FUNDI BOMBA TANZANIA SITE YETU YA PUGU
Bado tupo dar es Salaam tupigie 0752783452
#Plumbing #plumbers #ukplumbing #brasil #tanzania #restinpeacemagufuli #ripmagufuli #ripraisimagufuli #mtekelezaji #raisimagufuli
Bado tupo dar es Salaam tupigie 0752783452
#Plumbing #plumbers #ukplumbing #brasil #tanzania #restinpeacemagufuli #ripmagufuli #ripraisimagufuli #mtekelezaji #raisimagufuli
Пікірлер: 34
Kazi nzuri ndugu zetu nasisi tunakuja kuwa Kama ninyi
Safi sana nimependa jins mnavopangilia kazi zenu nyie ndiobnamba moja Tanzania
You guys you are so talented Mungu azidi kuwapa ubunifu nimeangalia kazi zenu mko vizuri sana
Naomba kuungana na nyinyi na Mimi ni fundi Bomba
Kazi safii kabxaa !!! Mpo vizuri asee
@africanasplumbing8780
2 жыл бұрын
Noma sana kaka
Mashaailaah
@africanasplumbing8780
Жыл бұрын
Karibu boss WhatsApp and call 0752783452
Good job
@africanasplumbing8780
2 жыл бұрын
Karibu sana Elizabeth
Sf xana.. Ila naomba kujiunga na nyie mm pia ni fund
Nice
@africanasplumbing8780
2 жыл бұрын
Thanks a lot
@africanasplumbing8780
2 жыл бұрын
You are welcome
Ujazingatia kuzipangilia izo pwent za maji Safi na yulino
@africanasplumbing8780
Жыл бұрын
Fafanua mkubwa watu wakuelewe
Kazi nzuri
@africanasplumbing8780
2 жыл бұрын
Karibu sana dada agnes
Naomba namba ya simu ya ofisi
@africanasplumbing8780
2 жыл бұрын
0752783452 karibu sana dada
Mnapatikan wap??
@africanasplumbing8780
Жыл бұрын
Tunapatikana arusha ila tunafikanpopote 🇹🇿 Tanzania 0752783452 what's app and call
Kuiongezea ujuzi gharama zipoje boss nipo moshi
@saidrashid1047
2 жыл бұрын
Kuniongezea ujuzi gharama zipoje brother
Hapo kweny mfumo wa jaccuzi mbona mfumo wa maji safi naomba kueleweshwa hapo je! Wanao weka mfumo wa jaccuzi ile mixer ipo kama tofari ya tatu kutoka chini wanakua sawa?? Au majaccuzi yanapishana?
@ElastoAmos
2 ай бұрын
Kazi ni nzur san hongereni kwa hilo!
@africanasplumbing8780
2 ай бұрын
Jacuzzi zote point ni moja mkuu hizo tofali tatu wanakua wrong
@ElastoAmos
Ай бұрын
@@africanasplumbing8780 kwaiy Jacuzzi na bathlub ni kitu kimoja au vinatofautiana? Samahan lakin kwa maswal!
@ElastoAmos
Ай бұрын
@@africanasplumbing8780 Na sijakuelewa tofari tatu wanakuw wrong kiaje kiaje? Au mfumo upo tofauti?
@africanasplumbing8780
Ай бұрын
Unatakiwa uwe na vipimo usipende kusema tofali tatu sasa je ukikuta hakuna tofali
Gharama zenu ni kiais gani kwa kazi kama hiyo ya ghorofa moja?
@africanasplumbing8780
3 жыл бұрын
Samahani kwa kuchelewa kukujibu boss naomba 0752783452 tuwasiliane mkuu tuweze kuyajenga naamini tutafikia muafaka mzuri
@allenmdota7996
2 жыл бұрын
Hawa jamaa wako Safi aiseee