WASAFI WAMCHEKA ALIKIBA KISA KOLABO YA DAVIDO, WADAI ALIKIBA HAJUI KIINGEREZA
Jiunge nasi kupitiaa mitandao yakijamii Facebook, Instagram na Twitter gusa link za zetu apo chini.
.
FACEBOOK: / minotv
INSTAGRAM: / minotv_tz
TIKTOK: / minotv_tz .
Jiunge nasi kupitiaa mitandao yakijamii Facebook, Instagram na Twitter gusa link za zetu apo chini.
.
FACEBOOK: / minotv
INSTAGRAM: / minotv_tz
TIKTOK: / minotv_tz .
Пікірлер: 47
Wasafi hawana inshu kwa Sasa cjui kama kuna watu wana ckiliza iyo Radio watu wote tumeamia mtaa wa pili CROWN FM😂😂😂
@Legends_Interviews
16 күн бұрын
Wivu tu wasafi
@isaackambofi1241
16 күн бұрын
Wcb forever
@user-rp5fe7ie7t
16 күн бұрын
wachafu wana wivu
@Brunotarimo10
16 күн бұрын
Nakubaliana na ww kaka
@user-rp5fe7ie7t
16 күн бұрын
@@Brunotarimo10 kabisa kaka
Hawana jipya waleee, king kibaa fanya kazi,tunakupenda
Juma lokole kwanza ni msenge hana jipya
Wasafi wanachuki za wazi wazi na alikiba hata haya hawana yaani ovyoo
Zambi kweli😢 wivu uku wamekalia viti vya watu vingekua vyao sijui ingekuaje kiba💪 English akiitaka ata leo anajifunza 💪 sasa subilin kiba aludi chini 😆 mutanjoja sana muchoke 😅 tafuteni viti mukae 😏 Crown media 👏👏👏
inawauma kisa crown inawakimbiza ko wameona walete mjadala wanatafuta kiki wachafu
Sioni shida hapo si nikuchanganya ndimi
Sasa colabo haijafanyika tayari wanateseka
Wajinga sana wasafi Yan show Yao ilibuma 😅😅 mfalme yake ikauwa hawana cha kusema 😢😢wanasingizia kiingereza mtajua hamjui!!!😁😁😁
Wao wenyewe hawajui alisema atazungumza lugha mbili ili fans wake wa east pia wajue alichokisema
Sasa ww juma senge unajua au ni kuashwa una washwa
Wewe ndoo umehama wasafii FM nilijitu likubwaa
Kwani shoga si ndio zake kucheka Cheka ovyo zuri anache zuri anacheka
Jamani mbona mnamambo ya ajabu nendeni kwenye stage Kama mnaweza uchuro tu au nyie niwasomi Sana 😅😅😅
English ni lugha tu. Mindset Kama hiyo ni ujinga.
Wachafu hamna jipya, wivu mta catch😂😂😂
Yan kwel king kiba mtamchukia mbaka Lin na kolabo ikitoka mtalia alafu juma lokore hujui ki2 we hixhi kiume wew
Ikivuma sana itapasuka
Hyo alifanya codswitch tatizo hao watangazaji pia hawajui kizungu
Ali Ana hakili sana sio mrupukaji kama Hao waking wasafi wenu. Unajuwa mtu mwenye hakili sana uwa yupo negapositive all the time. Cause huwezi juwa itakayo tokeya kesho. So kusema kwamba a determine kwamba yes Ata fanya na kesho ishindikane Ata onekana mwongo that's why he had put it in to nega-positive way. Alikiba Ana hakili sana na mkubali sana mimi.
Kwani kuchanganya luga ni kusito jua ama ni jambo la kawaida juu uyu mwenyewe alijua yuafanya nini kwani kuna watu wanamfatilia na awajui kibgereza sasa mwataka aongee kingereza ili iweje wacheni ukuro miwa ya ramisi nyie
Mbona kaongea fresh tu,mbona simba naye anang'atang'ata maneno hamsem
Wasafi hmna jipya xx ile kolabo n R kelly na patoranki alizifanya vipi
Kawa piga bao la mshono😂😂😂😂😂
Kwani kizungu ndio nini jamani wachina wanajenga na kutengeneza vitu kila kitu unachotumia mbona awaongei kizungu acheni hizo kiswahili ni luggage kubwa hapa duniani kwa sasa jua ilo in african swahili is number one....
Almando unazinguwa kwani kujibu mu English sio lazima Alicante swaili because of people from Est Africa sio kusema eti hajuwi yani mtakoma mwaka huyu we Almando unapendaga kumsema vibaya Alikiba kakukoseya nini?
Sasa uyo aliesema tumsikilizee uyo si shogaaa uyo Alie funga nyweleee uyoo
Pumbavu zao bos wao anajua nini
Wameisha hao
Shida kichwani wasafi hamnankw m2kachanganya lugha kawa hajui kingereza😂
Wasafi ni ujinga tu
Wachafu hamna lolote
nabado kunakingine atafungua nyie si wachafu
Ngj n chk uyo diamond anajuwa. Nn ss
maoni nyie washamba
Washamba2 hawana lolote Hao wachaf
Wasafi hmna jipya xx ile kolabo n R kelly na patoranki alizifanya vipi
Wasafi hmna jipya xx ile kolabo n R kelly na patoranki alizifanya vipi
Wasafi hmna jipya xx ile kolabo n R kelly na patoranki alizifanya vipi
Wasafi hmna jipya xx ile kolabo n R kelly na patoranki alizifanya vipi