Mwijaku wa pili huyu Anatangaza nyumba za Kigamboni zinauzwa milioni 6'5 kumbe ni milioni130
@DainesMwapela-mr4wc6 ай бұрын
Uongo tu tumejenga na sisi
@mbarakamwakivuma2858 Жыл бұрын
We don't know if it's true, they are just going to take our money Easley, let's be careful
@ManOfSteel-2ruku11 ай бұрын
Wew una alosto,nenda kavute😂
@user-ie5xs4nm4m7 ай бұрын
Acha kudaganya watu
@fatmamansour27649 ай бұрын
Hebu sema ukweli kaka hii habri is true au madanga
@mycmeranyswai7957
3 ай бұрын
hii inaitwa tumia akili😂😂😂
@maryamtanzania9743 Жыл бұрын
Jamani mbona mnatukosanisha na ndugu zetu mimi milion 10 nimeishia ukuta tu kwa hiyo nimeibiwa
@Aziza-gv8tm
11 ай бұрын
Mambo 😂😂😂😂😂tupowe
@user-ie5xs4nm4m7 ай бұрын
Acha uongo unafanya mchezo na kujenga
@petersaitotilaizar9176 Жыл бұрын
Hii si ukweli mm nimejenga ya 30m
@zedekiannyagawa3521 Жыл бұрын
wudesi
@lucasmartin4880 Жыл бұрын
n hiy m8 nitafutie fund anitengezee n awek paving kw hy bei
@leonardmwenematale66827 ай бұрын
Hamjambo Naitwa LEONARD nimependezwa na bei yenu ya ujenzi nyumba namba namba yenu ili tuongee whatspp kwa sababu nina mpango wa kujenga na mimi asante
@williamkiyumbi2800 Жыл бұрын
Wew jamaa umeamua kufanya comedy kweny vitu serious 😅😅😅😅
@CanisiusJohnKayombo-ch6fw11 ай бұрын
Hii so kweli
@jamesmoricmsa90039 ай бұрын
Ndgu yang huyo ya 20 siyo kweli
@vanesaalberto8479 Жыл бұрын
Kumbe uongooo
@salhaomar5382 Жыл бұрын
Muongo apo umetudanya
@user-kf9uc4us3j6 ай бұрын
We acha kutudanganya umuogopi allah si kila mwenye kiwanja angemiliki nyumba wacha kufanya watu wajinga
@Mpakauseme Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@charlessimba118419 күн бұрын
Acha kudanganya watanzia wewe
@williamkiyumbi2800 Жыл бұрын
Vyumba 3 kwa 4.3 m, 😅😅😅 hilo paa tu hutoboi na 4 m yako!
@AminaAmina-mv4ko
Жыл бұрын
Muogo sana huyo mm iyo milìoni45 bado inanidai cozy tatu 🤭🤭😡🙆
Пікірлер: 28
Mwijaku wa pili huyu Anatangaza nyumba za Kigamboni zinauzwa milioni 6'5 kumbe ni milioni130
Uongo tu tumejenga na sisi
We don't know if it's true, they are just going to take our money Easley, let's be careful
Wew una alosto,nenda kavute😂
Acha kudaganya watu
Hebu sema ukweli kaka hii habri is true au madanga
@mycmeranyswai7957
3 ай бұрын
hii inaitwa tumia akili😂😂😂
Jamani mbona mnatukosanisha na ndugu zetu mimi milion 10 nimeishia ukuta tu kwa hiyo nimeibiwa
@Aziza-gv8tm
11 ай бұрын
Mambo 😂😂😂😂😂tupowe
Acha uongo unafanya mchezo na kujenga
Hii si ukweli mm nimejenga ya 30m
wudesi
n hiy m8 nitafutie fund anitengezee n awek paving kw hy bei
Hamjambo Naitwa LEONARD nimependezwa na bei yenu ya ujenzi nyumba namba namba yenu ili tuongee whatspp kwa sababu nina mpango wa kujenga na mimi asante
Wew jamaa umeamua kufanya comedy kweny vitu serious 😅😅😅😅
Hii so kweli
Ndgu yang huyo ya 20 siyo kweli
Kumbe uongooo
Muongo apo umetudanya
We acha kutudanganya umuogopi allah si kila mwenye kiwanja angemiliki nyumba wacha kufanya watu wajinga
🤣🤣🤣🤣
Acha kudanganya watanzia wewe
Vyumba 3 kwa 4.3 m, 😅😅😅 hilo paa tu hutoboi na 4 m yako!
@AminaAmina-mv4ko
Жыл бұрын
Muogo sana huyo mm iyo milìoni45 bado inanidai cozy tatu 🤭🤭😡🙆
@user-ie5xs4nm4m
7 ай бұрын
Kweli kabisa
Maajabu bei hizo hata kijijini huwezi kuta
@user-ie5xs4nm4m
7 ай бұрын
😂😅
Muongo ww basi nijengee