HOTUBA YA WISHO YA DKT NAWANDA KWA VIONGOZI WA DINI JUNE 10,2024

Tazama hotuba ya Mwisho ya Dkt Yahaya Nawanda siku moja kabla ya uteuzi wake kutenguliwa, aliyoitoa kwa viongozi wa dini ambao ni wajumbe wa kamati ya amani wa mkoa wa simiyu.
Alipokuwa akifungua semina ya kubadilisha na uzoefu na kujadili namna ya kuendesha kamati hizo baina ya wajumbe wa kamati ya amani ya mkoa wa Simiyu na mkoa wa Mwanza iliyofanyika Bariadi mjini jana June 10,2024.

Пікірлер: 3

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk24 күн бұрын

    Uongozi ni dhamana duu

  • @chrismassawe2939
    @chrismassawe293924 күн бұрын

    Wabaya katika ubaya wamemweka katika taget ameingia wamemmalizia hapo ..

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464Ай бұрын

    Masikini ile kashifa sijui ina ukweli wowote naomba hilo jeshi la polisi litende haki wakimtanguliza mwenyezi Mungu

Келесі