AMPLIFAYA: MILLARD NA MKASA WA ALIYETUPA GANDA LA NDIZI, JAIVAH KWENYE AROBAINI YA MTOTO WA MARIOO

Пікірлер: 37

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa721525 күн бұрын

    Millard you have postive mind i like you bro

  • @user-vq3vj4ih6x
    @user-vq3vj4ih6x25 күн бұрын

    @tjn tech ni bora sana kwenye technology

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing26 күн бұрын

    Millard Ayo Uwaga Nawakubali Xana Alafu Amplifaya Ndo Kipind Changu Pendwa

  • @Igauf3
    @Igauf321 күн бұрын

    Add on that list; picking nose, then they want to shake hands.

  • @sophieburcham3399
    @sophieburcham339925 күн бұрын

    Yaani hiyo kutafuna kama ng’ombe hadi wasanii kwenye interviews 😢

  • @AnatolliaDesderius
    @AnatolliaDesderius24 күн бұрын

    Page one nouma sana❤ stori mnazoshare time ya page one Millard , Vido na Frida zinanogesha kipindi 😍nawakubali sana

  • @12345678938129
    @1234567893812925 күн бұрын

    Hekima na maarifa ya Millard ni zaidi ya helimu ya university ya Dodoma na Dar

  • @GLORIARESPICIUS-xl4gr
    @GLORIARESPICIUS-xl4gr26 күн бұрын

    I love you all ❣️

  • @hawasaid5286
    @hawasaid528625 күн бұрын

    yes ni UK binti aliwashitaki wazazi wake kwa kuweka picha zake tangu akiwa mtoto, mamlaka ilifungua kesi hiyo ili huyo binti aweze kupewa ruhusa ya kufutwa picha zake.. sio kila mtu anapenda kutangazwa. respect,...........

  • @RynoFiree
    @RynoFiree26 күн бұрын

    Huwa nipo exited Sana na hii timu yenu Yan huwa nafurahia sana

  • @AnatolliaDesderius
    @AnatolliaDesderius24 күн бұрын

    Millard mstaarab sana jamani🔥🔥🔥

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon156224 күн бұрын

    Nipo Europe Umeongea true🔥🔥🔥🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥🇧🇪🇧🇪🇧🇪🇧🇪

  • @realswahilicultural8140
    @realswahilicultural814025 күн бұрын

    Hiloni somo kabisa ambalo linatakiwa lifundishwe mashuleni ..ulaya hapa Mimi ni mwalimu na kunasomo linaitwa formation..nimependa Sana Sana topic

  • @NginaBaruty
    @NginaBaruty25 күн бұрын

    Watu tu wenyewe sio wastaarabu,mm nilibahatika kwenda Oman nikatembelea salala ,salala ni kama Arusha mji wakitalii,Yaani kwanza barabarani mnakuta vyoo na maji yapo Yani Kuna matanki yanajazwa maji na vyoo havilipiwi serekali ndo huwalipa wafanyakazi,mnapenda sehemu za uwazi Kwa mfano kama sehemu za shamba Yani panauwazi ,mnakula uvhafu unatia kwenye mifuko ,baadae gari linapita kutoa uchafu, nimejifunza kitu Wallah kutembea ni kuzuri

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon156224 күн бұрын

    Ila ulaya pia wanatema mate ovyoo mnoo harafu hakuna mchanga Kama bongo bora kwetu bongo mtu akitema mate anafukia huku wachafu kwa mateee na makohozi ni nomaaaa

  • @lenoxbuhanza4926
    @lenoxbuhanza492625 күн бұрын

    We acha masihara unazunguka na train gani/tram/kwa Euro €3 kwa miezi sita?no way Germany?no way

  • @AnatolliaDesderius
    @AnatolliaDesderius24 күн бұрын

    Ila watu wanaotafuna chakula bila kufumba mdomo huwa wananikwaza mno😂 kama mfugo😢

  • @Wigoz_puppy
    @Wigoz_puppy26 күн бұрын

    FRIDA AMANI ANAFUJO SANA 😂 ANAMFOSI MILLARD ATOE POINT KWENY JAMBO AMBALO MILLARD ANALIKWEPAA 😂😂😂😂😂😂ET KW UPANDE WAKO UNAONAJE😂 Millard: Sikumbuki😂

  • @AnatolliaDesderius
    @AnatolliaDesderius24 күн бұрын

    Vido sasa unamfanyia interview Millard juu ya stori za Germany 😂sio kwa maswali hayo

  • @SalmaNinga
    @SalmaNinga26 күн бұрын

    Yaan Kuna watu tu wapo rafu

  • @fatmafatu1128
    @fatmafatu112826 күн бұрын

    Mtoto wa nje ya ndoa haifai kumfanyia arobaini sababu nimtoto wazinaa hao hawajui kitu nahuyo nimtoto wa mwanamke hana baba sema tu shida kutojuwa dini na shelia zake

  • @RynoFiree

    @RynoFiree

    26 күн бұрын

    We dada wewe Mungu anakuona usipende kujihesabia haki ukadhani umekamilika Sana kuliko wengne

  • @salhawaziri1668

    @salhawaziri1668

    26 күн бұрын

    Pia katika sunnah hakuna 40 , kuna hakika ambayo hufanywa siku 7 baada ya mtoto kuzaliwa na kukatwa nywele Na hakika unaweza fanya wakat mwingine unapopata uwezo Ila 40 ni uswahili Wala sio katika dini pia hakuna 40

  • @PendoPeter-rr4jk

    @PendoPeter-rr4jk

    25 күн бұрын

    Acha makasiriko ,hata ww cyo mkamilifu, kasome bibulia vzr,tukio ndo dhambi lakin mtt ni baraka mungu ndo mtowaji shetani hajawai kuumba

  • @mustafamsati9599

    @mustafamsati9599

    25 күн бұрын

    Nikweli ni mambo ya mjini tu pia zinaa ni dhambi kwa sis waialam tu wasio kua waislam ukikosoa au kulaimu juu kuihalalisha zinaa bas wanakushambulia wao wanakaaga tu wanaish na wachumba myaka kibao et wanawaita mume au mke yan uzungu mwingi

  • @fatmafatu1128

    @fatmafatu1128

    25 күн бұрын

    @@salhawaziri1668 kweli kabsaa

  • @hanifaa1487
    @hanifaa148725 күн бұрын

    😅😅😅😅😅

  • @GLORIARESPICIUS-xl4gr
    @GLORIARESPICIUS-xl4gr26 күн бұрын

    I love you all ❣️

  • @12345678938129
    @1234567893812925 күн бұрын

    Hekima na maarifa ya Millard ni zaidi ya helimu ya university ya Dodoma na Dar

Келесі