BUILDERS EP 9 | PLUMBING | Ujenzi wa mifumo ya maji safi na taka ndani
Tukiwa na #Twigacement tunakujuza kuhusiana na mambo muhimu ya kuzingatia katika ujenzi wa mifumo ya maji ndani ya nyumba ya maji safi na maji taka.
Tuko na mtaalamu khalid_magypsum.
Kama umevutiwa na material au wataalamu katika kipindi hiki Usiache kutembelea :
builders.co.tz
KUMBUKA KIPINDI HIKI HUKUJIA
kwenye tv yako pendwa ITV.
Alhamisi: Saa 12:30 jioni
Jumanne (marudio) : Saa 7:30 Mchana
Subscribe youtube hapa:
kzread.info...
Pia usiache kutu follow:
Facebook: / thebuil. .
Instagram : / thebuilders. .
Пікірлер: 42
Nakuli sana
Uko makini kiongozi wangu
Naomba no zenu
Naomba namba ya simu ya fundi Reward Mrema!
Labda ni mimi peke yangu..lakini kipindi hiki kinatufundisha mambo mengi ya msingi....mfano: nyumba ninayoishi haikujenhwa na msingi imara kiasi mizizi ya miti iliyozunguka nyumba ilianza kuchochoza ufa za ukuta. Hii yote ni sababu ya kukosa washauri na kutojifunza juu ya mambo. Mwambie jirani juu ya usaidizi mzuri wa builders home.... Karibu.. Usipite bure... Jifunze....
@TheBuildersHomeTz
6 жыл бұрын
conso Africa asante sana. Tunaendelea kuisogeza jamii karibu zaidi na ujenzi
Mi ni fundi bomba ko jamaa wanachokiongea nakijua vizuri hawa jamaa wako vizuri wanaijua kazi yao
@TheBuildersHomeTz
3 жыл бұрын
asante sana kwa support yako
Nice
Building hongereni sana tunawapongeza kwa kutupa ufundi, bora na kufahamu ubora wa majengo kwa ubora wa cement yenu twigger n,k tupo pamoja Tanzania isonge mbele maendeleo hapa ni kazi tu.
@TheBuildersHomeTz
4 жыл бұрын
Asante sana. Tupo pamoja. Tuendele kuwa pamoja kwaajili ya msimu wa pili
Good job Arch.
@TheBuildersHomeTz
6 жыл бұрын
nasri.27 Jr thanks alot Arch
Hi fundi
technology of bulding house
Channel nzur
good mr.
@TheBuildersHomeTz
6 жыл бұрын
steve W. Mutasa asante sana
@rashidiasantemwalimngandil4890
5 жыл бұрын
napata elim bure asanteni
Thanks Kwa Somo
@TheBuildersHomeTz
6 жыл бұрын
David Pius Muzzazzi nashukuru pia kwakufwatilia
@TheBuildersHomeTz
6 жыл бұрын
David Pius Muzzazzi nashukuru pia kwakufwatilia
Asanten san kwa somo naomba namba ya fund maj saf na taka
@TheBuildersHomeTz
4 жыл бұрын
0716573079 karibu sana mdau
Bado mnatoa huduma mbona hampatikan?
Kwa wastan chember inayochukua bomba nne inatakiwa iwe na ukubwa kiasi gani fundi wng
@TheBuildersHomeTz
3 жыл бұрын
Tuwasiliane kwa namba +255788860048
How much hy biodigester ?? Kwa nyumba ya chini??
@TheBuildersHomeTz
5 жыл бұрын
Muhammed Wakif please tuwasiliane kwa 0753536500
Hizi ndio channel zenye akili
@TheBuildersHomeTz
3 жыл бұрын
Asante sana... tutaendelea kujitaidi..
Je mnachora ramani? Kama ndio weka No. Zako hapa.
@TheBuildersHomeTz
3 жыл бұрын
Karibu sana... 0753536500 ( call or WhatsApp )
Naomba contact zenu
@TheBuildersHomeTz
4 жыл бұрын
Said Suleiman 0716573079
@stevenmasawe454
3 жыл бұрын
Namba jamani tutapataje?
Nahitaji kujifunza ufundi 0717141537
Namba namba ya fundi kwaajir ya kuniwekea mfumo wa maj saf na maji taka namba yangu ya simu ni 0784485858 kazi ipo tayari bado fundi tu
@TheBuildersHomeTz
4 жыл бұрын
ramson kunambi sawa tuna kupigia kukupa mtaalamu
Safi sana mtaalam nimekuelewa hata mimi ndizo kazi zangu kutoka mwanza naomba namba yako kuna vitu muhimu nataka kama ushauri kutoka kwako na kibiashara zaidi hasa upande wa Rodding eye, Air vent valve 50mm kwa geita na mwanza ni changamoto sana kupatikana mara nyingi naagiza Dar es salaam. My contact +255(0)765495073
@TheBuildersHomeTz
4 жыл бұрын
Karibu builders shop unaweza pata hayo material yote ndugu mtaalamu...asante sana kwa kuangalia kipindi chetu. karibu sana..
@erastosolomon4554
4 жыл бұрын
Namba zangu zipo hapo naomba tuwasiliane