Bei ya sukari yapaa, mvua chanzo cha kupungua uzalishaji

Mvua zinazoendelea kunyesha zimepunguza uzalishaji wa kutosha wa sukari kwa makampuni ya uzalishaji wa bidhaa hiyo na hivyo kufanya wafanyabiashara wasiowaaminifu kupandisha bei ya sukari katika baadhi ya maeneo hapa nchini.
#AzamTVUpdates
Wahariri: Onike Masayanyika, John Mbalamwezi

Пікірлер

    Келесі