Келесі
- 12:13
- 503 М.
- 11:20
- 19 М.
- 00:15
- 7 МЛН
- 22 күн бұрын
- 00:17
- 63 МЛН
- 12 күн бұрын
- 2:22:55
- 1,8 МЛН
- 22 күн бұрын
- 00:22
- 99 МЛН
- 11 күн бұрын
- 4:58
- 1,7 МЛН
- 4:48
- 282
- 5:18
- 72 М.
- 10:17
- 1,7 М.
- 12:29
- 185 М.
- 10:58
- 55 М.
- 0:24
- 5 МЛН
- 0:20
- 4,7 МЛН
- 0:19
- 1,1 МЛН
- 0:24
- 3,1 МЛН
- 0:18
- 1,3 МЛН
Пікірлер: 164
PURE TALENT HII AISEE
verse ya Mwisho kaua kwa mzuka big up dogo
Umetisha wakiafrika !!!!!
yupo vizuri siwezi mlahumu dj kwa beat sababu sio producer ila beat hukumtendea haki
namkubali unju ndie mc mwenye kiti kikuu hahaha....ukonganation
Mpeni nafasi huyu moto wake n wa maarifa the big thinker
😄😂😂😂mpaka muuza majeneza magufuli kabana kwel can i go more💣💣💣🔫
This nigga hav good memory of rembering his songs n spit em in werever beat droped.. the session was cool anyway
unanata na midundo ni noma... lyric technician mzur.... noma baba lao
Mwamba anaeza sana, salute kwake, hapo had nam napata vyb ya kuondoka kwenye dakika kumi za mangamizi, wa kwanza ni scoda, wa pili Elisha, wa tatu nchama, wanne maarifa big thinker, selementaly na huyu wa sita
"Ni come down nisighani kwa kupayuka" Huyu jamaa kanikosha zaidi kwenye beat ya Nako 2 nako pale... Flow yake konki mamaeeeee
oi oi nakubar mzee baba unaweza kaz2
We noma saa na
Yes I. Nimekubali saaaaaaana. Big up WaKiafrika...!!!
nomaaaa wakiafrica aliua midundo yote
Ma under ground %100 wamewafunika wakongwe umekubalika na unamzuka pia
Hizi dakika ziongezwe wakija underground....
Aiseee mbn nimekukubali mwamba upo good
nyokoooo kumamake ww nomaaaaaa 😂😂😂😂
Wakiafrikaaa unajua brother yaan wewe na boshoo ndio mafundi wangu
Duuu chaliii haja teatea hata kidogo mwanzo mwisho katema madini yenye maana na yenye mzuka kinoumaaaaa big up sana mzeyaaaaa
Jamaa ana mizuka kinoma
jamaa anajua sanaaa
ni shiidaaah, on fire mwanzo mwisho.....go onnnn😭😭😭😭😭😭😭
nani kamwita *#WakiAfrika* uyu!? pumbavu zake...... uyu anaonekana Co hata wa bara la #Asia mbna jamaa kanifanya nijute kwanin nimechelewa kuangalia dah mi namwita *Wakiulaya* jamani 👊
@ombenicharles4287
5 жыл бұрын
Saf sana
@ashiraffmmbwego582
5 жыл бұрын
Wakiafrika cause akili nyingi na hekima originated from Africa
Huyu WAKIAFRIKA anaandika KINOMA...bonge la Lyrical Technician..halafu dizain kama Church Boy hivi... "Habakuki agano jipya hunipati"...Big Up!!!
@emmanuelkoya8109
6 жыл бұрын
ata mm nimeliona ilo mwambaaa.. kiukweli dogo anajua then sio mwoga
Wakiafrika we n hatar , u murder this 1
Wakiafrica umeuwa sana yaani noma.big up bro
Hajui
Muwe mnaleta ma underground ka hawa ndio wap very serious mastaa huboa sana na hawanaga mistar ya kutosha
fit wakiafrc man umekalixha mastar wote walio papasa dk10 shit√√√√√
xana mzee
Wakiafrika karudisha heshima ya dakika 10 za maangamizi
Noma sana.. Katisha mbaya. Kaliamsha dude mbka lililo potea planet bongo kwa mda
Namwona Bob shumrda
horaaaaaaa noma noma sana aisee jamaa anaweza tatzo dj samy unamp biti kibao
naomba nicomment kwenye iii doooh saluuutee mwanangu nooouuuuuumaaa
hatari sana wakiafrica
Wa kiafrika kawanyoosha saana. .. .1000
Fantastic
jamaa katukumbushia radha toka atoke maarifa big thinker
big up sana broo safi sana
Adi muuza majeneza Magu kabana mchizi noma wakongwe chaliiiih 😭😭
we nouma wakiafrika uko vizuriiiii
Daaaah mwana ametisha ile mbaya...pamoja sana #PLANETBONGO
duuuu mam ww co poa dula muite ten huyu m2
Mshikaji anajuaaa snaaaaaaaa flow kali
Mm ni mchina sijui vizur kiswahil jamaa yuko guder sana
ametishaaa xana #wakiafrika
Mc mkali sana nimemskiliza
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 shkmooo wa kiafrika Hawa ndo watu tunawatakaaaa.... Sio kama waleeee... 😂 😂 wengi
Waa uyu wakiafrika anatesa kutesa
huyu jamaaa anajua sana salute wakiafrika
Can I go or no..can I go more!?? Jamaa yupo njema
Underground wameuaaaa mbayaaaaaaaaa
jamaaa anaweza wakiafrika na anajiamini sana ila flow zake kama marifaaa kwa mbali
@allanausi5099
6 жыл бұрын
yaap bt anaandika sanaaaaa
tunamwitaji dizasta vina au boshooo ninjaa
Hatari hatari!
Dah ! Uyu dogo ni hatari sana sasa namsubili Nala Mzalendo toka moro
Nimeipenda ya muuza majeneza magufuli kabana
umeua mwanang nakukubali
brother dullah unazngua bhn...😁
Uko vizuri napenda unavyo tambaa na beat
Jerry namtambua tom hata wawe paka lundo...
Nakubal sana broda kaka
jamaa anajua kiukweli yupo vizuriiiii
heshima afu jamaa kamaliza zote ila anaona kama yupo dakika ya pili
july,25
dude #wakiafrika unajua ✊
Dah! Uyu dogo ni hatari sana sasa namsubili Nara mzalendo toka moro
Daaah! biti unachenger ktkt ya ves sio poa bhna acha apite ndo uje na beat sama ahhhh ubazingua
Next level homie
Bundles zimeregeshwa hapa
Noma sana
daaah jamaa katisha sana nimemuelewa hicho kichwa
Anaweza. SALUTE Bro.
blessed up broo keep movn
Msela ametisha
Aman kwako Wakiafrika
aya arusha vip mbona Hip Hop imejaa
....go more niqaaa
Go go Brother
usipocomment utakua muongo bhn.... mwamba unajua mzee baba
DJs ndo macho... BT za msagasumu mnawapa MCs makukabisaa mnatualibia mziki wetu
nimeagizwa kukamua mpaka maji yatapokauka, wakiafrika noma
WAKIAFRIKA king
jaaaaamaaaaa oyooooo nimekupata
No moja kwangu 1 BOSHO 2 WAKIAFRICA 3 MIMI 4 MA STAR AKUNA K2 5 6 7 8 9 10. SALUTE MA UNDER GROUND
@erastomwakalinga7079
6 жыл бұрын
Alex Mumba ko selementary hujamuona? na maarifa je au ndo kujuana
Nice dude
Duuuh huyu mbwa anajua vibaaaaaaay hakuna
Nice brother
Anajjuaaaa mpaka baccccc
Uwiiiiiiiiiiiiii noooooma sanaaa
Safi
Naona wanna wamenuna
Zinanipa raha 10 zamaangamizi
naongeza comment coz navibe hyu ni waya
hatarii sana dakika kumi kama ndogo ivi....
Huyu jamaa hata hapumziki yuko moto mwanzo mwisho,,msituletee waliotoka wanatuuzia maneno humu
Kichwaaaaaaaa