BILL NASS AVUNJA UKIMYA Kuhusu MTOTO wa HAMISA MOBETTO

Ойын-сауық

BILL NASS AVUNJA UKIMYA Kuhusu MTOTO wa HAMISA MOBETTO
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 151

  • @faizamohamed6993
    @faizamohamed699311 ай бұрын

    Duniani watu wanafanana...mungu fundi bwana ila watanzania wana wivu sana ndio maana wanapenda kuharibu maisha ya watu

  • @mariamkai2705
    @mariamkai270511 ай бұрын

    Umefanya vizur kuweka wazi bilnasi mtoto hamfanan kabsa ni porojo TU,

  • @bahathmuro7145
    @bahathmuro714511 ай бұрын

    Bilnass he is very bright sana God bless you forever!

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis771411 ай бұрын

    Acheni umbea jamani mpumzisheni mtoto wa mwenzenu!

  • @emmanuelmorris5083
    @emmanuelmorris508311 ай бұрын

    Billinas sio mtoto wake bwana acheni ndoa ya watu iendeleeee wivu wenu tu

  • @MwachirembeMzungu-sb2ug
    @MwachirembeMzungu-sb2ug8 ай бұрын

    Jamani kwani mtoto kufanana na mama ni dhambi ama kwani ni lazima afanane na baba tuu jamani tuwe wangwana na mondi jua mungu yupo

  • @hamisimsosi6237
    @hamisimsosi62378 ай бұрын

    Hili swala la mtoto wa hamisa tunaomba sisi Kama wtz lifike mwisho haraka iwezekanavyo kabla ya mtoto hajaanza kujitambua fanyeni hiyo d n a ya mwisho ya wazi hata ikionyesha mtoto ni wa mondi lakini hamtaki itakuwa ni sawa tuuu kuliko ilivyo Sasa Kama alivyosema mangi kuwa hii d n mpya siyo hiari ya hamisa Wala daimond hili ni agizo la wtz aksante👏👏👏👏👏😫😫😫😫😫😫🙄🙄🙄🙄🙄😭

  • @nahlahassan-fd6le
    @nahlahassan-fd6le11 ай бұрын

    Yule mtoto ana mababa milioni😂😂😂😂😂ukweli anaujua mwenyew hamisa

  • @madawamchuwa8253

    @madawamchuwa8253

    11 ай бұрын

    Inabidi utuambie wewe unaowajua hao ma Baba

  • @felicianboss6953

    @felicianboss6953

    11 ай бұрын

    Uache umbea na ww ana mababa million umewaona ukiona huna cha cucomment pita kama daladala 🚎hatutaki comments za kumsema mtt wa wa2 alafu ww na kichwa chako kama tenga la viazi °°naolewako usinijb utaingia cha vikongwe°°👩‍🦯

  • @agnesjohn9382

    @agnesjohn9382

    11 ай бұрын

    ​@@felicianboss6953😂😂😂😂😂😂😂 uwiiiiiiiiiii

  • @rehemaomary3493

    @rehemaomary3493

    11 ай бұрын

    Baba yake ni mmoja TU

  • @umfahad2609

    @umfahad2609

    11 ай бұрын

    Hakuna kiumbe chochote chenye zaidi ya mmoja. Hao milioni kivipi??

  • @doricecyprian7246
    @doricecyprian724611 ай бұрын

    Kila mara mtoto wa hamisa aliwakosea wapi jameni si kuna maswali mengi😂😂😂

  • @margaretlewis6801
    @margaretlewis680111 ай бұрын

    Mtoto wa Hamisa anafanana na Mama yake sana

  • @shanatatrigger6537

    @shanatatrigger6537

    11 ай бұрын

    Kwahiyo Billnass anafanan na Hamisa 😂😂😂

  • @annasolomon9855

    @annasolomon9855

    11 ай бұрын

    Anafanana na billnas pia

  • @nurukwilabya2790

    @nurukwilabya2790

    11 ай бұрын

    ​@@shanatatrigger6537😂😂😂😂

  • @leokamil6284

    @leokamil6284

    11 ай бұрын

    ​@@annasolomon9855Sana

  • @user-ci1ph2rr4v

    @user-ci1ph2rr4v

    11 ай бұрын

    @@shanatatrigger6537Ana fanana na wewe

  • @sophiahmedza929
    @sophiahmedza92911 ай бұрын

    Its not the first time billnas anahojiwa wasafi juu ya uyo mtoto... Acheni unafki

  • @Mrboom720
    @Mrboom7208 ай бұрын

    Mr Boom was here

  • @violethbosha1666
    @violethbosha166611 ай бұрын

    Binadamu tunajua kupambana na habari za watu huyu mtoto wa hamisa ana wahusu yenu mbona hamyasemi tumuongope mungu wapendwa

  • @KakumaMusicBaze

    @KakumaMusicBaze

    11 ай бұрын

    Sio mungu ni Mungu

  • @maryamm7765
    @maryamm776511 ай бұрын

    Kama nawaona wambea sura zilivyowashuka pumbavu zenu mbao lazimisha baba ni bilinas

  • @user-jl6yz8jd3m
    @user-jl6yz8jd3m8 ай бұрын

    Mtot wa hamisa anafanan sana na bilinas

  • @dianasago9214
    @dianasago921411 ай бұрын

    Waaandishi mnapenda umbea mbona hamisa Yuko busy Sana na Mambo yake kazi kuchokonoa Mambo

  • @user-yp5js9ij6q
    @user-yp5js9ij6q8 ай бұрын

    Naomba wasanii mnapokuwa live muwe mnavua hizo tintedi

  • @naufalmustafa565
    @naufalmustafa56511 ай бұрын

    makini sana nenga#chukua maua yako

  • @deboraezekiel784
    @deboraezekiel78411 ай бұрын

    watu wana wivu sana na familia nzuri. ili mradi tu watu waharibu family

  • @user-rv7zt6tj3d
    @user-rv7zt6tj3d11 ай бұрын

    Mwanamke ndio anajua baba mtt hata kama watakubal watakana lkn mtt siri ya mama na wangap wanaish kwa ndoa mpk uzeeni mwanamk akiamua kusema ukwel utaskia hawa sio watt wako, au watt wa jiran pia ni wa mume wako yaan tafran hvyo acheni mwanamke mwenywe sk akiamua kutoa siri hiyo atasema ukweli yawezekna hata sio billnas wala daimond hvyo achen tu kama ilivyo amin mtakavyomini ila siri anaijua mama mtoto .

  • @user-nj9dc5nj1t
    @user-nj9dc5nj1t11 ай бұрын

    Mtoto wangu jaman me napenda watoto

  • @mwanalimasaid2368

    @mwanalimasaid2368

    11 ай бұрын

    😂😂😂

  • @AshuraKipalala-qx1cg
    @AshuraKipalala-qx1cg11 ай бұрын

    Sasa kwa nini billnass ulikaa kimya cku zote hamisa akitukanwa na mtto malaika wa MUNGU yule ilitakiwa ujitokeze zamani kupinga hii habar kanyanyasika sana hamisa wwtu kwa mitusi jmn

  • @umfahad2609

    @umfahad2609

    11 ай бұрын

    Umeona eeeeh..?? Ht mimi nashangaa. Kaacha mtt adhalilike maskini. Yeye amekaa kimya.

  • @adilaadila1128

    @adilaadila1128

    11 ай бұрын

    Amuogopa Nandy

  • @happinesswilliam2948

    @happinesswilliam2948

    9 ай бұрын

    Ukiwa matured uwezi ongea upuuzi sasa aonge nini ajawahi kuwa na hamisa kimahusiano na yeye acheni kuongea vitu kama kakosea anawaona amjielewi anawaachatu

  • @mwajabuamiri508
    @mwajabuamiri50811 ай бұрын

    Ila dhambiii jamani 🙄🙄🙄

  • @tiffanyakramJr822
    @tiffanyakramJr82211 ай бұрын

    Apo '' ILITOKEA ' tumekuelewa tuliosoma #cuba😂😂😂

  • @mwajabuamiri508

    @mwajabuamiri508

    11 ай бұрын

    Nmecheka kifalasi hii comment#tuliosomea Cuba tumeelewa

  • @mariamalongo8803
    @mariamalongo880311 ай бұрын

    Ukweli wa mtoto anaijuwa Hamisa maana yeye ndio alilala nao. Na kwanini amuanike mtoto hadharani , kaa Hamisa hembu acha milele mwanao

  • @begukulemosobe9685
    @begukulemosobe968511 ай бұрын

    Acheni kuongelea mtoto wa watu, hiyo roho mbaya tu kutwa hiyo radio yenu kumchimba chimba mtoto wa watu

  • @dandydeprince
    @dandydeprince11 ай бұрын

    Dunia ingekuwa kitabu n vyema tungejua wema

  • @user-ly7oc2oh4w
    @user-ly7oc2oh4w8 ай бұрын

    Mtoto wa birinasi jamni Wana fanana sanaa 😊

  • @claudiajames2003

    @claudiajames2003

    8 ай бұрын

    Unalazimisha?

  • @ishararosette2306

    @ishararosette2306

    8 ай бұрын

    Unaroho wa kishetani ndani yako kwahiyo omba sana, utakazimisha kwa nini

  • @shyllahnekesa216
    @shyllahnekesa21611 ай бұрын

    Awe wake asiwe inawaongezea vitamin Gani mchieww

  • @user-de1df1kw4l
    @user-de1df1kw4l11 ай бұрын

    Ila jaman kwahiyi wote hapo mnamhoj mtu mmoja aa!jaman

  • @user-nh3bf1zs3l
    @user-nh3bf1zs3l11 ай бұрын

    😮

  • @joyhylton7901
    @joyhylton790121 күн бұрын

    He is the father of Hamissa son. The boy look just like him. That's not Diamonds child

  • @hamisaramadhan4628
    @hamisaramadhan462811 ай бұрын

    Vp kuhusu JAGWA?watanzania mnapenda sana kufuatilia mambo yatu,nguvu hiyo kubwa mayor itumia katika kuchunguza ya watu mnekuwa mnaitumia kufanya kazi basi watania wengi leo hii wangepiga hatua katika maendeleo,fanyeni kazi,majungu sio mtaji.

  • @kennohg6152
    @kennohg615211 ай бұрын

    Mamake ndio anajua

  • @fettiemaganza1484
    @fettiemaganza148411 ай бұрын

    Katk vitu ambavyo misa anafeli ni kumtembeza mtt mitandaoni kama mbga za majani wakati ana uwezo wa kumpa malezi bora na asipungukiwe na chochote

  • @AmmyKurunge
    @AmmyKurunge11 ай бұрын

    Watasema mchana ucku watalala kwahyo wanaokuambia mtoto ni wako ili ufanyaje waambie watoto wako na Mandy ndio halal au Kama wanaona ni mwanao alaf hutoi huduma waambie wakusaidie kutoa huduma maana mtoto wa ndoa anakuumiza kichwa namna gan stapata huduma zake heb wasikuchanganye akil hao wametumwa baada ya kuona kila siku mnapata furaha ya ndoa

  • @user-vg8ok3vc9n
    @user-vg8ok3vc9n9 ай бұрын

    Tutakuja jua iyo mambo baadae ukooooooooooool

  • @agripinabukhala649
    @agripinabukhala6498 ай бұрын

    Kazi gani kulala na qdune wengiii...achana nate ahangaike huyu mobeto oli iwe funzoo ya usgerati😮

  • @hamidangitu227
    @hamidangitu22711 ай бұрын

    Acha uongo wewe mtoto ni wako😅😅😅😅😅😅

  • @peteromary8764

    @peteromary8764

    11 ай бұрын

    @@saidasaid1154 hata we huenda kuna mtu unafanana nae bado hujajua tu watu hufanana na si kila unaefanana nae ni ndug yako la hasha!

  • @rehemaomary3493

    @rehemaomary3493

    11 ай бұрын

    Mbona DNA ilionyesha mtoto wa Nasibu

  • @pendomedard9246
    @pendomedard924611 ай бұрын

    Jamani mpaka uongee unagusa puani

  • @user-rg1qh6hq9z
    @user-rg1qh6hq9z11 ай бұрын

    Ni kweli hila aya wahusu

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes316111 ай бұрын

    uyu dada analiwa na boss

  • @aminatanzanya7475

    @aminatanzanya7475

    11 ай бұрын

    Kwa hyu boss hakun cha ajabu

  • @muhsiniamiri9310
    @muhsiniamiri93109 ай бұрын

    Sema tupo ipo cku mtot wa hamisa atakuja kuw kam diamond nahao wengne unawez kuta hawatomsaidia

  • @user-xs7bw2im8h
    @user-xs7bw2im8h8 ай бұрын

    Nae awe na msimamo usivuruge ndoa ya watu unagawa gawa mtt

  • @AmmyKurunge
    @AmmyKurunge11 ай бұрын

    Ety mtoto wake Kwan ulishiriki kwenye tendo ukaona mimba ikitungwa yaan badala nteseke na watoto wenu mjue wanakula nn wanavaa nnn mnabak kuhangaikia maisha ya watoto wa watu nyau nyie

  • @leilamsafiri8320
    @leilamsafiri83208 ай бұрын

    Huyo dada Hamisi hajielewi kabisa.mpaka kufikia hapo ni kua Hamisa zumbukuku.angejiheshimu na kuwacha tamaa ya mali yasinge mfika haya.

  • @omarypetro3207
    @omarypetro32078 ай бұрын

    😂😂 Simba kaza bhana mbona hao wengine hauna mashaka nao mzee ✊✊ ila hawa wanao kulazimisha ukubali huenda na hawa wanakitu wanakijua nyuma ya pazia na hapa WANAWAKE lazima wajifunze kuachia papa bila formula madhara yake ndo kama haya - kama SIMBA kawaka DUA tu kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake.

  • @singidaone5628
    @singidaone562811 ай бұрын

    Ukiacha ushabiki huyo mtoto ni bernas bhana hapo kuna siri tu ili mondy aunguze pesa baade itafahamika tu

  • @user-ci1ph2rr4v

    @user-ci1ph2rr4v

    11 ай бұрын

    Uliwashikia mguu acha kuongea usio yajua

  • @singidaone5628

    @singidaone5628

    11 ай бұрын

    @@user-ci1ph2rr4v tuambie ww ulie washikia mguu

  • @mwanjumajongette8187
    @mwanjumajongette818711 ай бұрын

    Nikweli ni babayake mtoto wa amissa

  • @yusufdola7645
    @yusufdola764511 ай бұрын

    Wapige DNA 2 waondoe utata...

  • @user-pd8cm4sz7m
    @user-pd8cm4sz7m8 ай бұрын

    Haraf huyo mtoto kafanana na mama yake ukiangalia vizur

  • @wanjinjorosjunior1621
    @wanjinjorosjunior16218 ай бұрын

    Mwafanana kubali yaishe, mkelea dp😂

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th11 ай бұрын

    unaapa mpka mwisho kisa tu unamuogopa simba

  • @khadijahali4837
    @khadijahali483711 ай бұрын

    Ila yule mtoto anafananishwa na watu wengi

  • @tikisaelikivuyo4030

    @tikisaelikivuyo4030

    11 ай бұрын

    Kananae sana nainamuuma roo

  • @ismailmasoud6001

    @ismailmasoud6001

    11 ай бұрын

    Kwa hiyo mama KICHECHE

  • @khadijahali4837

    @khadijahali4837

    11 ай бұрын

    @@ismailmasoud6001 mmmh wala sijamaanisha hvy

  • @khadijahali4837

    @khadijahali4837

    11 ай бұрын

    @@tikisaelikivuyo4030 umebananisha sana

  • @budhbd5208

    @budhbd5208

    11 ай бұрын

    Sana mara yule wa kenya jaguar sijui watu wabaya sana

  • @clarawilliam9959
    @clarawilliam995911 ай бұрын

    Kuna mtu namsikia tu oyaaaa😅

  • @zindunasaid5779
    @zindunasaid577911 ай бұрын

    Wanamjengea picha mbaya mtt na maneno yao ya ushubwada, mnatrajia huyu mtt atakuwa wa namna gani?

  • @shakirashakira-gc2yw
    @shakirashakira-gc2yw11 ай бұрын

    Wakapime vidam

  • @loiselyse4764
    @loiselyse476411 ай бұрын

    DNA ifanywe kwa huyo mtoto na BILL NASS na pia ule EX wa Hamisa wa Kenya anayeitwa " JAGUAR! Mtoto si wa Nasibu hata !

  • @piuskanyampala4540
    @piuskanyampala454011 ай бұрын

    Hatà watoto sio jambo baya

  • @begukulemosobe9685
    @begukulemosobe968511 ай бұрын

    Waandishi wa mchongo mfyuu, mbona wakwenu hatuwaoni mkiwaleta na kuhojiana kuwahusu.

  • @agwalubifaridah7079
    @agwalubifaridah707911 ай бұрын

    Bilnasi anaficha

  • @faridampota-jh9rx
    @faridampota-jh9rx11 ай бұрын

    Jangwa amefanana nae

  • @goodteam7890
    @goodteam789011 ай бұрын

    Hiyo ndio hasara ya kudanga Misa angekua na Bwana wa kueleweka asingepata kashfa hizo mpaka sasa kitoto kina miaka sijui 6 lakini kameshapachikwa wababa milioni🤔🤔

  • @peteromary8764

    @peteromary8764

    11 ай бұрын

    Ye anamjua baba wa motto wanaompachika hawamjui baba yake wanahangaika kujua ni nan wanashindwa wanaishia kufananisha tu motto mwenye anamjua baba yake na kwasbb hayatuhusu wanatuangalia tu tunavyohangaika wao hawana habr

  • @aibulamilanzi1466
    @aibulamilanzi146611 ай бұрын

    Nenga wa mwamba

  • @verobecamfipa8655
    @verobecamfipa865511 ай бұрын

    Billnass muongo bhana hamisa Mbona alisema alishawahi kuwa kudate na wewe kabla kupata mimba ya uyo mtoto levo unakataaa duh!!!!

  • @mackysuphian

    @mackysuphian

    11 ай бұрын

    Mmmh hajasema hivyo alisema kwamba alikua na ukaribu kipindi ambacho ameshamzaa dylan jmn khaaa

  • @verobecamfipa8655

    @verobecamfipa8655

    11 ай бұрын

    @@mackysuphian Ohooooooo okay xaw basiiii me niliskia vibaya

  • @josephevaristi8923

    @josephevaristi8923

    11 ай бұрын

    Tuliosoma Cuba tushaelewa muda xana

  • @umfahad2609

    @umfahad2609

    11 ай бұрын

    ​@@mackysuphianumeona eeeeh.. Kwenye ukweli wanajifanya hawackii vizuri.

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry9 ай бұрын

    Nyie nani mnaosema mtoto wa Fulani au sie wa wafulani. Kwanini hamumuachi mwenyewe mama aliyetinginywa mpaka akapata ujauzito anamjua vyema baba wa mtoto. Nyie yameqahusu nini? Mnayenu yamepinda hayanyooki hamyawezi mmeshika Bilnasi Hamisa Mondi kwanini hebu kama hana la kufanya kakojoeni mkalale.

  • @ZuuMainya-by9cx
    @ZuuMainya-by9cx11 ай бұрын

    Hamisa nae anapigwa miti Sana Kila msanii kamla

  • @MwanaishaShattry

    @MwanaishaShattry

    9 ай бұрын

    Yake mwenyewe na wewe unayako kaipigishe kama huna bahati basi subiri iliwe na mchwa ooze. Anapogwa miti sana kwasababu inalipa yako inapapa maji. Wacha kuwakashifu wenzio bwana wewe unayako.

  • @mohammedihamisi3493
    @mohammedihamisi349311 ай бұрын

    mtego huo😂

  • @rogerabdallah439
    @rogerabdallah4398 ай бұрын

    We kitombi

  • @jacklinewilliam3547
    @jacklinewilliam354711 ай бұрын

    Sema duu wanafnana

  • @Alphertv
    @Alphertv11 ай бұрын

    siri hii apa kuhusu mtoto wa hamisakzread.info/dash/bejne/qYGFuJmdXbyYdbg.html

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel11 ай бұрын

    Mm naona yule mtoto kabisa kabisa kafanana sana Nenga. Anyway baba atajulikana tu

  • @madawamchuwa8253

    @madawamchuwa8253

    11 ай бұрын

    Vaa miwani

  • @RandB_Channel

    @RandB_Channel

    11 ай бұрын

    @@madawamchuwa8253 😃😃😃😃 aseme tu watamusamehe

  • @salmaalimusa6809

    @salmaalimusa6809

    11 ай бұрын

    Hapa mbele yauso kafanana nae

  • @RandB_Channel

    @RandB_Channel

    11 ай бұрын

    @@salmaalimusa6809 thank u . Wawo njo hawaoni subiri siku watasemaka kweli sijuwi hawo watapficha sura wapi😃😃😃

  • @rahmaabdallah4514

    @rahmaabdallah4514

    11 ай бұрын

    Baba ake ni mama ake...

  • @boniphace6405
    @boniphace640511 ай бұрын

    MBNA paji lauso unafanana nae Yule chalii 🤸🤸🤸🤸

  • @aishahamisi5854

    @aishahamisi5854

    11 ай бұрын

    Kafanana na mama yke

  • @patisondidas6720
    @patisondidas672011 ай бұрын

    Wambea hawawez Amn bilinenga 😂

  • @MrTop-wj7no

    @MrTop-wj7no

    11 ай бұрын

    😂😂😂

  • @umfahad2609

    @umfahad2609

    11 ай бұрын

    Ht wacpo amini, hawana umuhimu wowote. Hamsaidii chochote mtt. Zaidi ya kumsema vibaya mtt wa watu.

  • @nokeytz
    @nokeytz11 ай бұрын

    Nyimbo.pendwa ya simba kzread.info/dash/bejne/i2alyMZunrbLYso.html

  • @annajohn2488
    @annajohn248811 ай бұрын

    WASAFI na boss wao NI wajinga ndo kaomba muongelee hilo

  • @MJ-rr6dy
    @MJ-rr6dy11 ай бұрын

    Mi nacho shangaa kwa nn mama wa mtt hataki kupima DNA, si anajua baba wa mtoto, anaonekana anadanganya hivi hivi anamuogopa nandi, ila mtoto siyo wa diamond, mond mweusi, mama mweusi mtt weupe wa nani

  • @iktharsalum7440

    @iktharsalum7440

    11 ай бұрын

    Kwaiyo nyote mmefanana na babaa enu na pia iyo DNA si washafanya

  • @shanmlawa

    @shanmlawa

    11 ай бұрын

    Ww jaman jarbu kufatilia interview za hamisa yupo tayar mtot afanyiwe DNA Yule mama et anaumia

  • @nasrafarjallah6691

    @nasrafarjallah6691

    11 ай бұрын

    Alifanya DNA mara mbil,unakuw mbea af taarifa kamil huna

  • @nasrafarjallah6691

    @nasrafarjallah6691

    11 ай бұрын

    We hamisa ni mweusi????au haujui huyo hamissa n nan

  • @malichanda3146

    @malichanda3146

    11 ай бұрын

    😂😂😂,😂😂😂Ila wewe

  • @typohneprofiel515
    @typohneprofiel51511 ай бұрын

    Bilnass ni muongo. Hadi Nafsi yamsuta. Kwa Interview nyinginre ulisema mlikua na mausiano. Acha kumsingizia Dee mtoto. Wamuogopa Nandy?

  • @peteromary8764

    @peteromary8764

    11 ай бұрын

    Nandy MUNGU??? Hakosei??mpaka aogopwe ???

  • @sherylachieng4660
    @sherylachieng46608 ай бұрын

    Wafala nyinyi kazi tu ni dylan jameni how can you feel as a woman if your child becomes a social media talk

  • @fitinakisamuhagakisamuhaga693
    @fitinakisamuhagakisamuhaga69311 ай бұрын

    Hata nyie mnaoshadadia mnaweza kuta baba zenu mlipewa tuu ila mkienda pima vinasaba mtarudi namisiba mizito

Келесі