Alikiba & Nandy - DAH! (Studio Recording Session)
Музыка
Studio Recording Session with Nandy and Alikiba performing "Dah!" After an outstanding performance of the Original version "dah" by the african princess that has gained maximum attention from the music fans, now "DAH!" with King Vocals (Alikiba) to spice up this beautiful tune have been brought to life, with the lyrics paiting an artistic love expression from both artists with both artists flexing and showcasing vocal gymnastic abilities through out the song. Enjoy this tune and uplift your musical experience today.
Stream/Download:ziiki.media/Dah!(Ft.Alikiba)-...
All Digital Profile Link:linktr.ee/officialnandy
Listen to Nandy on Digital Streaming:
BoomPlay: www.boomplay.com/share/artist...
Audiomack : audiomack.com/nandy
Apple Music: itunes.apple.com/us/artist/nandy
Spotify: open.spotify.com/artist/nandy
Dezeer: www.deezer.com/us/artist/nandy
Connect with Nandy on Social Media:
Instagram: / officialnandy
Twitter: / officialnandy
Facebook: / officialnandy
TikTok:www.tiktok.com/nandytz
Connect with Alikiba on Social Media:
Instagram: / officialalikiba
Facebook: / officialalikiba
Twitter: / officialalikiba
Snapchat: / officialalikiba
TikTok: / officialalikiba
+For More Information Booking Nandy
Email:Officialnandytz@gmail.com
+For More Information Booking Alikiba:
Contact:emailalikiba@gmail.com
©2024 The African Princess.All rights reserved.
#Nandy #Alikiba #StudioSession
Пікірлер: 293
Huyu ndio masanii pekee namheshimu kama mwimbaji original TZ kiba Mungu akuwekee sana maisha marefu hua wanipa burudani yakutosha😂
Hana mfano East Africa huyu mwamba,,Salute to the King's empire
Alikiba uzeeki utaendelea kuwa namba moja kila wakati
Studio number one in Easter Africa
King Kiba 👑 is truly King 👑 of best melody
Kwel hakuna kitu rahis jamn khaaa hongera sana king kwel kuwa fans wako sijawah jutia❤💣💣💣💣
Alikiba namuona kaandamana na @mocco genius..yakaa Anamuaminia sana Kwa uelekezi na flow
Ali kiba is a treasure Watching from 254
🔥🔥🙌
Noamba serkali huwu ujumbe uwafikie naomba wakujegee sanamu nitashukulu kabixa 🌹🌹🌹🌹🌺🇹🇿 Really king Official Alikiba of Tanzanite 🎉🎉
@abelmbilinyi1262
3 ай бұрын
Baada ya kujenga hospital , shule 😅
Ufundi mwing sana upoi wala huboi kama unaamini hivo like basi
Huu wimbo king ulikutoa jasho kazi ya studio sio ya kitoto vibe lote linakata , hongera you done wonder.
@mswaki_newstz
4 ай бұрын
Co poa yaniiiiii
Alikiba anajuwa Sana na ndomana sikukosea kumshabikia kama na ww ni shbiki sugu like hapa
@rachelpeter7032
4 ай бұрын
😂😂😂shabiki sugu
@uchebetz7284
4 ай бұрын
Shabiki Lia lia
Wa20 naomben like 20 tu
Kazi kama kazi king Kiba 🔥
i had to look for it as big fun ,,the vocal with this guy and creativity is beyond imagination ,, i will for this guy apart from attending his concerts as regular
Tuta subiria kigongo kipya ❤❤❤ much love you King kiba.
Nakubali mwabwa
The greatest vocalist we have. Proud of you King Kiba from Kenya🎈🎈
Mwalimu huyo...utabaki kuwa nguzo kwangu kwenye uimbaji
Somebody can see this as just content but for me its a class that teaches young artist to prepare ,hit songs never come easy
@Naughtymiles1
4 ай бұрын
Kweli nakubali Ana nawe
@mwanuekalenga-ec5cu
4 ай бұрын
Truth
@bizzyrayamon7091
4 ай бұрын
Very true brother, am an upcoming artist from Kenya
Ukweli hit song huwa na misukosuko kabla itoke
Bro Mbona king Unatufanya tujifunze mélodies za huo wimbo kama tuko studio vilevile🧏♂️
Fireeeeeee❤❤❤❤
king kiba🔥🔥🔥🔥
🎉🎉❤❤my king 👑
king km king ❤
Dah nilijua kuimba nikama kumsukuma mlevi kwenye mtaro ila km nihiv acha t niendelee kua shabiki king huna baya
Dah kumbe hiii Ngoma ilikuwa ngumu sana kuona king kateseka kwenye maneno Dah salute ❤❤❤
I love what king always do # greatest of all time
Love love love this ❤❤❤🔥🔥🔥
Very nice songs bro
❤❤❤ muito amor envolvido
🔥🔥👑👑👑👑👑KING 🤴
Vizuri bro
Tunatesekagaaa saanaaaa studio jmn msitukulie powa wasanii mauwa mengi saanaaaa kwa king 🎉🎉🎉 kibaaa🎸🎸🏆
Kiukweli hapa anaonekana msanii mwenye kutoa burudani na kukamata wengi,,, bravo King 🤴 kiba
Swaafi king 👑 kibaa much love from 254 maparty mfululu 🎉🎉 mfalme ni mmoja tuu bongo flavor
Kings🔥🔥💪
Moko na kiba pure talents..
Studio 🎙️ ya king's music record ni 🔥🔥🔥Bongo Zima awamfikii mfalme
Masha Allah kiba salut kwako ❤ unajuwa san
💖💖💖
Kiba Fundi sana wa mziki 🔥
Pacha wangu wwe..Yuyu Muziki
Kiiiing❤ wa kweeeeliii
King upo juu nani atapinga❤🇧🇮
Twataka ya mwisho king wetu before huu mwezi kuisha next month Ni mwezi mtukufu tupumzike tufanye ibada Kwa wingi.
Bien vraiment
Kama unaamini soon kiba ana achia ngoma like hapa🔥
Mi nakubali xanaaaah 🎉🎉tim kiba🎉🎉 unauwa brooo
Paralaaaaaaaaa😂😂😂🎉🎉🎉
king u know
Mwamba hana shida ya paper vitu kwenye brain
mnyamaaaaa king kibaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
King king
nandy alivoserius kama alikua anasubiri ukosee aondoke na wimbo wake
@shainaadi9911
4 ай бұрын
😂😂😂
King 🇹🇿 🤴 👑
Bro hana majigambo wala mbambamba🎉🎉🎉🎉
best tanzanian export
KING KIBA 👑 🌟🌟🌟❤️
this song is so good
hii palala palalaa kumbe ndo ilikuwa inakibarua kikubwa iv 😂😂😂😂 afu uku sisi tunapayuka kirais kapisa 😂😂
@AdamPonera-fe5kc
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@user-cc7xu7gz1j
4 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@wrightkiti3943
4 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@abmixellx1482
4 ай бұрын
Umeona Kaka 😂😂😂😂💔
Kenya here ❤❤❤❤❤❤
Yaaaan mziki ushirikiano baina ya msaniii na prodyuza,
Fire
King 👑 upo comfortable sana had raha🎉🎉🎉🎉🎉
Amazing
🔥 🔥 🔥
Kumbe kuimba ni kazi eeh, paraaraa, pararaaaaa! 😂😂😂😂
@PendoUrassa-xm7ru
4 ай бұрын
Ndugu sikia tu nyimbo inaimbwa ni shuhuriiii
@bizzyrayamon7091
4 ай бұрын
Kazi kubwa sana kakangu
@nwntz
4 ай бұрын
ndio mpunguze zile comment za ngoma mbaya haina mvuto na mengine kama hayo
Nime muona mzee passo nakubali sana iyo ngoma like ukorofi
And The Rest Is History #Hit._🎙🔥🙆🏽♂
Wow
jamaa anafurahia sana kufanya mziki,..🔥🔥🔥
King of music Tz
Tuna kuwa mini King wa mziki Áfrika.
King balaa
HOT 🔥
King 👑
🥰🥰🥰🥰
My king🎉
Mtu na nusu🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
music kaziwapeni mauayao kwa kubalansi statasizao❤❤❤❤king ofmusic au music monsta
King kiba moto kama pasi
King
🎉🎉
🎉🎉🎉🎉
Fund sana kiba❤❤🎉🎉
Noma king kiba
King on fire
Kiba hana haja ya daftar
@mohdloushmoney9994
4 ай бұрын
Uhakika
E kumbe kuimba kazi hivi😂😂😂❤❤
❤❤❤ napenda kazi zako zote huna baya Alikiba
Kingggg
King kiba❤
Am enjoying this session 😅😅😅I love it
Kingkiba
Safi king kiba
❤❤❤❤
La King💪