DIAMOND AMPONGEZA ALIKIBA KUFUNGUA CROWN MEDIA "REDIO NA TV" NIMENYOOSHA MIKONA JUU KING NINOMA
Jiunge nasi kupitiaa mitandao yakijamii Facebook, Instagram na Twitter gusa link za zetu apo chini pia waweza kuchat nasi kupitia whatsapp ama kutupigia kawaida kupitia namba zetu ni +255755449629 karibu sana kwa habari mbalimbali
.
FACEBOOK / minotv
INSTAGRAM / minotv_tz
TIKTOK / minotv_tz .
Пікірлер: 14
Bila ya kiba huna safar ww
Wakati mwengine kuwa shabiki usitufae kuchukiya mutu mimi tangu utoto nishabiki wa alikiba lakini kusema kweli kaka nasibu wakati fulani namuamini piya nazipenda nyimbo zake nazaidi anavyo ongeya ni mutu muzuri tu amesaidiya wengi iyo haivichiki tusi hesabu mabaya peke tukumbuke mazuri piya alikiba diamond wote wasani wazuri
jaman huyu jamaa anasema eti anafungua tv zanzibar muulizeni ndege vp
Achauongo umeishiwa na haunatena haujii kuimba wala haunapesa
Unapachwa hechimu alikiba kwasababu bila alikiba hungejulikana ukweli unaluma lakina unasaidiya
Wewe ndio wakwanza kutukana wake wa wenziyo
Umeongeya kitu cha mahana diamond platnumz ila natamani sana siku moja nikuone uso kwa uso ndakuwa nime itimiza moja ya ndoto zangu..
@sunwizy608
2 ай бұрын
ufala uwooo😂😂
@BIRthegreat012
2 ай бұрын
@@sunwizy608 ni kati ya ndoto zangu
nondo naomba kazi mino tv hahahah
@MinoonlineTV
2 ай бұрын
0755449629
Jamaa ameitazama mic akiona ni ya crown
@Kibabe2024
2 ай бұрын
Alikiba muache wewe sifia waking wezako
@Kibabe2024
2 ай бұрын
Achauongo