BAADA YA DIAMOND KUMPA MKONO ALIKIBA, HARMONIZE ALIGOMA KUTOA MKONO (SALAMU)

Siku ya kuaga mwili wa marehemu Agnes Masogange Viwanja vya Leaders Club Diamond na Kiba walimakeheadline baada ya kupeana mikono lakini imeonekana Harmonize kugoma kumsalimia Kiba

Пікірлер: 242

  • @ashileyallymundhirryoman9360
    @ashileyallymundhirryoman93606 жыл бұрын

    saf sana mondi mungu kakuona nakilamwema amefulai kama mm

  • @Saimonamon
    @Saimonamon6 жыл бұрын

    Harmonize aliona kiba hataki salaam yoyote akamgeukia akakuta hana mpango naye unajua unasalimia mtu ambaye angalau amekugeukia ameonyesha ushirikiano harmonize big up huyo kiba anaroho ya kipusa kilicho chacha

  • @stevedeus7870

    @stevedeus7870

    2 жыл бұрын

    We nae nyolooooo kweli

  • @uniqueraphew3512
    @uniqueraphew35126 жыл бұрын

    Katika vitu ulivyowahi kufanya Hili umenifurahisha sana you have proved to be a real man big up bro

  • @aliiphillip
    @aliiphillip6 жыл бұрын

    All the people stood to great Diamond but Ali Kiba remained on his sit. It tells me something. Grow up above your years young man. Respect has no price

  • @semanasitv8303
    @semanasitv83036 жыл бұрын

    kama unapenda kusoma coment kama mimi like hapa😁😂😂😂

  • @jacquilinenoah949

    @jacquilinenoah949

    Жыл бұрын

    napenda mpaka napitiliza😆😆😆

  • @ibrahimmtz5200
    @ibrahimmtz52006 жыл бұрын

    #king kiba #king kiba #king kiba #king kiba #king kiba Hatutaki mazoea @officialkibA

  • @saidimsangi4940

    @saidimsangi4940

    2 жыл бұрын

    Matako

  • @amirsab1158
    @amirsab11586 жыл бұрын

    Mashallah kiba na diamond

  • @rutashubanyuma4546
    @rutashubanyuma45466 жыл бұрын

    Inaonekana waandaaji walitaka Mond akae benet na Alikiba sema Harmonise aliharibu movie

  • @jacktonokello4736
    @jacktonokello47366 жыл бұрын

    harmonize sikuhizi ameingiwa na kiburi juu anajiona star sana.....achunge asiwe Mark Muga.Kiba bdo ni king na lazima aheshimiwe.pongezi kwa Platinumz kwa kumpa mkono king kwan atazidi kuwa Simba...

  • @mayamohamad710
    @mayamohamad7106 жыл бұрын

    Hata ukafanya mangapi mabaya chibu mond roho yako ni changamoto za maisha utokea take care Brother Kama kiba utasoma hii ww siyo msitahara roho mbaya wivu kinyongo punguza kila kitu na wakati wake ATI naona nauona mkono ukutoa ziru au aulikua umeshikia nn dunia bwana tunapita unajifanya simunajua mtu akitoka kuowa Sasa tufanya nn watu ufunga ndoa baadae ya masaa akafa utasemajee yote muachia Mungu alafu acha kinyongo na Diamond wakati ni wake tumia nafasi yako piaa Diamond ana kabisa bifuu na ww ndio Mungu kamupa vyote Mungu akuzidishie chibudeeee bbyy mwaaah alafu Rudi nyumbani kwa watoto siyo POA makosa ni ya binadamu

  • @user-ik3ey9cs9e
    @user-ik3ey9cs9e6 жыл бұрын

    NASIBU ENDELEA NA UPENDO WAKO. MUNGU AKUBARIKI.

  • @jescalyanga2965

    @jescalyanga2965

    6 жыл бұрын

    homoniz akili 0

  • @faidadusabe9249

    @faidadusabe9249

    6 жыл бұрын

    jesca lyanga harmonize ka okopa kum salimiya kiba kuona Mondi kapewa nyuma ya mkono 😏

  • @ismailkushinda8830

    @ismailkushinda8830

    2 жыл бұрын

    @@faidadusabe9249 😂😂 Eeh mjini akil mzeee baba usishangae mataa utaumbuka

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free6 жыл бұрын

    Saaafi saana Harmonize,umeona kivipi Alikiba alivyompa mkono,yaani alikuwa hataki wasalimiane na Simba

  • @emmanuelkiptoo3755
    @emmanuelkiptoo37553 жыл бұрын

    Alikiba anaringa sana na ana kitu we kwenda uko unadarau mtu mbele ya watu diamond 💎 don't worry my friend

  • @amidokasome8420

    @amidokasome8420

    11 ай бұрын

    Mavi yako wee

  • @charlesnduwamungu3869
    @charlesnduwamungu38693 жыл бұрын

    Never fear Human like u!All might God is above everything

  • @irenekambi4705
    @irenekambi47056 жыл бұрын

    Pongezi Harmonise uwa maana tu sana♥♥♥

  • @azontozonto8855
    @azontozonto88556 жыл бұрын

    Alikiba ana kibri lkn ujue simbaaaa hupati hata robo

  • @azontozonto8855
    @azontozonto88556 жыл бұрын

    Mond clean heart sana mungu akuondeshee hasada za watu

  • @fabianndimanya2055

    @fabianndimanya2055

    2 жыл бұрын

    We hujui tu alvo mnafiki

  • @wilonjahatua2067
    @wilonjahatua20676 жыл бұрын

    Yaan diamond ndiyo kauziilishia umma yeye anaga mabifu na mtu labda wao,kama umnamkubali chibu de acha ubishi like hapa kumbe diamond mstaarabu sana

  • @wilonjahatua2067

    @wilonjahatua2067

    6 жыл бұрын

    Lumiere Mbilizi wapi kiba anajiskiaga sana

  • @ramadhaniamdi1314

    @ramadhaniamdi1314

    6 жыл бұрын

    wilonja hatua mmmmmh

  • @wilonjahatua2067

    @wilonjahatua2067

    6 жыл бұрын

    Ramadhani Amdi sure

  • @zaiiomary8970

    @zaiiomary8970

    6 жыл бұрын

    Mmakonde wew nenda pany wanakungoj huko kusini mtwara

  • @wilonjahatua2067

    @wilonjahatua2067

    6 жыл бұрын

    Abdu Kiba Tz mnaoendaga sana mabifu nyie

  • @mtumzurigoodman720
    @mtumzurigoodman7204 жыл бұрын

    Slam SK ni shoga msenge anawashwa Mkundu tuu

  • @marinas4933
    @marinas49334 жыл бұрын

    Nakubr bb tifah Allah akujariye kuw nastabu katika wanadamu

  • @user-ik3ey9cs9e
    @user-ik3ey9cs9e6 жыл бұрын

    NAISIBU KAJALIWA NA MUNGU IMANI NA UPENDO. HII DUNIA TUNAPITA TU. KILA KITU UTAKIACHA.

  • @lilyookbwoy9493
    @lilyookbwoy94935 жыл бұрын

    harmonize ni msengeeee

  • @jumahero6924
    @jumahero69246 жыл бұрын

    safi sana Harmonize kibamia nimbinafsi sana ndo mana hana kitu.

  • @jennywangarigichina140
    @jennywangarigichina1406 жыл бұрын

    Kiba 👌tell them salamu si chakula

  • @cleophacedarstan6524
    @cleophacedarstan65246 жыл бұрын

    Umezingua Mmakonde!

  • @fabianomsuta8619
    @fabianomsuta86196 жыл бұрын

    Mond nakukubali San kaka yaan bonge LA MTU mungu akupe maisha marefu kaka kumbe mstarabu mm nasikiaga mitandaon et wewe una bifu kumbe aga mwenyewe huna hata kinyongo na mtu salut bloo simbaaaaaaaaa

  • @akonchris6692
    @akonchris66923 жыл бұрын

    That is the reason why Diamond will always be on top ......you are a great man bro ....Wale matumbiri lazima wakae wakikuiga......stay strong bro

  • @user-ik3ey9cs9e
    @user-ik3ey9cs9e6 жыл бұрын

    NAKUPENDA BUREE BABA TIFAA.

  • @ramsomatayo7466
    @ramsomatayo74666 жыл бұрын

    Nyie wote maku hakuna anae jitambua kati yenu wenzenu wanaweka bifu iliwaingize pesa nyinyi mashoga mnashoboka na kubishana mitandaoni wao wanamiliki mabilioni nyinyi mnamiliki majungu yani nyote ni maku chafu

  • @fikiringandujohn6543
    @fikiringandujohn65436 жыл бұрын

    platinum Diamond, ulihonyesha usanihi wako, msanibni ni hupendo, nakujali wengine, akunanga ndani wa kanzu na vilemba kichwani, Tunzo zote wastahili Mondi, Moyo huho unaho Mungu akubariki na huhendeleye vizuri na kazi zako!!!

  • @donhussle948

    @donhussle948

    2 жыл бұрын

    Ana uchawi mond ndo mana hakutaka kumpa mkono kiganjani mwake ww uyajui Ila alikiba anayajua ndo mana akusimama juu mond ama heshima Kwa alikiba usiangalie kusimama angalia ndani yake.

  • @donhussle948

    @donhussle948

    2 жыл бұрын

    Ana uchawi c usahihi akutaka kumpa mkono kiganjani mwake

  • @frankmasige4594
    @frankmasige45946 жыл бұрын

    Kwel Mond umeonesha ni jins gan umekuwa ki mziki, ata Steve nyerere kasema umefanya vyema.. Mungu akuzidishie kaka

  • @joshuapeter7282

    @joshuapeter7282

    6 жыл бұрын

    Amini usiamini hamonize ni masifa wakuiga,we hunambinu, zaidi yakujipendekeza, km ni mnyama ungekuwa pimbi, ivi busara za king kiba unazionajee?? ivi ww unaweza fanya kitu cha kitaifa ata rais yako akakusfia!.?? eigeni busara za king kiba msipende kuiga

  • @loystephen8678
    @loystephen86786 жыл бұрын

    alikiba kazingua ana mambo ya kitoto wanaume hatui hivo mtu kma mna bifu n kwamba mnakuw hamuwez kushinda pamoj ila sio hamsalimiani.n harmonize angempaje mkono wakati mtu kakaa kma robot nd maan alimgeukia ila jamaa kala ngumu hata mm simsalimii..

  • @manish-fp1fb

    @manish-fp1fb

    2 жыл бұрын

    always kwenye bifu ambaye anakuwa amekosewa ndio anakuwa na kinyongo zaidi kuliko mkosaji....

  • @JoanesPaulo-xw6sz
    @JoanesPaulo-xw6sz6 ай бұрын

    Napenda sana music za diamond😊😊😊

  • @mansoorhuram6653
    @mansoorhuram66536 жыл бұрын

    duh hadi raha nimefurah kitendo cha Ali kukaa na kutoa mkono

  • @maulidimakalani2001

    @maulidimakalani2001

    6 жыл бұрын

    Mkono wenyewe wa majungu wangu

  • @fraviusmanyika7521
    @fraviusmanyika75216 жыл бұрын

    Semamwanangu #Mond hunaiyanahatakamahakusimamanawenginewalisimama, but mkonoulimpatiajapoaliutakinyongezaidi_but at all sisitunatakapeace #WcBforeVer

  • @cuteisheroman764
    @cuteisheroman7646 жыл бұрын

    Konde unampaje mwanamke mkono wakat c halali yako alafu kidume mwenzio pembeni hujampa huo ni ushamba unajiona ushafika mjini wenzako kitambo wapo kwendraaaaaaaa😏😏😏😏😏

  • @getrudequeen6657

    @getrudequeen6657

    6 жыл бұрын

    jaman hamonaiza Hana matatizo Al ndio anamatatizo

  • @tinivanny7562

    @tinivanny7562

    6 жыл бұрын

    Cute Isher Oman wachafu kwani hujui

  • @ashaally6993

    @ashaally6993

    6 жыл бұрын

    Cute Isher Oman Mashamba tuu huyo hajui Ali mtoto wa Kariakoo yeye ndiye wa kuja anataka lujifanya anaujua mji!!!ila sishangai siku zote wanaokaribishwa mjini wanajifanyaga wajanja kuliko wenye mji 🙄

  • @lutherking3666

    @lutherking3666

    6 жыл бұрын

    mmakonde kachmka kma Boc wake tyu katoa mkon yy kilichmfanya avunge ni nni ushamba t

  • @saidasalim6372
    @saidasalim63726 жыл бұрын

    wow simba congratulations

  • @robertkihwele5253
    @robertkihwele52536 жыл бұрын

    yap alicho kifanya ni sahihi cos sisi sote ni wapitaji tu katika dunia mabifu sio ishu tuwe tunapendana kwa sababu sisi sote ni mali ya udongo, kwa hiyo nampongeza sana DIAMOND kwa sababu hajaonesha chuki na mtu na hayo ndio maisha!!!!!!!!!!!

  • @MwaminMwamin
    @MwaminMwamin9 ай бұрын

    Alf saiv harmonize anajifanya rafiki wa alikiba daah jamaa mnafki sna

  • @GaspardBoss-nl4dj
    @GaspardBoss-nl4dj8 ай бұрын

    Merci 💥💥👈🐘🇨🇩

  • @RomwardWM
    @RomwardWM6 жыл бұрын

    Huyu kiba anajiona #MSENGE kweli .. yaani anashindwa kupokea salam kwa kiganjani

  • @kamugishapaschal747
    @kamugishapaschal7476 жыл бұрын

    Daimond ni noma angalia watu walivyomuona walivyofurahi lkn iyo nyambafu kiba inajiona hata level za mond hajafikia

  • @omarisv263

    @omarisv263

    4 жыл бұрын

    Unajiingizia dhambi kumtukana mtu usio mjuwa ila mungu akusamehe

  • @felixhtv2510
    @felixhtv25102 жыл бұрын

    I like that simba

  • @hamishamis9905
    @hamishamis99056 жыл бұрын

    Ali kiba mimi ni shabiki wako lkn uliochokifanya hapo sio uungwana mtu wangu kiburi hakifai ???

  • @fadhili_masoi

    @fadhili_masoi

    5 ай бұрын

    Huwezi elewa

  • @richardngendakumana2871
    @richardngendakumana28716 жыл бұрын

    Ameogopa kwel huyo akaona yenye bamemufanyia babake😆😆😆😆😆

  • @francemusic1850
    @francemusic18506 жыл бұрын

    Kuna jamaa kanifurahisha hapo Diamond alivyokuwa akiingia na mabodyguard wake... Akaguna duuh! Hahaha

  • @philipotieno9996
    @philipotieno9996 Жыл бұрын

    Harmonize alianza kuvimba kitambo sana hakiwa na uyo Simba Kumbe nishajua kwanini Alikiba huwa hapendiii watu wa WCB hashwa Mondiii KondeboY alikataa kumpa mkono King alidhani atakaa wasafiii forever waah things can change

  • @rehemasaid6876
    @rehemasaid68766 жыл бұрын

    Jaman amo umenifurahisha

  • @lucyzawadi6794
    @lucyzawadi67946 жыл бұрын

    vizuri sana mond

  • @johnmkungu2077
    @johnmkungu20776 жыл бұрын

    Sawa sawa

  • @goddamwakimi5889
    @goddamwakimi58893 жыл бұрын

    Kiba ametisha sana hawa mbwaa mbele za watu wanataka wajisafishe waonekane kama hawana kinyongo na kiba wakat wachawi wakubwa Daah

  • @WilfredWilfred-cj3qi
    @WilfredWilfred-cj3qi3 ай бұрын

    ❤❤❤

  • @lipymuscat4779
    @lipymuscat47796 жыл бұрын

    Mimi hapo nilipofahamu hiko kiti alichokaa harmonise kiliwekwa special kwa ajili ya diamond ili wakae pamoja na ali kiba.na k.baada ya ali kiba kumchuniya diamond ndio dioamond akacancel kukaa hiko kiti..akaenda kukaa kiti aliandaliwa harmonise..na badala yake harmonise ndio akaenda kukaa kiti kilichokaribu na ali kiba..

  • @jasonyonacmo6493
    @jasonyonacmo64934 жыл бұрын

    Yap

  • @achibellatabx3016
    @achibellatabx30166 жыл бұрын

    Haha harmonize Peleka uko yani unapo salimia alikiba uta fariki mmmh fuata mfano mwema wa diamond

  • @amidokasome8420
    @amidokasome842011 ай бұрын

    Kingdom is for king 🤴

  • @seifmohamedseif9384
    @seifmohamedseif93846 жыл бұрын

    walivyo peana mkono hawa wote wanaimani za kishirikina sana ila hzo zina mwisho wake

  • @chidybwax8080
    @chidybwax80806 жыл бұрын

    Watu tunakosa upeo mpaka hatupati majib alokutwa ndo husalimiwa mbona kiba na mondi hawajakosea mondi kawasalimia watu kibao vp kiba angegoma nayy ndo kakutwa hawana bifu sisi maboya ndo hatujielew

  • @nadinenadine9047

    @nadinenadine9047

    6 жыл бұрын

    Chidy Bwax yani watu kwa kuzuwa , watu wanapenda unafik sana hawawezi kukaa bila kutunga stori za uongo

  • @tv-mc5xz
    @tv-mc5xz11 ай бұрын

    😢😢😢😮😮❤

  • @mohamedhalifambela6419
    @mohamedhalifambela64196 жыл бұрын

    Kiba na harmonize walikaa tokea mda pale inamaana kama salamu walishasalimiana hata kama sisi hatukuona hivyo hata kama pale hawajapeana mikono ila yapo waliyoyaongea ambayo hatukuyasikia hivyo msituletee uchochez usio na maana mmeona ugomvi wa kiba na mondi unaisha mnataka kuuazisha wa hamo na kiba

  • @diweni441

    @diweni441

    6 жыл бұрын

    kabisa

  • @congoboymbeyas2440

    @congoboymbeyas2440

    6 жыл бұрын

    Mohamed Halifa Mbela iyo kweli kabisa

  • @esthermnyasenga1808

    @esthermnyasenga1808

    6 жыл бұрын

    kibs co poa wenzio wamecmma why wew

  • @kingayo999
    @kingayo9996 жыл бұрын

    homoniz bd umtoto kwa alikiba anakuzaaa mpe heshima yake

  • @abelmichael9069

    @abelmichael9069

    6 жыл бұрын

    Ayoub Ali mbna ye (kiba) hakumpa mondi heshima

  • @matikosamson5868

    @matikosamson5868

    4 жыл бұрын

    We nae kumbe huoni vizuri harmo alikuwa ameambatana na mondi check vizuri baada ya mondi kusalimia msitari wa mbele muda anasalimia waombolezaji wa nyuma ndo hormo kaenda kukaa

  • @josephsospeter8304
    @josephsospeter83046 жыл бұрын

    aiseeeeee

  • @DONALDYOWAS-rr7tz
    @DONALDYOWAS-rr7tzАй бұрын

    Alikiba haja msalimia inavotakiwa kakunja ngumi Mondi katoa ivo ivo koma savaaa yakibabe😂😂

  • @irenekambi4705
    @irenekambi47056 жыл бұрын

    Diamond mstaarabu sana msafi wa moyo

  • @fatimahsaide5543
    @fatimahsaide55433 жыл бұрын

    King kiba ,,. Kiba........... 🦁

  • @user-pe1ke8ce3v
    @user-pe1ke8ce3v4 ай бұрын

    So Diamond looks like he wants to squash the beef between them but alikiba doesn't buy it it's very bad.

  • @Paps-254
    @Paps-254 Жыл бұрын

    King kibaa is always a King

  • @maulidijumasiokwer5954
    @maulidijumasiokwer59543 жыл бұрын

    polenisana

  • @getrudequeen6657
    @getrudequeen66576 жыл бұрын

    Ni vizur tu coz kiba anajini kislan ataond inaonekana aliforce tu ata mkono ajakunjua😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @christophermasese4179
    @christophermasese41793 жыл бұрын

    Jmn hv lialikiba lipo msibani bado halioni Kama dunia mapito bado linalinga mond kaka Mimi naamini umejizolea baraka nyingi saana kutoka kwa huyo mbwa

  • @adammpambije9989
    @adammpambije99892 жыл бұрын

    Wame edit hapo wadau

  • @gulainmatumuabiri5446
    @gulainmatumuabiri54463 жыл бұрын

    Mi siyo fan zaidi wa diamond ila kiukweli armonize ameonyesha ushamba

  • @juventusjohn9276
    @juventusjohn92766 жыл бұрын

    Harmonize mbwa koko

  • @johnsondiason8019
    @johnsondiason80196 жыл бұрын

    Mm!

  • @oswaldacleofas2803
    @oswaldacleofas28032 жыл бұрын

    Nipe mkono tushindane hahahaaha,,king kiba nikama alikuwa anajua

  • @omizoototo2665
    @omizoototo26654 жыл бұрын

    Msenge2 uyoo

  • @Mohaa4309
    @Mohaa43098 ай бұрын

    Kiba not good for disappointment, peana mkono shida nafsi zenu mmejaza husda

  • @nicksonchiko9913
    @nicksonchiko99136 жыл бұрын

    huyu kiba ametoa mukono wakibabe hakunyosha kiganja

  • @salimasmahili3754
    @salimasmahili37546 жыл бұрын

    pongezi kwa harmnz kiba huu nyambavu anashindwa kunyoosha mkono kwa mond wala alikua ana choka wala njaa anachokaga mapema kiba ndo i na wezekana mond bado juu tu kiba wapi chini daaaaaa

  • @rashidsalum8325
    @rashidsalum83252 жыл бұрын

    Kweli King apa nimekuelewa sana ww kweli King waalali kabisa unajua jambo lambele

  • @MwaminMwamin

    @MwaminMwamin

    9 ай бұрын

    Kumamako

  • @abuukarcumar513
    @abuukarcumar5133 жыл бұрын

    Asc

  • @acruxe5810
    @acruxe58106 жыл бұрын

    Kumamake

  • @mabenaenterprisescoltd9546
    @mabenaenterprisescoltd95466 жыл бұрын

    Kiba 100

  • @scopioneckboy3845
    @scopioneckboy38452 жыл бұрын

    Mumakonde fala Sana Hana akili mbwa koko huyo anamuonea haya ,smba ,baba tifa na kiba nawapenda Sana kalibuni mboz mbeya mumakonde asije huku aende mtwala,fala huyo

  • @user-es1gh5te7q
    @user-es1gh5te7q7 ай бұрын

    Cy uungwana😢

  • @taysonlusungu1625
    @taysonlusungu16252 жыл бұрын

    Tay Boy

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya95062 жыл бұрын

    Nimerudi baada ya nipe mkono tushindane

  • @adamdotto3876
    @adamdotto38762 жыл бұрын

    Hakikakode

  • @neemahassan8786
    @neemahassan87866 жыл бұрын

    Kwa nn alienda kukaa pale😁😁

  • @alexprotas40
    @alexprotas402 жыл бұрын

    Alikiba anabaya namtu

  • @taysonlusungu1625
    @taysonlusungu16252 жыл бұрын

    Boy

  • @christophermasese4179
    @christophermasese41793 жыл бұрын

    Yani kiba

  • @hythumdotto9847
    @hythumdotto98476 жыл бұрын

    Uyoo amonaiz anafata mkumbo ugomvi wa kiba namondi unakuusu nn weumekuja juzituu kwenye mziki unataka kuendeleza bifu lawatu wevip achaizo amor

  • @malkiavasht7024
    @malkiavasht70246 жыл бұрын

    Ila hamonize atakua wakwanza kufukuzaa wcB..... tutaona

  • @maulidimakalani2001
    @maulidimakalani20016 жыл бұрын

    Kwa hili hata Mimi mkono simpi na simba usijipendekeze sana kwa washamba kama HAWA wanaalibu mambo

  • @boazimbwaga8771
    @boazimbwaga87716 жыл бұрын

    Nimekuerewa harmonize

  • @simbasimba1185
    @simbasimba11856 жыл бұрын

    Mmakua kwa kuiga kiboko mpaka heleni pia kama boss wake,anataman abadil mpaka kabila

  • @IsackKhamis-gj2yo
    @IsackKhamis-gj2yo Жыл бұрын

    Nyau ww

  • @mansoorhuram6653
    @mansoorhuram66536 жыл бұрын

    mkono wake nizer huenda kajiogopa kumushka king !!

  • @ramamontana2386
    @ramamontana23866 жыл бұрын

    jaman king anajitambua na hana bifu na WCB lakini mbona hawajiamini na wana hofu sana nasisi mashabiki tuna takiwa kuishi kama wao na kama kama una bifu na mwenzio famya kusahau tuishi kama mwanzo

Келесі