BUILDERS EP 9 | PLUMBING | Ujenzi wa mifumo ya maji safi na taka ndani

Tukiwa na #Twigacement tunakujuza kuhusiana na mambo muhimu ya kuzingatia katika ujenzi wa mifumo ya maji ndani ya nyumba ya maji safi na maji taka.
Tuko na mtaalamu khalid_magypsum.
Kama umevutiwa na material au wataalamu katika kipindi hiki Usiache kutembelea :
builders.co.tz
KUMBUKA KIPINDI HIKI HUKUJIA
kwenye tv yako pendwa ITV.
Alhamisi: Saa 12:30 jioni
Jumanne (marudio) : Saa 7:30 Mchana
Subscribe youtube hapa:
kzread.info...
Pia usiache kutu follow:
Facebook: / thebuil. .
Instagram : / thebuilders. .

Пікірлер: 42

  • @roseurio9600
    @roseurio9600 Жыл бұрын

    Nakuli sana

  • @roseurio9600
    @roseurio9600 Жыл бұрын

    Uko makini kiongozi wangu

  • @mch7434
    @mch7434 Жыл бұрын

    Naomba no zenu

  • @IBENGM
    @IBENGM3 ай бұрын

    Naomba namba ya simu ya fundi Reward Mrema!

  • @consoafrica1350
    @consoafrica13506 жыл бұрын

    Labda ni mimi peke yangu..lakini kipindi hiki kinatufundisha mambo mengi ya msingi....mfano: nyumba ninayoishi haikujenhwa na msingi imara kiasi mizizi ya miti iliyozunguka nyumba ilianza kuchochoza ufa za ukuta. Hii yote ni sababu ya kukosa washauri na kutojifunza juu ya mambo. Mwambie jirani juu ya usaidizi mzuri wa builders home.... Karibu.. Usipite bure... Jifunze....

  • @TheBuildersHomeTz

    @TheBuildersHomeTz

    6 жыл бұрын

    conso Africa asante sana. Tunaendelea kuisogeza jamii karibu zaidi na ujenzi

  • @lameckrichard8182
    @lameckrichard81823 жыл бұрын

    Mi ni fundi bomba ko jamaa wanachokiongea nakijua vizuri hawa jamaa wako vizuri wanaijua kazi yao

  • @TheBuildersHomeTz

    @TheBuildersHomeTz

    3 жыл бұрын

    asante sana kwa support yako

  • @musettijackson1143
    @musettijackson11432 жыл бұрын

    Nice

  • @Ap-of5zs
    @Ap-of5zs4 жыл бұрын

    Building hongereni sana tunawapongeza kwa kutupa ufundi, bora na kufahamu ubora wa majengo kwa ubora wa cement yenu twigger n,k tupo pamoja Tanzania isonge mbele maendeleo hapa ni kazi tu.

  • @TheBuildersHomeTz

    @TheBuildersHomeTz

    4 жыл бұрын

    Asante sana. Tupo pamoja. Tuendele kuwa pamoja kwaajili ya msimu wa pili

  • @nasri.27jr25
    @nasri.27jr256 жыл бұрын

    Good job Arch.

  • @TheBuildersHomeTz

    @TheBuildersHomeTz

    6 жыл бұрын

    nasri.27 Jr thanks alot Arch

  • @mch7434
    @mch7434 Жыл бұрын

    Hi fundi

  • @alinyange4353
    @alinyange43532 жыл бұрын

    technology of bulding house

  • @boanergesd2858
    @boanergesd28583 жыл бұрын

    Channel nzur

  • @stevew.mutasa2385
    @stevew.mutasa23856 жыл бұрын

    good mr.

  • @TheBuildersHomeTz

    @TheBuildersHomeTz

    6 жыл бұрын

    steve W. Mutasa asante sana

  • @rashidiasantemwalimngandil4890

    @rashidiasantemwalimngandil4890

    5 жыл бұрын

    napata elim bure asanteni

  • @piusdavidmuzzazzi796
    @piusdavidmuzzazzi7966 жыл бұрын

    Thanks Kwa Somo

  • @TheBuildersHomeTz

    @TheBuildersHomeTz

    6 жыл бұрын

    David Pius Muzzazzi nashukuru pia kwakufwatilia

  • @TheBuildersHomeTz

    @TheBuildersHomeTz

    6 жыл бұрын

    David Pius Muzzazzi nashukuru pia kwakufwatilia

  • @sham1718
    @sham17184 жыл бұрын

    Asanten san kwa somo naomba namba ya fund maj saf na taka

  • @TheBuildersHomeTz

    @TheBuildersHomeTz

    4 жыл бұрын

    0716573079 karibu sana mdau

  • @boniphaceandrew3685
    @boniphaceandrew36853 жыл бұрын

    Bado mnatoa huduma mbona hampatikan?

  • @nassorohassan439
    @nassorohassan4393 жыл бұрын

    Kwa wastan chember inayochukua bomba nne inatakiwa iwe na ukubwa kiasi gani fundi wng

  • @TheBuildersHomeTz

    @TheBuildersHomeTz

    3 жыл бұрын

    Tuwasiliane kwa namba +255788860048

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif62165 жыл бұрын

    How much hy biodigester ?? Kwa nyumba ya chini??

  • @TheBuildersHomeTz

    @TheBuildersHomeTz

    5 жыл бұрын

    Muhammed Wakif please tuwasiliane kwa 0753536500

  • @mwangimomsigahute5717
    @mwangimomsigahute57173 жыл бұрын

    Hizi ndio channel zenye akili

  • @TheBuildersHomeTz

    @TheBuildersHomeTz

    3 жыл бұрын

    Asante sana... tutaendelea kujitaidi..

  • @kelvinjohn6851
    @kelvinjohn68513 жыл бұрын

    Je mnachora ramani? Kama ndio weka No. Zako hapa.

  • @TheBuildersHomeTz

    @TheBuildersHomeTz

    3 жыл бұрын

    Karibu sana... 0753536500 ( call or WhatsApp )

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman17534 жыл бұрын

    Naomba contact zenu

  • @TheBuildersHomeTz

    @TheBuildersHomeTz

    4 жыл бұрын

    Said Suleiman 0716573079

  • @stevenmasawe454

    @stevenmasawe454

    3 жыл бұрын

    Namba jamani tutapataje?

  • @richardmtunguja394
    @richardmtunguja3944 жыл бұрын

    Nahitaji kujifunza ufundi 0717141537

  • @ramsonkunambi6987
    @ramsonkunambi69874 жыл бұрын

    Namba namba ya fundi kwaajir ya kuniwekea mfumo wa maj saf na maji taka namba yangu ya simu ni 0784485858 kazi ipo tayari bado fundi tu

  • @TheBuildersHomeTz

    @TheBuildersHomeTz

    4 жыл бұрын

    ramson kunambi sawa tuna kupigia kukupa mtaalamu

  • @erastosolomon4554
    @erastosolomon45544 жыл бұрын

    Safi sana mtaalam nimekuelewa hata mimi ndizo kazi zangu kutoka mwanza naomba namba yako kuna vitu muhimu nataka kama ushauri kutoka kwako na kibiashara zaidi hasa upande wa Rodding eye, Air vent valve 50mm kwa geita na mwanza ni changamoto sana kupatikana mara nyingi naagiza Dar es salaam. My contact +255(0)765495073

  • @TheBuildersHomeTz

    @TheBuildersHomeTz

    4 жыл бұрын

    Karibu builders shop unaweza pata hayo material yote ndugu mtaalamu...asante sana kwa kuangalia kipindi chetu. karibu sana..

  • @erastosolomon4554

    @erastosolomon4554

    4 жыл бұрын

    Namba zangu zipo hapo naomba tuwasiliane