DUDUBAYA ACHAMBUA SHOW YA ALIKIBA NA DIAMOND ULAYA, AMPIGIA SALUTI ALIKIBA, ADAI DIAMOND ALICHEMKA
Jiunge nasi kupitiaa mitandao yakijamii Facebook, Instagram na Twitter gusa link za zetu apo chini.
.
FACEBOOK: / minotv
INSTAGRAM: / minotv_tz
TIKTOK: / minotv_tz .
Пікірлер: 24
Chid Benz aliongea tayar kuusu alikiba so ndo hvyo😂😂
Kwa waliozichoka Ngoma za Amapiano Mimi ni wa kwanza aisee
@omardaudi2928
10 күн бұрын
Tupo wingi sana
Huo ndio ukubwa kuwa mkweli nyeusi nyeusi nyeupe nyeupe kiba kaua mond kachemka
Uko vizuli kaka
Mino karibu zanji
Oya meno karibu zanji
Wakwanzaa
Show ya alikiba ilikua inaanza asubui mwisho sahaa 3 ucku bro na ck nzima alikua anapanda msanii Moja TU.
👊
Kutoka Gikombaa Nairobi Dudu Baya Ukitaka Tusifuatie Mahojiano Yako Usimsifie Mwambino
Kiba aliperform wa mwisho na ilikuwa ni saa 2 hadi 3 ucku, huku summer time jua linachelewa kuzama,wakati mwingine saa 4 ucku Kuna mwanga, kwenye ratiba yy ndiye aliyefunga AfroFest 2024, hakukuwa na mwendelezo wa ratiba nyingine hadi 2025. Waandishi ili kushibisha wasikilizaji wenu tafuteni usahihi wa habari na iwe kwa kina, usirukie tu jambo na kulirusha mkiwa hamna details, angalau iwe hta nusu basi
@Hancy_barrow
11 күн бұрын
What's your point mama 😂
@Baira240
11 күн бұрын
Point yake huyo ni mondi 😂😂😂 na kachemka@@Hancy_barrow
@WahuBoth
11 күн бұрын
@@Hancy_barrowamakweli wewe ziro Sasa Kama umeshindwa kuelewa apo uelewi tena 🤕 sikia king 👑💪ame ua
@Hancy_barrow
11 күн бұрын
@@WahuBoth 🤣🤣🤣🤣Tena ziro brain kwakweli team King 👑 tujuane Kwa like
@imranissa5095
11 күн бұрын
Nakaa ukijua kumaliza show sio poa inahitaji vibe sana maana watu wanakuwa wamechoka so King 👑 iz KingKiba
Bila ya kupiga hodi mtoni unafufua na kuoga ovyo ovyo lazima umchokeze mamba tuu.😅😅😅😅😅😅
Natoka kenya.ila huyu jamaa anaongea poa alikiba kafanya vizuri .ushabiki kando
😂😂😂👍👑
KinG
Ndo nini sasa
Duduu ndiyo amekuwa mchambuzi wawasanii saivii
Nkonki ana ongea eleza na kufafanua vizuri sana msani mdogo ndo ana funguwa show ili watu wa ingie❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤