DUDUBAYA ACHAMBUA SHOW YA ALIKIBA NA DIAMOND ULAYA, AMPIGIA SALUTI ALIKIBA, ADAI DIAMOND ALICHEMKA

Jiunge nasi kupitiaa mitandao yakijamii Facebook, Instagram na Twitter gusa link za zetu apo chini.
.
FACEBOOK: / minotv
INSTAGRAM: / minotv_tz
TIKTOK: / minotv_tz .

Пікірлер: 24

  • @hemedynyuki4389
    @hemedynyuki438911 күн бұрын

    Chid Benz aliongea tayar kuusu alikiba so ndo hvyo😂😂

  • @abasilihundu200
    @abasilihundu20011 күн бұрын

    Kwa waliozichoka Ngoma za Amapiano Mimi ni wa kwanza aisee

  • @omardaudi2928

    @omardaudi2928

    10 күн бұрын

    Tupo wingi sana

  • @GeorgeMarcky-og6os
    @GeorgeMarcky-og6os11 күн бұрын

    Huo ndio ukubwa kuwa mkweli nyeusi nyeusi nyeupe nyeupe kiba kaua mond kachemka

  • @user-vb8ki3jo9t
    @user-vb8ki3jo9t11 күн бұрын

    Uko vizuli kaka

  • @LeylaaYusuph-pk5qp
    @LeylaaYusuph-pk5qp11 күн бұрын

    Mino karibu zanji

  • @LeylaaYusuph-pk5qp
    @LeylaaYusuph-pk5qp11 күн бұрын

    Oya meno karibu zanji

  • @LeylaaYusuph-pk5qp
    @LeylaaYusuph-pk5qp11 күн бұрын

    Wakwanzaa

  • @utamutv_
    @utamutv_11 күн бұрын

    Show ya alikiba ilikua inaanza asubui mwisho sahaa 3 ucku bro na ck nzima alikua anapanda msanii Moja TU.

  • @JojyLuhasa
    @JojyLuhasa11 күн бұрын

    👊

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo1011 күн бұрын

    Kutoka Gikombaa Nairobi Dudu Baya Ukitaka Tusifuatie Mahojiano Yako Usimsifie Mwambino

  • @angelakudenya2353
    @angelakudenya235311 күн бұрын

    Kiba aliperform wa mwisho na ilikuwa ni saa 2 hadi 3 ucku, huku summer time jua linachelewa kuzama,wakati mwingine saa 4 ucku Kuna mwanga, kwenye ratiba yy ndiye aliyefunga AfroFest 2024, hakukuwa na mwendelezo wa ratiba nyingine hadi 2025. Waandishi ili kushibisha wasikilizaji wenu tafuteni usahihi wa habari na iwe kwa kina, usirukie tu jambo na kulirusha mkiwa hamna details, angalau iwe hta nusu basi

  • @Hancy_barrow

    @Hancy_barrow

    11 күн бұрын

    What's your point mama 😂

  • @Baira240

    @Baira240

    11 күн бұрын

    Point yake huyo ni mondi 😂😂😂 na kachemka​@@Hancy_barrow

  • @WahuBoth

    @WahuBoth

    11 күн бұрын

    ​@@Hancy_barrowamakweli wewe ziro Sasa Kama umeshindwa kuelewa apo uelewi tena 🤕 sikia king 👑💪ame ua

  • @Hancy_barrow

    @Hancy_barrow

    11 күн бұрын

    @@WahuBoth 🤣🤣🤣🤣Tena ziro brain kwakweli team King 👑 tujuane Kwa like

  • @imranissa5095

    @imranissa5095

    11 күн бұрын

    Nakaa ukijua kumaliza show sio poa inahitaji vibe sana maana watu wanakuwa wamechoka so King 👑 iz KingKiba

  • @aulidriver3102
    @aulidriver310210 күн бұрын

    Bila ya kupiga hodi mtoni unafufua na kuoga ovyo ovyo lazima umchokeze mamba tuu.😅😅😅😅😅😅

  • @user-ny5ug4qo6c
    @user-ny5ug4qo6c10 күн бұрын

    Natoka kenya.ila huyu jamaa anaongea poa alikiba kafanya vizuri .ushabiki kando

  • @nikkitokke8162
    @nikkitokke816210 күн бұрын

    😂😂😂👍👑

  • @bizmaterial594
    @bizmaterial5947 күн бұрын

    KinG

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja199511 күн бұрын

    Ndo nini sasa

  • @shikuhata
    @shikuhata11 күн бұрын

    Duduu ndiyo amekuwa mchambuzi wawasanii saivii

  • @daynesakulu3169
    @daynesakulu316911 күн бұрын

    Nkonki ana ongea eleza na kufafanua vizuri sana msani mdogo ndo ana funguwa show ili watu wa ingie❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

Келесі