MWIBA MCHUNGU, KIKOKOTOO KIPYA CHA MAFAO...

Kikokotoo kipya cha mafao kimekuwa mwiba mchungu kwa wastaafu. Nini maoni yako juu ya mfumo huu mpya?
#clouds #ethics #philosophy #wasafi #clouds #aristotle #cambridge #tbc #trending

Пікірлер: 23

  • @user-gz5fp9pt4h
    @user-gz5fp9pt4h2 ай бұрын

    Tunashangaa selikali kufurahi kuwafukarisha watu waliohudumia chi YA kwa moyo MPAKA wamezeeka .nguvu hamna hatuwezi tena kuchakarika nguvu zimekwisha mbona wabunge wanapata mahela kubaka?

  • @tukuyufm
    @tukuyufm2 ай бұрын

    💯💯✔

  • @stellacosmacy4785
    @stellacosmacy47853 ай бұрын

    Mungu wasaidiyee wanawako mungu yupo mungu yupoo

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula3 ай бұрын

    Yaani wamezidiwa.na wafanyakazi wa.ndani wa.Oman

  • @lidyateddy6950
    @lidyateddy69503 ай бұрын

    Sio haki kwakweli serikali haijatenda haki hapa watasababisha watumishi wawe wezi na wataibiwa sana

  • @Aronmdemu

    @Aronmdemu

    3 ай бұрын

    Kweli kabisa

  • @bahatiangle4424
    @bahatiangle44243 ай бұрын

    Kimeanza tangu tarehe 1 mwezi 7 2022

  • @bahatiangle4424
    @bahatiangle44243 ай бұрын

    Tumestukizwa mwanangu wangeanzia angalau Akira mpya. Angalau watakuwa wamejiandaa

  • @Aronmdemu

    @Aronmdemu

    3 ай бұрын

    Ni hatari sana ndugu yangu

  • @user-gz5fp9pt4h
    @user-gz5fp9pt4h2 ай бұрын

    Kikotoo kimeanza tarehe July mosi 2022 tiliostafu baada YA hapo tukaathirika vibaya KWA kwani walitangaza kingeanxa 2023

  • @matildamfoi8313
    @matildamfoi83133 ай бұрын

    Inauma Sana Kwa kweli

  • @sumbalitv7195
    @sumbalitv71955 ай бұрын

    😂😂😂

  • @LusajoKabuka
    @LusajoKabuka3 ай бұрын

    Yaani kumbe huyo mtumishi akifa hizo hela ambazo serikali eti inawatunzia zinabaki serkalni we mungu wasaidie hao watumishi

  • @Aronmdemu

    @Aronmdemu

    3 ай бұрын

    Ni hatari kwa kweli

  • @GeraldinaGerard-xy6pl
    @GeraldinaGerard-xy6pl3 ай бұрын

    Kikokotoo hawakitaki watumishi wote

  • @user-zt6re1dr5f

    @user-zt6re1dr5f

    3 ай бұрын

    Hakuna snaekihitaji kikokotoo walipen watu pesa zao

  • @Aronmdemu

    @Aronmdemu

    3 ай бұрын

    Ni hatari kwa kweli

  • @Aronmdemu

    @Aronmdemu

    3 ай бұрын

    Ni hatari kwa kweli

  • @BernardMwakipesile-nq5ze
    @BernardMwakipesile-nq5ze4 ай бұрын

    Ilitakiwa mtu anpoanza kazi ndiye asaini mkataba akubaliane kanuni mpya ya mafao siyo kumshitukiza mtu

  • @Aronmdemu

    @Aronmdemu

    4 ай бұрын

    Kabisa, Hii haijakaa sawa

  • @GeraldinaGerard-xy6pl
    @GeraldinaGerard-xy6pl3 ай бұрын

    Serikali inawauuwa watumishi wake ki masosaso kwa kuwanyima haki zao kuhusu kikokotoo