Annoint Amani - Ulichagua Kunichukia (official music Vdeo )
Музыка
#UlichaguaKunichukia#annointamani#
Kuchukiwa bila sababu ya Msingi,Ni matokeo ya kushindwa kuudhibiti wivu wa maendereo ya mtu mwengine,
kwa mwadamu yoyote anae pambambana kwaajili yake na watu wengine,
kuleta badiriko lenye faida kwa kila mtu,
Ni lazma achukiwe ,maana huwez kufanya Jambo la kuwafurahisha watu wote,
Pia chochote kinacho pigwa vita ujue kina madhara kwa wanaokichukia,
Hivyo usiogope vita ya maneno au kuumiza kwa namna yeyote ile,
Ujue wewe sio wa kawaida ndo maana unakutana na mambo yasiyo ya kawaida💪Songa mbele wewe ni shujaa
Annoint Amani
Song,Ulichagua kunichukia
Album,Kiboko yake ni Usingizi Album Vol 6.
Language Swahili)
Annoint Amani For booking
Instagram Annoint Amanitz
Tiktok Annoint Amani tz, +255767240181=+255755099942)
VIDEO, Directed by Meddy ( A.E.A)
AUDIO,A.E.A Tones studio producer by Meddy
Dar Es salaam Tanzania )
Пікірлер: 161
Ninamjua alieniita kuwa Ni Mungu mkuu,ameutangaza Mwisho wangu kabra ya Mwanzo, Kesho yangu inamtisha sana sana Shetan na Wafwasi wake, Lakin hawezi kamwe maana ndo asili yake kushindwa, Watashindana lakin hawatatushinda 🙏🙏💪💪
@afrikaone9609
Жыл бұрын
Ooo yes 😭😭😭May God protect you from all dangers for us, because we love you very much❤️❤️❤️❤️🙏🙏🙏
@estherkinyua5466
Жыл бұрын
Nitakuwa nasimama na wewe kwa maombi annoint..hatawakuona kwa Nina LA Yesu Kristo
@devothachami5128
Жыл бұрын
Mungu akutie nguvu
@nellymichael7705
Жыл бұрын
Mungu akubali nakupenda bule
Big ups mtoto wa mama Rose. Blesses from Kenya
Shalom mtu wa Mungu naomba sana kukusapot kwa kutuma sadaka yangu
Kali Sana. Nimesikia wa kwanza... Mungu azidi kubariki Annoint. More blessings from Kenya...🇰🇪🇰🇪
Amina mtumishi ubarikiwe kwa nyimbo nzuri watashangaa bado tuko na mungu hallelujah hallelujah amina
Wewe Ni Muubil wa kuimba ujumbe Umefka kikamil wasio na Wenye masikio watazba kuto kuelezea uzul wa huu wimbo kwa sababu wamechagua kuichukia injil .. Mtumish wewe nimuubil wa kuimba Mungu anakupaga mawazo yaajabu Sana. Uimbaj huu Mithal 23:7 Ndivyo Ulivyo moyo mwako Mungu akutuze Sana chombo chake
Mashimo uwa wanajichimbia wenyewe
Mungu Kachagua kunipenda😊😊💪🏿😌Wajipange buana. Mungu asikizangi maoni ya watu
@agnesyjoseph3906
Жыл бұрын
Hongera kwa kazi ya Mungu uko vinzur wema wa Bwana udumu kuwa nawe
@mwana2168
Жыл бұрын
Mungu akuzidishie inshaallah
🇿🇦🇿🇦🇿🇦Wafikishie ujumbe Bwana Essau
Tunaisubiri.....
Hiii naongojea sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 napenda wimbo zako sana hadi simu yangu imejaa aki
@estherkinyua5466
Жыл бұрын
Pia mimi nimejaza nyimbo zake nampenda bure...haki wimbo zake hunibariki sana
@teomhenga4055
Жыл бұрын
Hongera kwa kazi ya mungu nakupenda bure hakika nyimbo zako zinanibarik bure
@dominickakhubula8880
Жыл бұрын
@Steven Odhiambo hiyo inakuimia wapi kaka..sikia message achana na video na sigara🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄
@user-sg8jo7sv9v
Жыл бұрын
Mimi pia
@judithmpapale6035
11 ай бұрын
Tuko wengi kenya
Nyimbo zako nzuri barikiwa
Ooh jamaniii kazi nzuri sana
very impressive massage i need our enemy heat us but God will not leave us 🙏🏻 be blessed 🙏🏻 ❤
Napenda nyimbo zako baba
💃💃💃💃💃💃💃💃 clear may God forgive us all amen🙋♀️🙋♀️🙋♀️🙋♀️🙋♀️🙋♀️
Mungu akubariki
Wow.. indeed you are talented 🙏🙏🙏I bet uko na mashabiki wengi Kenya kuliko TZ , God bless you 🙏
Wakenya mko wapi 👌🏾❤️pige I like huku dugu yetu ameleta ingine Moto kama pasi
Nakukubali sana mtumishi wa mungu 🙏
Waoo,huo ndiyo ukweli kabisa,unacheka naye kumbe joka.
Nice one amani
Mpeni kaka annoint likes jameni,barikiweni
Napenda nyimbo zako sana aki mpaka nimezimedownload kwa simu mpaka nikienda kulala nazi watch may God Continue nlessing you from kenya
Nakupenda Kaka hata wa toto wangu wanakupenda sanaaa
Wimbo mzuri sana mungu azidi kukuinua
Ujumbe umefika ndugu watu niwangumu kweli.. Wivu naye ndo imezidi. Umebarikiwa ndugu yangu 🔥🔥
Ongera sana I love 💕 it so much hii wimbo endelea brother
Wow,,,I like it kbxa
Nyimbo zko ndugu zanifariji moyo wangu keep going🥰🥰🥰🥰
Jaman ninzur hii nyimbo jaman tuisapoti ifike mbali zaidi 👋
May God up lift u high with good job l like the song
Napenda nyimbo zako sana hadi huwa zinanichaza sana na inanifanya nisimame wima
Umenipariki sana ,nyimpo zako zimeniinua juu sana, God bless you, and give you long life
Mungu azidi kubariki kazi yako, na chuki zao Mungu azizanye pamoja zikageuzwe kuwa baraka zaidi amen 🙏 ♥️🇰🇪
Mungu azidi kukutunza Mtumishi wa Mungu nazipenda sana nyimbo zako barikiwa
nyimbo zako nzuri sana bro...be blessed
Ata wakuchukie bado uko juu kamanda
Wenye wanasikia wasikie👏👏👏👏👏🙏🙏🙏🙏
Kaka annoint sisi kama wakenya hatuchelewi,pongezi zetu kutoka Mombasa. Mungu anakupenda
@stellahmwendwa188
Жыл бұрын
Barikiwa Sana broo
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭hii imenigusa sanaa Annoint,,,barikiwa sana ndugu ,,,,wabariki mamangu na nyimbo zako
Mungu ako pamoja nasi ni sehemu ya maisha yetu
mtumishiiiiii humeninguza moyo wangu sasa naumwa sana 😭😭😭😭😭😭😭😭 asante mtumishi wa wangu Mungu hakubariki sana Mungu hazidi kukubriki 🙏🙏🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪😭😭
Wenye wifu wasikie napenda nyimbo zako
Kaka nyimbo nzuri Sana mungu akubaliki
Kaka barikiwa Sana na mungu azidi kukuinua
Keep up bro Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪tuko pamoja
Areruya kwa mungu wewe ni jobo bora kwa yezu🙏🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mungu wa amani akupe nguvu kwa uvuli wako batikiwa sana
Mungu akuinue kweny viwango vya juu kaka
A Kenyan loves your songs most continue preaching the word of God be blessed
Wow 🤗🤗🤗🤗🇺🇬🇺🇬🇺🇬
Ujube,kwemaduwi watu mungu apoye,woooooii Safisana,jamani ni,majungu💪🤝👏👏👏
Wooooowe, , , , ❤🔥🔥🔥🔥
Moyo wakubhobha,Ujumbe umefika ndg songa mbele ukihubiri injili njema ya mwokoz wetu
Annoint mungu akubariki kwa mawimbo zako mzuri
Barikiwa san mtumishi ww mungu❤❤
I love your songs Annoint Amani peleka injili mbele
Blessings, blessings
Nyimbo mhimu Sana sana Sana
Hongera Sana kwa kazi ya bwaba
Love from Kenya 💖💖💖
Ongera KUBWA ƙwakweli Baba YANGU Annoint Amani MUNGU akuinuwe zaidi Baba
Mwana wetu nimebarikiwa na wimbo huu
To say the truth all song of Amani alway give the fact aki nazipenda sana they always give me courage and hope may God bless you.
This is the reality.may God bless you for the gospel.
This how gospel sound like be blessed tz on top always
God bless you,love from Zambia
Keep it up congratulations
Kiukweli brother unaimba jilasi dauni
Mtumishi wa MUNGU kazi ya MUNGU iendelee tumwone MUNGU kupitia ww
Wow..
Níce one song very powerful for showerly ❤❤❤❤
The congolese annoint amani😅😅😅🔥🔥GOD BLESS YOU
Big up my young brother, love your compositions.Almighty God be with you.
So amazing be blesseding ❤❤❤
❤️❤️🥰🔥🔥🇰🇪
Nimependa hii melordy Annoint
Kaka ogera uko nasauti MUNGU akubariki Sana
Wimbo mzur saana kaka.
Mungu akubariki Sana sana
Amo muito dos seus músicas 🇲🇿 napenda sana🙏
Wakenya wako pamoja na wewe endelea kutuubilia mtumishi WA mungu ahsante
😂😂😂😂Sawa ❤
What a nice composition
Mungu ako nawewe
Mungu akubaliki kak a
Keep going up🙏🙏🙏
Was anxiously waiting for this video
Mungu akubrki mtumish
Good one bro keep it up my God bless you
Be blessed my brother
Nice song keep praising God bro 🙏🙏🙏🙏
@mercykache4235
Жыл бұрын
🙏🙏🙌🙌napenda sana nyimbo zako zinaimbariki sana
Hey bro ubarikiwe saana I really appreciate you
Hongera San kak
May God continue to lift you up..more Grace bro..Kenya we love you
Ninapenda nyimbo zake
Kaka natamani nyimbo zako.mungu akutiye nguvu safari ni ndefu.🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Ukweli kabisaa
Beautiful song, keep it up 💪. Zambia is listening 🦹