LIST YA MASTAA WA BONGO WALIOHAMIA MAREKANI NA ULAYA,,MPWA WA DIAMOND PLATNUMZ yuko UK 🇬🇧 🇺🇸

Ойын-сауық

Пікірлер: 152

  • @THETHIRDTV_
    @THETHIRDTV_2 ай бұрын

    LIST NYINGINE ZA MASTAA WALIOHAMIA MAREKANI NA ULAYA ZIKO HAPA!! kzread.info/head/PLCnaRiyf2kgjRsprbJiB3lVsmN8DE132X&si=r2UqAfx1hX4LDyZO

  • @diddyexpert

    @diddyexpert

    Ай бұрын

    Mbona mm ujanizungumzia

  • @user-mi7cd8ch1b
    @user-mi7cd8ch1b2 ай бұрын

    Jmn mzee magari nirimiss sana nirikuwa najiuriza yupo wap hai au amekufa jmn mungu ampe maisha malefu toka kanumba afe watu wote wamesepa na kuacha kuigiza

  • @FAREEDMUSTAFA-gu4si

    @FAREEDMUSTAFA-gu4si

    2 ай бұрын

    R &l

  • @NANGATV123
    @NANGATV1232 ай бұрын

    Mzee magari jilani yangu nimtu safina niko nae tupo lagoz

  • @ellenkabeta7561
    @ellenkabeta75613 ай бұрын

    Me naona sometimes wanataka kuishi normal life coz ustar unakuwa na mambo mengi sasa akitaka kuishi hapa normal life wabongo wataanza kusema amefulia na maneno mengine but wakienda nje wanakuwa huru coz wanakuwa hawajulikan

  • @fatimamv2723
    @fatimamv27232 ай бұрын

    I love frenk ❤❤❤japo nimkubwa kimri nipeni connection watanzania

  • @elizabethverael1709
    @elizabethverael17092 ай бұрын

    Daaah Frank nilikua namuelewa, na mzee Magari much love ❤

  • @user-fb5fs8ye5y
    @user-fb5fs8ye5y2 ай бұрын

    Frank jamni hazéeki jamni 🥰🥰🥰

  • @blandinamyinga9489
    @blandinamyinga94892 ай бұрын

    Frank baybe❤❤❤miss you so,so much Mohamed Mwikongi😢

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567Ай бұрын

    Frenk jaman ludi tunakumis sana❤❤❤

  • @CyprianBCTanzania
    @CyprianBCTanzania2 ай бұрын

    Nabii kwao Haeshimiki, Safi sana ifikie mahali tuache mazoea, Hii Dunia yote ni yetu na tumeandaliwa kuishi bila shaka japo mazoea na kutowaza nje ya box, Safi sana tena ikiwezekana na wengine wachape mwendo tuwe wengi zaidi pia hata ndugu zetu wawe wanapata experience tofauti na safari za nje bila shaka maana ndugu zao tunakuwepo ughaibuni

  • @nyandwiniyera5535
    @nyandwiniyera55352 ай бұрын

    Mzeemagari ni jirani yangu hapa Marekani nijirani mwema tu jamani 🥰

  • @Dr.manyaunyau

    @Dr.manyaunyau

    2 ай бұрын

    Kwema n

  • @jacksonmambwe8416

    @jacksonmambwe8416

    2 ай бұрын

    Nifanyie mpango na mm niwe jirani yako mpenzi

  • @faidhamsangi3061

    @faidhamsangi3061

    29 күн бұрын

    @@jacksonmambwe8416😅

  • @Editha-og5ei
    @Editha-og5ei2 ай бұрын

    Nimekumiss frank jaman enzi hizo ukiigiza nilikuwa naenjoy mno love you

  • @user-ji6cp1ng8g
    @user-ji6cp1ng8g3 ай бұрын

    Frenk enzi ya kaole kitambo sana ila hazeek kipindi iko bila kumuona yy hauckii rah anajua mpk anajua tena nakumbuka ule mchezo mke wake kipofu yule mdada nimemsahau jina ila alikuwa anafanana na tea

  • @steveanthon5523

    @steveanthon5523

    2 ай бұрын

    Huyo mdada anaitwa Kemy, saiv yupo juwa kali anaigiza kama bibi dorothy na frank huko kijijini

  • @baeyanka5264

    @baeyanka5264

    2 ай бұрын

    Nampenda sana Frank saut yake

  • @ramadhanijohoiddi2899
    @ramadhanijohoiddi2899Ай бұрын

    Kuishi bongo ni kukosa muelekeo tu lakini kikawaida bongo bahati mbaya 😊

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody56182 ай бұрын

    Mm binafsi nipo uingereza ni kweli mastaa wanakimbia nyumbani na kukimbilia huku ughaibuni kwasababu huku kuna fursa nyingi sana na mpunga wa kutosha lakini uko hatufocus sana na maendeleo ni kutakiana mabaya tu kila kukicha

  • @user-tt7cu2et1x

    @user-tt7cu2et1x

    2 ай бұрын

    Saw ebu tutafutie bas n sis tukujee

  • @user-mu7fl1gs8v

    @user-mu7fl1gs8v

    2 ай бұрын

    Ni fursa gani ziko huko niunganishe please 🙏 🙏 🙏 🙏

  • @user-tt7cu2et1x

    @user-tt7cu2et1x

    2 ай бұрын

    Fulsaa basi muwafulishe na vijana wengne wakujeee

  • @jumahilali2309

    @jumahilali2309

    2 ай бұрын

    Nipe connection mzee

  • @jumahilali2309

    @jumahilali2309

    2 ай бұрын

    Nipe connection mzee

  • @user-mi7cd8ch1b
    @user-mi7cd8ch1b2 ай бұрын

    Nampenda sana frenk jmn toka mdgo wanaegizaga me namuona japo nirikuwa wa makamo

  • @Youngchimodzi823
    @Youngchimodzi8232 ай бұрын

    Europe/ US is and will never be a better place to live for a Blackman. Time will tell. I love Tz

  • @THETHIRDTV_

    @THETHIRDTV_

    2 ай бұрын

    Better for making money and investing back home

  • @Youngchimodzi823

    @Youngchimodzi823

    2 ай бұрын

    Europeans and the Us made more money from Africa ,Asia and middle East than from their own countries. Political science and history tells us so!

  • @hamadramadhan8422
    @hamadramadhan84222 ай бұрын

    Ata mim ni soon tu nitakuwa ugaibuni maana bongo mambo ayajawa mazuri ngoja tujaribu nje😂😂😂

  • @issahhussein1922

    @issahhussein1922

    2 ай бұрын

    Karibu hakikisha unajiandaa kisaikolojia zaidi kuliko kifedha

  • @KudrackAbubakar
    @KudrackAbubakar2 ай бұрын

    Mimi mwenyewe sio star ila bongo napakimbia muda sio mrefu

  • @benedictmhina4819
    @benedictmhina4819Ай бұрын

    Ngoja nikomae na kilimo yote Mipango ya sir God

  • @user-du4yg5cj3v
    @user-du4yg5cj3v2 ай бұрын

    Frenk❤

  • @cabylake2320
    @cabylake23202 ай бұрын

    Nice

  • @josephkahindi1713
    @josephkahindi17132 ай бұрын

    Joseph kahìndi nae tuko nae japan

  • @masimakarume9715
    @masimakarume9715Ай бұрын

    Nachotamani kujua ni wanafanya kaz gn huko nje ya hz za kiburudani ambazo tulikuwa tunazijua huku

  • @maryamalhajri722
    @maryamalhajri7222 ай бұрын

    sonia yupo france

  • @chire4574
    @chire45743 ай бұрын

    Acha story nyingi nenda kwenye point

  • @CHIEFJAY-il3fs
    @CHIEFJAY-il3fsАй бұрын

    hongera zao

  • @joycemuhoja4729
    @joycemuhoja47292 ай бұрын

    Frank Kanenepa Sanaa

  • @user-li8lm7it9j
    @user-li8lm7it9j2 ай бұрын

    Clouds

  • @jescambilinyi
    @jescambilinyi3 ай бұрын

    Lucy komba pia

  • @user-rc6ww6rx7n
    @user-rc6ww6rx7n2 ай бұрын

    Bongo co nchi ya kuishi hy kilakitu ujanja ujanja tu vt havinyooki nsy maana waelewa tunasepa

  • @EmJesho
    @EmJesho2 ай бұрын

    Jamani frenk namkumbuka sn

  • @sergebaleke695
    @sergebaleke6952 ай бұрын

    Bongo juwa kali bhana

  • @diddyexpert
    @diddyexpertАй бұрын

    Ata mm sipo bongo tena

  • @salumsalum8866
    @salumsalum88662 ай бұрын

    Snoop Lee yupe Germany.

  • @user-sk3nh5uq2l
    @user-sk3nh5uq2l2 ай бұрын

    Miki j naepia sema yeye yuko canada

  • @GasperMwaisa-rb1lf
    @GasperMwaisa-rb1lf2 ай бұрын

    Bongo uwezi kutoboa kimaisha kwasababu ushikina mwingi sana

  • @ikramuabdul2905
    @ikramuabdul29052 ай бұрын

    Wanaenda Luisa nje Coz wenzetu wapo na free mind kinoma kuliko hata unavofikiria nawala sio nyumbani

  • @ZakaZakazi-rd7wo
    @ZakaZakazi-rd7wo2 ай бұрын

    Mm mwenyewe na mpango wa kwenda zangu Ng,ambo bongo michosho

  • @davicekombe4932

    @davicekombe4932

    2 ай бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣Hakika mkuuuu

  • @stellahmsigwa6493

    @stellahmsigwa6493

    2 ай бұрын

    Ila Mimi nikipata chansi bongo siludi kabisa tena kutoka moyoni

  • @stellahmsigwa6493

    @stellahmsigwa6493

    2 ай бұрын

    Duuuh nimekumis kaka franki🎉

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION2 ай бұрын

    Izobisness

  • @Vanelsing_
    @Vanelsing_Ай бұрын

    We dada hiki kimabeste kimsanii cha juzi utuambie kwamba watoto wa 2000 hatumjui dish lako limeyumba

  • @user-es5me9jm3s
    @user-es5me9jm3s3 ай бұрын

    Njaaa 😂😂😂😂😂

  • @Mutubure
    @MutubureАй бұрын

    Njaaa ni nyingii bongo

  • @jescambilinyi
    @jescambilinyi3 ай бұрын

    Diana kimaro pia

  • @doriceathumani8270
    @doriceathumani827027 күн бұрын

    Dah tunammiss sana Frank arudi jamani 😢

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania97432 ай бұрын

    Mzee magari nilijiuliza sana kwanini hachezi mvi

  • @user-zr1iy1ss5y
    @user-zr1iy1ss5y2 ай бұрын

    Frank alitaka kufanana na mwijaku kdg

  • @user-yp1lm5fb1v
    @user-yp1lm5fb1v2 ай бұрын

    Solofing hujamutaja

  • @zahranassor7809
    @zahranassor78092 ай бұрын

    Sihamii bongo mpaka mwisho wa dunia maana nyumbani ni nyumbani tu na bongo ni raha sana na tupo huru sana maisha ya ughaibuni asiwadanganye mtu ni ya kawaida tu na hawana uhuru kabisa kama huku kwetu yaani ni masharti kwa kwenda mbele hata kucheka kwa kibali maalum 🤣🤣🤣🤣😂😂

  • @allysaid4679
    @allysaid46792 ай бұрын

    Jamani Raha P yupo wapi kitambo sana

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk2 ай бұрын

    Vijana wanakimbia life gumu bongo

  • @AllyYunus
    @AllyYunus2 ай бұрын

    Sio mastaar tuu wanaokimbia watanzania wengi tunakimbia uko nyumbani hali mbaya mi mwenyewe naandika apa sipo tz

  • @user-zq2nb4yh6t

    @user-zq2nb4yh6t

    2 ай бұрын

    Kwenu kwenu homeboy

  • @eliassoingei2046
    @eliassoingei20462 ай бұрын

    Angel Benard naye yupo marekani texas

  • @THETHIRDTV_

    @THETHIRDTV_

    2 ай бұрын

    Asante kwa ukumbusho ..list lazima iendelee....

  • @limymasele21
    @limymasele21Ай бұрын

    Ameniuma sana mzee magari sikutegemea kama yupo huko ila poa haina noma kikubwa uhai

  • @amlikejames646
    @amlikejames6462 ай бұрын

    Hata me nikipata chance ya kuishi Unyamwezini sikai hapa Tz

  • @user-sg9kz1fc6s
    @user-sg9kz1fc6s2 ай бұрын

    Rey C 🎉

  • @THETHIRDTV_

    @THETHIRDTV_

    2 ай бұрын

    kzread.info/head/PLCnaRiyf2kgjRsprbJiB3lVsmN8DE132X&si=r2UqAfx1hX4LDyZO

  • @FurahaSebastian
    @FurahaSebastian2 ай бұрын

    Huko nikuzuri tatizo hapa umbeyà mwingi sana

  • @AbdulGermany210
    @AbdulGermany2102 ай бұрын

    Frank yupo Ulaya sio Marekani,either Norway au sweden kati ya hiyo

  • @williampaul8756

    @williampaul8756

    2 ай бұрын

    Ni marekani bro

  • @ibrahbird9727
    @ibrahbird97272 ай бұрын

    Wapo Weng sana tena wasanii wa kitambo ndio usiseme Chiv hanson balozi jd yusuf solothang chindo man rah p machozi yani wengi sana sana tutaowajua na tusio wajua

  • @nashnene6326
    @nashnene63262 ай бұрын

    Bongo nyoso, nan anataka kuishi hapa

  • @user-kn8mg2su7i
    @user-kn8mg2su7i2 ай бұрын

    Ushirikina mwingi

  • @SuzyJonh
    @SuzyJonh22 күн бұрын

    Frank wetu jaman ndy maana simuon

  • @masoudmohamed767
    @masoudmohamed7672 ай бұрын

    Umemsahau Shija Mzee wa kwenda ulaya kila movie yupo Canada

  • @THETHIRDTV_

    @THETHIRDTV_

    2 ай бұрын

    Shukrani

  • @user-tt7cu2et1x

    @user-tt7cu2et1x

    2 ай бұрын

    H😂😂😂😂😂😂😂😂wallah ndto yake ilitimiaa mm ktka ndto yangu nataman kufka ital ama dubai ama canada nisikufe before cjakanyaga uko

  • @user-yq2zp2lc9c
    @user-yq2zp2lc9c2 ай бұрын

    Maskini frenk tunakumiss

  • @KelvinKasalama-rd3qp
    @KelvinKasalama-rd3qpАй бұрын

    Ukweli maisha ni popote dunia ni yetu sote kikubwa uzima

  • @Fgldesigns
    @Fgldesigns2 ай бұрын

    Nikitoboa lazima nihame Bongo

  • @user-jq8wx7zz6j
    @user-jq8wx7zz6j7 күн бұрын

    Wapi sofia kanumba na jamila?

  • @bennie7239
    @bennie72392 ай бұрын

    Lah P pia yuko State kitambo tu....ile vocal ya mdada kwenye ngoma ya MIKASI ya late Mangwair...

  • @THETHIRDTV_

    @THETHIRDTV_

    2 ай бұрын

    ✌️✌️

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob2 ай бұрын

    Nchi yenyewe inaitwa Bongo, akili Sana, nguvu Sana, kipato kiduchu au hakuna kabisa

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania97432 ай бұрын

    Sonia mwenzako paula anataka kuzaa

  • @THETHIRDTV_

    @THETHIRDTV_

    2 ай бұрын

    😅😅

  • @yusuphkintu562
    @yusuphkintu5622 ай бұрын

    Solo thang,mr paul ,wote hao barozi dorosa wapi uyo

  • @THETHIRDTV_

    @THETHIRDTV_

    2 ай бұрын

    Thank you

  • @Onlyforfun1992tube
    @Onlyforfun1992tube2 ай бұрын

    Mimi ata unipe hela nje ya nchi siendi upuuzi mtupu maisha kote magumu

  • @AbdulGermany210

    @AbdulGermany210

    2 ай бұрын

    Ujafika ukifika utaelewa maana ya mbele na Bongo,Ulaya unaumia wewe mzazi tu kufanya kazi ila huumii kuhusu watoto shule ni bure hakuna matabaka kama bongo ,kuna shule za kayumba na shule za wenye pesa huku hakuna hiyo,hakuna ada wala kuvaa uniform

  • @mohamedimkonde9532
    @mohamedimkonde95322 ай бұрын

    Kuna balozi dola soul ,

  • @jasminshemsanga8727
    @jasminshemsanga87272 ай бұрын

    Kumbe ma beste hayupo bongo

  • @mwarabuofficial5241
    @mwarabuofficial52412 ай бұрын

    Wabongo wapo busy kujua kazi za ulaya 😂😂 eti utasikia kwani huko ma-star wetu wanafanya kazi gani..

  • @braggadachu1723
    @braggadachu17232 ай бұрын

    Usenge tu😂watoto WA elfu mbili wamefanyaje

  • @JuaKali68kviews1hour

    @JuaKali68kviews1hour

    2 ай бұрын

    😁

  • @user-ke6ec9bi4e
    @user-ke6ec9bi4e2 ай бұрын

    Sawa lakini je wanafanya kazi gani uko au kula kulala

  • @mwajumaroya7404
    @mwajumaroya74042 ай бұрын

    Frenk l miss you my brother 😢😍🥰

  • @jaxmkada6797
    @jaxmkada67972 ай бұрын

    Ipo siku na mm nitakuwa ulaya jamaniiii

  • @user-kd5yi9jo1g

    @user-kd5yi9jo1g

    26 күн бұрын

    Mimi mwenyewe baada ya miaka mitano uingereza mwananchi🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿👨‍👩‍👧

  • @kazimoto-eq2th
    @kazimoto-eq2th2 ай бұрын

    Aiseee kama hamjuagi ni kwamba Roma kavunjwa uume hawezi kufanya tendo la ndoa ndomaana hajamchukua mkewe kama uamini ipo ivo.

  • @racheljob6601

    @racheljob6601

    2 ай бұрын

    😂😂😂 daaah ila wabongo una ushahidi

  • @kazimoto-eq2th

    @kazimoto-eq2th

    2 ай бұрын

    @@racheljob6601 kama hamuamini angalia roma hadi anakufa haji kukaa na mke na huko marekani hana demu na akiwa nae skendo tu ila ukweli.utakuja kuamini fatilia

  • @omarymsumi1865
    @omarymsumi18652 ай бұрын

    Ww mabeste kavutwa na lakaaake yupo kule nasio mwanamke

  • @maulidjuma9203

    @maulidjuma9203

    2 ай бұрын

    Hakuna star hapo star awezi kwenda ulaya USA kutafuta kz yani akaanze zero mastar bongo tunawajuwa awezi kuafanya kz kwa 3000dola

  • @EstherGodwin-ig6mt
    @EstherGodwin-ig6mt2 ай бұрын

    Slaves hameni wote mniache mm huku

  • @memoryeliass9558
    @memoryeliass95582 ай бұрын

    stori zimezidi sana ndio maana unasahau watu. punguza mastori hayo.

  • @THETHIRDTV_

    @THETHIRDTV_

    2 ай бұрын

    Sawa Elias

  • @husseinshamte7129
    @husseinshamte71292 ай бұрын

    Sollo thang

  • @THETHIRDTV_

    @THETHIRDTV_

    2 ай бұрын

    Good

  • @OmariNkalami-nh6fl
    @OmariNkalami-nh6fl2 ай бұрын

    Mchongo mkumbwa😅

  • @faridaltamimi7454
    @faridaltamimi74542 ай бұрын

    HUKU KUNAITWA MAMTONI HUWEZI KWENDA KUTAMBA NCHI ZA WATU

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi3 ай бұрын

    Gonja murusi atoe mamuzi mangumu wanze kuomba msanda

  • @CatherineAlly-lx3fp
    @CatherineAlly-lx3fp2 ай бұрын

    Huseni machozi

  • @THETHIRDTV_

    @THETHIRDTV_

    2 ай бұрын

    Yupo kwenye previous video

  • @vicentcornely4890
    @vicentcornely4890Ай бұрын

    Hawafanyi kazi hizo kwasababu siyo wasanii ni waganga njaa tu. Huko msanii anaanzia shule za awali kabisa tofauti na sisi huku tunawapotezea muda kuanzia shule za awali hawajui wanasoma nini mpaka anafikia uzeeni huko ndio anaenda chuo cha sanaa mara moja tu . Inatakiwa turekebishe hili ni tatizo kubwa sana , tutengeneze shule za sanaa watu wasome kuanzia awali (utotoni) mpaka chuo kikuu awe amesomea sanaa tu popote atakapoenda anakuwa msanii n.k Tuondoe huu mfumo wa elimu wa kupoteza muda wa watoto wetu , mtoto unamsomesha masomo 20 alafu ukubwani ndio anakuja kusoma sanaa ,mwisho wake anakuwa haieleweki yeye ni nani na afanye nini

  • @solangeramadhani4038
    @solangeramadhani40382 ай бұрын

    Frank na mzee magari wapo ILLINOIS

  • @THETHIRDTV_

    @THETHIRDTV_

    2 ай бұрын

    Thanks for the information 🙏🙏🙏

  • @DuniaKalenga-hr2lz

    @DuniaKalenga-hr2lz

    Ай бұрын

    Iowa

  • @GodenBMDaniel
    @GodenBMDaniel2 ай бұрын

    Mzee magari tukonaye hapa Illinois US, tunafanyanaye kazi pamoja.

  • @THETHIRDTV_

    @THETHIRDTV_

    2 ай бұрын

    Yupo kwenye previous video

  • @chamballaally8767

    @chamballaally8767

    2 ай бұрын

    Kazi gani?

  • @chamballaally8767

    @chamballaally8767

    2 ай бұрын

    Kazi ipi ?

  • @boubabizo246
    @boubabizo2462 ай бұрын

    Eti wanakimbia nini apa bongo? Kweli hilo swali? Wewe nikubebe dubai tu, utasepa bongo

  • @THETHIRDTV_

    @THETHIRDTV_

    2 ай бұрын

    😄😄😄🤣🤣

  • @dorislema2465
    @dorislema24652 ай бұрын

    Reyc yuko wapi?

  • @THETHIRDTV_

    @THETHIRDTV_

    2 ай бұрын

    Previous video

  • @Official83640
    @Official836402 ай бұрын

    Kwahy Sonia na Tahiya washakuwa mastar eeh hd wanawekwa km wanaishi nje jaman wakati wanasoma tu basi muwekeni na Mtoto wa Manara na mie mniweke maana np nje mwaka wa 6 huu😂😂😂 Solo Thang umemsahau au

  • @THETHIRDTV_

    @THETHIRDTV_

    2 ай бұрын

    Si unawajua lakini!!! They are famous"

  • @Just_a_gal.

    @Just_a_gal.

    2 ай бұрын

    Ushaambiwa list ni ya Marekani na Ulaya tu,,sasa huyo mtoto wa Manara huko Asia anaingiaje humu

  • @Official83640

    @Official83640

    2 ай бұрын

    @@Just_a_gal. Sasa Sonia yupo Marekani umeambiwa 🤣🤣

  • @publicrelations4600
    @publicrelations46002 ай бұрын

    Yaani unamuacha Hussein machozi unamuweka sonia sasa huyo demu usanii kaanza lini?

  • @THETHIRDTV_

    @THETHIRDTV_

    2 ай бұрын

    Husein yupo kwenye previous video

  • @uriotv9989
    @uriotv99892 ай бұрын

    Roma mkatoliki

  • @THETHIRDTV_

    @THETHIRDTV_

    2 ай бұрын

    Yupo kwenye previous video

  • @user-yq2zp2lc9c
    @user-yq2zp2lc9c2 ай бұрын

    Tunamiss filam zako wewe namze magali

  • @vumbakingvumbaking9571
    @vumbakingvumbaking95712 ай бұрын

    Izzo business na Abella

  • @johnny.j.nyondo
    @johnny.j.nyondo2 ай бұрын

    King GK. yuko wapi.

  • @user-sd8jz7zj2l
    @user-sd8jz7zj2l2 ай бұрын

    Mbn tunasikia Mzee magar kafa

  • @THETHIRDTV_

    @THETHIRDTV_

    2 ай бұрын

    Yuko hai