BILL NASS AVUNJA UKIMYA Kuhusu MTOTO wa HAMISA MOBETTO
Ойын-сауық
BILL NASS AVUNJA UKIMYA Kuhusu MTOTO wa HAMISA MOBETTO
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 151
Duniani watu wanafanana...mungu fundi bwana ila watanzania wana wivu sana ndio maana wanapenda kuharibu maisha ya watu
Umefanya vizur kuweka wazi bilnasi mtoto hamfanan kabsa ni porojo TU,
Bilnass he is very bright sana God bless you forever!
Acheni umbea jamani mpumzisheni mtoto wa mwenzenu!
Billinas sio mtoto wake bwana acheni ndoa ya watu iendeleeee wivu wenu tu
Jamani kwani mtoto kufanana na mama ni dhambi ama kwani ni lazima afanane na baba tuu jamani tuwe wangwana na mondi jua mungu yupo
Hili swala la mtoto wa hamisa tunaomba sisi Kama wtz lifike mwisho haraka iwezekanavyo kabla ya mtoto hajaanza kujitambua fanyeni hiyo d n a ya mwisho ya wazi hata ikionyesha mtoto ni wa mondi lakini hamtaki itakuwa ni sawa tuuu kuliko ilivyo Sasa Kama alivyosema mangi kuwa hii d n mpya siyo hiari ya hamisa Wala daimond hili ni agizo la wtz aksante👏👏👏👏👏😫😫😫😫😫😫🙄🙄🙄🙄🙄😭
Yule mtoto ana mababa milioni😂😂😂😂😂ukweli anaujua mwenyew hamisa
@madawamchuwa8253
11 ай бұрын
Inabidi utuambie wewe unaowajua hao ma Baba
@felicianboss6953
11 ай бұрын
Uache umbea na ww ana mababa million umewaona ukiona huna cha cucomment pita kama daladala 🚎hatutaki comments za kumsema mtt wa wa2 alafu ww na kichwa chako kama tenga la viazi °°naolewako usinijb utaingia cha vikongwe°°👩🦯
@agnesjohn9382
11 ай бұрын
@@felicianboss6953😂😂😂😂😂😂😂 uwiiiiiiiiiii
@rehemaomary3493
11 ай бұрын
Baba yake ni mmoja TU
@umfahad2609
11 ай бұрын
Hakuna kiumbe chochote chenye zaidi ya mmoja. Hao milioni kivipi??
Kila mara mtoto wa hamisa aliwakosea wapi jameni si kuna maswali mengi😂😂😂
Mtoto wa Hamisa anafanana na Mama yake sana
@shanatatrigger6537
11 ай бұрын
Kwahiyo Billnass anafanan na Hamisa 😂😂😂
@annasolomon9855
11 ай бұрын
Anafanana na billnas pia
@nurukwilabya2790
11 ай бұрын
@@shanatatrigger6537😂😂😂😂
@leokamil6284
11 ай бұрын
@@annasolomon9855Sana
@user-ci1ph2rr4v
11 ай бұрын
@@shanatatrigger6537Ana fanana na wewe
Its not the first time billnas anahojiwa wasafi juu ya uyo mtoto... Acheni unafki
Mr Boom was here
Binadamu tunajua kupambana na habari za watu huyu mtoto wa hamisa ana wahusu yenu mbona hamyasemi tumuongope mungu wapendwa
@KakumaMusicBaze
11 ай бұрын
Sio mungu ni Mungu
Kama nawaona wambea sura zilivyowashuka pumbavu zenu mbao lazimisha baba ni bilinas
Mtot wa hamisa anafanan sana na bilinas
Waaandishi mnapenda umbea mbona hamisa Yuko busy Sana na Mambo yake kazi kuchokonoa Mambo
Naomba wasanii mnapokuwa live muwe mnavua hizo tintedi
makini sana nenga#chukua maua yako
watu wana wivu sana na familia nzuri. ili mradi tu watu waharibu family
Mwanamke ndio anajua baba mtt hata kama watakubal watakana lkn mtt siri ya mama na wangap wanaish kwa ndoa mpk uzeeni mwanamk akiamua kusema ukwel utaskia hawa sio watt wako, au watt wa jiran pia ni wa mume wako yaan tafran hvyo acheni mwanamke mwenywe sk akiamua kutoa siri hiyo atasema ukweli yawezekna hata sio billnas wala daimond hvyo achen tu kama ilivyo amin mtakavyomini ila siri anaijua mama mtoto .
Mtoto wangu jaman me napenda watoto
@mwanalimasaid2368
11 ай бұрын
😂😂😂
Sasa kwa nini billnass ulikaa kimya cku zote hamisa akitukanwa na mtto malaika wa MUNGU yule ilitakiwa ujitokeze zamani kupinga hii habar kanyanyasika sana hamisa wwtu kwa mitusi jmn
@umfahad2609
11 ай бұрын
Umeona eeeeh..?? Ht mimi nashangaa. Kaacha mtt adhalilike maskini. Yeye amekaa kimya.
@adilaadila1128
11 ай бұрын
Amuogopa Nandy
@happinesswilliam2948
9 ай бұрын
Ukiwa matured uwezi ongea upuuzi sasa aonge nini ajawahi kuwa na hamisa kimahusiano na yeye acheni kuongea vitu kama kakosea anawaona amjielewi anawaachatu
Ila dhambiii jamani 🙄🙄🙄
Apo '' ILITOKEA ' tumekuelewa tuliosoma #cuba😂😂😂
@mwajabuamiri508
11 ай бұрын
Nmecheka kifalasi hii comment#tuliosomea Cuba tumeelewa
Ukweli wa mtoto anaijuwa Hamisa maana yeye ndio alilala nao. Na kwanini amuanike mtoto hadharani , kaa Hamisa hembu acha milele mwanao
Acheni kuongelea mtoto wa watu, hiyo roho mbaya tu kutwa hiyo radio yenu kumchimba chimba mtoto wa watu
Dunia ingekuwa kitabu n vyema tungejua wema
Mtoto wa birinasi jamni Wana fanana sanaa 😊
@claudiajames2003
8 ай бұрын
Unalazimisha?
@ishararosette2306
8 ай бұрын
Unaroho wa kishetani ndani yako kwahiyo omba sana, utakazimisha kwa nini
Awe wake asiwe inawaongezea vitamin Gani mchieww
Ila jaman kwahiyi wote hapo mnamhoj mtu mmoja aa!jaman
😮
He is the father of Hamissa son. The boy look just like him. That's not Diamonds child
Vp kuhusu JAGWA?watanzania mnapenda sana kufuatilia mambo yatu,nguvu hiyo kubwa mayor itumia katika kuchunguza ya watu mnekuwa mnaitumia kufanya kazi basi watania wengi leo hii wangepiga hatua katika maendeleo,fanyeni kazi,majungu sio mtaji.
Mamake ndio anajua
Katk vitu ambavyo misa anafeli ni kumtembeza mtt mitandaoni kama mbga za majani wakati ana uwezo wa kumpa malezi bora na asipungukiwe na chochote
Watasema mchana ucku watalala kwahyo wanaokuambia mtoto ni wako ili ufanyaje waambie watoto wako na Mandy ndio halal au Kama wanaona ni mwanao alaf hutoi huduma waambie wakusaidie kutoa huduma maana mtoto wa ndoa anakuumiza kichwa namna gan stapata huduma zake heb wasikuchanganye akil hao wametumwa baada ya kuona kila siku mnapata furaha ya ndoa
Tutakuja jua iyo mambo baadae ukooooooooooool
Kazi gani kulala na qdune wengiii...achana nate ahangaike huyu mobeto oli iwe funzoo ya usgerati😮
Acha uongo wewe mtoto ni wako😅😅😅😅😅😅
@peteromary8764
11 ай бұрын
@@saidasaid1154 hata we huenda kuna mtu unafanana nae bado hujajua tu watu hufanana na si kila unaefanana nae ni ndug yako la hasha!
@rehemaomary3493
11 ай бұрын
Mbona DNA ilionyesha mtoto wa Nasibu
Jamani mpaka uongee unagusa puani
Ni kweli hila aya wahusu
uyu dada analiwa na boss
@aminatanzanya7475
11 ай бұрын
Kwa hyu boss hakun cha ajabu
Sema tupo ipo cku mtot wa hamisa atakuja kuw kam diamond nahao wengne unawez kuta hawatomsaidia
Nae awe na msimamo usivuruge ndoa ya watu unagawa gawa mtt
Ety mtoto wake Kwan ulishiriki kwenye tendo ukaona mimba ikitungwa yaan badala nteseke na watoto wenu mjue wanakula nn wanavaa nnn mnabak kuhangaikia maisha ya watoto wa watu nyau nyie
Huyo dada Hamisi hajielewi kabisa.mpaka kufikia hapo ni kua Hamisa zumbukuku.angejiheshimu na kuwacha tamaa ya mali yasinge mfika haya.
😂😂 Simba kaza bhana mbona hao wengine hauna mashaka nao mzee ✊✊ ila hawa wanao kulazimisha ukubali huenda na hawa wanakitu wanakijua nyuma ya pazia na hapa WANAWAKE lazima wajifunze kuachia papa bila formula madhara yake ndo kama haya - kama SIMBA kawaka DUA tu kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake.
Ukiacha ushabiki huyo mtoto ni bernas bhana hapo kuna siri tu ili mondy aunguze pesa baade itafahamika tu
@user-ci1ph2rr4v
11 ай бұрын
Uliwashikia mguu acha kuongea usio yajua
@singidaone5628
11 ай бұрын
@@user-ci1ph2rr4v tuambie ww ulie washikia mguu
Nikweli ni babayake mtoto wa amissa
Wapige DNA 2 waondoe utata...
Haraf huyo mtoto kafanana na mama yake ukiangalia vizur
Mwafanana kubali yaishe, mkelea dp😂
unaapa mpka mwisho kisa tu unamuogopa simba
Ila yule mtoto anafananishwa na watu wengi
@tikisaelikivuyo4030
11 ай бұрын
Kananae sana nainamuuma roo
@ismailmasoud6001
11 ай бұрын
Kwa hiyo mama KICHECHE
@khadijahali4837
11 ай бұрын
@@ismailmasoud6001 mmmh wala sijamaanisha hvy
@khadijahali4837
11 ай бұрын
@@tikisaelikivuyo4030 umebananisha sana
@budhbd5208
11 ай бұрын
Sana mara yule wa kenya jaguar sijui watu wabaya sana
Kuna mtu namsikia tu oyaaaa😅
Wanamjengea picha mbaya mtt na maneno yao ya ushubwada, mnatrajia huyu mtt atakuwa wa namna gani?
Wakapime vidam
DNA ifanywe kwa huyo mtoto na BILL NASS na pia ule EX wa Hamisa wa Kenya anayeitwa " JAGUAR! Mtoto si wa Nasibu hata !
Hatà watoto sio jambo baya
Waandishi wa mchongo mfyuu, mbona wakwenu hatuwaoni mkiwaleta na kuhojiana kuwahusu.
Bilnasi anaficha
Jangwa amefanana nae
Hiyo ndio hasara ya kudanga Misa angekua na Bwana wa kueleweka asingepata kashfa hizo mpaka sasa kitoto kina miaka sijui 6 lakini kameshapachikwa wababa milioni🤔🤔
@peteromary8764
11 ай бұрын
Ye anamjua baba wa motto wanaompachika hawamjui baba yake wanahangaika kujua ni nan wanashindwa wanaishia kufananisha tu motto mwenye anamjua baba yake na kwasbb hayatuhusu wanatuangalia tu tunavyohangaika wao hawana habr
Nenga wa mwamba
Billnass muongo bhana hamisa Mbona alisema alishawahi kuwa kudate na wewe kabla kupata mimba ya uyo mtoto levo unakataaa duh!!!!
@mackysuphian
11 ай бұрын
Mmmh hajasema hivyo alisema kwamba alikua na ukaribu kipindi ambacho ameshamzaa dylan jmn khaaa
@verobecamfipa8655
11 ай бұрын
@@mackysuphian Ohooooooo okay xaw basiiii me niliskia vibaya
@josephevaristi8923
11 ай бұрын
Tuliosoma Cuba tushaelewa muda xana
@umfahad2609
11 ай бұрын
@@mackysuphianumeona eeeeh.. Kwenye ukweli wanajifanya hawackii vizuri.
Nyie nani mnaosema mtoto wa Fulani au sie wa wafulani. Kwanini hamumuachi mwenyewe mama aliyetinginywa mpaka akapata ujauzito anamjua vyema baba wa mtoto. Nyie yameqahusu nini? Mnayenu yamepinda hayanyooki hamyawezi mmeshika Bilnasi Hamisa Mondi kwanini hebu kama hana la kufanya kakojoeni mkalale.
Hamisa nae anapigwa miti Sana Kila msanii kamla
@MwanaishaShattry
9 ай бұрын
Yake mwenyewe na wewe unayako kaipigishe kama huna bahati basi subiri iliwe na mchwa ooze. Anapogwa miti sana kwasababu inalipa yako inapapa maji. Wacha kuwakashifu wenzio bwana wewe unayako.
mtego huo😂
We kitombi
Sema duu wanafnana
siri hii apa kuhusu mtoto wa hamisakzread.info/dash/bejne/qYGFuJmdXbyYdbg.html
Mm naona yule mtoto kabisa kabisa kafanana sana Nenga. Anyway baba atajulikana tu
@madawamchuwa8253
11 ай бұрын
Vaa miwani
@RandB_Channel
11 ай бұрын
@@madawamchuwa8253 😃😃😃😃 aseme tu watamusamehe
@salmaalimusa6809
11 ай бұрын
Hapa mbele yauso kafanana nae
@RandB_Channel
11 ай бұрын
@@salmaalimusa6809 thank u . Wawo njo hawaoni subiri siku watasemaka kweli sijuwi hawo watapficha sura wapi😃😃😃
@rahmaabdallah4514
11 ай бұрын
Baba ake ni mama ake...
MBNA paji lauso unafanana nae Yule chalii 🤸🤸🤸🤸
@aishahamisi5854
11 ай бұрын
Kafanana na mama yke
Wambea hawawez Amn bilinenga 😂
@MrTop-wj7no
11 ай бұрын
😂😂😂
@umfahad2609
11 ай бұрын
Ht wacpo amini, hawana umuhimu wowote. Hamsaidii chochote mtt. Zaidi ya kumsema vibaya mtt wa watu.
Nyimbo.pendwa ya simba kzread.info/dash/bejne/i2alyMZunrbLYso.html
WASAFI na boss wao NI wajinga ndo kaomba muongelee hilo
Mi nacho shangaa kwa nn mama wa mtt hataki kupima DNA, si anajua baba wa mtoto, anaonekana anadanganya hivi hivi anamuogopa nandi, ila mtoto siyo wa diamond, mond mweusi, mama mweusi mtt weupe wa nani
@iktharsalum7440
11 ай бұрын
Kwaiyo nyote mmefanana na babaa enu na pia iyo DNA si washafanya
@shanmlawa
11 ай бұрын
Ww jaman jarbu kufatilia interview za hamisa yupo tayar mtot afanyiwe DNA Yule mama et anaumia
@nasrafarjallah6691
11 ай бұрын
Alifanya DNA mara mbil,unakuw mbea af taarifa kamil huna
@nasrafarjallah6691
11 ай бұрын
We hamisa ni mweusi????au haujui huyo hamissa n nan
@malichanda3146
11 ай бұрын
😂😂😂,😂😂😂Ila wewe
Bilnass ni muongo. Hadi Nafsi yamsuta. Kwa Interview nyinginre ulisema mlikua na mausiano. Acha kumsingizia Dee mtoto. Wamuogopa Nandy?
@peteromary8764
11 ай бұрын
Nandy MUNGU??? Hakosei??mpaka aogopwe ???
Wafala nyinyi kazi tu ni dylan jameni how can you feel as a woman if your child becomes a social media talk
Hata nyie mnaoshadadia mnaweza kuta baba zenu mlipewa tuu ila mkienda pima vinasaba mtarudi namisiba mizito