Annoint Amani - Usikimbilie ndoa ni Moto (official Video 4k)Skiza tone 9047805 to 811
#usikimbilie#ndoa#nimoto
NAAMINI KUNA KITU MUNGU ATASEMA NAWEWE KUPITIA UJUMBE HUU UKIUSKIRIZA KWA MAKINI UTAELEWA MAANA YA HUU WIMBO,
USIKIMBILIE NDOA NI MOTO JE NDO MAANA HARISI YA HUU WIMBO??
BAS SKIRIZA VIZUR UELEWE .
MAANA LAZIMA TUJUE ILI KULIPONYA KANISA AU JAMI INAYO TUZUNGUKA,
LAZIMA NDOA ZIWE SALAMA BILA USALAMA WA NDOA JAMI INAYUMBA SAANA.
PIA VIJANA WAWEKEWE MSINGI MZUR KATIKA MAHUSIANO.
WATAMBUE YALIYO YA KWAO,
NA YASIO YA KWAO.
KILA MTU AJUE UZINZI NI DHAMBI NA UWASHERATI NI DHAMBI.
.
KWA MWANANDOA UNAE MTUMIKIA MUNGU SHIDA IKITOKEA KWAKO, KABRA HUJACHUKUA HATUA
KUMBUKA WEWE NINANI KATIKA JAMII,
HAKIKISHA MAHUSIANO YAKO HAYAWAONDOI WATENDA KAZI SHAMBANI MWA BWANA.
MAANA KILA MTU ANA MTU AU WATU NYUMA YAKE..
MAAMUZI YAKO YANAWEZA KUWA FAIDA KWAKO NA HASARA KWA WALIO NYUMA YAKO..
HAPO NDIPO MUNGU ANA CHUKIZWA NA MTU WA AINA HIYO, MAANA UNA HARIBU MWILI WA KRISTO KWA FAIDA YAKO MWENYEWE.MUNGU ATUPE HEKIMA ZAID
ILI TUMALIZE MWENDO SALAMA,
I BELIEVE THERE IS SOMETHING THAT GOD WILL SAY TO YOU THROUGH THIS MESSAGE.
DON'T RUN AWAY MARRIAGE IS FIRE DOES IT REALLY MEAN THIS SONG ??
PLZ LISTEN WELL UNDERSTAND.
FOR WE MUST KNOW TO HEAL THE CHURCH OR THE COMMUNITY AROUND US,
MARRIAGES MUST BE SAFE WITHOUT THE SECURITY OF MARRIAGE SOCIETY.
YOUNG PEOPLE ALSO HAVE A GOOD FOUNDATION IN RELATIONSHIPS.
Let them know what is theirs,
AND NOT FOR THEM.
EVERYONE KNOWS THAT ADULTERY IS A SIN AND ADULTERY IS A SIN.
.
FOR A COUPLE WHO IS SERVING GOD WHEN TROUBLE HAPPENS TO YOU, BEFORE YOU TAKE ACTION
REMEMBER WHO YOU ARE IN THE COMMUNITY,
MAKE SURE YOUR RELATIONSHIPS DO NOT REMOVE WORKERS IN THE LORD'S FIELD.
I MEAN EVERYONE HAS SOMEONE OR PEOPLE BEHIND HIM ..
YOUR DECISIONS CAN BE BENEFICIAL FOR YOU AND LOSSES TO THOSE BEHIND YOU.
THEN GOD HATES A PERSON OF THAT KIND, BECAUSE YOU ARE DESTROYING THE BODY OF CHRIST FOR YOUR OWN BENEFIT. GOD GIVE US MORE WISDOM
TO END THE SAFE TRAVEL,)
artist Annoint Amani
song Usikimbilie ndoa ni Moto
album Fainal ni Kesho
(language Swahili)
Skiza tone 9047806 to 811
Studio A.E.A Tones
.Video A.E.A Dir by meddy
Tanzania Dar es salam
Instagram annointamani
For bookings +255767240181=+255755099942
Email.amananoint@gmail.com
Пікірлер: 528
NASHUKURU KUONA KILA MTU AMEGUSWA NA HUU UJUMBE, BAS NAOMBA TUOMBE MUNGU TUMALIZE MWENDO SALAMA KAMA UNAOGOPA KUFA PRESHA BURE GONGA LIKE HAPA,, TUFIKE LAK 5 KISHA M1 NA KUENDELEA MPKA MUNGU ABEBE HESHIMA NA UTUKUFU,,
@cymonsengerema7321
4 жыл бұрын
Wimbo mzuri sana Mungu azidi kukubariki.
@berniceonegbmusic2324
4 жыл бұрын
Niko hapa Dubai tunaskiza na marafiki wanzangu.... my dia hongera sana
@mlokolekaokoka8962
4 жыл бұрын
@@berniceonegbmusic2324 Kwanza ana sauti nzur alafu ni Handsome hatar ,ujumbe mzito sana naamini hii nyimbo itafika mbali saana sana,,yani VIEW M1 SASAIVI INAFIKA
@rispergwaro8817
4 жыл бұрын
Surely i love your songs and i ave them more i download them thanks alot am much blessed
@princessfay5414
4 жыл бұрын
Better wait long than marry wrong,ujumbe mzuri saana,afadhali kuomba na kusubiri wakati wa mungu🙏🙏
Tunaoangalia hii nyimbo sasa hivi gonga like tujuwane hapa
254 kaa umekubali hii piga like hapa
@emanuelikipobota6902
4 жыл бұрын
Hatar
@luckypreiss3389
4 жыл бұрын
Ujana ni maji ya moto
@vailethmalema
3 жыл бұрын
Ujumbe mzuri ,hongera sana Annoint
@felisteredward164
Жыл бұрын
Vumilia mud bado
Kazi nzuri...wap likes za mwimbajj kama umekbaliana nae
@violalawrence4337
3 жыл бұрын
Upo vzr kaka angu hongeraaa
Pressure is not my portion am waiting for the right time as adviced by brethren Annoint,,,,am soo blessed brethren,,gudozz,,,,,,wapi watu wa 254 na likes zenu
Nina sababu yakupendezwa na nyimbo zakwako mungu akupe nehema kibali pia na ujaziri Ili utueleze ukweli kaka angu🇰🇪Liz from Kenya
@broWillie92
Жыл бұрын
Rewind
True inspiration kaka. Ndoa sio football. Wapi likes zake Amani
❤❤❤🎉Jamani wimbo yako ni moto kila mara
this guy my guy nmeona nyimbo zake na zmenpendeza hakika ana kipaji toka kwa mungu
Annoint anaimba vizur sana
bwana yesu asifiwe? mtumishi Amani. ubarikiwe sana nyimbo zako uwa zinanijenga sana na kutia moyo, ni bright city from kenya Trans_nzoia county
Shida ya ndoa haibagui tajiri au maskini.Ndugu Esau Mungu akubariki.lnjili mbele.Maombi ni dawa ya ndoa sugu.
WAAMBIE WAKO HAWAJIELEWI NDOA INA. QUALITY. KUBWA YA KUMUINGIZA .MTU MBINGUNI MKIWA WOGE WAAMINIFU. MRS KABIKA
Tell them again my boyfriend, likes zangu from +254
@SaraSara-xc1bx
4 жыл бұрын
Hi
Haleluja,Asante Mungu kama utani milioni Moja.
This has touched my heart 😭😭😭 goosebumps tuu😭😭😭I have been worried about relationship issue....but last night I asked God to give me directions...and today he has revealed to me wat to do😥😥😥Thank you Lord Jesus for this revelation 🙏🙏🙏much love from Kenya ❤️❤️
Ukamanda kwenye kituo ca majeshi kabsaaaaaaaass siyo kwa mkeo bila hivo utabaki peke yako baba.ukifika mbele ya mlango ukamanda achia pale pale kwaani unaingia kwenye ingine office , utaupitua ukienda kazine kesho usubuyi
Sisemi usioe lakini usifanye haraka sisemi usiolewe lkni usifanye haraka ,,,I got the point bro congrats ,,,luv from🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@carolinemutisya1467
3 жыл бұрын
Jameni nani atanikutanisha na huyo mkubwa wangu
Kale katabia kako kasiria mwenzio lazima ajue tu 💯
Hope Muslim wanaskia hii wimbo
Kipande cha rayvanny cha song NAOGOPA 💙💙💙💙
Ndoa ina changamoto nyingi lakini kwa mungu hakuna lisilo wezekana mungu akubariki kaka
Kimi kabisa iyi ni Fundisho la kueli Ndoa Ni Hatari Mulangoni Hai ko mchezo Ah Amen Amen Amen Shalom Shalom
Wenye NDOA tumekuelewa sana sana ahsante kwa ujumbe mzuri, kweli NDOA basi kwa sababu mtu unakuwa hujui tu yatakayo jiri baada ya kuolewa au kuoa. MUNGU tusaidie.
@beverlykadenge2095
4 жыл бұрын
Yes dear, no one never knows what is install for him or her
@tinahfelix4501
3 жыл бұрын
Mkesema ivo mnatisha mbona, unataka kusema wale wanaoliaga wakat bint anaaga sio kwamba atammic ni kwamba anamwazia atakoyokutana nayo huko???
@agathaaroni7783
3 жыл бұрын
@@tinahfelix4501 ndo ukweli ndoa syo send off na sherehe ya harus inahtaj moyo mgum na uvumiliv wa hali ya juu.
Kweli kaka upo sahihi kabisa acha Mwenyezi Mungu azidi kkubari
Kweli kabisa inabidi ukabidhi ndoa yako Kwa maombi
Amazing songs...from kenya
Nimekupenda bule kaka unajuwa sana kuimba umefunika yaani unaongea ukweli kabisa jamani 🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤️❤️❤️❤️❤️❤️💓💓💓💓💓💓💓
Barikiwa sana...nyimbo yako inafunzo kubwa sana
Mubarikiw kabisa nyimbozako nzuri
Aise nakuelewa sana mtumishi, MUNGU wa mianga azid kukuuinua
Hunahakili wewe baba ako asingeowa ungezaliwa na panya au . Muulizee baba ako aliishije na mama ako uchukuwe hatuwa. Hata vtabu vmeandkwa mwanamke uishiena kwa hakili wewe.
@rehemakisalambi9901
4 жыл бұрын
Kwani amekuambia usioe au kaongelea matatizo ya ndoa hebu msikilize vizuri sio unatoa lawama ambazo hazina msingi
Mwanzilishi wa ndoa niwewe MUNGU tusaidie baba
Very powerful song iko na mafundisho
Nice song, it's true ndoa ni moto sikimbilii ndoa nooooh
Kazi nzuri
safi sana kaka kazi nzuri
Kweli kukimbilie ndoa ni shida,nlkua najipanga nioe hata sioi tena
Naona ngoma ina kwendaaa twemde mpka lak 5 najua twafika sasaivi ili tuenze kuekea M1, huu mwaka Mungu kumuinua na atainuka kweli
Kazi zako nazikubali sana
Ubarikiwe Sana kijana wa yesu
Naludy tena kuweka cemented yang ujumbe umefika
For real, utamchunguza mpaka lini, watu ni kuamiana, if two love birds truly love each other, then they'll be no other second love or choice. If you fall in love with two people, marry the 2nd one, because, if you truly loved the first, you couldn't fall in love with any other! Wimbo wako kaka wabariki roho yangu kila kujao. Barikiwa milele.
Kweli kabisa
Praise God brethren
Kabisa yaani duu!!noma sana
Nimekubali sana hiyo nyimbo
Daaaa kwa huu ujumbe umenikumbusha cku moja nilikwenda kwa mchungaji kwa shida yangu, kabla sijaingia nilisikia mke wake akisema najuta kuolewa na wewe ,,daaa nikarudi kinyume nyume maana nilikwenda pale kwa matatizo yangu ya ndoa Sasa kusikia hivyo nikaona Sasa atanisaidieje wakati yake tuu iko matatani Ujumbe mzuri Sana
Lyk mother lyk son gud work
Hata wachungaji ndoa zao ni moto wanalilia moyoni hawana wa kumwambia.kweli kabisa hii kijana MUNGU akubariki sana
@naomijohn4787
4 жыл бұрын
Kweli kabisa kaka
Nafurai n'a wimbo naYesu akubariki Na umevaa vizuri leo Usiwe navaa Sawa rasta.
Kazinzuri Sana munguakujalie
Ameimba vzr sana
Nzur Sana barikiwa
Kumbali Sana brother
Ukweli haya,ndoa rasmi ndio yatakikana ki Kristo,nimebarikiwa Sana zaidi kupitia kwa hii wimbo
Ok sawa nimeikubali
Wow....mob love from 🇰🇪 KENYA
Huyu jamaa anajua mengi
Kweli mtumishi ndoa ni ngumu syo ya kukurupukia
Ahsante Sana mtumishi wa Mungu
Pongezi kazi poa
Nyimbo zako za baraka sana🇰🇪
Kweli tusikimbilie ndoa
Jaman Mungu akuinue zaidi ya hapo
Ndoa ina chakamoto zake lakini kwanza Mungu mbele kwa yote. Nice song be blessed Esau
Shukran Ndugu. Naitwa Jean Aimable T. From inchi ya Rwanda, nazipenda sana nyombo zako, ubalikiwe na Bwana Elohim. Best regards.
Kama historia uko mû imbaji kwa kweli
Woow Wimbo muzuri sana 😢
Good work bro keep it up your are going far
Iko Shwari,,From Kenya,God bless
Kweli kabisa 🇰🇪
Yapendeza sana
Asant.muimbaj.mungu.akubarik
I wish i heard this early😢, but i believe in God
Ubalikiwe sana mtumish w
Ndoa ngum mzee
Jamani barikiwa sana
Si Mungu akubariki amani
Hi.nimeipenda ngoma yake .ila musikose kuowa na kuolewa. But acha 🍠 tamaambaya. 😍😍😍 mana ni sumu ya ndoa. Daaa😍💝😀💝
I love this. It's reality. Most of us youths fear talking of the reality of life. Especially born again Christian. I represent Kenya
@mercykache4235
Жыл бұрын
Amen 🙌🙌🙌❤
Haya dogo umetisha
Mtuletee huyu mchukue bahati😂😂
@mlokolekaokoka8962
4 жыл бұрын
Tunawataka woote maana ni Watumish wa Mungu washambani mwake,, Tuenderee kuombea Ipate heshima kwa mataifa
@mlokolekaokoka8962
4 жыл бұрын
MUNGU ANA WATU BHANA NYIMBO MPKA UNASKIRIZA INAISHIA HUONI UREFU WA NYIMBO ,
@auntiemylee3157
4 жыл бұрын
Haha
@susanwafubwa6386
3 жыл бұрын
😂😂😂😅
Bro am in love with this song just watched it tonight when coming from mombasa kwa rosy shuttle...bro be blessed
Hongera kaka
Mungu atukuzuwe ubarikiwa kaka
Nikweri mungu akubariki
Ubarikiwesana kwa ujumbehuu
🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰❤️ penda sn
Nakupa vilivyo sana
This boy is talented
Mungu akubariki sana kaka kwenye kipaji cako 🙏🙏❤❤❤❤
Nimekuerewq sana
Mungu akubalik
Gospel artist From Kenya, kazi poa
Pamoja sana
Du mungu azd kukuinua
Ndoa nihatali
Mapenzi yashindwe kweli maana hata watu wameokoka wengine hawaaminiki heri nisioleke kuliko kufa na pressure nimekuunga mkono babangu.
@estermachea3373
4 жыл бұрын
Hahahahahahaaa kweli kabisaaa
Mungu akubarik.mtumishi