Annoint Amani - Mama Sukuma mtoto atoke (Official music Video) sms SKIZA 9048515 to 811
#mama#sukuma#mtotoatoke#annointamani#
Huu wimbo ni zawadi kwaajiri ya kina Mama wote duniani,Lengo ni kuwatia nguvu wanawake,wajue bila wao misingi ya watu dunia isinge imarika,Mama ni msingi mkuu alio uweka MUNGU duniani kwaajili ya mwanadam,Tunaweza kuona mfano mdogo wa upendo wa Mungu kupitia malezi ya mama kwa mtoto,Hakika mama ni kipenzi cha MUNGU.)
(This song is a gift to the deepest employers of all mothers in the world, the goal is to empower women, to know without them the foundations of men the world would not be strong, Mother is the great foundation that GOD has laid on the earth for man, We can see a small example of God's love through the formation of mother to child, Surely mother is beloved of GOD.)
Artist Annoint Amani )
Song Mama Sukuma mtoto atoke )
Studio A.E.A TONES.Producer by tallent )
language kiswahili from
East afrika Tanzania
(Instagram annoint Amani
email amananoint@gmail.com. WhatsApp & call +255767240181_ +255755099942 )))))((
sms SKIZA TONE 9048515 to 811)
mtunzi na mwimbaji Annoint Amani )
(Video Directed By Yotham Lyobha +255713 030 763 )
Пікірлер: 2 200
Any one in 2024,in love with this song from kingdom of Africa 🇰🇪
Mwanamke aheshimiwe ata kama ni mtoto mdogo kama unakubali gonga like
@sharonnanjala6968
2 жыл бұрын
Kabisa eshima ata kwa mtoto mdogo bora awe wa kike...shukran
@VictoriaBeautysalon-tm1jw
11 ай бұрын
Nakupenda mama yangu❤❤❤❤❤
@adnesadnes8268
11 ай бұрын
❤
@melvinachieng8212
9 ай бұрын
@@sharonnanjala6968❤❤. C
@kipkuruidismas5446
8 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
Kweli mama nikipenzi cha mungu,kama unampenda mama plz likes zenu
Nimerudi kuisikiliza hii nyimbo 2024 🙏🙏
Jamani mama ni waheshima hata kama kiwete,wagapi wananiunga mko,nionye na likes😚😚😚
@marymichael3980
3 жыл бұрын
Ke sa
@tesskalekye3749
3 жыл бұрын
I just like the songs. Sure you are the anoint..
Mama ni mama tu. Jamani nyimbo nzuli San km. Umeikubari gonga like twende saw
@christinanguna9589
4 жыл бұрын
Mungu akubarki kijana.mama ni mama tu hana mfano.
@pelusiemanueli6926
4 жыл бұрын
@@christinanguna9589 umeona ee
@ismailbaruan1962
4 жыл бұрын
Kweli hapa umetisha hatariiii
@felisterandrew1419
4 жыл бұрын
Wimbo huu unanibariki saana
@gerrardmansoory824
4 жыл бұрын
Nakupenda sana huo wimbo
Mimi kama mkenya nyimbo zako zanibariki sanaaaaa mungu azidi kukutumia hivyo ukifahamu kuna taji mwishowe
Ouuuuuuhhh 💃💃💃👩❤️💋👩🤰🤰🤰🌹 uuuuuwiiiii wololo mama 💃💃💃💃💃💃👏🏻👏🏻👏🏻 yayeeeee💃💃💃💃💃 i wish mugeelewa vile huwa nafeel nikisikiza huu wimbo yawa aliabiwa mama sukuma nikazaliwa 🤰🤰🤰🌹🌹🌹🌹💃💃💃💃💃🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 may God blles you bro for this song 💃💃💃💃💃💃👩❤️💋👩👩❤️💋👩👩❤️💋👩
Wangapi tuko hapa kukumbuka siku ya leo?. Happy women's day😍😍❤❤🔥🔥🔥
@jescajoseph8662
3 жыл бұрын
Jesca Joseph
@lillianwanjala9063
3 жыл бұрын
Hi wimbo unamafunzo
@amosynyarosa5077
2 жыл бұрын
Heko mama
@brendarotich4122
2 ай бұрын
Today again
Mama mama mama mama ni kipenzi cha Mungu,hakika video nzur saana,yani hii itapigwa kila sehemu,kama hii haitavuma bas uhame nch Annoint,Kama una kubaliana na Mimi gonga like
@user-zb6ij5ee5x
4 жыл бұрын
Ee kweli kabisa
@mlokolekaokoka8962
4 жыл бұрын
Lakini naona wameikubar jamani inaenda tuombee Mungu hii ipate view ambao wata mtia nguvu saana ANNOINT .
@johallutta734
4 жыл бұрын
Jaman mamangu mungu akulaze mahari pema kipenzi changu ubarikiwe pia hesau
@shabanihassani4776
4 жыл бұрын
Malaya
@shabanihassani4776
4 жыл бұрын
malaya
Kwa ma mum,nakupa huu ujumbe uliobora kwangu.barikiwa bro
Apo Kwa Alikiba na Diamond umetisha Sana mtumishi Kwa kutambua vipawa vyao walivyojaaliwa,
Jamani jamani jamani nimechelewa saaana Leo ,,Hapa Annoint umejibu maombi ya mashabiki wako kutuletea video nzuri kabisa yenye viwango,kama nawewe umefurah kuona video kali na audio Kali gonga like
@aminasaleh7875
4 жыл бұрын
Kwa kweli imenifurahisha na kuniliza
@faithfaith4782
4 жыл бұрын
Congratulations annoint God bless you 🙏💖👊👋👍💞👌 penzi nzuri lipo kwa mama mmmmmmmmcha 😘 mummy's 😂💖
@stanleykigomboa2260
4 жыл бұрын
Asante sana kwa video hii nzuri.
@dennismokua86
4 жыл бұрын
So so sweet
@atufigwegeislaeli8526
4 жыл бұрын
Jamani kaka mbon nyimbo nzulisan dah ubalikiwe popote ulipo
Nasubiri kwa ham lak 5 hebu naomba kwa heshima ya mama jamani wimbo ufike levo Ambayo sio kawaida ili wajue mama ni no 1 duniani,,,
Hii wimbo itabaki kuwa nyimbo nzuri in generations to come. Those who will be watching in 2099 wajue mama atabaki kuwa mama
From TikTok😳🤌kumbe ulitolewa kitambo jamani, I love this song🥰
Wow aliambiwa mama sukuma akazaliwa kanumba,diamond ,Kenyatta ,Obama nd my mom alisukuma nikazaliwa 😘💖am so proud of u my mom .....am just in love wth tjoa song ......its so amazing wow 😍😍😍😍💜💕💚💚
@mlokolekaokoka8962
3 жыл бұрын
Yaani mama ni mamaa
NDUGU IKIWA UNAIMBA KWA AJILI YA UTUKUFU WA MUNGU, HEBU JITAHIDI UBADILIKE NAMNA ZA MAVAZI NA MWONEKANO WA NJE, UACHE FASSION ZA WATU WA DUNIA, Wewe nyoa, vaa na mwonekano kwa ujumla uwe wa kawaida wa heshma. Ili kwa kuimba kwako umhubiri Yesu.
@mlokolekaokoka8962
4 жыл бұрын
IMBA WEWE UVAE IVYO MPENDWA LAKINI SISI WENGINE HATUONI SHIDA HAPO,YUKO SAWA KABISAA,WANADAMU MWACHENI ANNOINT MAANA HAMNAGA ZURI NYIE ,,
@kefaasukile7261
4 жыл бұрын
WENGINE TUNAUMIA TUNAPOONA LEO WAIMBAJI WA INJILI NAO WANATAKA KUJILINGANISHA NA DUNIA, BASI WAIMBE NYIMBO ZA DUNIA HUKO HATUTAWAGUSA KUWAONYA LKN KUMTUMIA YESU VIBAYA HAPO ANATUGUSA WAFUASI NA MAWAKILI WA YESU DUNIANI. jaman njia ya mbinguni ni nyembamba wataenda waliojikana na kubeba msalaba, iachen dunia tumwelekee Mungu wapendwa, rudini kwenye misingi ya Mungu. waimbaji nawaonya kwa jina la Bwana, Imbeni kwa nia ya kuwafanya wanaosikia na kuona video wapate kumwelekea Mungu, na sio kwa lengo la biashara na kuwafurahisha wadunia.
@mlokolekaokoka8962
4 жыл бұрын
@@kefaasukile7261 HUNA UKWELI WOWOTE ,ANNOINT KAVAA KAWAIDA TU ,WEWE ULITAKA AVAAE NINI ZAIDI YA IYO SUTI ,AU IYO NGUO NDEFU NA WAMAMA BADO UNAONA MBAYA AU UNASEMEA IYO PENZI NYEUSI MBONA NZURI TU HAINA SHIDA,KAMA KUNYOA HAJAANZA ANNOINT TENA KANYOA KAWAIDA TU, MAANA MWIMBAJI MKONGWE MWANSANSU ANA NYOA ZAIDI YA ANNOINT LAKINI HAMJAWAH KUSEMA,ILA TU MTOTO WAWATU HUYU AKIFANYA JAMBO LAZIMA MUAMUE KUMSEMA VIBAYA, NDUGU KAMA UMEOKOKA UMEKOSA HEKIMA YA KUSEMA KWANZA, ANNOINT HONGERA KWA KAZI NZURI ,ILA NINA HILI NA HILI AU UKA MTAFUTA UONGEE NAE MWENYEWE MAANA NAMBA ZIPO HAPO JUU UNAMPATA MDA WOWOTE, HAPA KILA MTU ATAKUONA MKOROFI KWA NYIMBO KAMA HII YA MAMA JAMANI UKAANZE KUINGIZA MAMBO YAKO HAPA SIO VIZUR TENA MUOMBE MUNGU UMEKOSA HEKIMA KATIKA HILI,MUNGU ATUSAIDIE WATUMISH JAMANI,MAANA HII NYIMBO WATU KILA AINA WATA IANGALIA SASA WANA KUTANA NA UJUMBE WAKO,MTUMISH WA MUNGU UMEMSEMA MWENZAKO HADHARANI,,SIO VYEMA JIFUNZE KULINDA MWILI WA KRISTO ,
@kefaasukile7261
4 жыл бұрын
NINA UHAKIKA NA NINACHOONGEA HATA WOTE MKANIPINGA, MI NAMTETEA KRISTO SIMTETEI MTU YEYOTE NA SIMCHUKII MTU YEYOTE. Unyoaji huo hata km waimbaji wakubwa wanafanya hivyo msiige kila kitu, kumbuka sisi tunatakiwa kufanana na kristo na watu watusome hata nje kwa tabia na mienendo yetu, kuna vazi hapo mwishoni halifai kwa mtu alieokoka, mpagani na alieokoka lazima kuwe na tofauti hata kimavazi, pia niongeze kusema waimbaji wakati tulionao km wapitaji ni mfupi, tafuteni jumbe zenye kuwahubiri watu waache dhambi, wamjue Mungu na kumwinua Mungu sana. Tumwinue na kumsifu zaidi yeye mwenye kuwawezesha wamama na wababa na wote (yaani YESU) Tusipende kusifiana km dunia inavyopenda kusifiana. Wewe mama kumbuka sio jitihada zako ila ni kwa uweza wa Mungu, watu wote ni wa thaman mbele za Mungu. Yapo mengi ya kukosoa mengine niyaache tu. Kukosoana ni kupangana ili km tulijisahau turudi kwenye mstari, ISAYA 58,1...
@mlokolekaokoka8962
4 жыл бұрын
@@kefaasukile7261 OK UMESHINDA MPENDWA SIWEZ KUKUJIBU,NAMIMI NTAONEKANA MPUMBAVU MAANA NILICHO KWAMBIA KINA TOSHA ZAIDI YA HAPO NI KUJITUTUMUA TU ,NAHISI UNA TAFUTA KUJULIKANA HUMU KWA ANNOINT,ILA KAZI NI NZUR WIMBO NI MZURI KAMA WEWE HUJAUPENDA BAKI NA CHUKI YAKO USI COMMENT TENA ,MAANA HAJAVAA KITUMISH KAMA USEMAVYO BAS WATAFUTE WALIOVAA KITUMISH NDO UWA SIKIRIZE,,
Aliyenizaaa mimi ni mama,♥️♥️♥️ Nampenda sana mamangu ♥️
I love to be a single mum😢😢😊but one day mungu atanionekania 😢
Mama aheshimiwe ata hawe na kiungo namna Gani.💙💕💙💕 Be blessed all mothers wherever they all.Tunawapenda Mmwaaaaaaahhhh💟💟✅💟💟✅🙏🙏💟
@user-xm4lb6vw6t
2 ай бұрын
❤
@sheilakorir7377
Ай бұрын
G.
anyone in 2023 🥰🥰🥰
Mama ni mama Tu ni ukweli wimbo nzuri like
Annoit amani God bless you so much,ninapo sikia wimbo huu nakunbuka mbali sana
safi sana ,mimi mislamu lakin muungu akuongoze baba
@dikixonideonidaxi9804
3 жыл бұрын
Nani kama mama
@mlokolekaokoka8962
3 жыл бұрын
Dua yako Mungu ameiskia
Niliambiwa Joyce sukuma,nikamzaa Witness! Ahsante Mungu kwa kunipa heshima ya kuitwa Mama. Wimbo mzuri sn, ubarikiwe mtumishi wa Mungu 🙏🙏
@jesicaogombe6819
3 жыл бұрын
Hatamimi by the grace of God najua ntaambiwa nisukume
@timotheosumba1427
3 жыл бұрын
00
@elenpaoulo3401
3 жыл бұрын
Woooooow jmn hongera san me py ntaman kuitwa mama lakn mungu bhd hajaruhusu
Ii nyimbo ni nzuri jaman 😭😭😭ubarikiwe kaka 🙏🙏🙏
Nikweli hapo umetisha hakuna kama mama😋😋😍😍👸👸👸
Wimbo umenibariki mnoo mama nisamehe pale ninapokosea
@florakawau5615
4 жыл бұрын
Amen
@niceerasto3102
3 жыл бұрын
Mungu anatosha
@jamilairakoze6600
3 жыл бұрын
Pole sana dear
@rosekwelichamtumavidohho8942
3 жыл бұрын
Asante Sana kaka mungu akubari mwimbo mzuri Sana😘😍🙏
@pinchymadolah537
3 жыл бұрын
Mamy long life ilove you nisamehe mahali nilikukoseA nimehibiriwa
Mama sukuma ni wimbo wangu wa Mwaka 2019 & 20 na kuendelea maana huu wimbo umeniliza jamani yani umeimba kila kitu tunacho pitia wanawake,,Unaitaji zawadi taifa lifanye kitu kwako,
@cathelynjulius6659
4 жыл бұрын
Kabisa jamani
@abdullrazackkim8783
4 жыл бұрын
Huyu kaka abarikiwe sana.
@celestinasuzana3315
3 жыл бұрын
H
@celestinasuzana3315
3 жыл бұрын
Tg
@abrahamkulwakulwa6819
3 жыл бұрын
Mama ni nguzo ya kila kitu maishani
Kila mwanamke apewe heshima tuko na kazi ngumu kulea ndio kazi usimchome amen nice song.
2023 the message is still strong
Napenda nyimbo zako sana
I will continue watching this song until the end of my life mama sukuma wimbo mzuri sana barikiwa namungu pa wimbo huu
@morgansiwanzi1791
3 жыл бұрын
Namimi
@ErickOmondi-ti5zn
Ай бұрын
Ni Wimbo wenye kuhuzunika
@MitchelleNaliaka
23 күн бұрын
Ilove my mumu ❤
Never knew about this song until I heard my 3year old son sing 'hakuna mrembo km mama😛' I am blessed 🙏
Wow inspiration words ❤❤ happy international women's day to all women's
Ubarikiwe nami kama mama nimefurahi nilisukuma 6 ahsante Mungu wangu
@jimsonmissana7996
3 жыл бұрын
Ongela
Nimelia mimi jamani nasikia uchungu nimemzika Mama yangu kipenzi Trh 27 /3/2020 ntamkumbuka kwenye Maeneo mengi Mama yangu.
@rozijumanne1213
4 жыл бұрын
pole sana Mungu akutie nguvu
@subirambao5762
3 жыл бұрын
Pole sana mpendwa
@bettymlaki9669
3 жыл бұрын
Pole Mungu akuponye moyo, uwe mama kama yeye ili umuenzi
@tubunileopmsyaliha3502
3 жыл бұрын
Vr sor
@aminamhanga732
3 жыл бұрын
Pole sn
Kweli kabisa Ubarikiwe sana mwenye uliimba hii nyimbo🙏🙏♥️♥️
Amani Hii uliweza, all the way from Kenya, Mwahali Mwarimo. Congratulations Broo.
HUU WIMBO WANITIA NGUVU MNO SABABU SINA MAMA KWA KWELI LAKINI BADO NAMHESHIMU
@nancybonareribonareri8525
4 жыл бұрын
Mordecai The Comedian Maradona pole kwa kumpoteza pia mimi sina lakini na mweshimu
@angelangel-wq4sx
4 жыл бұрын
N'a mimi Sina Mama lakini na Mheshimu 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🙏🙏
@vanessamagezi6986
4 жыл бұрын
Pole jamani
@pelusiemanueli6926
4 жыл бұрын
Poleni San
Hii Nyimbo ni Kama ina upele inakuna Kuna kurudia kuangalia 😂😂😂
Aliambiewa Mama sukuma akazaliwa Noel good bless Mama wote mungu awabaliki wimbo Bora wa gospel 2022, huu
Mama yangu nakupenda 🤍🤍wamama na wanawake wote waheshimiwe
What a beautiful song nimesikiriza huu wimbo since Yesterday mama no one like u ..and all mothers in the world 😍😍😍😍😍😍😍💋💋💋💋💋💋💋💋 More love from Kenya 🇰🇪🌹
@maureenundisa6537
4 жыл бұрын
Very nice one
@karuhangastephen9950
4 жыл бұрын
Nice
@annettemugendi2121
4 жыл бұрын
Good song
@Lamo254
4 жыл бұрын
Indeed waaa
@yusuphvideoplayermasatu3782
3 жыл бұрын
Sweet song
Tutawakumbuka wa mama wa marafiki zetu, mashangazi zetu. Mungu awapumzishe kwaamani🙏🙏🙏
@mlokolekaokoka8962
4 жыл бұрын
Mungu awe faraja kabisa jamani jitie nguvu Mungu yupo kwaajili yako
@mlokolekaokoka8962
3 жыл бұрын
Kabisaa emenena Emeen
Congratulations 🎊 bro hakuna mtu kama mama❤❤❤ mama ni mama to so annoint essau amani jikaze sana kumutumikia mumgu aliye kupa sauti nzuri ya kuimba.Tumeona mabadiliko kwa vijana waliyo potoshwa na dunia wamerejea kwa bwana sasa hiyo ni jambo kubwa sana annoint mutumishi wa mungu mm wako mercy from uae 🇦🇪
Barikiwa kipenzi cha wengi mkubwa yangu annoint amani.
Ayiii my mom ameniacha mdogo sasa ivi na mim naitwa mama, nimejikuta naliya, RIP mom ntazidi kukuombeya kwa mungu
@mlokolekaokoka8962
4 жыл бұрын
Mama jamani ni kila kitu tujipe moyo jamani Mungu yupo,,Na wanawake wote tunao waona hao ni mama zetu,,
Huu wimbo mtamu jamani kama na wewe unawhatch mwaka huu drop ur like,
@erickoduor4354
3 жыл бұрын
Walai hui wimbo ni mtamu unaleta mafillings kwa roho....
Hivi huyu aliyeimba huu wimbo kumbe ni mtoto wa Rose Muhando
Mama, hakuna kama wewe ingawa ulienda kuwa na Bwana Yesu, hakuna awezaye kujaza pengo lako mama
Just landed here after kuiona Kwa status ya mtu
@mlokolekaokoka8962
3 жыл бұрын
Hahahahahahahahaha
Wimbo mzuri sana, wa mama wote barikiweni na ujumbe huu.
@lukaslaizer3052
2 жыл бұрын
Kbsaaa my dear shikamooon
Mama ni mama aheshimiwe wanaume huo ujumbe uwafikie
Rip my mama,,,,I miss you so much ,,,😭😭,,,
From Nairobi. I just want to ask if am allowed to replay this song 20 times because I have done replays 19 times and am getting tempted to listen the whole day🤔🤔. #Happy mothers day to our cute and wonderful mothers# God bless Annoint Amani for this great song.# RIP my dearest and lovely sweet mama#
@berylnyengo7018
4 жыл бұрын
It's mother's day, replay infinite times
@kwagalavkylydia7914
3 жыл бұрын
Listening too from UG. Nice song.
@georgetinsha9569
2 жыл бұрын
I also can't help my self replaying it more and more just love it
HAKUNA UJUMBE MZURI ULIOWAHI KUIMBA KAMA HUU.MAMA YANGU NI KIPENZI CHANGU.
@bukuruzedechie4640
3 жыл бұрын
Ulikosea shujaa wa Burundi sio huo.
@alicezawadi4692
3 жыл бұрын
Nikweli🖤🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🖤🖤🖤
Mungu akubariki sana🙏🙏👍👍❤️
Hakuna ata siku tutamupata muzuri kama mama. Tunabudi sana kuheshimu wa mama wakati wangali wazima. Ninampenda kila mama japo maman alefariki Ila naona kama Nina wa mama wengi
What a beautiful song mama ni mrembo hakuna kama mama barikiwa sana mtumishi sauti imechujwa kutoka mbinguni nimebarikiwa sana
@bridgitkavili7879
Жыл бұрын
Nice song God bless you ♥️♥️♥️♥️
Annoint una endelea kugusa moyo wangu yaani ume nibariki baraka isio kua na kifani. Barikiwa na bwana mtumishi
@nelsonmajura3964
4 жыл бұрын
Kweli jamaa yangu
@mlokolekaokoka8962
3 жыл бұрын
Haunishindi Mimi
@mapenzimbelechi3037
2 жыл бұрын
45tghhh b bbh u
Nashangaa nimekua nikiishi chini ya jiwe lipi? Ati ndio nasikia huu wimbo kwa mara ya kwanza. Nyimbo kubwa!
The voice and words are very touching respect to mothers!
Hongera sana brother Mungu azidi kusimamia kipaji chako
@mlokolekaokoka8962
3 жыл бұрын
Mambo ni firee
Hongera sana kaka angu kwa ujumbe mzuri km huu kuielimisha jamiii yetu Amina 🙏🙏🙏🙏🙏
Yaan siku zote najuaga wimbo wa Rose,,,kweli hii ajabu. A very nice song
Mwanamke aheshimiwe hata Kama mtoto mdogo maana uchungu wa mwana mwanaume haujui kabisa❤❤❤❤❤
Yan kuazia leo mke wangu nimemweshimu ni mama yangu kumbe barikiwa annoint
@mlokolekaokoka8962
4 жыл бұрын
Hahahahahaaaa nimefurah kuona umelitambua hilo ubarikiwe sana
@florakileta9902
4 жыл бұрын
That's true tuwaheshimu wa mama
Nimebarikiwa sana, Endelea Kubarikiwa Mtumishi wa Mungu🙏🏾🙏🏾
@balakagidion1286
3 жыл бұрын
Annoint ongoza Taifa liabadilika Mungu kakupa kitu
@chitalusoke7655
3 жыл бұрын
Asante umekgusa et
@amosynyarosa5077
2 жыл бұрын
Tuombee huko uliko
Hongera sana kaka kwahatua uliyofikia Mtumishi kazizako nakufatilia sana unafanya vizur sana Mungu Akubariki Mtumishi
Still listening this song in 2024
From South Africa 🇿🇦🇿🇦🇿🇦 #MAMA SUKUMA# Annoint ubararikiwe namungu akuongezeye baraka na kipaji chako ,Amen amen amen
@mlokolekaokoka8962
4 жыл бұрын
MUNGU AKUZE KIPAJI CHAKE KIKUBWA SANAA SANA..
@mlokolekaokoka8962
4 жыл бұрын
Mama sukumaaa weee sio mchezo Leba ni motoo
Huu wimbo nimeusikiza mara kadhaa, unaleta raha kidogo huzuni yani kazi safi kwa kweli
@mlokolekaokoka8962
3 жыл бұрын
Yaniii wee hauchoshi
Mama ni mtu wa kuheshimiwa hata kama hakupendi
Kama Kuna mrembo duniani ni mama💕💕special dedication to my mama💜I love you ma'am
Tamuuu sana aliambiwa mama sukuma akazaliwa Annoit
@patrickmbarugwa536
4 жыл бұрын
Wimbo mzuri
@innocentdaniel5573
4 жыл бұрын
Gud xong
Mama ni mtu wa maana katika maisha yangu. Nakuheshimu sana mama🙏
@MerryLoko
7 ай бұрын
Mama ni mtu muhimu sana katika maisha yangu I love my mumy💚💚💚💚💚💚🧡💛
This song reminds me of my late wife😢😢 I used to forward to her during Mother's day.
Tufanye yote lakini wee acha Mama ni Habari Nyingine kabisa, mbarikiwe sana ndgu waimbaji, kwa kumtukuza Mama.
2 yrs ago. I lost my mother. And this song was just reffered to me by a friend. At 1st I thought the voice was of Rose Muhando. But It's not. Thank you Amani for the song... It brings happiness and tears at the same time. To God be the glory
@nzamul1446
4 жыл бұрын
That's the son to muhando
@emmanuelkayoka2825
3 жыл бұрын
Hongela hiyo ninyimbo namba moja hata zijazo kwa wa sanii wajao hazitaifikia hiyo
@paulsimon9871
3 жыл бұрын
@@emmanuelkayoka2825 this is Rose's son as you hear singing tone is alike as his mom
@winfrendkyalo8330
2 жыл бұрын
Rose kajizaa hapa. ...kumbe tunda halianguki mbali na mti wake...ashukuriwe mungu
@sultanmswahilitv4864
2 жыл бұрын
Me too
Much love from kenya
Woooow,wamama hoyeeeeee❤❤❤❤🫄🫄🫄🤱💃💃💃💃ubarikiwe sana kaka hii Wimbo n tamu muno
Siku nyingine muimbie baba kwa kumshukuru kukuchagulia mama Bora ,,, daima kichwa kitabaki kichwa tu haitabadirika kuwa mkia.
Mama apewe heshima yake 😘😘😘😘strong one hadi machozi inajitoa tu ukisikiza 😢😢😢
@mlokolekaokoka8962
3 жыл бұрын
Kabisa
Aliambiwa Rose sukuma akazaliwa Annoint Essau. You made me Cry indeed. I salute my Mum. Blessings to all Mothers & female figures wherever you are.
@anithawimbe1564
4 жыл бұрын
Ivi Ni Mtoto Wa Rosemhando!!!
@zilpahcharlotte3856
4 жыл бұрын
Ndivyo, Annoint Essau ni mwanae Rose Muhando.
@lebkn177
4 жыл бұрын
Is he rozie mhandos son.rose alisema hana mtoto anaimba wake niwatatu.nawako shule
@zilpahcharlotte3856
4 жыл бұрын
@@lebkn177 he is Rose Muhandos Son.
@lebkn177
4 жыл бұрын
Nop hes no rose mhandos son
Wanaume wangekuwa wanajua mateso wanayopata wanawake wakati wa ujauzito na kujifungua,wasingethubutu kuwatelekeza watoto.
Waaaah kusukuma mtoto atoke kwa tumbo aa!ah mum I love you
Ubarikiwe sana mutumishi wa mungu kwa ujumbe wako muzuri. 🙏🙏🙏🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Mbona hii ngoma haina 1 million views? Annoint pata heshima na hongera zetu kutoka diaspora via Kenya. Salute keep up the good work!
@mlokolekaokoka8962
4 жыл бұрын
Namimi nimesha kina mama wana niangusha wanaenda kwa kas ya 3G wakata hii nyimbo inafaa iende kwa kas ya 4G,Lakini hakuna atakae zuia hii nyimbo kufika million 1 view ni kama surprise tutashaa paa m1 hii apa alafu huko mbele raisi tu kupita ,
Hasaaaa Ndio Mama Ni Mama Tu Ubarikiwe kamue Na Jama Yama Yako Yote Amen Ah Wuchungu za Kizazi Rose Muhando Results ya kazi yako Yako iyi Amen Amen Amen Maranatha
Whos here 21/03/2022 On a Mother's Day
Mama!!!!!!!!!! God bless you, ninaendelea kubarikiwa na wimbo huu, Anoint Mungu akubariki pia by rafiki yako Newton
i learnt of this song last year during my lovely mum's funeral...men cry internally but this made me break down uncontrollably; I miss you so much! may your soul rest in peace
@asioangel1365
3 жыл бұрын
This songs make me cry all the time,just knowing that I cant see my mother and never tested mother's love,
@kwagalavkylydia7914
3 жыл бұрын
May your mother's soul RIP.
@carencheroitich9955
3 жыл бұрын
May your mom rest in peace
@nancynganga6731
3 жыл бұрын
Don't worry bro, may God bless you n take over your life
@fridahkanny561
2 жыл бұрын
@@asioangel1365 it is well
Napenda hii ngoma sana hongera sana
LALA SALAMA MAMA YANGU TOKA MWAKA 2002 UMETUTOKA AMINA MAMA YANGU KIPENDE UWIII
Being a Mum is a Gift and A Blessing From God to Us... No Matter The Condition She Is In🤰🤰, Let's Respect Our Mother and Wives✌️✌️✌️Be Blessed🙏🙏🙏 💯💯💯 Talent
I dedicate this song to my dearest mama, be blessed mum.
@bettymlaki9669
3 жыл бұрын
I bless my mama wherever you are. Nakupenda sana mama
@xgenerationtrends5435
3 жыл бұрын
@@bettymlaki9669 mum's are priceless
@hancekingo7957
3 жыл бұрын
@@bettymlaki9669 mbosso
@hancekingo7957
3 жыл бұрын
@@bettymlaki9669 diamond
@hancekingo7957
3 жыл бұрын
@@xgenerationtrends5435xxxz
Jamani Imani ni kutunga!!!!!!!!!!! Ehhhh. Nafurahiya huyu mwimbo kwani na mimi ni mama mwenye watoto. Mungu akubariki saaana
Hii nyumbo imenitoa machozi ubarikiwe