BILL NAS AONESHA MABILIONI YA FEDHA ANAYOMILIKI Kwenye AKAUNTI YAKE YA BENKI
Ойын-сауық
BILL NAS AONESHA MABILIONI YA FEDHA ANAYOMILIKI Kwenye AKAUNTI YAKE YA BENKI
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 56
Bill nass is big musician❤️❤️🤴
Wewe mtoto mzuri sana mpende mungu na mkeo mungu atakutunza achana nao mwanangu
Nenga fire🔥🔥🔥
Nasemajeh ishiii maishaa yakoo 😂😂😂😂 Weh na chimama wakoo ❤❤❤❤❤❤❤
Bro live your life and don't worry about people. They wish to be like you but it's going to be impossible for the them. Mzee wa maokoto wewe ni mpambanaji toka zamani. We love you from Canada 🇨🇦
Ukweri wa mambo unapatikana tu...WASAFI🔥🔥🔥
Great thinker 💪
Live your life 🔥🔥🔥
Uyu kaka ana akiri kichwani
Kiukweli dada unasaut nzur saaaaaanaaaa nakupenda bule
Deep feeling
Kama mmesikiliza vizuri, Knowledge ya investment apo🎉
Hapa ndo naelewa maneno ya nandy alivyosema willeeee ana akili kubwa sana maneno kuntu sana 🤜🤛
Nasemaje nasemajeh atakama unapewa c mkeo uyooo 😂😂😂 wanaon wvuuu oyaa nawenyew wapewe 😂😂 wanatafutaa wanawake wanao wachuna tuh maishi nikushikana nasemaje nibola ukosee kujegaa sio kuoaa @nenga apo umepataa ❤❤❤ achana na sisi walimweng atunaga mazuli oyaaa weeeeeh nasemajeh 😂😂😂
@mwana4599
11 ай бұрын
Kabisa kabisa na hili ndio hivi sasa hivi wslivyo nacho ni Vuai wote.
Mwambie billnass nani sio mwanamke wake ni mke wakee kabisaa
mzee nenga, nakukubari kaka
Privacy is not bad. Watu wanamidomo you can't stop dem to talk by any means.
Umewakomesha wambea
Kama ana hela ata Richard mile hana mkononi
IO ACCOUNT NI YA NANDY ASITUFANYE SISI WATOTO 😂
@elinamilyatuu7337
11 ай бұрын
Meza wembe
@hawadaud2609
11 ай бұрын
Kumbe ana raha bas na ww onyesha ya mkeo au mumeo
@stivertz7014
11 ай бұрын
@@hawadaud2609mwambie huyo kenge 😂
Do jmaa aongeagi sema leo kalipuka da mtu akiwa na uwakika wa mipango bana unawaka sasa ukinunulia c poa 2 ni mkeo shida iko wapi angekuwa malaya ndo soo
Kwan kunaubaya si anakupa mke wako kwan .mke wao
Kama nenga ana 1:3b basii basi Mondi kweli akosi 20b
@abdallahmanirakiza175
11 ай бұрын
😂😂😂😂😂kuel
@user-jk6zk5lo9r
11 ай бұрын
😂😂😅
@HumphreySamson
11 ай бұрын
Kweli
@aoloathumani10
11 ай бұрын
Yeah true
Jmn nenga sema mke wangu bc mwanamke wangu ndo nn?
Watanzania punguzeni makasiriko 😂😂😂Nenga amewekeza kwenye kuuza simu na music bado na mambo mengine pia Anaweka kibubu akivunja ndio Maokoto yanasoma hivyo😂😂😂
Umejibu kwa hekima xana nenga
Huyo ni,mangi
Nenga achana nao hao sisi ndo chafu pos
Pesa gani izo b 3 sadio mane analipwa kwa wiki
@enocksilungwepondajr9707
11 ай бұрын
Tax
@jafetrysanga1213
11 ай бұрын
Unazo sasa
@zaidiissa3714
11 ай бұрын
Kwani huyu nisadio mane
@andrewgeoffrey6172
11 ай бұрын
Acha ushamba wew mane katokea wapi😂😂
@jadenmsafi
11 ай бұрын
We unazo
Wambea mmeona mbwa nyie acheni dharau
Bongo bana fx fx nyingi
@hajjiomary2383
11 ай бұрын
Na ndomana mabraza man wanatafuta wanawake wanaofanya kazi wanajua watapiga pesa
Ana laki na nusu tu huyu hana ela 😂🤣🤣
@gustavompemba1781
11 ай бұрын
Tafuta pesa ww
@shabanshaban1374
11 ай бұрын
😅😅😅🤣🤣🤣🤣 ilaaaa
@criminalminds7723
11 ай бұрын
Tafta hela uache chuki,wale wachawi pia walianza kama ww Tu kupinga kila kitu kisha wakaangukia kwenye uchawi,tafta hela ndio uache kua na makasiriko
@josephmollel4526
11 ай бұрын
😂😂
@elinamilyatuu7337
11 ай бұрын
Unazungumzia hela unazomiliki