DK SULLE ACHAMBUA, HISTORIA YA BIBLIA NA KWA NINI ILIITWA BIBILIA , JE NI KITABU CHA MUNGU KWELI ?
Жүктеу.....
Пікірлер: 454
@babauna34583 жыл бұрын
Maahaallah Dr sule , hii ndio kazi ya Amani na upendo. Allah akurehemu wewe na waislamu wote ulimwenguni.
@kelvinpius-ne9rzАй бұрын
asante BWANA kwa roho wako,roho mtakatifu,roho wa kweli,nakuomba Mungu wangu, utukufu wako uujaze ulimwengu,uwajaze watu wako kwa roho wako katika ukuu wako Yesu kristo Mungu na muumba wetu
@fadhilikawambwa15863 жыл бұрын
DR SULLEY ALLAH SW AKUPE UMRI MREFU TUFAIDI ZAIDI HAYA MAMBO MATAMU.
Ukristo ni mfumo ambao haujawahi kufeli. Tafiti zake na mipango yake ni endelevu na ndiyo maana hawaangaishwi na wanojaribu kuwakosoa.mfumo wa Ukristo utawala Hadi Yesu arudi Hilo alisema Yesu mwenywe. Mt 16:16-18 * Hakuna kama Yesu,Hakuna kitabu kama Injili.Injili Ina Habari. Za Yesu Alie hai*
@nalingarowl7048 Жыл бұрын
Kuongelea Ukristo au Bible ni wazi kuwa Q,ran Haina Cha kusimulia na kutoa challenge Kwa jamii. Ni rahisi Waislamu kuichambua,lakini hutamkuta Mkristo anaichambua Q,ran Kwa sababu Ukristo umetosha. Yesu atarudi na kuwahukimu wote.
@jeanbb13853 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana
@hussaynmuhammad87823 жыл бұрын
Mashallah
@nalingarowl7048 Жыл бұрын
Ni Mungu yupo aliiteremsha Quran. Nani walishuhidia.mwaka Gani na katika eneo Gani. Mungu mnaomuamini mnasema haionekani. Kama hakuna walioshuhudia ikiteremshwa,basi Hilo ni jambo la kushangaza. Maneno ya Biblia Yana umri mrefu kuliko kitabu chochote * Biblia ni kitabu kilichofanyiwa tafiti*
@esthertungani676
9 ай бұрын
Amen
@kelvinpius-ne9rz
Ай бұрын
thank you LORD JESUS CHRIST for the HOLY SPIRIT
@kelvinpius-ne9rzАй бұрын
Na Mungu wetu,muumba wetu, YESU KRISTO wa Nazareth,akulipe sawa na uovu wako, wewe unayemkataa roho mtakatifu,
@athumanihussein78273 жыл бұрын
Nimekuelewa
@UtufyoPangachini-ru3yg Жыл бұрын
Unahitaji kusoma sana mr sule ili uelewe mambo
@joachimluhamo3042 Жыл бұрын
Biblia ni mkusanyiko wa vitabu neno biblia ni neno la kilatini na kigiliki lenye maana ya kitabu au vitabu usipotoshe watu we shee . Inaonekana bado sana hujui kuhusu neno la Mungu
@charlesmakuri792 Жыл бұрын
Jiulize bible ilikuwepo lini na mohamed kaja lini baada ya yesu ni ujingatu ulio jificha
@abdalahsuleman2791
Жыл бұрын
Yaani wewe hujui kitu
@gtunewaves2867
Жыл бұрын
@@abdalahsuleman2791 Amna anayejua kila mtu anasema kwa anavyoelewa
@shukurubalahi8630 Жыл бұрын
Neno la Mungu ni taa ya miguu yangu. Sitateteleka na kama bibilia ni ya uongo nitaifuta na kuiamini hata kufa kwangu. Na ukweli ni kwamba unachokitafutia udhaifu ili watu wasikiamini ndicho cha kweli
@kefajoseph158
Жыл бұрын
Waisilamu wanawazaga kuuwa tu achana nao
@fatmazullu4933
Жыл бұрын
@@kefajoseph158 imani potofu!!
@paschaljuma3312
Жыл бұрын
Mnaifata kwa sababu inaendana na matamanio yenu, inawaruhusu kula nguruwe, kunywa pombe bila ata kukemewa inaeapambia maisha ya dunia
Sio uutafute ukwl ndgu, ukifata kilichokua sio cha kwl, utapata unachoratajia siku ya mwisho?
@hassanmohdally52173 жыл бұрын
Daaah yaaan mungu akuongoze kwakweli kwasababu
@nurudinehamimu56583 жыл бұрын
Naam shekhe.
@nevillekanju949110 ай бұрын
Sule uislamu wenyewe haujui vizuri je Biblia utaifaham
@paulmalagila4152 Жыл бұрын
Mwenyez mungu hawez kuruhusu vitabu vyak vipotezwe
@haidarsalum9228
Жыл бұрын
Hakika, ndio maan hiyo hajachafua kitabu cha mungu ispokuwa wmchkua maneno na kuyawka ndan ya kitabu chauo, pia kwa kulithibitsha hilo kuwa vitabu vya mungu havichafuliw ni kwamba, Quran inamiak mingi sasa laki hkuna version wala kuonguza/ kuongeza katika kitabu hcho, ahdi hii imo ndan y Quran, ukifatlia utajua hilo..
@bazibaker79863 жыл бұрын
Asalaamu aleykum my brother Dr sule mashalaah may Allah give you long life to do what you are doing wallaahi I'm following you for long time nimefaidika nyingi. Your brother Bazi abu Baker from London msomali
@shabanrama8023 жыл бұрын
Nimekuelewa sana Dr sule
@shabanirukundo42723 жыл бұрын
Wewe Benson msikilize vizur siokuropokatu
@casmuiddy73049 ай бұрын
Allah akujalie
@munic6686 Жыл бұрын
❤jazakallahu khaira Allah akupe umri mrefu shekh tuzd kunufaika
@japhetndoro6533 Жыл бұрын
Bibilia n mkusanyiko wa vitabu je quran nini
@osmanabdi26323 жыл бұрын
Asalaam aleikum Ustadh, Naomba nukusihi vitabu vya agano ya kale inna vitabu 39 na site 29 kama vile ulivvyo tamka. Pili, wana Israili wapitishwa bahari Nyekundu (Red Sea) na site Mediterranean Sea. Naomba radhi.
@januarymagai
Жыл бұрын
Hana jipya
@martoo539 Жыл бұрын
Siogopi kusema Ivi Bible is the only holy book ,,,,,I believe in BIBLE only ,,,,,,
@user-op8pk1jt5k
3 ай бұрын
Kumbe mpuzi 2
@maulideabdala38322 жыл бұрын
sawa nimekuelewa
@tozzaalexandar4905 Жыл бұрын
Swadacta doctor sule
@mullamtupa9116 Жыл бұрын
MashaAllah
@fardoshnassor78473 жыл бұрын
Mashallah Allah
@isiakaJungu
Жыл бұрын
Maxhalah
@kusakisoma31683 жыл бұрын
masha allah
@ridhiwaanimlula1040
3 жыл бұрын
Maa shaallwah
@user-gu5ws4yl1l Жыл бұрын
Dr sulle vizur sana, wakristo jifunzeni darasa hili, msipohelewa hapa hamtaelewa tena.
@ukorainzuku83013 жыл бұрын
Masha Allah mungu akuongezee maisha ili udufundishe zaidi
@asiakheir8684 Жыл бұрын
Wakristo hawapendi kujifunza wao wanaushabikituu, mwalimu anadomesha vizuri sana lakini wanacomment kwa hasira , sababu wao wanashabikia hata ujinga , walimu wao akipiga mikeleletuu bila kusomesha wao wanaamini hiyo ndoo ibada , hebu jifunzeni bila ushabiki halafu kawaulizeni wachungaji wenu
@kelvinpius-ne9rzАй бұрын
sisi ni mashahidi,tumeuona uwepo wako wazi, eeeeh Mungu wangu, YESU KRISTO, BWANA,utuokoe na watu wa dunia hii wanaofuta mapenzi yao,kila akuaminiye wewe BWANA muumba mbingu na nchi,na vyote viujazavyo ulimwengu,tumekuona na wewe hakika ni YAHWE
@nakundwamkubwe78233 жыл бұрын
Watu wa msalaba wanapingana na ukweli wa maandiko kama kawaida yao full coment za uzwazwa 😅 elezea shekhe wangu mwenye masikio na asikie asie sikia wacha apinge.
@fadhilikawambwa1586
3 жыл бұрын
KWELI KABISA
@truthspeaker2405
3 жыл бұрын
Kama kweli Biblia iliharibuliwa kwanin Muhammad alisema Wakristo na wayahudi waifuate vitabu vyao? Al-Baqarah 2:89 And when there came to them (the Jews), a Book (this Quran) from Allah confirming what is with them *[the Taurat (Torah) and the Injeel (Gospel)],* although aforetime they had invoked Allah (for coming of Muhammad Peace be upon him) in order to gain victory over those who disbelieved, then when there came to them that which they had recognised, they disbelieved in it. So let the Curse of Allah be on the disbelievers.
@nakundwamkubwe7823
3 жыл бұрын
@@truthspeaker2405 mpigie simu Dr Sulle akupe elimu au kasome mwenyewe .
@nurualishaban7383
Жыл бұрын
@@truthspeaker2405 kama wapinga Nani alipewa hiyo biblia basi kama wakazana? Yesu alipewa injili sio biblia,mbona hamna akili nyie wakristo wenye shingo ngumu?
@suleimanmuhidin1753
Жыл бұрын
Kwayyte yule atakaye kufa akiwa si muslim ataingia motoni milele namuomba mungu atutowe dunian haliyakuwa waislam mungu atufufue n mtume muhammad (saw) izo dini yengine n vitabu nyengine visivokuwa vile 4 ivo vyengine ni empty
@rumumbarumumba24032 жыл бұрын
Man sha Allah sasa chekh wetu Sule injili yakweli ingepatikana??
@dani72130 Жыл бұрын
Bible ni mkusanyiko wa vitabu vitakatifu vya Mungu ambavyo ni Torati, zaburi, injili .
@marymnemela2432 Жыл бұрын
Mungu akusaidie kuutambua ukweli, ipo siku Yesu atakuokoa
@ilungavumu6508
Жыл бұрын
Ni vyema ukamjibu tu swali hilo kama unajua na sisi tujue
@martoo539
Жыл бұрын
Mwambie tenaa
@eliudibosco Жыл бұрын
Kumbe ni historian siyo maneno ya mungu
@justinejonas4187 Жыл бұрын
Congratulations Dr,Sule
@royalpriestsmusic5685 Жыл бұрын
TOKA MWANZO HAD UFUNUO NI YESU MANENO TOTE YANAMUHUSU YESU NI KUTOKUJUA TU NAKUOMBEA KWA MUNGU AKUPE ROHO WAKE MTAKATIFU AKUONGOZE
@husha6372 Жыл бұрын
Assalamu Aleikum warahmatullahi wabarakatuhu Mbona Injili Ya mwanafunzi wa Yesu Barnabas haiko na ndio injili ya kweli Kwa Sababu jina la mtume Muhamed SaW liko kwenye injili ya Barnabas
@stephenmvuo7363Ай бұрын
According to me,,,,,god did not create religion bt this is an idea of some people's business
@mwambakibucheche11192 жыл бұрын
Mtatafakari sana lakin inatakiwa mjue kuwa akili za Mungu hazichunguziki.Bali utafuteni uso wa bwana Yesu mpate kuokolewa.
@peterMwamwenda-jv6bc
Жыл бұрын
Kafiri wewe subiliufe utanuja jua
@mundhir2859
Жыл бұрын
Fata uislam usalimike acha kudanganywa kanisani
@abdulkhalimahmed5194
Жыл бұрын
Sawa mfate yesu lkn yesu hakupewa bibilia
@eliudibosco Жыл бұрын
Huu ni uongo na hiyo niroho ya mpinga kristo kama toratai ni ya uongo unaisoma ili iweze kuwadanganya watu acha haraka usitafute masirahi yako kwenye maneno ya mungu tafuta masirahi yako tu.
@shabanirukundo42723 жыл бұрын
Sasa hio bibilia kapewanani benson
@pstyothamusabuye41119 ай бұрын
kuwa ni Neno la Mungu hakutegemei kukubali au kukataa kwako, ukweli unabaki pale pale hilo ni Neno la Mungu ukilitii unaona matokeo yake yalivyo, kwanza huna taalumu ya theology, unahitaji uokoke tu, uislamu umeanza juzijuzi tu.
@lenardkenedy54210 ай бұрын
Nawasii Waislam tukiichambua Quran Usichukie Mue wapole kama sisi 🙏
@shahabdallah9407
8 ай бұрын
Chambua bora useme ya kweli tu
@ElishaPeter-ln1ud
5 ай бұрын
Utopata mapungufu we chambua paka kiama
@sayidabdillah8505
3 ай бұрын
Quran ni kitambu cha mungu Allah sw ww chambua tuu hutakuta madhaifu bali itakufanya kjmuamini Allah sw yaani mungu mmoja tuu bila ya kjmshirikisha na kitu chochote Quran inaamrisha upweke wa mungu mmoja Allah sw, uchamungu,Quran ni sumarize ya vitabu 3 vilivyokuja kabla yake Zabur tauranga injil and last book nj Quran
@martoo539 Жыл бұрын
Hebu angalieni hapa wenzagu😂 Quaran Inasema endeni mkapiganie dini yenuu 😂 Bible Inasema endeni mkawahubirie na muwabatizee kwa jina Kristu yesu🙏 Which side makes sense 🙏🙏 I believe in bibke
@shukurubalahi8630 Жыл бұрын
Neno linasema mwapotea kwa sababu hamyajui maandiko
@user-ck9yy6zt9q Жыл бұрын
Wewe bado upo kwenye kwenye nyakati za unabii hivyo huwez jua chochote ila kumbuka si kila asemaye bwana bwana atauona ufalme wa mbinguni Bali yeye ayatendaye mapenzi ya mungu chambua bible verses zote na Korean ila jichunguze roho Yako unaenda sawasawa na mapenzi ya mungu
@mgallaeliah1364 Жыл бұрын
Pamoja na kwamba nimechelewa kuisikiliza Mbona unatoa references za manabii wote waliotumwa na MUNGU kutoka kwenye Biblia, lakini Mohammad hayupo, musa yopo kwenye Quran, Yesu yupo kwenye Qurani, na hao pia kwenye biblia wapo Kwanini Mohammad hayupo kwenye Biblia? Je yeye(Mohammad) alitumwa na nani mbona hathibitishi kwenye biblia. (Torati ni sheria ukumbuke hilo popote utakaposoma pameandikwa torati kuwa na kumbukumbu)
@AbJsm Жыл бұрын
Na Pia Sisi WAISILAMU Lazima Tujiulie Hivi Vitabu Mfano Bukhari Muslim Al Kafi Ibn Maja Ni Vitabu Vya MMungu? Maana Asilimia 99 Dini Yetu Inategemea Hivyo Vitabu Visiokuwa Vya MMungu
@dani72130 Жыл бұрын
dr sule inajichanganya, soma malaki 4:4
@user-fu3cg3gv9gАй бұрын
Haina haja kuumiza kichwa biblia ni mkusanyiko wa vitabu vingi
@gitongatitus1553 Жыл бұрын
Bible is the messages that had been given to prophets of GOD himself or it is GOD who had written the same bible or in another word it is to say that bible it is GOD himself in the physical. But it doesn't address truly who Jesus Christ is because Jesus Christ is the true GOD as per the bible in the book of John chapter 17 as from verse 2 to 3 read together with bible in the book of John chapter 14 as from verse 10 to 11 and bible in the book of John chapter 10 verse 30 as well in the bible in the book of John chapter 15 as from verse 22 to 24. Here meaning or saying that GOD is the one who had originated from Jesus Christ who was there before anything else being life entity and his real name is life where all other lifes had been originated the life of GOD included.
@jacobjulius6244 Жыл бұрын
Nyie ndo mlipewa yenu close your mouse
@elyonredtech5 ай бұрын
Uyu jamaa ni cartel anasema biblia si kitabu cha mungu alafu anatusomea kutuonyesha vile torati injiri na zaburi kwa biblia na anaiita maandiko matakatifu. Kuran pia iekwe kwa biblia
@franciscaaugustino43053 жыл бұрын
Ukisikiliza hapa nahisi unamkosea hata Mungu. Maana si kila asemaye Bwana, Bwana atauona ufalme wa Allh
@user-xi4le1hp4y Жыл бұрын
Wee joezono8 ndie unaeropoka, hizo zinzotolewa na dr sule ni hoja madhubuti, za kielimu, sasa na ww unatakiwa uzijibu kielimu, jibu hoja acha kuropoka, au kulalamika,
@georgemassebu20838 ай бұрын
Hivi kwa nini mnapenda sana kusema sema ukristo? Miaka kadhaa hapa nyuma mlikua mkiponda sana Biblia, leo hii mnaitumia Biblia kufundishia na kuuponda teana ukristo.... ajabu sana, Biblia ni jina la mjumuiko wa hivyo vitabu vyote ulivyo sema, sasa kuweka hoja ya ubishi ubishi inasaidia nini sasa
@naomimachumu5480 Жыл бұрын
Rudi usome kwa makini bibilia Ni muunganiko wa vitabu vyote vya manabiii au watu mungu aliowaandaa ili watuletee sisi . Then tofautisha majors na nyakati usiunganishe nyakati kwa akili yako au ulichokalilidhwa mungu hajawah kushusha kitabi Bal alishusha mbao zilizobeba amri na pia alikuwa anaongea na manabii Kisha manabii wanaandika, jiulize Mohammad alikuwepo lini na yesu alikuwepo Lin ujue kuwa Mungu ni wa wote wenye mwili. Hivyo vtab unavyotaja ndivyo muunganiko wa biblia Kama unajua injili ya yesu inauongofu na Nuru amka sasa ukatubu maana unachokiongea hukojui vzuri
@mamasmartcollection70633 жыл бұрын
Hizi ni nyakati za mwisho kila mtu ashike yake,ushauri wangu mtafute Mungu wa kweli
@hassanmfaume4522
3 жыл бұрын
Mungu wa kweli tunayemuabudu ss waislamu..! Wengine huabudu watu waliokuwa wakila na kwenda choo ..!
@mukrimmohd8954
2 жыл бұрын
Hakuna kushika lake dini ipo na imetimia na tunatakiwa tuiftate
@dulividuli5237
Жыл бұрын
Waislam wanamjua mungu wa kweli ila Wakristo hamumjui mnabakia kumuabudu mwanaadam mwenzenu tu
@justussafari8111 Жыл бұрын
Huyu Dr Sulle anaufahamu mkubwa sana hata kuliko mapadri wengi na walimu wengi WA kikristo ijapikuwa Mimi ni mkiristo lakini lazima tukubali ukweli yakwamba Dr Sulle anaufahamu mkubwa sana.
@MapsizoShentee
Жыл бұрын
Na vizur kusikiliza hoja zake na c kupinga ... SIKILIZA Fanya UTAFITI
@josephosborne3072
Жыл бұрын
Mmh huyu ni much know,, biblia ni kibebeo tu ambapo ndan yake kuna vtab vitatu ukiondoa qran ambyo haimo,, biblia sio maandiko matakatf, sema huyu hamnazo
@allyhemed6380
11 ай бұрын
Allah akuongoze upate salama ukisilimu madhambi yote mungu anakufutia uisilamu uko sawa Kama unavyoona uisilamu ni unyenyekevu hata yesu ni mnyenyekevu
@irenekaluse3213 Жыл бұрын
Kaeni na mtume wenu alokuwa hajui kusoma na na siku akirudi nabii isa hajui atafanywa nini
@sharomdguda8 ай бұрын
Hivi wakristo wanaweza kukaa hata dakika Moja kukisoma kitabu Cha qurani ! Haslan habadan , kitu haramu ni haramu tu, waislamu miaka yote hooo Biblia siyo kitabu Cha mungu lkn kitabu hiki kinawafanya waislamu hawalali usiku na mchana wakiangaika na Biblia tangu enzi na enzi . Mbona wakristo na wayahudi mbona hawana time na qurani! , Uislam umekuja duniani na kukuta ukristo na uyahudi upo miaka kabla ya Muhammad?! Sikiliza maswali yake yalivyo ya kislam kislam ovyo ovyo eti Biblia kapewa bwege gani? Kweli umewapata waislamu
Wewe hata ndacha hakufai una hoja za kitoto mahadhiri muisilamu pekee nadhani shafi mazinge kazeeeka anautindio wa bongo
@kristensiamartin91142 жыл бұрын
Angeanza na kitabu chake kwanza
@salummzee9739 Жыл бұрын
Hakika ya Uislamu ni dini ya haki
@januarymagai
Жыл бұрын
Poteeni tu wazee wa kukariri
@martinekanji8537 Жыл бұрын
Mbona hafanya research kuhusu vyanzo vya uislam amachacha na bible ambayo imefanyiwa research na karibu kilamtu.? Acheni unafiki fanyieni Quranic research .. mtakayo yapata mtakuja hapa na machozi.. Quran Ina habari mingi ilihepa sana Kisha muhim.. na zingefanya Quran muhim sana but vile ilihepa ni pigo kubwa sana kwake
@mchopaluka43193 жыл бұрын
Ukristo ulipingwa sana hasa ni kwa sababu hata Bwana Yesu mwenyewe alipingwa ila ukweli utabaki pale pale
@mchopaluka43193 жыл бұрын
Naamini ipo siku utaokoka tu Bwana Mungu mwenyezi ikimpendeza amina.
@finiasezra70722 жыл бұрын
Mbona unatuchanganya inashauri gani kua ayo unayoyasoma ni ya Alla?
@japhetndoro6533 Жыл бұрын
Nakuliza swali wakati quran inataja kwamba watu wa bibilia Yani mayahudi na wakristo ulikuwa waelewaje quran yako
@jamalmnema8334
10 ай бұрын
Imesema watu wa vitabu haujasema bibilia
@NanaGyfty-gt1ie8 ай бұрын
Ni vema kusikiliza na kuelewa sio mtu anabishana na kuona kuwa shehe ayuko sawa hata nyie wakristu mkisikiliza vizuli mtaelewa
Wakristo huwa wakiona njia sahihi kwao ni rahisi zaidi kutambua na kufata, fata njia ilonyooka sasa
@kakakuonamprubenikakakuona1387 Жыл бұрын
Ulikuwepo? Au mnashadadia mission za Hawa washenzi wakoloni wa kiaarabu na kizungu?
@francishura76273 жыл бұрын
Masheikh na wachungaji,, tangazeni neno la mungu sio kusema na kuongea vibaya na dini nyingine.. Maana siku zote anaejikweza ushushwa mbele za mungu... Usijidanganye sheikh kama chako bora kuliko cha mwingine...nyie ni mpo kufunza watu dini au neno la mungu?
@seebs1156
3 жыл бұрын
Upo sahihi hawafunzi neno la Mungu bali wanafunza dini wanapenda kujikweza kujiona wapo corect
@mohamedmohamed1395 Жыл бұрын
😂😂 Asante daktari Swali ni BIBILIA NI KITABU CHA NANI NA KAPEWA MTUME/NABII GANI???????? kuruka ruka ndio kuiva Kwa maharageee😅😅😅😅
@januarymagai
Жыл бұрын
Kwani wewe unasema injili,torati,zaburi viko wapi si ndani ya biblia Yani unasema wewe si mtanzania wakati nida na utambulisho wako unakuonyesha dhahiri,unayo macho alafu unasema siyo ya kwako
@mirajijuma-ti2yg Жыл бұрын
Umekomalia tu ubishi tuambie biblia imeteremshwa kwa nabi gani wakati vitabu vyote vina manabii
@makalani4759 Жыл бұрын
Shida biblia inasomwa kama adithi ila biblia unaitaji roho mtakatifu akuongoze
@shijaramadhani8123 Жыл бұрын
Sule mh
@crownprinceea2456 Жыл бұрын
Watu wangu wanangamia kwakukosa maarifa wewe huna maarifa
@saleherajabu6890
Жыл бұрын
Maarifa mmeshazoa kuongepewa mandiko yenyewe sio ya mungu,niyakina matayo ,yohana,yakobo,wakolinto joshua,walawi warum n.k..mana yesu ndo kapewa injiri ,lakini sasa ayo majina yakima yohana yameingiaje
@crownprinceea2456
Жыл бұрын
@@saleherajabu6890 unaonekana huna elimu kwaio acha kupaza sauti sasa kitabu chenu kuna mpaka kitabu cha maji kila kitabu kinajina la mtu au hujawahi kisoma kitabu chako au hujui kama wale ni watch 1 Al Faatiha 2 Al Baqara 3Al Imran 4 An Nissai 72 Al jinn Au huju kama haya ni majina ya watu hizo sura zote nimajina kama huju sura ya kwanza mpaka ya 114 ambayo inaitwa ANNA acha kuongea usiyo yajua
@ZAMB334 Жыл бұрын
Mbona unasema zaburi kapewa nabii mohamed tena unasena zaburi kapewa daudi inamaana walipewa wote wawili zaburi
@user-ye6qq9nv8b6 ай бұрын
Waisrael hawakupita bahari ya madetaeranian Bali bahari ya sham
@annetmathias4157 Жыл бұрын
shekhe umekulupukia mambo usiyo yajua biblia ni kitu chatofauti sana tofautisha na vitabu vingine kwanza ili uielewe lazima uiamini , pili haisomwi kama gazeti unavozania wewe hivo tatu hujui tafsili yaneno biblia nne usifanye mambo kwakutaka kushindana na mtu au imani ya mtu kama unajiamini na dini yako na upo sahihi na imani basi baki nayo usikulupukie yajilani yako yaache naomba nikujibu kiufupi tu Biblia ni kitabu cha vitabu yaani namaanisha kimepewa jina biblia kwasababu kimebeba vitabu vyenzake ndani ambavyo vimewekwa humo ili kupunguza nakufanya wepesi waupatikanaji kwasababu vitabu ni vingi nikushauli tu kama unataka kusemea jambo kama hilo siku nyingine fanya uchunguzi wamambo kabla hujauambia uma mfano mimi siwezi kutukana au kusema habari za kuruhani wakati hata kilichoandikwa sikijui na sijakijua hata kama nikijifanya nakijua nitakua muongo kama wewe unashadadia tu akati hata kialabu chenyewe hujakimaliza umeanza kudandia biblia. pia Dini siyo yako wala yangu jitaidi kutafta kwanza utakatifu wako wewe na MUNGU wako nauhakika hata sasa unataka ujihesabie haki kuwa wewe na dini yako mpo sahihi kumbe hata sasa tukifa hujui kinachofata nyuma ila sikupingi mana nchi yetu ipo huru na unaruhusiwa kufanya lolote nakuzungumza tu naomba achana na biblia sabu ni neno la MUNGU na lina NGUVU hata sasa linafukuza mapepo linaponya linafufua wafu hata linaweza kumfufua Mtume Mhamadi huyo unae mshadadia wewe ambaye yeye alisema mfwateni mtoto wa mariam ndiye mkombozi wako
@petermganga66572 жыл бұрын
Andiko huua roho mtakatifu huuisha,,
@shukurubalahi8630 Жыл бұрын
Sasa kiongozi ni wap katika Quran kuna torati,zabur na injli
@saidsaydi5426 Жыл бұрын
A
@bensonlangat6403 жыл бұрын
Revelation 1:1 waja uongo
@hamisimfaumenamwewe193
3 жыл бұрын
Uwongo wa vipi?
@lucamanguo84109 ай бұрын
Dini ya juzi karne ya saba. Inashindana na dini ya karne ya tatu.
@zachanoah8494 Жыл бұрын
Dante nimeelewa
@pungopungo4113 жыл бұрын
Rangi ya makava isikusumbue ni pendekezo la rangi tu ila biblia ni moja
@user-yj6rr8qf1x Жыл бұрын
Kwani hivyo vitabu vilivyoshushwa kwa manabii vilishushwa vitabu kama vitabu au walivuviwa watu kuandika hayo maneno matakatifu ya maandiko?????
@mkolotz11563 жыл бұрын
wemsenge kweli
@yussufpazzi6715
Жыл бұрын
Msenge wwx
@raulianraphael6853
Жыл бұрын
Usitukane ndg ang na mkristo mwenzangu njia yetu na yakweli ni Yesu Tatizo n pale biblia nyingine n vitabu 72 nyingine n 66 na biblia kua na matoleo tofaut tofaut
@jacobjulius6244 Жыл бұрын
Embu ututolee ujinga ongea fact izo ni tabia za ki mbwa
Пікірлер: 454
Maahaallah Dr sule , hii ndio kazi ya Amani na upendo. Allah akurehemu wewe na waislamu wote ulimwenguni.
asante BWANA kwa roho wako,roho mtakatifu,roho wa kweli,nakuomba Mungu wangu, utukufu wako uujaze ulimwengu,uwajaze watu wako kwa roho wako katika ukuu wako Yesu kristo Mungu na muumba wetu
DR SULLEY ALLAH SW AKUPE UMRI MREFU TUFAIDI ZAIDI HAYA MAMBO MATAMU.
@hassanimouigni6648
3 жыл бұрын
Amine
Asaalmwalekm warahmatourlaih wabarakatu, mweyezimungu akufanyi wepesi ishaalh kutujuza tusio fahamu
@shabanmuyale7671
2 жыл бұрын
00000
Ukristo ni mfumo ambao haujawahi kufeli. Tafiti zake na mipango yake ni endelevu na ndiyo maana hawaangaishwi na wanojaribu kuwakosoa.mfumo wa Ukristo utawala Hadi Yesu arudi Hilo alisema Yesu mwenywe. Mt 16:16-18 * Hakuna kama Yesu,Hakuna kitabu kama Injili.Injili Ina Habari. Za Yesu Alie hai*
Kuongelea Ukristo au Bible ni wazi kuwa Q,ran Haina Cha kusimulia na kutoa challenge Kwa jamii. Ni rahisi Waislamu kuichambua,lakini hutamkuta Mkristo anaichambua Q,ran Kwa sababu Ukristo umetosha. Yesu atarudi na kuwahukimu wote.
Ubarikiwe Sana
Mashallah
Ni Mungu yupo aliiteremsha Quran. Nani walishuhidia.mwaka Gani na katika eneo Gani. Mungu mnaomuamini mnasema haionekani. Kama hakuna walioshuhudia ikiteremshwa,basi Hilo ni jambo la kushangaza. Maneno ya Biblia Yana umri mrefu kuliko kitabu chochote * Biblia ni kitabu kilichofanyiwa tafiti*
@esthertungani676
9 ай бұрын
Amen
@kelvinpius-ne9rz
Ай бұрын
thank you LORD JESUS CHRIST for the HOLY SPIRIT
Na Mungu wetu,muumba wetu, YESU KRISTO wa Nazareth,akulipe sawa na uovu wako, wewe unayemkataa roho mtakatifu,
Nimekuelewa
Unahitaji kusoma sana mr sule ili uelewe mambo
Biblia ni mkusanyiko wa vitabu neno biblia ni neno la kilatini na kigiliki lenye maana ya kitabu au vitabu usipotoshe watu we shee . Inaonekana bado sana hujui kuhusu neno la Mungu
Jiulize bible ilikuwepo lini na mohamed kaja lini baada ya yesu ni ujingatu ulio jificha
@abdalahsuleman2791
Жыл бұрын
Yaani wewe hujui kitu
@gtunewaves2867
Жыл бұрын
@@abdalahsuleman2791 Amna anayejua kila mtu anasema kwa anavyoelewa
Neno la Mungu ni taa ya miguu yangu. Sitateteleka na kama bibilia ni ya uongo nitaifuta na kuiamini hata kufa kwangu. Na ukweli ni kwamba unachokitafutia udhaifu ili watu wasikiamini ndicho cha kweli
@kefajoseph158
Жыл бұрын
Waisilamu wanawazaga kuuwa tu achana nao
@fatmazullu4933
Жыл бұрын
@@kefajoseph158 imani potofu!!
@paschaljuma3312
Жыл бұрын
Mnaifata kwa sababu inaendana na matamanio yenu, inawaruhusu kula nguruwe, kunywa pombe bila ata kukemewa inaeapambia maisha ya dunia
@irenekaluse3213
Жыл бұрын
@@paschaljuma3312 nyie waislam hawanywi pombe?hawali nguruwe🤣🤣🤣🤣🤣
@haidarsalum9228
Жыл бұрын
Sio uutafute ukwl ndgu, ukifata kilichokua sio cha kwl, utapata unachoratajia siku ya mwisho?
Daaah yaaan mungu akuongoze kwakweli kwasababu
Naam shekhe.
Sule uislamu wenyewe haujui vizuri je Biblia utaifaham
Mwenyez mungu hawez kuruhusu vitabu vyak vipotezwe
@haidarsalum9228
Жыл бұрын
Hakika, ndio maan hiyo hajachafua kitabu cha mungu ispokuwa wmchkua maneno na kuyawka ndan ya kitabu chauo, pia kwa kulithibitsha hilo kuwa vitabu vya mungu havichafuliw ni kwamba, Quran inamiak mingi sasa laki hkuna version wala kuonguza/ kuongeza katika kitabu hcho, ahdi hii imo ndan y Quran, ukifatlia utajua hilo..
Asalaamu aleykum my brother Dr sule mashalaah may Allah give you long life to do what you are doing wallaahi I'm following you for long time nimefaidika nyingi. Your brother Bazi abu Baker from London msomali
Nimekuelewa sana Dr sule
Wewe Benson msikilize vizur siokuropokatu
Allah akujalie
❤jazakallahu khaira Allah akupe umri mrefu shekh tuzd kunufaika
Bibilia n mkusanyiko wa vitabu je quran nini
Asalaam aleikum Ustadh, Naomba nukusihi vitabu vya agano ya kale inna vitabu 39 na site 29 kama vile ulivvyo tamka. Pili, wana Israili wapitishwa bahari Nyekundu (Red Sea) na site Mediterranean Sea. Naomba radhi.
@januarymagai
Жыл бұрын
Hana jipya
Siogopi kusema Ivi Bible is the only holy book ,,,,,I believe in BIBLE only ,,,,,,
@user-op8pk1jt5k
3 ай бұрын
Kumbe mpuzi 2
sawa nimekuelewa
Swadacta doctor sule
MashaAllah
Mashallah Allah
@isiakaJungu
Жыл бұрын
Maxhalah
masha allah
@ridhiwaanimlula1040
3 жыл бұрын
Maa shaallwah
Dr sulle vizur sana, wakristo jifunzeni darasa hili, msipohelewa hapa hamtaelewa tena.
Masha Allah mungu akuongezee maisha ili udufundishe zaidi
Wakristo hawapendi kujifunza wao wanaushabikituu, mwalimu anadomesha vizuri sana lakini wanacomment kwa hasira , sababu wao wanashabikia hata ujinga , walimu wao akipiga mikeleletuu bila kusomesha wao wanaamini hiyo ndoo ibada , hebu jifunzeni bila ushabiki halafu kawaulizeni wachungaji wenu
sisi ni mashahidi,tumeuona uwepo wako wazi, eeeeh Mungu wangu, YESU KRISTO, BWANA,utuokoe na watu wa dunia hii wanaofuta mapenzi yao,kila akuaminiye wewe BWANA muumba mbingu na nchi,na vyote viujazavyo ulimwengu,tumekuona na wewe hakika ni YAHWE
Watu wa msalaba wanapingana na ukweli wa maandiko kama kawaida yao full coment za uzwazwa 😅 elezea shekhe wangu mwenye masikio na asikie asie sikia wacha apinge.
@fadhilikawambwa1586
3 жыл бұрын
KWELI KABISA
@truthspeaker2405
3 жыл бұрын
Kama kweli Biblia iliharibuliwa kwanin Muhammad alisema Wakristo na wayahudi waifuate vitabu vyao? Al-Baqarah 2:89 And when there came to them (the Jews), a Book (this Quran) from Allah confirming what is with them *[the Taurat (Torah) and the Injeel (Gospel)],* although aforetime they had invoked Allah (for coming of Muhammad Peace be upon him) in order to gain victory over those who disbelieved, then when there came to them that which they had recognised, they disbelieved in it. So let the Curse of Allah be on the disbelievers.
@nakundwamkubwe7823
3 жыл бұрын
@@truthspeaker2405 mpigie simu Dr Sulle akupe elimu au kasome mwenyewe .
@nurualishaban7383
Жыл бұрын
@@truthspeaker2405 kama wapinga Nani alipewa hiyo biblia basi kama wakazana? Yesu alipewa injili sio biblia,mbona hamna akili nyie wakristo wenye shingo ngumu?
@suleimanmuhidin1753
Жыл бұрын
Kwayyte yule atakaye kufa akiwa si muslim ataingia motoni milele namuomba mungu atutowe dunian haliyakuwa waislam mungu atufufue n mtume muhammad (saw) izo dini yengine n vitabu nyengine visivokuwa vile 4 ivo vyengine ni empty
Man sha Allah sasa chekh wetu Sule injili yakweli ingepatikana??
Bible ni mkusanyiko wa vitabu vitakatifu vya Mungu ambavyo ni Torati, zaburi, injili .
Mungu akusaidie kuutambua ukweli, ipo siku Yesu atakuokoa
@ilungavumu6508
Жыл бұрын
Ni vyema ukamjibu tu swali hilo kama unajua na sisi tujue
@martoo539
Жыл бұрын
Mwambie tenaa
Kumbe ni historian siyo maneno ya mungu
Congratulations Dr,Sule
TOKA MWANZO HAD UFUNUO NI YESU MANENO TOTE YANAMUHUSU YESU NI KUTOKUJUA TU NAKUOMBEA KWA MUNGU AKUPE ROHO WAKE MTAKATIFU AKUONGOZE
Assalamu Aleikum warahmatullahi wabarakatuhu Mbona Injili Ya mwanafunzi wa Yesu Barnabas haiko na ndio injili ya kweli Kwa Sababu jina la mtume Muhamed SaW liko kwenye injili ya Barnabas
According to me,,,,,god did not create religion bt this is an idea of some people's business
Mtatafakari sana lakin inatakiwa mjue kuwa akili za Mungu hazichunguziki.Bali utafuteni uso wa bwana Yesu mpate kuokolewa.
@peterMwamwenda-jv6bc
Жыл бұрын
Kafiri wewe subiliufe utanuja jua
@mundhir2859
Жыл бұрын
Fata uislam usalimike acha kudanganywa kanisani
@abdulkhalimahmed5194
Жыл бұрын
Sawa mfate yesu lkn yesu hakupewa bibilia
Huu ni uongo na hiyo niroho ya mpinga kristo kama toratai ni ya uongo unaisoma ili iweze kuwadanganya watu acha haraka usitafute masirahi yako kwenye maneno ya mungu tafuta masirahi yako tu.
Sasa hio bibilia kapewanani benson
kuwa ni Neno la Mungu hakutegemei kukubali au kukataa kwako, ukweli unabaki pale pale hilo ni Neno la Mungu ukilitii unaona matokeo yake yalivyo, kwanza huna taalumu ya theology, unahitaji uokoke tu, uislamu umeanza juzijuzi tu.
Nawasii Waislam tukiichambua Quran Usichukie Mue wapole kama sisi 🙏
@shahabdallah9407
8 ай бұрын
Chambua bora useme ya kweli tu
@ElishaPeter-ln1ud
5 ай бұрын
Utopata mapungufu we chambua paka kiama
@sayidabdillah8505
3 ай бұрын
Quran ni kitambu cha mungu Allah sw ww chambua tuu hutakuta madhaifu bali itakufanya kjmuamini Allah sw yaani mungu mmoja tuu bila ya kjmshirikisha na kitu chochote Quran inaamrisha upweke wa mungu mmoja Allah sw, uchamungu,Quran ni sumarize ya vitabu 3 vilivyokuja kabla yake Zabur tauranga injil and last book nj Quran
Hebu angalieni hapa wenzagu😂 Quaran Inasema endeni mkapiganie dini yenuu 😂 Bible Inasema endeni mkawahubirie na muwabatizee kwa jina Kristu yesu🙏 Which side makes sense 🙏🙏 I believe in bibke
Neno linasema mwapotea kwa sababu hamyajui maandiko
Wewe bado upo kwenye kwenye nyakati za unabii hivyo huwez jua chochote ila kumbuka si kila asemaye bwana bwana atauona ufalme wa mbinguni Bali yeye ayatendaye mapenzi ya mungu chambua bible verses zote na Korean ila jichunguze roho Yako unaenda sawasawa na mapenzi ya mungu
Pamoja na kwamba nimechelewa kuisikiliza Mbona unatoa references za manabii wote waliotumwa na MUNGU kutoka kwenye Biblia, lakini Mohammad hayupo, musa yopo kwenye Quran, Yesu yupo kwenye Qurani, na hao pia kwenye biblia wapo Kwanini Mohammad hayupo kwenye Biblia? Je yeye(Mohammad) alitumwa na nani mbona hathibitishi kwenye biblia. (Torati ni sheria ukumbuke hilo popote utakaposoma pameandikwa torati kuwa na kumbukumbu)
Na Pia Sisi WAISILAMU Lazima Tujiulie Hivi Vitabu Mfano Bukhari Muslim Al Kafi Ibn Maja Ni Vitabu Vya MMungu? Maana Asilimia 99 Dini Yetu Inategemea Hivyo Vitabu Visiokuwa Vya MMungu
dr sule inajichanganya, soma malaki 4:4
Haina haja kuumiza kichwa biblia ni mkusanyiko wa vitabu vingi
Bible is the messages that had been given to prophets of GOD himself or it is GOD who had written the same bible or in another word it is to say that bible it is GOD himself in the physical. But it doesn't address truly who Jesus Christ is because Jesus Christ is the true GOD as per the bible in the book of John chapter 17 as from verse 2 to 3 read together with bible in the book of John chapter 14 as from verse 10 to 11 and bible in the book of John chapter 10 verse 30 as well in the bible in the book of John chapter 15 as from verse 22 to 24. Here meaning or saying that GOD is the one who had originated from Jesus Christ who was there before anything else being life entity and his real name is life where all other lifes had been originated the life of GOD included.
Nyie ndo mlipewa yenu close your mouse
Uyu jamaa ni cartel anasema biblia si kitabu cha mungu alafu anatusomea kutuonyesha vile torati injiri na zaburi kwa biblia na anaiita maandiko matakatifu. Kuran pia iekwe kwa biblia
Ukisikiliza hapa nahisi unamkosea hata Mungu. Maana si kila asemaye Bwana, Bwana atauona ufalme wa Allh
Wee joezono8 ndie unaeropoka, hizo zinzotolewa na dr sule ni hoja madhubuti, za kielimu, sasa na ww unatakiwa uzijibu kielimu, jibu hoja acha kuropoka, au kulalamika,
Hivi kwa nini mnapenda sana kusema sema ukristo? Miaka kadhaa hapa nyuma mlikua mkiponda sana Biblia, leo hii mnaitumia Biblia kufundishia na kuuponda teana ukristo.... ajabu sana, Biblia ni jina la mjumuiko wa hivyo vitabu vyote ulivyo sema, sasa kuweka hoja ya ubishi ubishi inasaidia nini sasa
Rudi usome kwa makini bibilia Ni muunganiko wa vitabu vyote vya manabiii au watu mungu aliowaandaa ili watuletee sisi . Then tofautisha majors na nyakati usiunganishe nyakati kwa akili yako au ulichokalilidhwa mungu hajawah kushusha kitabi Bal alishusha mbao zilizobeba amri na pia alikuwa anaongea na manabii Kisha manabii wanaandika, jiulize Mohammad alikuwepo lini na yesu alikuwepo Lin ujue kuwa Mungu ni wa wote wenye mwili. Hivyo vtab unavyotaja ndivyo muunganiko wa biblia Kama unajua injili ya yesu inauongofu na Nuru amka sasa ukatubu maana unachokiongea hukojui vzuri
Hizi ni nyakati za mwisho kila mtu ashike yake,ushauri wangu mtafute Mungu wa kweli
@hassanmfaume4522
3 жыл бұрын
Mungu wa kweli tunayemuabudu ss waislamu..! Wengine huabudu watu waliokuwa wakila na kwenda choo ..!
@mukrimmohd8954
2 жыл бұрын
Hakuna kushika lake dini ipo na imetimia na tunatakiwa tuiftate
@dulividuli5237
Жыл бұрын
Waislam wanamjua mungu wa kweli ila Wakristo hamumjui mnabakia kumuabudu mwanaadam mwenzenu tu
Huyu Dr Sulle anaufahamu mkubwa sana hata kuliko mapadri wengi na walimu wengi WA kikristo ijapikuwa Mimi ni mkiristo lakini lazima tukubali ukweli yakwamba Dr Sulle anaufahamu mkubwa sana.
@MapsizoShentee
Жыл бұрын
Na vizur kusikiliza hoja zake na c kupinga ... SIKILIZA Fanya UTAFITI
@josephosborne3072
Жыл бұрын
Mmh huyu ni much know,, biblia ni kibebeo tu ambapo ndan yake kuna vtab vitatu ukiondoa qran ambyo haimo,, biblia sio maandiko matakatf, sema huyu hamnazo
@allyhemed6380
11 ай бұрын
Allah akuongoze upate salama ukisilimu madhambi yote mungu anakufutia uisilamu uko sawa Kama unavyoona uisilamu ni unyenyekevu hata yesu ni mnyenyekevu
Kaeni na mtume wenu alokuwa hajui kusoma na na siku akirudi nabii isa hajui atafanywa nini
Hivi wakristo wanaweza kukaa hata dakika Moja kukisoma kitabu Cha qurani ! Haslan habadan , kitu haramu ni haramu tu, waislamu miaka yote hooo Biblia siyo kitabu Cha mungu lkn kitabu hiki kinawafanya waislamu hawalali usiku na mchana wakiangaika na Biblia tangu enzi na enzi . Mbona wakristo na wayahudi mbona hawana time na qurani! , Uislam umekuja duniani na kukuta ukristo na uyahudi upo miaka kabla ya Muhammad?! Sikiliza maswali yake yalivyo ya kislam kislam ovyo ovyo eti Biblia kapewa bwege gani? Kweli umewapata waislamu
Ndugu yangu jifunze biblia yeremiya hajasema tautati
Wewe hata ndacha hakufai una hoja za kitoto mahadhiri muisilamu pekee nadhani shafi mazinge kazeeeka anautindio wa bongo
Angeanza na kitabu chake kwanza
Hakika ya Uislamu ni dini ya haki
@januarymagai
Жыл бұрын
Poteeni tu wazee wa kukariri
Mbona hafanya research kuhusu vyanzo vya uislam amachacha na bible ambayo imefanyiwa research na karibu kilamtu.? Acheni unafiki fanyieni Quranic research .. mtakayo yapata mtakuja hapa na machozi.. Quran Ina habari mingi ilihepa sana Kisha muhim.. na zingefanya Quran muhim sana but vile ilihepa ni pigo kubwa sana kwake
Ukristo ulipingwa sana hasa ni kwa sababu hata Bwana Yesu mwenyewe alipingwa ila ukweli utabaki pale pale
Naamini ipo siku utaokoka tu Bwana Mungu mwenyezi ikimpendeza amina.
Mbona unatuchanganya inashauri gani kua ayo unayoyasoma ni ya Alla?
Nakuliza swali wakati quran inataja kwamba watu wa bibilia Yani mayahudi na wakristo ulikuwa waelewaje quran yako
@jamalmnema8334
10 ай бұрын
Imesema watu wa vitabu haujasema bibilia
Ni vema kusikiliza na kuelewa sio mtu anabishana na kuona kuwa shehe ayuko sawa hata nyie wakristu mkisikiliza vizuli mtaelewa
Ameweka namba mbona hapokei,muislamu anayejiamini naweka namba nimpe vitu mnavyofichwa waislamu
@MaulidsaidRijeby
Жыл бұрын
Wakristo huwa wakiona njia sahihi kwao ni rahisi zaidi kutambua na kufata, fata njia ilonyooka sasa
Ulikuwepo? Au mnashadadia mission za Hawa washenzi wakoloni wa kiaarabu na kizungu?
Masheikh na wachungaji,, tangazeni neno la mungu sio kusema na kuongea vibaya na dini nyingine.. Maana siku zote anaejikweza ushushwa mbele za mungu... Usijidanganye sheikh kama chako bora kuliko cha mwingine...nyie ni mpo kufunza watu dini au neno la mungu?
@seebs1156
3 жыл бұрын
Upo sahihi hawafunzi neno la Mungu bali wanafunza dini wanapenda kujikweza kujiona wapo corect
😂😂 Asante daktari Swali ni BIBILIA NI KITABU CHA NANI NA KAPEWA MTUME/NABII GANI???????? kuruka ruka ndio kuiva Kwa maharageee😅😅😅😅
@januarymagai
Жыл бұрын
Kwani wewe unasema injili,torati,zaburi viko wapi si ndani ya biblia Yani unasema wewe si mtanzania wakati nida na utambulisho wako unakuonyesha dhahiri,unayo macho alafu unasema siyo ya kwako
Umekomalia tu ubishi tuambie biblia imeteremshwa kwa nabi gani wakati vitabu vyote vina manabii
Shida biblia inasomwa kama adithi ila biblia unaitaji roho mtakatifu akuongoze
Sule mh
Watu wangu wanangamia kwakukosa maarifa wewe huna maarifa
@saleherajabu6890
Жыл бұрын
Maarifa mmeshazoa kuongepewa mandiko yenyewe sio ya mungu,niyakina matayo ,yohana,yakobo,wakolinto joshua,walawi warum n.k..mana yesu ndo kapewa injiri ,lakini sasa ayo majina yakima yohana yameingiaje
@crownprinceea2456
Жыл бұрын
@@saleherajabu6890 unaonekana huna elimu kwaio acha kupaza sauti sasa kitabu chenu kuna mpaka kitabu cha maji kila kitabu kinajina la mtu au hujawahi kisoma kitabu chako au hujui kama wale ni watch 1 Al Faatiha 2 Al Baqara 3Al Imran 4 An Nissai 72 Al jinn Au huju kama haya ni majina ya watu hizo sura zote nimajina kama huju sura ya kwanza mpaka ya 114 ambayo inaitwa ANNA acha kuongea usiyo yajua
Mbona unasema zaburi kapewa nabii mohamed tena unasena zaburi kapewa daudi inamaana walipewa wote wawili zaburi
Waisrael hawakupita bahari ya madetaeranian Bali bahari ya sham
shekhe umekulupukia mambo usiyo yajua biblia ni kitu chatofauti sana tofautisha na vitabu vingine kwanza ili uielewe lazima uiamini , pili haisomwi kama gazeti unavozania wewe hivo tatu hujui tafsili yaneno biblia nne usifanye mambo kwakutaka kushindana na mtu au imani ya mtu kama unajiamini na dini yako na upo sahihi na imani basi baki nayo usikulupukie yajilani yako yaache naomba nikujibu kiufupi tu Biblia ni kitabu cha vitabu yaani namaanisha kimepewa jina biblia kwasababu kimebeba vitabu vyenzake ndani ambavyo vimewekwa humo ili kupunguza nakufanya wepesi waupatikanaji kwasababu vitabu ni vingi nikushauli tu kama unataka kusemea jambo kama hilo siku nyingine fanya uchunguzi wamambo kabla hujauambia uma mfano mimi siwezi kutukana au kusema habari za kuruhani wakati hata kilichoandikwa sikijui na sijakijua hata kama nikijifanya nakijua nitakua muongo kama wewe unashadadia tu akati hata kialabu chenyewe hujakimaliza umeanza kudandia biblia. pia Dini siyo yako wala yangu jitaidi kutafta kwanza utakatifu wako wewe na MUNGU wako nauhakika hata sasa unataka ujihesabie haki kuwa wewe na dini yako mpo sahihi kumbe hata sasa tukifa hujui kinachofata nyuma ila sikupingi mana nchi yetu ipo huru na unaruhusiwa kufanya lolote nakuzungumza tu naomba achana na biblia sabu ni neno la MUNGU na lina NGUVU hata sasa linafukuza mapepo linaponya linafufua wafu hata linaweza kumfufua Mtume Mhamadi huyo unae mshadadia wewe ambaye yeye alisema mfwateni mtoto wa mariam ndiye mkombozi wako
Andiko huua roho mtakatifu huuisha,,
Sasa kiongozi ni wap katika Quran kuna torati,zabur na injli
A
Revelation 1:1 waja uongo
@hamisimfaumenamwewe193
3 жыл бұрын
Uwongo wa vipi?
Dini ya juzi karne ya saba. Inashindana na dini ya karne ya tatu.
Dante nimeelewa
Rangi ya makava isikusumbue ni pendekezo la rangi tu ila biblia ni moja
Kwani hivyo vitabu vilivyoshushwa kwa manabii vilishushwa vitabu kama vitabu au walivuviwa watu kuandika hayo maneno matakatifu ya maandiko?????
wemsenge kweli
@yussufpazzi6715
Жыл бұрын
Msenge wwx
@raulianraphael6853
Жыл бұрын
Usitukane ndg ang na mkristo mwenzangu njia yetu na yakweli ni Yesu Tatizo n pale biblia nyingine n vitabu 72 nyingine n 66 na biblia kua na matoleo tofaut tofaut
Embu ututolee ujinga ongea fact izo ni tabia za ki mbwa
@sauzimikito8346
Жыл бұрын
mbwa ni wachungaji wenu,Jacob julius
Ulisha jiuliza kwa nin hakuna mpinga uislamu