mbona hapokei,muislamu anayejiamini naweka namba nimpe vitu mnavyofichwa waislamu

  • @MaulidsaidRijeby

    @MaulidsaidRijeby

    Жыл бұрын

    Wakristo huwa wakiona njia sahihi kwao ni rahisi zaidi kutambua na kufata, fata njia ilonyooka sasa

  • @kakakuonamprubenikakakuona1387
    @kakakuonamprubenikakakuona1387 Жыл бұрын

    Ulikuwepo? Au mnashadadia mission za Hawa washenzi wakoloni wa kiaarabu na kizungu?

  • @francishura7627
    @francishura76273 жыл бұрын

    Masheikh na wachungaji,, tangazeni neno la mungu sio kusema na kuongea vibaya na dini nyingine.. Maana siku zote anaejikweza ushushwa mbele za mungu... Usijidanganye sheikh kama chako bora kuliko cha mwingine...nyie ni mpo kufunza watu dini au neno la mungu?

  • @seebs1156

    @seebs1156

    3 жыл бұрын

    Upo sahihi hawafunzi neno la Mungu bali wanafunza dini wanapenda kujikweza kujiona wapo corect

  • @mohamedmohamed1395
    @mohamedmohamed1395 Жыл бұрын

    😂😂 Asante daktari Swali ni BIBILIA NI KITABU CHA NANI NA KAPEWA MTUME/NABII GANI???????? kuruka ruka ndio kuiva Kwa maharageee😅😅😅😅

  • @januarymagai

    @januarymagai

    Жыл бұрын

    Kwani wewe unasema injili,torati,zaburi viko wapi si ndani ya biblia Yani unasema wewe si mtanzania wakati nida na utambulisho wako unakuonyesha dhahiri,unayo macho alafu unasema siyo ya kwako

  • @mirajijuma-ti2yg
    @mirajijuma-ti2yg Жыл бұрын

    Umekomalia tu ubishi tuambie biblia imeteremshwa kwa nabi gani wakati vitabu vyote vina manabii

  • @makalani4759
    @makalani4759 Жыл бұрын

    Shida biblia inasomwa kama adithi ila biblia unaitaji roho mtakatifu akuongoze

  • @shijaramadhani8123
    @shijaramadhani8123 Жыл бұрын

    Sule mh

  • @crownprinceea2456
    @crownprinceea2456 Жыл бұрын

    Watu wangu wanangamia kwakukosa maarifa wewe huna maarifa

  • @saleherajabu6890

    @saleherajabu6890

    Жыл бұрын

    Maarifa mmeshazoa kuongepewa mandiko yenyewe sio ya mungu,niyakina matayo ,yohana,yakobo,wakolinto joshua,walawi warum n.k..mana yesu ndo kapewa injiri ,lakini sasa ayo majina yakima yohana yameingiaje

  • @crownprinceea2456

    @crownprinceea2456

    Жыл бұрын

    @@saleherajabu6890 unaonekana huna elimu kwaio acha kupaza sauti sasa kitabu chenu kuna mpaka kitabu cha maji kila kitabu kinajina la mtu au hujawahi kisoma kitabu chako au hujui kama wale ni watch 1 Al Faatiha 2 Al Baqara 3Al Imran 4 An Nissai 72 Al jinn Au huju kama haya ni majina ya watu hizo sura zote nimajina kama huju sura ya kwanza mpaka ya 114 ambayo inaitwa ANNA acha kuongea usiyo yajua

  • @ZAMB334
    @ZAMB334 Жыл бұрын

    Mbona unasema zaburi kapewa nabii mohamed tena unasena zaburi kapewa daudi inamaana walipewa wote wawili zaburi

  • @user-ye6qq9nv8b
    @user-ye6qq9nv8b6 ай бұрын

    Waisrael hawakupita bahari ya madetaeranian Bali bahari ya sham

  • @annetmathias4157
    @annetmathias4157 Жыл бұрын

    shekhe umekulupukia mambo usiyo yajua biblia ni kitu chatofauti sana tofautisha na vitabu vingine kwanza ili uielewe lazima uiamini , pili haisomwi kama gazeti unavozania wewe hivo tatu hujui tafsili yaneno biblia nne usifanye mambo kwakutaka kushindana na mtu au imani ya mtu kama unajiamini na dini yako na upo sahihi na imani basi baki nayo usikulupukie yajilani yako yaache naomba nikujibu kiufupi tu Biblia ni kitabu cha vitabu yaani namaanisha kimepewa jina biblia kwasababu kimebeba vitabu vyenzake ndani ambavyo vimewekwa humo ili kupunguza nakufanya wepesi waupatikanaji kwasababu vitabu ni vingi nikushauli tu kama unataka kusemea jambo kama hilo siku nyingine fanya uchunguzi wamambo kabla hujauambia uma mfano mimi siwezi kutukana au kusema habari za kuruhani wakati hata kilichoandikwa sikijui na sijakijua hata kama nikijifanya nakijua nitakua muongo kama wewe unashadadia tu akati hata kialabu chenyewe hujakimaliza umeanza kudandia biblia. pia Dini siyo yako wala yangu jitaidi kutafta kwanza utakatifu wako wewe na MUNGU wako nauhakika hata sasa unataka ujihesabie haki kuwa wewe na dini yako mpo sahihi kumbe hata sasa tukifa hujui kinachofata nyuma ila sikupingi mana nchi yetu ipo huru na unaruhusiwa kufanya lolote nakuzungumza tu naomba achana na biblia sabu ni neno la MUNGU na lina NGUVU hata sasa linafukuza mapepo linaponya linafufua wafu hata linaweza kumfufua Mtume Mhamadi huyo unae mshadadia wewe ambaye yeye alisema mfwateni mtoto wa mariam ndiye mkombozi wako

  • @petermganga6657
    @petermganga66572 жыл бұрын

    Andiko huua roho mtakatifu huuisha,,

  • @shukurubalahi8630
    @shukurubalahi8630 Жыл бұрын

    Sasa kiongozi ni wap katika Quran kuna torati,zabur na injli

  • @saidsaydi5426
    @saidsaydi5426 Жыл бұрын

    A

  • @bensonlangat640
    @bensonlangat6403 жыл бұрын

    Revelation 1:1 waja uongo

  • @hamisimfaumenamwewe193

    @hamisimfaumenamwewe193

    3 жыл бұрын

    Uwongo wa vipi?

  • @lucamanguo8410
    @lucamanguo84109 ай бұрын

    Dini ya juzi karne ya saba. Inashindana na dini ya karne ya tatu.

  • @zachanoah8494
    @zachanoah8494 Жыл бұрын

    Dante nimeelewa

  • @pungopungo411
    @pungopungo4113 жыл бұрын

    Rangi ya makava isikusumbue ni pendekezo la rangi tu ila biblia ni moja

  • @user-yj6rr8qf1x
    @user-yj6rr8qf1x Жыл бұрын

    Kwani hivyo vitabu vilivyoshushwa kwa manabii vilishushwa vitabu kama vitabu au walivuviwa watu kuandika hayo maneno matakatifu ya maandiko?????

  • @mkolotz1156
    @mkolotz11563 жыл бұрын

    wemsenge kweli

  • @yussufpazzi6715

    @yussufpazzi6715

    Жыл бұрын

    Msenge wwx

  • @raulianraphael6853

    @raulianraphael6853

    Жыл бұрын

    Usitukane ndg ang na mkristo mwenzangu njia yetu na yakweli ni Yesu Tatizo n pale biblia nyingine n vitabu 72 nyingine n 66 na biblia kua na matoleo tofaut tofaut

  • @jacobjulius6244
    @jacobjulius6244 Жыл бұрын

    Embu ututolee ujinga ongea fact izo ni tabia za ki mbwa

  • @sauzimikito8346

    @sauzimikito8346

    Жыл бұрын

    mbwa ni wachungaji wenu,Jacob julius

  • @Kelvinchristopher072
    @Kelvinchristopher0728 ай бұрын

    Ulisha jiuliza kwa nin hakuna mpinga uislamu

Келесі