CHUKUA MAWASILIANO HAPA KUJIUNGA NADUAA YA LEO INSHALLAH TUELEZEE NINI KINAKUSUMBUA

Пікірлер: 21

  • @HassanAlly-mh2bi
    @HassanAlly-mh2bi29 күн бұрын

    Naitwa hàssan ally ninashda ya kusinzia darasani

  • @AminahMtwa
    @AminahMtwa29 күн бұрын

    Mm nahitaji mume shekhe rizki ngumu tafdhr 🙏 naitwa Amina Mtwa

  • @MwanamvuaMgandi
    @MwanamvuaMgandi26 күн бұрын

    Sheikh mungu akupe umri mrefu mwanamvua akida samira mbelwa jumaa mbelwa kijoli Mgandi

  • @Asiya-gz2ie
    @Asiya-gz2ie29 күн бұрын

    Assalaykum sheikh Mm nahitaji mume naitwa Asia yahya ali,,Yaa allh tufanyie wepes waj wako

  • @zuwwnaramadhan6941
    @zuwwnaramadhan694129 күн бұрын

    Assalam aleykum warhamatullah wabarakatuh shkuran maalim jini ZUWENA RAMADHAN NDABAHA

  • @user-mo8fn6yy5h
    @user-mo8fn6yy5h29 күн бұрын

    Ndugu yangu Ana jini anamsumbua vibaya sana

  • @ZenaMoshi
    @ZenaMoshi28 күн бұрын

    Aasalam aleykum shekh mimi naomba mume wangu Anuwar kazi awataki kumwandikisha awa kila siku wanampiga tareh na piya kaka yangu haji issa bado anaumwa Aliwahi kufika kwako lakini bado mambo ayako sawa rizki piya Tunaomba duuu

  • @zaheedvirji6624
    @zaheedvirji662429 күн бұрын

    Sheikh Nahitaji jina langu kwenye Dua. Allah akujaalie.

  • @fatoukarekezi1829
    @fatoukarekezi182929 күн бұрын

    Cheikh Mimi naitwa Fatma kutoka Belgium, naomba dua!

  • @mzeemzee7503
    @mzeemzee750329 күн бұрын

    SHEKHE MABROOK WAJUWA KUMBEMBELEZA ALLAH HAKUNA KITU KITAKUSHINDA KATIKA DUNIYA HII KHERI INSHAALLAH AMEEN

  • @pilichambo1107
    @pilichambo110729 күн бұрын

    Sheikh majini mahaba yanatutesa hata rizki kupata ni shida ndoa yataka kuvunjika

  • @ashanassoro6492
    @ashanassoro649229 күн бұрын

    Allah akubariki

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri652429 күн бұрын

    Inshaallah

  • @MwanatumuJuma-gz3fv
    @MwanatumuJuma-gz3fv29 күн бұрын

    Mimi nina kitu kimenikaa kooni sheik naomba dua zko nko hasadi mwili wangu unawaka moto namikosi naitwa mwanatumu

  • @khaulalivigha8722
    @khaulalivigha872229 күн бұрын

    Nimeolewa ndotoni na jina naitwa habiba hamisi

  • @SaumJuma-ng4vj
    @SaumJuma-ng4vj29 күн бұрын

    Mm tatizo langu kudhumiwa ninapo fanya kazi silipwi haki yangu na nikikopesha mtu pia hanilipi ukida ndio chanzo cha ungomvi na matus kunitukana

  • @nuriahussen2160
    @nuriahussen216029 күн бұрын

    Naitwa Nuria hussein maskio yanawasha xana nayachokora alafu usiku yanatoa sauti

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri652429 күн бұрын

    Sheikh wangu ni Nina tatizo lakukata tamaa, kushindwa na uvivu kwa JINA naitwa YUSUFU HERI ABDI

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney736729 күн бұрын

    Kwa ambao tupo nje tunashiriki vp

  • @ashuratofiki2144
    @ashuratofiki214429 күн бұрын

    Mimi Nina jini mahaba hiyo karatasi ya mwisho ndio dalili zangu

  • @ashuratofiki2144
    @ashuratofiki214429 күн бұрын

    Mimi Nina jini mahaba hiyo karatasi ya mwisho ndio dalili zangu