LIST NYINGINE ZA MASTAA WALIOHAMIA MAREKANI NA ULAYA ZIKO HAPA!! kzread.info/head/PLCnaRiyf2kgjRsprbJiB3lVsmN8DE132X&si=r2UqAfx1hX4LDyZO
@diddyexpert
Ай бұрын
Mbona mm ujanizungumzia
@user-mi7cd8ch1b2 ай бұрын
Jmn mzee magari nirimiss sana nirikuwa najiuriza yupo wap hai au amekufa jmn mungu ampe maisha malefu toka kanumba afe watu wote wamesepa na kuacha kuigiza
@FAREEDMUSTAFA-gu4si
2 ай бұрын
R &l
@NANGATV1232 ай бұрын
Mzee magari jilani yangu nimtu safina niko nae tupo lagoz
@ellenkabeta75613 ай бұрын
Me naona sometimes wanataka kuishi normal life coz ustar unakuwa na mambo mengi sasa akitaka kuishi hapa normal life wabongo wataanza kusema amefulia na maneno mengine but wakienda nje wanakuwa huru coz wanakuwa hawajulikan
@fatimamv27232 ай бұрын
I love frenk ❤❤❤japo nimkubwa kimri nipeni connection watanzania
@elizabethverael17092 ай бұрын
Daaah Frank nilikua namuelewa, na mzee Magari much love ❤
@user-fb5fs8ye5y2 ай бұрын
Frank jamni hazéeki jamni 🥰🥰🥰
@blandinamyinga94892 ай бұрын
Frank baybe❤❤❤miss you so,so much Mohamed Mwikongi😢
@aminaomary5567Ай бұрын
Frenk jaman ludi tunakumis sana❤❤❤
@CyprianBCTanzania2 ай бұрын
Nabii kwao Haeshimiki, Safi sana ifikie mahali tuache mazoea, Hii Dunia yote ni yetu na tumeandaliwa kuishi bila shaka japo mazoea na kutowaza nje ya box, Safi sana tena ikiwezekana na wengine wachape mwendo tuwe wengi zaidi pia hata ndugu zetu wawe wanapata experience tofauti na safari za nje bila shaka maana ndugu zao tunakuwepo ughaibuni
@nyandwiniyera55352 ай бұрын
Mzeemagari ni jirani yangu hapa Marekani nijirani mwema tu jamani 🥰
@Dr.manyaunyau
2 ай бұрын
Kwema n
@jacksonmambwe8416
2 ай бұрын
Nifanyie mpango na mm niwe jirani yako mpenzi
@faidhamsangi3061
29 күн бұрын
@@jacksonmambwe8416😅
@Editha-og5ei2 ай бұрын
Nimekumiss frank jaman enzi hizo ukiigiza nilikuwa naenjoy mno love you
@user-ji6cp1ng8g3 ай бұрын
Frenk enzi ya kaole kitambo sana ila hazeek kipindi iko bila kumuona yy hauckii rah anajua mpk anajua tena nakumbuka ule mchezo mke wake kipofu yule mdada nimemsahau jina ila alikuwa anafanana na tea
@steveanthon5523
2 ай бұрын
Huyo mdada anaitwa Kemy, saiv yupo juwa kali anaigiza kama bibi dorothy na frank huko kijijini
@baeyanka5264
2 ай бұрын
Nampenda sana Frank saut yake
@ramadhanijohoiddi2899Ай бұрын
Kuishi bongo ni kukosa muelekeo tu lakini kikawaida bongo bahati mbaya 😊
@mohammedkidody56182 ай бұрын
Mm binafsi nipo uingereza ni kweli mastaa wanakimbia nyumbani na kukimbilia huku ughaibuni kwasababu huku kuna fursa nyingi sana na mpunga wa kutosha lakini uko hatufocus sana na maendeleo ni kutakiana mabaya tu kila kukicha
@user-tt7cu2et1x
2 ай бұрын
Saw ebu tutafutie bas n sis tukujee
@user-mu7fl1gs8v
2 ай бұрын
Ni fursa gani ziko huko niunganishe please 🙏 🙏 🙏 🙏
@user-tt7cu2et1x
2 ай бұрын
Fulsaa basi muwafulishe na vijana wengne wakujeee
@jumahilali2309
2 ай бұрын
Nipe connection mzee
@jumahilali2309
2 ай бұрын
Nipe connection mzee
@user-mi7cd8ch1b2 ай бұрын
Nampenda sana frenk jmn toka mdgo wanaegizaga me namuona japo nirikuwa wa makamo
@Youngchimodzi8232 ай бұрын
Europe/ US is and will never be a better place to live for a Blackman. Time will tell. I love Tz
@THETHIRDTV_
2 ай бұрын
Better for making money and investing back home
@Youngchimodzi823
2 ай бұрын
Europeans and the Us made more money from Africa ,Asia and middle East than from their own countries. Political science and history tells us so!
@hamadramadhan84222 ай бұрын
Ata mim ni soon tu nitakuwa ugaibuni maana bongo mambo ayajawa mazuri ngoja tujaribu nje😂😂😂
@issahhussein1922
2 ай бұрын
Karibu hakikisha unajiandaa kisaikolojia zaidi kuliko kifedha
@KudrackAbubakar2 ай бұрын
Mimi mwenyewe sio star ila bongo napakimbia muda sio mrefu
@benedictmhina4819Ай бұрын
Ngoja nikomae na kilimo yote Mipango ya sir God
@user-du4yg5cj3v2 ай бұрын
Frenk❤
@cabylake23202 ай бұрын
Nice
@josephkahindi17132 ай бұрын
Joseph kahìndi nae tuko nae japan
@masimakarume9715Ай бұрын
Nachotamani kujua ni wanafanya kaz gn huko nje ya hz za kiburudani ambazo tulikuwa tunazijua huku
@maryamalhajri7222 ай бұрын
sonia yupo france
@chire45743 ай бұрын
Acha story nyingi nenda kwenye point
@CHIEFJAY-il3fsАй бұрын
hongera zao
@joycemuhoja47292 ай бұрын
Frank Kanenepa Sanaa
@user-li8lm7it9j2 ай бұрын
Clouds
@jescambilinyi3 ай бұрын
Lucy komba pia
@user-rc6ww6rx7n2 ай бұрын
Bongo co nchi ya kuishi hy kilakitu ujanja ujanja tu vt havinyooki nsy maana waelewa tunasepa
@EmJesho2 ай бұрын
Jamani frenk namkumbuka sn
@sergebaleke6952 ай бұрын
Bongo juwa kali bhana
@diddyexpertАй бұрын
Ata mm sipo bongo tena
@salumsalum88662 ай бұрын
Snoop Lee yupe Germany.
@user-sk3nh5uq2l2 ай бұрын
Miki j naepia sema yeye yuko canada
@GasperMwaisa-rb1lf2 ай бұрын
Bongo uwezi kutoboa kimaisha kwasababu ushikina mwingi sana
@ikramuabdul29052 ай бұрын
Wanaenda Luisa nje Coz wenzetu wapo na free mind kinoma kuliko hata unavofikiria nawala sio nyumbani
@ZakaZakazi-rd7wo2 ай бұрын
Mm mwenyewe na mpango wa kwenda zangu Ng,ambo bongo michosho
@davicekombe4932
2 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣Hakika mkuuuu
@stellahmsigwa6493
2 ай бұрын
Ila Mimi nikipata chansi bongo siludi kabisa tena kutoka moyoni
@stellahmsigwa6493
2 ай бұрын
Duuuh nimekumis kaka franki🎉
@BONGOINMOTION2 ай бұрын
Izobisness
@Vanelsing_Ай бұрын
We dada hiki kimabeste kimsanii cha juzi utuambie kwamba watoto wa 2000 hatumjui dish lako limeyumba
@user-es5me9jm3s3 ай бұрын
Njaaa 😂😂😂😂😂
@MutubureАй бұрын
Njaaa ni nyingii bongo
@jescambilinyi3 ай бұрын
Diana kimaro pia
@doriceathumani827027 күн бұрын
Dah tunammiss sana Frank arudi jamani 😢
@maryamtanzania97432 ай бұрын
Mzee magari nilijiuliza sana kwanini hachezi mvi
@user-zr1iy1ss5y2 ай бұрын
Frank alitaka kufanana na mwijaku kdg
@user-yp1lm5fb1v2 ай бұрын
Solofing hujamutaja
@zahranassor78092 ай бұрын
Sihamii bongo mpaka mwisho wa dunia maana nyumbani ni nyumbani tu na bongo ni raha sana na tupo huru sana maisha ya ughaibuni asiwadanganye mtu ni ya kawaida tu na hawana uhuru kabisa kama huku kwetu yaani ni masharti kwa kwenda mbele hata kucheka kwa kibali maalum 🤣🤣🤣🤣😂😂
@allysaid46792 ай бұрын
Jamani Raha P yupo wapi kitambo sana
@kingkendrickk2 ай бұрын
Vijana wanakimbia life gumu bongo
@AllyYunus2 ай бұрын
Sio mastaar tuu wanaokimbia watanzania wengi tunakimbia uko nyumbani hali mbaya mi mwenyewe naandika apa sipo tz
@user-zq2nb4yh6t
2 ай бұрын
Kwenu kwenu homeboy
@eliassoingei20462 ай бұрын
Angel Benard naye yupo marekani texas
@THETHIRDTV_
2 ай бұрын
Asante kwa ukumbusho ..list lazima iendelee....
@limymasele21Ай бұрын
Ameniuma sana mzee magari sikutegemea kama yupo huko ila poa haina noma kikubwa uhai
@amlikejames6462 ай бұрын
Hata me nikipata chance ya kuishi Unyamwezini sikai hapa Tz
Frank yupo Ulaya sio Marekani,either Norway au sweden kati ya hiyo
@williampaul8756
2 ай бұрын
Ni marekani bro
@ibrahbird97272 ай бұрын
Wapo Weng sana tena wasanii wa kitambo ndio usiseme Chiv hanson balozi jd yusuf solothang chindo man rah p machozi yani wengi sana sana tutaowajua na tusio wajua
@nashnene63262 ай бұрын
Bongo nyoso, nan anataka kuishi hapa
@user-kn8mg2su7i2 ай бұрын
Ushirikina mwingi
@SuzyJonh22 күн бұрын
Frank wetu jaman ndy maana simuon
@masoudmohamed7672 ай бұрын
Umemsahau Shija Mzee wa kwenda ulaya kila movie yupo Canada
@THETHIRDTV_
2 ай бұрын
Shukrani
@user-tt7cu2et1x
2 ай бұрын
H😂😂😂😂😂😂😂😂wallah ndto yake ilitimiaa mm ktka ndto yangu nataman kufka ital ama dubai ama canada nisikufe before cjakanyaga uko
@user-yq2zp2lc9c2 ай бұрын
Maskini frenk tunakumiss
@KelvinKasalama-rd3qpАй бұрын
Ukweli maisha ni popote dunia ni yetu sote kikubwa uzima
@Fgldesigns2 ай бұрын
Nikitoboa lazima nihame Bongo
@user-jq8wx7zz6j7 күн бұрын
Wapi sofia kanumba na jamila?
@bennie72392 ай бұрын
Lah P pia yuko State kitambo tu....ile vocal ya mdada kwenye ngoma ya MIKASI ya late Mangwair...
@THETHIRDTV_
2 ай бұрын
✌️✌️
@piuskusenge-jf2ob2 ай бұрын
Nchi yenyewe inaitwa Bongo, akili Sana, nguvu Sana, kipato kiduchu au hakuna kabisa
@maryamtanzania97432 ай бұрын
Sonia mwenzako paula anataka kuzaa
@THETHIRDTV_
2 ай бұрын
😅😅
@yusuphkintu5622 ай бұрын
Solo thang,mr paul ,wote hao barozi dorosa wapi uyo
@THETHIRDTV_
2 ай бұрын
Thank you
@Onlyforfun1992tube2 ай бұрын
Mimi ata unipe hela nje ya nchi siendi upuuzi mtupu maisha kote magumu
@AbdulGermany210
2 ай бұрын
Ujafika ukifika utaelewa maana ya mbele na Bongo,Ulaya unaumia wewe mzazi tu kufanya kazi ila huumii kuhusu watoto shule ni bure hakuna matabaka kama bongo ,kuna shule za kayumba na shule za wenye pesa huku hakuna hiyo,hakuna ada wala kuvaa uniform
@mohamedimkonde95322 ай бұрын
Kuna balozi dola soul ,
@jasminshemsanga87272 ай бұрын
Kumbe ma beste hayupo bongo
@mwarabuofficial52412 ай бұрын
Wabongo wapo busy kujua kazi za ulaya 😂😂 eti utasikia kwani huko ma-star wetu wanafanya kazi gani..
@braggadachu17232 ай бұрын
Usenge tu😂watoto WA elfu mbili wamefanyaje
@JuaKali68kviews1hour
2 ай бұрын
😁
@user-ke6ec9bi4e2 ай бұрын
Sawa lakini je wanafanya kazi gani uko au kula kulala
@mwajumaroya74042 ай бұрын
Frenk l miss you my brother 😢😍🥰
@jaxmkada67972 ай бұрын
Ipo siku na mm nitakuwa ulaya jamaniiii
@user-kd5yi9jo1g
26 күн бұрын
Mimi mwenyewe baada ya miaka mitano uingereza mwananchi🏴👨👩👧
@kazimoto-eq2th2 ай бұрын
Aiseee kama hamjuagi ni kwamba Roma kavunjwa uume hawezi kufanya tendo la ndoa ndomaana hajamchukua mkewe kama uamini ipo ivo.
@racheljob6601
2 ай бұрын
😂😂😂 daaah ila wabongo una ushahidi
@kazimoto-eq2th
2 ай бұрын
@@racheljob6601 kama hamuamini angalia roma hadi anakufa haji kukaa na mke na huko marekani hana demu na akiwa nae skendo tu ila ukweli.utakuja kuamini fatilia
@omarymsumi18652 ай бұрын
Ww mabeste kavutwa na lakaaake yupo kule nasio mwanamke
@maulidjuma9203
2 ай бұрын
Hakuna star hapo star awezi kwenda ulaya USA kutafuta kz yani akaanze zero mastar bongo tunawajuwa awezi kuafanya kz kwa 3000dola
@EstherGodwin-ig6mt2 ай бұрын
Slaves hameni wote mniache mm huku
@memoryeliass95582 ай бұрын
stori zimezidi sana ndio maana unasahau watu. punguza mastori hayo.
@THETHIRDTV_
2 ай бұрын
Sawa Elias
@husseinshamte71292 ай бұрын
Sollo thang
@THETHIRDTV_
2 ай бұрын
Good
@OmariNkalami-nh6fl2 ай бұрын
Mchongo mkumbwa😅
@faridaltamimi74542 ай бұрын
HUKU KUNAITWA MAMTONI HUWEZI KWENDA KUTAMBA NCHI ZA WATU
Hawafanyi kazi hizo kwasababu siyo wasanii ni waganga njaa tu. Huko msanii anaanzia shule za awali kabisa tofauti na sisi huku tunawapotezea muda kuanzia shule za awali hawajui wanasoma nini mpaka anafikia uzeeni huko ndio anaenda chuo cha sanaa mara moja tu . Inatakiwa turekebishe hili ni tatizo kubwa sana , tutengeneze shule za sanaa watu wasome kuanzia awali (utotoni) mpaka chuo kikuu awe amesomea sanaa tu popote atakapoenda anakuwa msanii n.k Tuondoe huu mfumo wa elimu wa kupoteza muda wa watoto wetu , mtoto unamsomesha masomo 20 alafu ukubwani ndio anakuja kusoma sanaa ,mwisho wake anakuwa haieleweki yeye ni nani na afanye nini
@solangeramadhani40382 ай бұрын
Frank na mzee magari wapo ILLINOIS
@THETHIRDTV_
2 ай бұрын
Thanks for the information 🙏🙏🙏
@DuniaKalenga-hr2lz
Ай бұрын
Iowa
@GodenBMDaniel2 ай бұрын
Mzee magari tukonaye hapa Illinois US, tunafanyanaye kazi pamoja.
@THETHIRDTV_
2 ай бұрын
Yupo kwenye previous video
@chamballaally8767
2 ай бұрын
Kazi gani?
@chamballaally8767
2 ай бұрын
Kazi ipi ?
@boubabizo2462 ай бұрын
Eti wanakimbia nini apa bongo? Kweli hilo swali? Wewe nikubebe dubai tu, utasepa bongo
@THETHIRDTV_
2 ай бұрын
😄😄😄🤣🤣
@dorislema24652 ай бұрын
Reyc yuko wapi?
@THETHIRDTV_
2 ай бұрын
Previous video
@Official836402 ай бұрын
Kwahy Sonia na Tahiya washakuwa mastar eeh hd wanawekwa km wanaishi nje jaman wakati wanasoma tu basi muwekeni na Mtoto wa Manara na mie mniweke maana np nje mwaka wa 6 huu😂😂😂 Solo Thang umemsahau au
@THETHIRDTV_
2 ай бұрын
Si unawajua lakini!!! They are famous"
@Just_a_gal.
2 ай бұрын
Ushaambiwa list ni ya Marekani na Ulaya tu,,sasa huyo mtoto wa Manara huko Asia anaingiaje humu
@Official83640
2 ай бұрын
@@Just_a_gal. Sasa Sonia yupo Marekani umeambiwa 🤣🤣
@publicrelations46002 ай бұрын
Yaani unamuacha Hussein machozi unamuweka sonia sasa huyo demu usanii kaanza lini?
Пікірлер: 152
LIST NYINGINE ZA MASTAA WALIOHAMIA MAREKANI NA ULAYA ZIKO HAPA!! kzread.info/head/PLCnaRiyf2kgjRsprbJiB3lVsmN8DE132X&si=r2UqAfx1hX4LDyZO
@diddyexpert
Ай бұрын
Mbona mm ujanizungumzia
Jmn mzee magari nirimiss sana nirikuwa najiuriza yupo wap hai au amekufa jmn mungu ampe maisha malefu toka kanumba afe watu wote wamesepa na kuacha kuigiza
@FAREEDMUSTAFA-gu4si
2 ай бұрын
R &l
Mzee magari jilani yangu nimtu safina niko nae tupo lagoz
Me naona sometimes wanataka kuishi normal life coz ustar unakuwa na mambo mengi sasa akitaka kuishi hapa normal life wabongo wataanza kusema amefulia na maneno mengine but wakienda nje wanakuwa huru coz wanakuwa hawajulikan
I love frenk ❤❤❤japo nimkubwa kimri nipeni connection watanzania
Daaah Frank nilikua namuelewa, na mzee Magari much love ❤
Frank jamni hazéeki jamni 🥰🥰🥰
Frank baybe❤❤❤miss you so,so much Mohamed Mwikongi😢
Frenk jaman ludi tunakumis sana❤❤❤
Nabii kwao Haeshimiki, Safi sana ifikie mahali tuache mazoea, Hii Dunia yote ni yetu na tumeandaliwa kuishi bila shaka japo mazoea na kutowaza nje ya box, Safi sana tena ikiwezekana na wengine wachape mwendo tuwe wengi zaidi pia hata ndugu zetu wawe wanapata experience tofauti na safari za nje bila shaka maana ndugu zao tunakuwepo ughaibuni
Mzeemagari ni jirani yangu hapa Marekani nijirani mwema tu jamani 🥰
@Dr.manyaunyau
2 ай бұрын
Kwema n
@jacksonmambwe8416
2 ай бұрын
Nifanyie mpango na mm niwe jirani yako mpenzi
@faidhamsangi3061
29 күн бұрын
@@jacksonmambwe8416😅
Nimekumiss frank jaman enzi hizo ukiigiza nilikuwa naenjoy mno love you
Frenk enzi ya kaole kitambo sana ila hazeek kipindi iko bila kumuona yy hauckii rah anajua mpk anajua tena nakumbuka ule mchezo mke wake kipofu yule mdada nimemsahau jina ila alikuwa anafanana na tea
@steveanthon5523
2 ай бұрын
Huyo mdada anaitwa Kemy, saiv yupo juwa kali anaigiza kama bibi dorothy na frank huko kijijini
@baeyanka5264
2 ай бұрын
Nampenda sana Frank saut yake
Kuishi bongo ni kukosa muelekeo tu lakini kikawaida bongo bahati mbaya 😊
Mm binafsi nipo uingereza ni kweli mastaa wanakimbia nyumbani na kukimbilia huku ughaibuni kwasababu huku kuna fursa nyingi sana na mpunga wa kutosha lakini uko hatufocus sana na maendeleo ni kutakiana mabaya tu kila kukicha
@user-tt7cu2et1x
2 ай бұрын
Saw ebu tutafutie bas n sis tukujee
@user-mu7fl1gs8v
2 ай бұрын
Ni fursa gani ziko huko niunganishe please 🙏 🙏 🙏 🙏
@user-tt7cu2et1x
2 ай бұрын
Fulsaa basi muwafulishe na vijana wengne wakujeee
@jumahilali2309
2 ай бұрын
Nipe connection mzee
@jumahilali2309
2 ай бұрын
Nipe connection mzee
Nampenda sana frenk jmn toka mdgo wanaegizaga me namuona japo nirikuwa wa makamo
Europe/ US is and will never be a better place to live for a Blackman. Time will tell. I love Tz
@THETHIRDTV_
2 ай бұрын
Better for making money and investing back home
@Youngchimodzi823
2 ай бұрын
Europeans and the Us made more money from Africa ,Asia and middle East than from their own countries. Political science and history tells us so!
Ata mim ni soon tu nitakuwa ugaibuni maana bongo mambo ayajawa mazuri ngoja tujaribu nje😂😂😂
@issahhussein1922
2 ай бұрын
Karibu hakikisha unajiandaa kisaikolojia zaidi kuliko kifedha
Mimi mwenyewe sio star ila bongo napakimbia muda sio mrefu
Ngoja nikomae na kilimo yote Mipango ya sir God
Frenk❤
Nice
Joseph kahìndi nae tuko nae japan
Nachotamani kujua ni wanafanya kaz gn huko nje ya hz za kiburudani ambazo tulikuwa tunazijua huku
sonia yupo france
Acha story nyingi nenda kwenye point
hongera zao
Frank Kanenepa Sanaa
Clouds
Lucy komba pia
Bongo co nchi ya kuishi hy kilakitu ujanja ujanja tu vt havinyooki nsy maana waelewa tunasepa
Jamani frenk namkumbuka sn
Bongo juwa kali bhana
Ata mm sipo bongo tena
Snoop Lee yupe Germany.
Miki j naepia sema yeye yuko canada
Bongo uwezi kutoboa kimaisha kwasababu ushikina mwingi sana
Wanaenda Luisa nje Coz wenzetu wapo na free mind kinoma kuliko hata unavofikiria nawala sio nyumbani
Mm mwenyewe na mpango wa kwenda zangu Ng,ambo bongo michosho
@davicekombe4932
2 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣Hakika mkuuuu
@stellahmsigwa6493
2 ай бұрын
Ila Mimi nikipata chansi bongo siludi kabisa tena kutoka moyoni
@stellahmsigwa6493
2 ай бұрын
Duuuh nimekumis kaka franki🎉
Izobisness
We dada hiki kimabeste kimsanii cha juzi utuambie kwamba watoto wa 2000 hatumjui dish lako limeyumba
Njaaa 😂😂😂😂😂
Njaaa ni nyingii bongo
Diana kimaro pia
Dah tunammiss sana Frank arudi jamani 😢
Mzee magari nilijiuliza sana kwanini hachezi mvi
Frank alitaka kufanana na mwijaku kdg
Solofing hujamutaja
Sihamii bongo mpaka mwisho wa dunia maana nyumbani ni nyumbani tu na bongo ni raha sana na tupo huru sana maisha ya ughaibuni asiwadanganye mtu ni ya kawaida tu na hawana uhuru kabisa kama huku kwetu yaani ni masharti kwa kwenda mbele hata kucheka kwa kibali maalum 🤣🤣🤣🤣😂😂
Jamani Raha P yupo wapi kitambo sana
Vijana wanakimbia life gumu bongo
Sio mastaar tuu wanaokimbia watanzania wengi tunakimbia uko nyumbani hali mbaya mi mwenyewe naandika apa sipo tz
@user-zq2nb4yh6t
2 ай бұрын
Kwenu kwenu homeboy
Angel Benard naye yupo marekani texas
@THETHIRDTV_
2 ай бұрын
Asante kwa ukumbusho ..list lazima iendelee....
Ameniuma sana mzee magari sikutegemea kama yupo huko ila poa haina noma kikubwa uhai
Hata me nikipata chance ya kuishi Unyamwezini sikai hapa Tz
Rey C 🎉
@THETHIRDTV_
2 ай бұрын
kzread.info/head/PLCnaRiyf2kgjRsprbJiB3lVsmN8DE132X&si=r2UqAfx1hX4LDyZO
Huko nikuzuri tatizo hapa umbeyà mwingi sana
Frank yupo Ulaya sio Marekani,either Norway au sweden kati ya hiyo
@williampaul8756
2 ай бұрын
Ni marekani bro
Wapo Weng sana tena wasanii wa kitambo ndio usiseme Chiv hanson balozi jd yusuf solothang chindo man rah p machozi yani wengi sana sana tutaowajua na tusio wajua
Bongo nyoso, nan anataka kuishi hapa
Ushirikina mwingi
Frank wetu jaman ndy maana simuon
Umemsahau Shija Mzee wa kwenda ulaya kila movie yupo Canada
@THETHIRDTV_
2 ай бұрын
Shukrani
@user-tt7cu2et1x
2 ай бұрын
H😂😂😂😂😂😂😂😂wallah ndto yake ilitimiaa mm ktka ndto yangu nataman kufka ital ama dubai ama canada nisikufe before cjakanyaga uko
Maskini frenk tunakumiss
Ukweli maisha ni popote dunia ni yetu sote kikubwa uzima
Nikitoboa lazima nihame Bongo
Wapi sofia kanumba na jamila?
Lah P pia yuko State kitambo tu....ile vocal ya mdada kwenye ngoma ya MIKASI ya late Mangwair...
@THETHIRDTV_
2 ай бұрын
✌️✌️
Nchi yenyewe inaitwa Bongo, akili Sana, nguvu Sana, kipato kiduchu au hakuna kabisa
Sonia mwenzako paula anataka kuzaa
@THETHIRDTV_
2 ай бұрын
😅😅
Solo thang,mr paul ,wote hao barozi dorosa wapi uyo
@THETHIRDTV_
2 ай бұрын
Thank you
Mimi ata unipe hela nje ya nchi siendi upuuzi mtupu maisha kote magumu
@AbdulGermany210
2 ай бұрын
Ujafika ukifika utaelewa maana ya mbele na Bongo,Ulaya unaumia wewe mzazi tu kufanya kazi ila huumii kuhusu watoto shule ni bure hakuna matabaka kama bongo ,kuna shule za kayumba na shule za wenye pesa huku hakuna hiyo,hakuna ada wala kuvaa uniform
Kuna balozi dola soul ,
Kumbe ma beste hayupo bongo
Wabongo wapo busy kujua kazi za ulaya 😂😂 eti utasikia kwani huko ma-star wetu wanafanya kazi gani..
Usenge tu😂watoto WA elfu mbili wamefanyaje
@JuaKali68kviews1hour
2 ай бұрын
😁
Sawa lakini je wanafanya kazi gani uko au kula kulala
Frenk l miss you my brother 😢😍🥰
Ipo siku na mm nitakuwa ulaya jamaniiii
@user-kd5yi9jo1g
26 күн бұрын
Mimi mwenyewe baada ya miaka mitano uingereza mwananchi🏴👨👩👧
Aiseee kama hamjuagi ni kwamba Roma kavunjwa uume hawezi kufanya tendo la ndoa ndomaana hajamchukua mkewe kama uamini ipo ivo.
@racheljob6601
2 ай бұрын
😂😂😂 daaah ila wabongo una ushahidi
@kazimoto-eq2th
2 ай бұрын
@@racheljob6601 kama hamuamini angalia roma hadi anakufa haji kukaa na mke na huko marekani hana demu na akiwa nae skendo tu ila ukweli.utakuja kuamini fatilia
Ww mabeste kavutwa na lakaaake yupo kule nasio mwanamke
@maulidjuma9203
2 ай бұрын
Hakuna star hapo star awezi kwenda ulaya USA kutafuta kz yani akaanze zero mastar bongo tunawajuwa awezi kuafanya kz kwa 3000dola
Slaves hameni wote mniache mm huku
stori zimezidi sana ndio maana unasahau watu. punguza mastori hayo.
@THETHIRDTV_
2 ай бұрын
Sawa Elias
Sollo thang
@THETHIRDTV_
2 ай бұрын
Good
Mchongo mkumbwa😅
HUKU KUNAITWA MAMTONI HUWEZI KWENDA KUTAMBA NCHI ZA WATU
Gonja murusi atoe mamuzi mangumu wanze kuomba msanda
Huseni machozi
@THETHIRDTV_
2 ай бұрын
Yupo kwenye previous video
Hawafanyi kazi hizo kwasababu siyo wasanii ni waganga njaa tu. Huko msanii anaanzia shule za awali kabisa tofauti na sisi huku tunawapotezea muda kuanzia shule za awali hawajui wanasoma nini mpaka anafikia uzeeni huko ndio anaenda chuo cha sanaa mara moja tu . Inatakiwa turekebishe hili ni tatizo kubwa sana , tutengeneze shule za sanaa watu wasome kuanzia awali (utotoni) mpaka chuo kikuu awe amesomea sanaa tu popote atakapoenda anakuwa msanii n.k Tuondoe huu mfumo wa elimu wa kupoteza muda wa watoto wetu , mtoto unamsomesha masomo 20 alafu ukubwani ndio anakuja kusoma sanaa ,mwisho wake anakuwa haieleweki yeye ni nani na afanye nini
Frank na mzee magari wapo ILLINOIS
@THETHIRDTV_
2 ай бұрын
Thanks for the information 🙏🙏🙏
@DuniaKalenga-hr2lz
Ай бұрын
Iowa
Mzee magari tukonaye hapa Illinois US, tunafanyanaye kazi pamoja.
@THETHIRDTV_
2 ай бұрын
Yupo kwenye previous video
@chamballaally8767
2 ай бұрын
Kazi gani?
@chamballaally8767
2 ай бұрын
Kazi ipi ?
Eti wanakimbia nini apa bongo? Kweli hilo swali? Wewe nikubebe dubai tu, utasepa bongo
@THETHIRDTV_
2 ай бұрын
😄😄😄🤣🤣
Reyc yuko wapi?
@THETHIRDTV_
2 ай бұрын
Previous video
Kwahy Sonia na Tahiya washakuwa mastar eeh hd wanawekwa km wanaishi nje jaman wakati wanasoma tu basi muwekeni na Mtoto wa Manara na mie mniweke maana np nje mwaka wa 6 huu😂😂😂 Solo Thang umemsahau au
@THETHIRDTV_
2 ай бұрын
Si unawajua lakini!!! They are famous"
@Just_a_gal.
2 ай бұрын
Ushaambiwa list ni ya Marekani na Ulaya tu,,sasa huyo mtoto wa Manara huko Asia anaingiaje humu
@Official83640
2 ай бұрын
@@Just_a_gal. Sasa Sonia yupo Marekani umeambiwa 🤣🤣
Yaani unamuacha Hussein machozi unamuweka sonia sasa huyo demu usanii kaanza lini?
@THETHIRDTV_
2 ай бұрын
Husein yupo kwenye previous video
Roma mkatoliki
@THETHIRDTV_
2 ай бұрын
Yupo kwenye previous video
Tunamiss filam zako wewe namze magali
Izzo business na Abella
King GK. yuko wapi.
Mbn tunasikia Mzee magar kafa
@THETHIRDTV_
2 ай бұрын
Yuko hai