Charles Magari Aja na Mpya / No Parking Tv.
Музыка
NO PARKING Tv. is a none profit youtube Tv show that brought you events that's happening in our community . we welcome you to support us financially for the success of our program .phone number is +17022924830 e-mail: bbabayangu@gmail.com
Пікірлер: 108
Magar mtoto wako Dotto magar nae Uje kumchukua anatusumbua et anasema yeye mama yake mama kizim kazi
My favourite artist...nakukubali sana
mr chaka mimekumbuka mbali saana misukosuko j blus mtangazaji anafanana na mr sugu mbunge wa zamani wa mbeya A.K.A jongwe
Mzee Charles ludi nyumban Tunakukumbuka sana sana mzee
Nyie magari sasahivi hajui kiswahili vizuri😅
Zeee la wazeeee. mic you
Dah uyu mzee kitambo
Charles magari please tunaomba ukatumalizie movie yetu ya double j finally🙏🙏🙏🙏🙏
@user-ix9ed2ie9z
Ай бұрын
kwakwel afanye ivo
@CharlesWanyeche-er6rw
Ай бұрын
Sure
Huyu mzee n nguli kweli kweli
Dah mzee umetisha sana magari
NI KWELI HUYU JAMAA NI GWIJI LWELIKWELI.❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mzee azeeki yupo pale pale
Mzee magali njoo nyumbani bongo
Nakukubali sana mzee
Aisee umependeza sana baba Marekani pamekupendeza,
Nimekukubali Mzee wetu
amenenepa wooo
Umenena mazuri sana mzee
4got ur madola ur mtapa mauchi ngwana,,,unapesa gani ya kushindana na mimi😅😅😅😅
Jamani mzee magari tumekumiss
@IslamPeto-fd6wr
2 ай бұрын
Sanaa
umerud ujana babuu
Mzee wangu jaman magari
Mwamba Chares Magari uko fiti sana👍👍👍👍
Nathamani nikuone magari njo Tz tunakumiss sana mzee
Mzee tumekumisi sana kwenye Bongo movie. Niko Burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮
You guys just walked past me at the venetian hotel and gained a subscriber
Mr chaka Unisalimia Mpenzi wangu mpendwa sana,bad boy ni Collins Onyango from kenya
Nyie uyu baba bado amekua hand sam 😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mzee wetu magali ludi nyumban tumekumic sana
Hhahahah alivyo keti sasa kama anataka kumpiga mtangaziji
Uyu mwamba daah anajua😂
Ayu na mzee magal ni ndugu kwan
Mze Magari njoo uokowe Bongomovie Ila swaga zako kama Rick Ross
@nancyg8664
2 ай бұрын
😂😂😂😂
Maindamainda Mya daughter....! Heeeheee
Tupo nchi gan kwan mzee magari
Nimemiss mzee magari
Mahindraaaaaaaa 😂😂😂😂
JAIVA NJOO KWA BABA AKO
@thevoxtz
2 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@maryammdoe5801
Ай бұрын
😂😂😂
Mzee magal bwana jembe sana
Daah mzee Magali sintosahau kwenye ile Movie ya Mainda, Kanumba akiigiza km houseboy.
@jpapajackson
2 жыл бұрын
Ndio kabisa♥️
Mainda my dota😅😅
@aminakipande5645
2 ай бұрын
😂😂
@njoroboihastla
2 ай бұрын
😂😂😂
Rudi baba ujuzi hauzeki tume ku miss
Mara yamwisho mzee magari nimekuona pale ulipo kujaga #_nguruka_kigoma
@tinnahagustinolyelu4247
2 ай бұрын
Maisha haya nakumbuka nilikutqna nae buguruni anakatisha sukita kwenda kigogo kweli usimdhalau mtu
JAMAA NAMKUBALI MNO YUPO SERIOUS
KANUMBA ALIVYO KUFA TUU, MAMBO YOTE YALIHARIBIKA😢😢😢😢 KILA MTU ALIKIMBIA😢😢😢😢😊
hiyo kiswahili sasa😂😂
Mainda my daughter
Mzee magari
kama unavyosema unafuatilia nchi yako, nami hapa shabiti wako sugu kabisa toka hapa mombasani nakufuatilia kinoma, yani siku moja MUNGU atukutanishe.
Journalist is 🇨🇩 papa magari
Uskute ni babake Andrew Kibe.. shenz kabisa 😅😅
@izack9191
2 ай бұрын
😂😂 we fala kweli
weemagari
Benn ,Jacob Kamata mainda. Mzee magari wapi mainda
Nakutakiyakazinnzuri kaka jackson
@isaacvtv547
2 ай бұрын
Nilikuwa nikimtazama huyu jamaa sasa kumbe ndio yeye. Kazi nzuri sana?
Unafanana Mr2 Sugu
@FidasMwaiteghelesya-hw9qs
2 ай бұрын
Saaaana
Dingi anakula maisha atari hii ndo maana halisi kupambana ujana kupumzika uzeeni
Amekua toz🤣🤣🤣🤣🤣
karibu nyumbani magari
Mainda karudi na baba yake
Baad boy
Unafana na Sugu
Jaiva akasome
🤝🤝
4yrs ago..
Acha kuzuga ww kujifnya ujui kiswail wakati we niwatandale apo alafu njoo mchukue kijana wako wakumzaa dotto magari anasumbua Sana na uchawa
Mzee wakazi
Usikute baba yake doto magari
@badmanno.1650
2 ай бұрын
😂😂
Nataka arudi nifanye nae KAZI kubwa
Nice
💪💪💪💪💪🇹🇿
Duuu hata kiswahili umegeuza
@assinhandayiragije4844
Жыл бұрын
Umeonaeeee
@wiliiammkenda5174
Жыл бұрын
Mzee imebarikiwa bichwa
@jilalamaligisa4854
2 ай бұрын
Sema Kiswahili amebadilisha sio "amegeuza"😂
@alphoncewilliam4325
2 ай бұрын
😂😂
Wangapi tulijua mzee katutoka
@shabansumaiya4770
2 ай бұрын
Kweli wakati mwingine tusikurpuke ila mimi nasema Mareham kanumba aliacha majonzi wengi aliokua nao kwenye move wameondoka hatuaoni
@michaelsamson9663
2 ай бұрын
@@shabansumaiya4770 ukiwa msanii mdogo ukifa watu awawezi jua
@solomondanny-1507
2 ай бұрын
Yaani mimi sikujua
Kiswahili ya kikenya aki walai
@jilalamaligisa4854
2 ай бұрын
sema Kiswahili cha Kenya sio "ya"😂
@exclusvetztv9011
2 ай бұрын
Chafu sanaa
@sonnyr1899
2 ай бұрын
Mkongo huyo
@kellyngogo3319
2 ай бұрын
Kiswahili cha mcongoman
@Aiisha901
2 ай бұрын
@@kellyngogo3319 mkewe mwenyewe mkongo lazime aongee hivo
Komaa uko uko nyumbani akueleweki
😂😂
wote Ni wacongo Vraiment
Huyu MTANGAZAJI ni mCONGO
@lamataleah tuletee huyu mtu
Amlishi puli wa tz