BH ONLINE _03 | Mfumo wa maji taka usio tumia chamber jinsi unavyofanya kazi

#BuildersHome_03 ;
Mfumo huu hautumii chamber hivyo unakua sealed kila sehemu kiasi kwamba hakuna wadudu wanaoweza kurudi na kuingia kwenye bomba na kutokea chooni ndani ya nyumba wadudu kama mende, lakini pia una tumia system ya vent yani bomba za kutoa hewa chafu ambazo ni automatic. zinauwezo wakujifunga nakufunguka pindi tu kuna uhitaji wa hewa hiyo kutoka.
Asante kwa kutazama kipindi chetu cha 02 online. Tunaendelea kukusogeza karibu zaidi na ujenzi.
Usiache ku subscribe, na ku washa notifications ili kuona video zinazofwata.
Mtaalamu wetu ni; THADEY_SHIRIMA
Material ni ; Marley waste water sytem.
Kuwasiliana nasi kama una maswali zaidi unaweza tupigia simu: 0753536500 (whats app) / 0716869097
Instagram; @thebuildershometz_
Facebook;@thebuildershomeTZA
www.buildershom.com

Пікірлер: 11

  • @rweyemamurweyongeza4879
    @rweyemamurweyongeza4879 Жыл бұрын

    Maelezo yako ni mazuri sana

  • @isackjohn858
    @isackjohn858 Жыл бұрын

    Nimekusoma ,Dodoma mpo? Naomba namba

  • @butungo1
    @butungo16 жыл бұрын

    Gharama ya ufundi na material ya kufunga aina hii ya choo ni shilingi ngapi

  • @TheBuildersHomeTz

    @TheBuildersHomeTz

    6 жыл бұрын

    Stanslaus Butungo inategeneana sana site yako... ilivyo... ni vizuri mtaalamu akifika na kuangalia... kisha atakufanyia survey... kwa mifumo kama hii inakua ngumu sana kutoa gharama za haraka haraka.

  • @agaelyjll3143
    @agaelyjll31434 жыл бұрын

    Ninauhitaji wa kufahamishwa kuhusu muunganiko wa maji taja toka jikoni na chooni. Kwa nini kinafanyika hivyo na si kuitenganisha kama kwenye mifumo ya kawaida.

  • @TheBuildersHomeTz

    @TheBuildersHomeTz

    4 жыл бұрын

    Sawa tutafanya hivyo katika kipindi kijacho

  • @agaelyjll3143

    @agaelyjll3143

    4 жыл бұрын

    @@TheBuildersHomeTz Tupo pamoja.

  • @africanchild4525
    @africanchild45256 жыл бұрын

    hii inafungwa baada ya ujenzi au wakati wa ujenzi?

  • @TheBuildersHomeTz

    @TheBuildersHomeTz

    6 жыл бұрын

    Swahili 101 baada ya ujenzi ni vyema zaidi...

  • @marinajuma1416
    @marinajuma14164 жыл бұрын

    Tutumie namba yako ya simu tukutafute

  • @TheBuildersHomeTz

    @TheBuildersHomeTz

    3 жыл бұрын

    0716573079

Келесі