PART 1: ROSE MUHANDO AMWAGA MACHOZI AKISIMULIA YESU ALIVYOMTOKEA, KUFUKUZWA NYUMBANI | HARD TALK
Ойын-сауық
PART 1: ROSE MUHANDO AMWAGA MACHOZI AKISIMULIA YESU ALIVYOMTOKEA, KUFUKUZWA NYUMBANI | HARD TALK
HII ni sehemu ya kwanza ya mahojiano ya mwanamuziki wa Injili, Rose Muhando, katika kipindi cha HARD TALK, ambapo amezungumzia historia ya maisha yake, majanga aliyokutana nayo mpaka kufikia hapa alipo..
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Пікірлер: 418
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE UWE WA KWANZA KUONA:🏾 bit.ly/3MraYdQ
@julianamwendwa3037
Жыл бұрын
Sorry for that
Nataka niache hii comment hapa ndio siku zinazopita watu wakilike inanikumbusha kuwa magumu tu nayo pitia kwa maisha mwishowe Mungu yupo.
kipenzi Cha wakenya wote wanaompenda Mungu, hallelujah....Kwa kweli Rose nilimpenda Sana Sana,hata wakati aliugua, ninjifunga kumuombea 🙏i thank God for your life ,dada Rose, May the Lord Almighty and his mercies, protection, favor, and all his blessings locate you ,in the mighty name of Jesus Christ 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 we love you 💓
Uzuri wa sauti ya Rose ni kutoka mbinguni, yaani sio mbwembwe za studio, yaani hata bila vyombo anaimba hata akiwa kibibi naamini bado sauti haitazeeka❤️❤️❤️❤️
Mimi naamini kwa asilimia mia .100 kuna ndugu yangu aliumwa miaka mingi siku alio pona. Mungu alimutokea usiku wa manane alipona dakika hio mwanga ulitawala nyumba nzima na sauti nzito Mungu yupo na anaponya 🙏🙏
@miriamcheya3136
Жыл бұрын
Amina sana na nina uhakika na hilo kabisa
@issanasir3583
Жыл бұрын
Mungu alikua na nguo gani ?
@nancyg8664
Жыл бұрын
@@issanasir3583 duh
@azinarashidi5204
Жыл бұрын
@@issanasir3583 huwezi kuelewa kama huna Faith mkaribie Mungu utaona utofauti
@gracejerome7147
Жыл бұрын
Nimelia sana nimesamehe kwa kumsikiliza roze sikujua kma nilikuwa nauchungu moyoni mwangu asanteni kwa kipindi kizuri
" kwenye maisha kila mtu huwa na ndoto zake lakini kwa neema ya MUNGU nimetimiza ndoto nyingi.lakini ndoto moja ninayo tamani sana kuitimiza ni kufanya nyimbo na mwanadada rose muhando.Mimi naimba nyimbo za kurap kwa njia za injili natamani sana kufanya nyimbo na huyu mwanadada.
@simonmdune9066
Жыл бұрын
kurap tena ?😦tena gospel surely hebu acheni hizo waimbaji
Representing Team Rose Muhando from Kenya 🇰🇪🇰🇪🔥🔥🇹🇿🇹🇿
Anytime you think of giving up, listen to the story of one, Rose Muhando. A story of perseverance and never giving up on God.
@magynzioka1122
Жыл бұрын
True
@kamwinerhoda6304
Жыл бұрын
True 🇸🇦🇺🇬
Ukielezea tu yaani goosebumps nikijaribu kuvuta picha.More grace mama
The voice mama. The vooooooice, literally shaking the gates of hell and opening those of heaven
@jackygesare4620
Жыл бұрын
Amen
Napenda anavyo nawiri much love from Kenya Rose ❤️❤️❤️
I honour the GOD of Rose. He is a restorer and a healer.
Rose muhando my role model…May almighty God continue using you to enlighten the world 🌎 kama mtu anaweza subscribe 100times naweza juu ya sister Rose
Shalom dada Rose,vita yako siyo ya kukuua Bali Niya kukupandisha kutoka sehemu uliyonayo kupanda ktk kiwango kingine cha utukufu,ili Mungu aliyekuchagua kbl ya mising ya Dunia ajitukuze kwako,wenyew macho na masikio wamuone Yesu mwokozi anavyomtukuza mtu,anavyomuinua mtu,mimi nikipewa kukuombea iliutoke sehemu,uliyokuwepo,kwa kutokujua kwako au kwa kujua,so acha mitihani ije ili Yesu atukuzwe,usiku na mchana.
rose napenda nyimbo zako zote na story yako nimeiwatch over three times uwa unanipea nguvu ya kuishi mungu awe na wewe milele 🙏
I feel encouraged by your story I believe one day God will appear and heal me too I have been having back pain more than yrs now may God hear my prayer 😭
Wimbo alioimba akiombea Kenya naupenda sana.Barikiwa sana Rose Muhando.
I just love 💕 sister Rose Mohando. May GOD strengthen her more and more in her ministry in Jesus name 🙌🙌
Nilipokuwa nawatch hii story ya dada rose nilikuwa kazini.mapigo aliyoyapitia Rosi Yale Yale niliyoyaona mimi.kama mtoto wa kwanza kwetu nilipitia machungu kwa sababu ya wadogo wangu,mapigo hatakuwa rahisi,mama mzazi kanichukia bure tu pasipo mimi kuijua sababu.weh!siku ipo nitakaposimulia safari yangu kuwapa moyo waliomo kwa Hali kama niyokuwa.namshukuru mungu baada ya hayo yote mungu aliniheshimisha.from Kenya we love you Lilian mwasha
Hakika huyu ndo malkia wa injili,,, MUNGU azidi kukuinua dada Rose 🙏
dada unaimba sanaaaa nimeuza saana cd zako dada rose ALLAH GREAT UMEWIN 🙏 uyo mzee alaaniwe hakachomwe na allah mwenyewe
Rose we wish to adopt you as 🇰🇪 you're just the best we love you queen of gospel
I like Rose muhando, na Nyimbo zake
Dada Rose nakupenda sana,hata ulipopitia vita kipindi fulani hivi ambayo tuliijua kwa Pastor Ng'ang'a I mean kwenye maombi kwa mtumishi hiyo,Mungu aliniwekea mzigo mzito mno ndani yangu wa kukuombea, namshukuru Mungu mno kuwa alikuvusha,ataendelea kukuvusha ili ulitumikie kusudi,love you
From Kenya more love Mom 🌹
We love you so much Rose Muhando. Always desired and dreamed to be your dancer when I was a kid.
God above all Asante kwa shuhuda hii rose
Am so encouraged, Naapa mimi, sitakufa moyo
Much ❤️ dada Rose 🙏 Mungu alitaka na aliruhusu upitie yote ili uwe njia kwa wengine wengi. Ukijitazama ulivyo leo unajua 'it worth going through all that darling'.
😭Mungu alikulete Duniani na kuzudi lake,kupitia baba aliye kuzaa kukatoka Malkia, Dunia yote inakuenzi Rose,heri mwisho wa jambo kuliko mwanzo wake,nakupenda sana,na Mungu akubarikie na Miaka mingi ya Kuishi ,Amina🙏
I love this lady so much and Angela.The messange and the dancing not forgetting the voice👌👌🇰🇪
Sauti ya Rose jamani!!! Yesu asante!!!!
Napenda unavyoita baba baada yakufa!! Daaah,alikuwa bab Yako rose😭😭😭jamaani
My favorite Artist forever,wewe ni jembe mama Mungu akulinde milele mummy. Much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪
Inalillah
@nelsonukaishajr
Жыл бұрын
Poor😥
Kusema ukweli rose muhando umenitia nguvu Nilikuwa nimefika mwisho lakini atleast Nko Sawa nakupenda Sana rose
i just love u mama, hiyo sauti uniamsha..... i just feel you are God's sent
I love the testimony Rose is a great minister and a mother of many music ministers, i love how God protected her all through since the day she was called for the ministry.
Your powerful woman My God continues to protect 🙏 🙌 ❤️
Rose Mungu yupo pamoja nawe endelea kufanya kazi ya Mungu. Ninakupenda sana Rose. Lillian Mwasha beautiful girl 😍 . Mungu Akubariki pia dadangu 💋💞
Wakati nasikia Yesu ni Bwana wa vita sikua naelewa!ila sasa naelewa kwa nn kulikua na majeshi ya Bwana!Mungu amekwisha kutupigania tuendee kumtafuta kwa bidii
Pole Rose Kwa yale ulippitia, Mungue ni mkubwa na amekutos mbali sana. Mungu azidi kubariki.
Pole sana mtumishi wa Mungu kwa Mapito uliyoyapitia kweli our God is God of good plans into our lives I remember those days of Mungu nipe uvumilivu nilikuwa nimeshindwa kabisa but....big up mamangu💙💙
Nashindwa kujizuiya kusema nabarikiwa sana nawewe nakupenda sana dada Roz uwe na maisha marefu
My lovely two ladies in the house. Na wapenda sana Lilian na Rose Muhando.Thank you Lilian for starting this special show.
Rose napenda nyimbo zako,popote ulipo MUNGU azidi kukubariki na kukuinua ZAIDI🙏🙏🙏
Pole Dada mtumishi mateso mengi ya mwenye haki mbele za Mungu baba. mumba wa mbingu na nchi. Jitie moyo Dada Ross. TAJI. no gharamah.. Shalom Shalom. To the host pliz next time pass a saviet to wipe away tears.. Though Christ will wipe her tears for ever . Amen Amen
Mungu mkumbuke Rose baada ya hizi dhiki na vita afike mbinguni..Nampenda sana.
I love Rose 100% kama mtumisi wa mungu tajika. Tangu aanze kuimba na hekima kwa uokofu wake ni asilimia Mia kwa Mia. Mungu yule mmoja anaabudu dada Rose ndio naabudu mimi. Dada Rose huko na sapoti yangu kutoka 🇰🇪. Sikilia hapo hapo na shetani hana mamlaka kwa maisha yako-Shikilia hapo Shikilia dadangu
Liliana you need to have a tissue for someone to use when she or he is crying
Hakika dada Rose nakupenda sana kwa yale yote unayo fanya Mwenyezi Mungu azidi kukusimamia.
She is strong and courageous keep it up
Mungu yuko na wewe pole sana mama😢😢😢😭😭😭
Ubarikiwe kwa kweli unatubariki tangiya zamani Congo tunakupenda
Hv always love rozi since my childhood till know I'm independent
Rose, Yesu anakupenda sana na anakuwazia mema siku zote! Usimuache Yesu kamwe na songa mbele! Usiogope kwa maana Mungu yupo pamoja nawe. Simama imara na Mungu. Asante sana Lillian kwa kumleta mtumishi huy, Shoo yako ni njema sana Lillian. Nimeamini kuwa never judge a person.
Nakupenda bure Rose Muhando ❤️ pole kwa yooote uliyopitia mungu hatakuacha daima
Dada Rose mungu akubariki na shukuru mungu umepona nakutakia afya njema mungu akutunze Kwa ajili ya Jina lake na nyimbo unazoimba kumsifu mungu,pole Kwa yote Dada Dunia Ni mapito tu
Infact that's the time my husband was attacked by robbers but God saved him from death. Song nafurahia mateso yangu really encouraged me
I remember when was just growing up a small girl..in our home we didn't have the television..so every Sunday I could walk in my sister's place..that around to hours walk...so that I can listen rose song.. called " nimekukimbilia Eeh Bwana Mwamba wangu na ngome yangu..and I could cry and cry via out till my sister's family could also wonder ..n somehow join me...live long maa...that song lifted me alot
@nancywakoli8681
Жыл бұрын
We were doing the same thing
God bless you mama Rose muhando I love you
My mother my mother Rose Muhando aka God's general.
Amini kile kinacho kufaa sio kuzarau na kujiona Bora Kila mtu na Imani yake
Take heart..i love you mama Rose muhando..God akupee nguvu ...God bless you
What a GOLDEN VOICE ❤❤ Jesus Christ ❤️
You have a beautiful voice sister! Wow!!!! Straight from God our Father!
My ever lovely Mama,u inspire me alot God loves you n He will never dissapoint you,Wakenya twakupenda sana na tunakuombea mungu🙏🙌MUNGU AKUTENDEE
Rose I love you so much,,,dhahabu kung'aa lazima ipite kwenye moto mummy ❤️❤️
3:30 this deep holding breath says everything oh Dunia
Nyiee hujawahi kuchuja my wangu nakupenda mm jaman toka nikiwa mdogo nyimbo zako zoote zipo kichwani😍😍
Love you mummy 😭😭😭Mungu akubariki napenda sana nyimbo zako na nimebarikiwa sana na ushuhuda wako😭😭😭
Hongera sana Dada yangu Mungu akuinue zaid hata mm ninakipaji lakn sina pakuazia
Unanitia nguvu dada Rose. Maisha ya dunia I niya kupitia watu watakuja taa, bt God is with you malipo ni akiba yako mbinguni jitie nguvu this channel is a blessing
Pole sana dada Rose, hakika Bwana Yesu amekuvusha katika mateso.
Don't cry I love you Muhando your songs are a real testimony
Amen ujumbe wa baraka, great message Lord we worship you.
Masha Mungu akubariki sana Kuna mahali mumenitoa na bahati bukuku Katika mazungumzo yenu mumeniponya moyo wangu Asante kwakunifikia kupitia kwa kipindi
jamn barikiwa mama anaimba live utafikir mziki umeeditiwa duu kwakweli mungu ni mwema 🥰🥰🥰🥰🥰🥰
From Kenya, we love you mummy Welcome to our homeland Kenya great woman we don't want see you cry anymore dear
Her voice 😍😍❤
Wow Rose Muhando umebarikiwa Hadi bila microphone uko na sauti smart.
Nakupenda sana rose🥰🥰 from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
You're the living testimony rose
I love this woman . May Almighty God continue to streghthen you
That voice!!!
@dorahchacha7880
Жыл бұрын
Nimeangalia hii interview kwa makini sana na kuelewa background ya Rose! Na nimeelewa kwanini nyimbo zake ni tofauyi na waimbaji wengine wa kile TZ Ninao ushuhuda wa wimbo wa Rose kwa watu ambao hata hawakuwa wanaelewa anachoimba lakini uliwapa nguvu Personnally ningependa kupata contacts zake kama hatajali maana mchungaji wangu hapa France aliniuliza kama namfahamu.. Ajsanteni sana wana Global mkinisaidia kwa hili🙏🙏🙏
Emeniiiiiii 🤚 dada mhando wanibariki na ushuhuda wako maana hata Mimi nayabitia Sahi na hayo machungu single mother lakini waniba tumaini na huo wimbo mteule uwe macho emeni 🙏
Wauw Rose Muhando yes 💪 Big up Lily❤️❤️🙋🙋🙏🙏
Jaman mama angu rose nimefatilia sana istoria hii kweli nimewaza nimefika mbali sana kwel mungu anamtoa mtu mbali
Rose muhando you are always welcome in Kenya 🥰🥰🥰
Yani unazeekq na Utamu wa Sauti yako jamani Mungu Akubariki sana Rose 🌹 more love you 😍 ❤
Pole Sana dadaangu...!! Naamini Mungu atashughulika na Kila mtu aliyehusika na mateso yako.
Rose mungu akuzidishie na akubariki
I was class 6 when she released that song we love you rose 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Umependwa na mungu dada rose utukufu ni wa mungu lipokea uponyaji wa roho
Dada ROSE MUHANDO Pastor Ezekiel wa mavueni Mombasa Kenya anakuita Dada alisema Rose Muhando wa tz kwa sasa cyo Rose Muhando yule wa kipindi kile ambacho aniamba (nimekukimbilia wewe bwana) ivyo tukuambie uende Mombasa mavueni NEW LIFE CHURCH Anataka urudi kuwa Rose Muhando wa zamani Amen
Ole wako ukate roho, ndio utajua hujui, Allah atuongoze, atupe mwisho mwema
@mwanaikaomar8628
Жыл бұрын
Aamin Yaa Rabby
@mohamedsalum8933
Жыл бұрын
Heshimu watu na dini zao ili na wao wakuheshimu ww na dini Yako ndipo utaweza kuwalingania.
@swalehswaleh3608
Жыл бұрын
@@mohamedsalum8933 Wacha usenge wewe, nime mwambie ukweli ama ni Aje, ama nime taja dini hapo?
@bernadetamodest6170
Жыл бұрын
Huna mamlaka ya kumlaan mtu laana wewe,umelaaniwa ndyo maana unamlaan mwenzako,kakukosea nini umlahan? Wewe ni Israel/Mungu? Wewe ni binadamu tena kapuku tu acha dharau mbwa koko wewe
My Queen of the gospel woman. Of God rose mohando we love so much
Wow what a voice what a legend drop the 🎤
Dada Rose,kwa miaka mingi nimekufuatilia... Huhimizwa sana na shida zako
Mungu ni mwema i love Rose yaani basi wewe ninakukubali