MWIBA MCHUNGU, KIKOKOTOO KIPYA CHA MAFAO...
Kikokotoo kipya cha mafao kimekuwa mwiba mchungu kwa wastaafu. Nini maoni yako juu ya mfumo huu mpya?
#clouds #ethics #philosophy #wasafi #clouds #aristotle #cambridge #tbc #trending
Kikokotoo kipya cha mafao kimekuwa mwiba mchungu kwa wastaafu. Nini maoni yako juu ya mfumo huu mpya?
#clouds #ethics #philosophy #wasafi #clouds #aristotle #cambridge #tbc #trending
Пікірлер: 23
Tunashangaa selikali kufurahi kuwafukarisha watu waliohudumia chi YA kwa moyo MPAKA wamezeeka .nguvu hamna hatuwezi tena kuchakarika nguvu zimekwisha mbona wabunge wanapata mahela kubaka?
💯💯✔
Mungu wasaidiyee wanawako mungu yupo mungu yupoo
Yaani wamezidiwa.na wafanyakazi wa.ndani wa.Oman
Sio haki kwakweli serikali haijatenda haki hapa watasababisha watumishi wawe wezi na wataibiwa sana
@Aronmdemu
3 ай бұрын
Kweli kabisa
Kimeanza tangu tarehe 1 mwezi 7 2022
Tumestukizwa mwanangu wangeanzia angalau Akira mpya. Angalau watakuwa wamejiandaa
@Aronmdemu
3 ай бұрын
Ni hatari sana ndugu yangu
Kikotoo kimeanza tarehe July mosi 2022 tiliostafu baada YA hapo tukaathirika vibaya KWA kwani walitangaza kingeanxa 2023
Inauma Sana Kwa kweli
😂😂😂
Yaani kumbe huyo mtumishi akifa hizo hela ambazo serikali eti inawatunzia zinabaki serkalni we mungu wasaidie hao watumishi
@Aronmdemu
3 ай бұрын
Ni hatari kwa kweli
Kikokotoo hawakitaki watumishi wote
@user-zt6re1dr5f
3 ай бұрын
Hakuna snaekihitaji kikokotoo walipen watu pesa zao
@Aronmdemu
3 ай бұрын
Ni hatari kwa kweli
@Aronmdemu
3 ай бұрын
Ni hatari kwa kweli
Ilitakiwa mtu anpoanza kazi ndiye asaini mkataba akubaliane kanuni mpya ya mafao siyo kumshitukiza mtu
@Aronmdemu
4 ай бұрын
Kabisa, Hii haijakaa sawa
Serikali inawauuwa watumishi wake ki masosaso kwa kuwanyima haki zao kuhusu kikokotoo