BILA Woga RIDHIWANI KIKWETE Atamba MBELE ya MAJALIWA, AJIBIWA - "USIJISIFU kuna WENZIO"
BILA Woga RIDHIWANI KIKWETE Atamba MBELE ya MAJALIWA, AJIBIWA - "USIJISIFU kuna WENZIO"
Waziri Mkuu Kassimu Majaliwa pamoja na naibu waziri wa ardhi wametembelea mradi wa ujenzi wa wizara mbalimbali jijini Dodoma.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Пікірлер: 13
Hii miradi ni ya watanzania, na yanafanyika kwa juhudi za watanzania wote. Mkulima, mfanyakazi, na mfanyabiashara sote tunalipa kodi,tozo,na pia deni la Taifa. Hatupendezwi na uwasilishaji wa taarifa kuwa tunamshukuru Mh.sana ametoa bilioni kadhaa ktk mradi fulani, tukishindwa kuwasifu watanzania, basi tuwe tunamsifu MUNGU kutuwezesha!
@abuuramadhan8093
Жыл бұрын
Acheni wivu mbna magufuli mlimsifia
@yamhashtheone8596
Жыл бұрын
Acha ukabila tu túñajua kinaçhó wasumbúa kuóñgózwa ñà raís ànaetóka visíwàñi hamnà cheñgiñe hàta mamà àfànye níní hamtóóneaha kumkubali bóya ww
@NDEWARA
Жыл бұрын
Mbona Magu mlikuwa mnamsifia hata kwa yale yaliyokuwa yanadidimiza taifa letu. Acha unafiki
@loishiyesamwel1374
Жыл бұрын
Sasa Mheshimiwa Rais yeye anatoa pesa tokea mfuko gani?
hongera sana Waziri Mkuu hapa kazi tu
Global msiingie kwenye uchonganish
🙄
Mh Ridhiwani kikwete nakukubali sana brother piga kazi Acheni fitna nyinyi Wandengereko piga kazi kaka.... Samia Ooyeee
Tunamshukuru San mama Samia na tutamsifia na kumsaidia mama Samia kama mlivyomsifia Cha masifa na makuu mwendazake alaaniwe alipora pesa za wafanyabiashara
@maryaugustino8716
Жыл бұрын
Uliona alipochukua pesa za wafanya biashara? Wote tumeumbwa kwa udongo na mavumbini wote tunarudi, yaani wewe utakufa kifo kibaya sana maana umemkosea Mungu kwakauli yako mbovu.
@robosia2915
Жыл бұрын
Hizo laana zitakurudi mwenyewe, we sio mtoa pumzi.
@amonamiri4487
Жыл бұрын
Huy jamaaa akili hana