Aasalam aleykum shekh mimi naomba mume wangu Anuwar kazi awataki kumwandikisha awa kila siku wanampiga tareh na piya kaka yangu haji issa bado anaumwa Aliwahi kufika kwako lakini bado mambo ayako sawa rizki piya Tunaomba duuu
@zaheedvirji662429 күн бұрын
Sheikh Nahitaji jina langu kwenye Dua. Allah akujaalie.
@fatoukarekezi182929 күн бұрын
Cheikh Mimi naitwa Fatma kutoka Belgium, naomba dua!
@mzeemzee750329 күн бұрын
SHEKHE MABROOK WAJUWA KUMBEMBELEZA ALLAH HAKUNA KITU KITAKUSHINDA KATIKA DUNIYA HII KHERI INSHAALLAH AMEEN
@pilichambo110729 күн бұрын
Sheikh majini mahaba yanatutesa hata rizki kupata ni shida ndoa yataka kuvunjika
@ashanassoro649229 күн бұрын
Allah akubariki
@yusufuheri652429 күн бұрын
Inshaallah
@MwanatumuJuma-gz3fv29 күн бұрын
Mimi nina kitu kimenikaa kooni sheik naomba dua zko nko hasadi mwili wangu unawaka moto namikosi naitwa mwanatumu
@khaulalivigha872229 күн бұрын
Nimeolewa ndotoni na jina naitwa habiba hamisi
@SaumJuma-ng4vj29 күн бұрын
Mm tatizo langu kudhumiwa ninapo fanya kazi silipwi haki yangu na nikikopesha mtu pia hanilipi ukida ndio chanzo cha ungomvi na matus kunitukana
Пікірлер: 21
Naitwa hàssan ally ninashda ya kusinzia darasani
Mm nahitaji mume shekhe rizki ngumu tafdhr 🙏 naitwa Amina Mtwa
Sheikh mungu akupe umri mrefu mwanamvua akida samira mbelwa jumaa mbelwa kijoli Mgandi
Assalaykum sheikh Mm nahitaji mume naitwa Asia yahya ali,,Yaa allh tufanyie wepes waj wako
Assalam aleykum warhamatullah wabarakatuh shkuran maalim jini ZUWENA RAMADHAN NDABAHA
Ndugu yangu Ana jini anamsumbua vibaya sana
Aasalam aleykum shekh mimi naomba mume wangu Anuwar kazi awataki kumwandikisha awa kila siku wanampiga tareh na piya kaka yangu haji issa bado anaumwa Aliwahi kufika kwako lakini bado mambo ayako sawa rizki piya Tunaomba duuu
Sheikh Nahitaji jina langu kwenye Dua. Allah akujaalie.
Cheikh Mimi naitwa Fatma kutoka Belgium, naomba dua!
SHEKHE MABROOK WAJUWA KUMBEMBELEZA ALLAH HAKUNA KITU KITAKUSHINDA KATIKA DUNIYA HII KHERI INSHAALLAH AMEEN
Sheikh majini mahaba yanatutesa hata rizki kupata ni shida ndoa yataka kuvunjika
Allah akubariki
Inshaallah
Mimi nina kitu kimenikaa kooni sheik naomba dua zko nko hasadi mwili wangu unawaka moto namikosi naitwa mwanatumu
Nimeolewa ndotoni na jina naitwa habiba hamisi
Mm tatizo langu kudhumiwa ninapo fanya kazi silipwi haki yangu na nikikopesha mtu pia hanilipi ukida ndio chanzo cha ungomvi na matus kunitukana
Naitwa Nuria hussein maskio yanawasha xana nayachokora alafu usiku yanatoa sauti
Sheikh wangu ni Nina tatizo lakukata tamaa, kushindwa na uvivu kwa JINA naitwa YUSUFU HERI ABDI
Kwa ambao tupo nje tunashiriki vp
Mimi Nina jini mahaba hiyo karatasi ya mwisho ndio dalili zangu
Mimi Nina jini mahaba hiyo karatasi ya mwisho ndio dalili zangu