DR.SULLE:EPISODE YA 2 NI MTOTO YUPI ALIE TAKIWA KUCHINJWA KATI YA ISMAIL NA IS-HAQA |VITABU VYA KALE
#DrSulle #VitabuVyaKale #Zvponlinetv
Жүктеу.....
Пікірлер: 33
@jacksonmwafongo17583 жыл бұрын
Mashaallah
@osmankabete24933 жыл бұрын
Asalaam aleykum sulle Allah akuzidishie baraka kwa kile unacho fanya......nlikuwa nataka umchunguze huyu chaka
@mammukaratu46873 жыл бұрын
Namwelewa sana huyu ustaadhi....ahsante sana hili lilikuwa linanisumbua sana
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@marysanga5310
3 жыл бұрын
wewe unakisia mbona bibilia iko wazi mtoto pekee ni isaka
@suleimanuwiduhaye26713 жыл бұрын
Unakawaida ya kuekeweka sheikh wetu.. asante
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@meselemanlinuku1876 Жыл бұрын
Swadakta sheikh sule mungu akupe umri mreefu INSHA'ALLAH uzidi kutuelimisha
@ramadhanmgumba36803 жыл бұрын
Maasha,allah
@machaliakulima769 ай бұрын
Dr Sulle nampenda sana na ni shabiki wake namfatilia sana napenda contents zake anaziwasilisha kisomi lakini ana kitu cha "muwamba ngoma" anapohitimisha!!
Masha'Allah!! Dr sule tupe na history ya yesu kuhusu kubatizwa je ni kweli alibatizwa au propaganda tu!!? Insha'Allah
@boyi73032 жыл бұрын
Mtoto wa miaka 16 mwanamume
@barakambura13629 ай бұрын
Nina maswali 1. Kati ya mrithi wa mali ( mtoto wa kutoka ktk viuno vya Abraham- Ishmael ) na mtoto wa kuzaliwa kwa muujiza wa Mungu mwenyewe-Isack , ambaye ni mtoto wa Agano la Mungu -soma mwanzo 17:17-22 Nani mwenye uzito zaidi mbele za Mungu kati ya mtoto mrithi wa mali na mtoto ambaye Mungu alitengeneza agano la milele na yeye
@barakambura1362
9 ай бұрын
Swali 2, ukisoma mwanzo 21 nzima na 22 nzima , unagundua Hajra alisafiri peke yake na mwanae na sura 22, Abraham kutoa sadaka ya mtoto, Mungu alimpa maagizo asafiri na baadae unaona akasafiri uelekeo uleule wa Hajra ( Beer-Sheba ) Kwanini unahitimisha kwa kusema Abraham alimtoa sadaka Ishmael kwa kusoma Aya chache na kiziunganisha bila kusoma sura nzima ya mwanzo 21 na mwanzo 22 kwa mtiririko ili upate maana nzima Naomba ufafanuzi, lakini soma mwanzo 17 nzima utaona uzito ( baraka ) Mungu aliompa Ishmael na uzito aliopewa Isack kwa maana ya agano la milele Mungu aliomuahidi Isack Mwanzo 17:18-22
@barakambura1362
9 ай бұрын
Swali no 3 Kuna tofauti gani kati ya jagwa la Beer-Sheba na jangwa la Parani?
@machaliakulima769 ай бұрын
Hapo Dr Sulle umebumu kuhusu nani alikusudiwa kuchinjwa, Isaka ni mlengwa ndo mtoto pekee sababu ndiyo mlimo agano la kuzaliwa Yesu si Ismaili. Kweli Ibrahimu ni baba wa Ismaili lakini si wa agano la Mungu, agano la Mungu ni lile walilolileta Malaika kwa Sara, hata wewe umekubali kuzaliwa kwa Isaka si kwa kawaida tofauti na Ismaili. Isaka ni mpaka uzao wa Yesu
Katika hio historia kuna mkanganyiko! 1. Bi Hajira na Mwanae waliondolewa machoni kwa Bi Sarah kabla Isihaka hajazaliwa, na Ismail ni Mtoto mdogo wa kubebwa na kulazwa na Mama yake Bi Hajira. Ndio sababu alimlaza na kumtenga ili asimuone mtoto akifa Mwanzo 21 2. Baadae tunamuona tena Ismaili akiwa nyumbani kwa Bi Sarah, siku ambayo Isihaka anaachishwa ziwa 😅 alirudi lini!?
@user-ye6qq9nv8b6 ай бұрын
Sasa kama ni hi you mbona hakuna mwendelezo wa uzao wa Ismail katika kutumia na Mungu mnalazimisha vitu ambavyo havipo viwe
@porthealth48388 ай бұрын
HAKUNA WATU WAONGO KAMA HAWA WALIMU WENU HAWASOMI MAANDIKO HADI MWISHO KAZI KULAZMISHA UONGO KUWA KWEL BIBLIA IMENYOOKA BWANA...UNABISHANAJE NA KTU ULICHOKIKUTA MIAKA MIA SITA MBELE WEWE
@johnngige57948 ай бұрын
Mbona kupachika viraka kwa nguo mpya. Unasema Biblia jina Ishamel iliondolewa wakapachika Isaac kama mwana aliyetakiwa kuchinjwa. Toa ushahidi wako apo kwa maandiko kuwa ilikuwa Ishmael wala sio Isaac kama ilivyo kwenye maandiko. Quran enyewe haiwezi kujisimamia bila Biblia ndio maana hadithi hii hauwezi pata popote kwenye Quran ila kwa Biblia tu. Wewe ni fundi wa viraka na uongo mwingi.
@boyi73032 жыл бұрын
Jamani Abimelech ni nani ktk kisa hiki na aliishi wapi? hata kwa ku google tunaona alikuwa kiongozi wa wafilist na Beersheba maana yake ni mapatano au agano waliopatana Ibrahim na Abimelech juu ya kisima alichochimba Ibrahim huko kwa wafilist. Hivyo Beersheba haiko Hijaz
@vailethmarack3743 жыл бұрын
Dkt wapi imeandikwa ktk biblia kuwa ishimaili alikuwa na miaka 16 na isaka alikuwa na miaka 2.
@IddyTuyizere-di5td
9 ай бұрын
KiItabu chenu hakitoshi,, maana yake hamna history nzima zamanabii n'a mitume WA Mungu
@ratibuathumani34223 жыл бұрын
Mashaallah
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Пікірлер: 33
Mashaallah
Asalaam aleykum sulle Allah akuzidishie baraka kwa kile unacho fanya......nlikuwa nataka umchunguze huyu chaka
Namwelewa sana huyu ustaadhi....ahsante sana hili lilikuwa linanisumbua sana
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@marysanga5310
3 жыл бұрын
wewe unakisia mbona bibilia iko wazi mtoto pekee ni isaka
Unakawaida ya kuekeweka sheikh wetu.. asante
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Swadakta sheikh sule mungu akupe umri mreefu INSHA'ALLAH uzidi kutuelimisha
Maasha,allah
Dr Sulle nampenda sana na ni shabiki wake namfatilia sana napenda contents zake anaziwasilisha kisomi lakini ana kitu cha "muwamba ngoma" anapohitimisha!!
Asalaam Alykm Sheikh Sure. Nakumba nakushauli Tafuta mtu awe anakusomea maandiko wewe uwe unatutafasili Sheikh Sure Thanks
@machaliakulima76
9 ай бұрын
Si Sulle ana PhD iweje ashindwe kusoma? Ana jitihada za makusudi za kupindisha ukweli, Biblia imenyoka kama mstari wa 180 degrees
Mashala mungu akuongoze ❤️❤️❤️❤️shekh
MNAHANGAIKA JAMAN NA DINI YENU 😀
Bom dia DR sule, acompanhado de Moçambique_Montepuez
Kweli wakristo wamebadilisha wakaweka Isaka wafundisha hao
Masha'Allah!! Dr sule tupe na history ya yesu kuhusu kubatizwa je ni kweli alibatizwa au propaganda tu!!? Insha'Allah
Mtoto wa miaka 16 mwanamume
Nina maswali 1. Kati ya mrithi wa mali ( mtoto wa kutoka ktk viuno vya Abraham- Ishmael ) na mtoto wa kuzaliwa kwa muujiza wa Mungu mwenyewe-Isack , ambaye ni mtoto wa Agano la Mungu -soma mwanzo 17:17-22 Nani mwenye uzito zaidi mbele za Mungu kati ya mtoto mrithi wa mali na mtoto ambaye Mungu alitengeneza agano la milele na yeye
@barakambura1362
9 ай бұрын
Swali 2, ukisoma mwanzo 21 nzima na 22 nzima , unagundua Hajra alisafiri peke yake na mwanae na sura 22, Abraham kutoa sadaka ya mtoto, Mungu alimpa maagizo asafiri na baadae unaona akasafiri uelekeo uleule wa Hajra ( Beer-Sheba ) Kwanini unahitimisha kwa kusema Abraham alimtoa sadaka Ishmael kwa kusoma Aya chache na kiziunganisha bila kusoma sura nzima ya mwanzo 21 na mwanzo 22 kwa mtiririko ili upate maana nzima Naomba ufafanuzi, lakini soma mwanzo 17 nzima utaona uzito ( baraka ) Mungu aliompa Ishmael na uzito aliopewa Isack kwa maana ya agano la milele Mungu aliomuahidi Isack Mwanzo 17:18-22
@barakambura1362
9 ай бұрын
Swali no 3 Kuna tofauti gani kati ya jagwa la Beer-Sheba na jangwa la Parani?
Hapo Dr Sulle umebumu kuhusu nani alikusudiwa kuchinjwa, Isaka ni mlengwa ndo mtoto pekee sababu ndiyo mlimo agano la kuzaliwa Yesu si Ismaili. Kweli Ibrahimu ni baba wa Ismaili lakini si wa agano la Mungu, agano la Mungu ni lile walilolileta Malaika kwa Sara, hata wewe umekubali kuzaliwa kwa Isaka si kwa kawaida tofauti na Ismaili. Isaka ni mpaka uzao wa Yesu
@hassanisaidi5422
27 күн бұрын
Jibu hoja,siyo kukariri
Mtafute mtu shieikh Sule asome ,wewe yaonyesha macho yako yanahitaji miwani
Katika hio historia kuna mkanganyiko! 1. Bi Hajira na Mwanae waliondolewa machoni kwa Bi Sarah kabla Isihaka hajazaliwa, na Ismail ni Mtoto mdogo wa kubebwa na kulazwa na Mama yake Bi Hajira. Ndio sababu alimlaza na kumtenga ili asimuone mtoto akifa Mwanzo 21 2. Baadae tunamuona tena Ismaili akiwa nyumbani kwa Bi Sarah, siku ambayo Isihaka anaachishwa ziwa 😅 alirudi lini!?
Sasa kama ni hi you mbona hakuna mwendelezo wa uzao wa Ismail katika kutumia na Mungu mnalazimisha vitu ambavyo havipo viwe
HAKUNA WATU WAONGO KAMA HAWA WALIMU WENU HAWASOMI MAANDIKO HADI MWISHO KAZI KULAZMISHA UONGO KUWA KWEL BIBLIA IMENYOOKA BWANA...UNABISHANAJE NA KTU ULICHOKIKUTA MIAKA MIA SITA MBELE WEWE
Mbona kupachika viraka kwa nguo mpya. Unasema Biblia jina Ishamel iliondolewa wakapachika Isaac kama mwana aliyetakiwa kuchinjwa. Toa ushahidi wako apo kwa maandiko kuwa ilikuwa Ishmael wala sio Isaac kama ilivyo kwenye maandiko. Quran enyewe haiwezi kujisimamia bila Biblia ndio maana hadithi hii hauwezi pata popote kwenye Quran ila kwa Biblia tu. Wewe ni fundi wa viraka na uongo mwingi.
Jamani Abimelech ni nani ktk kisa hiki na aliishi wapi? hata kwa ku google tunaona alikuwa kiongozi wa wafilist na Beersheba maana yake ni mapatano au agano waliopatana Ibrahim na Abimelech juu ya kisima alichochimba Ibrahim huko kwa wafilist. Hivyo Beersheba haiko Hijaz
Dkt wapi imeandikwa ktk biblia kuwa ishimaili alikuwa na miaka 16 na isaka alikuwa na miaka 2.
@IddyTuyizere-di5td
9 ай бұрын
KiItabu chenu hakitoshi,, maana yake hamna history nzima zamanabii n'a mitume WA Mungu
Mashaallah
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv