Tommy Flavour & Marioo - Nakuja (Recording Session)
Музыка
Stream/Download:linktr.ee/tommyflavour
Stream "Nakuja"Click here:smartklix.com/Nakuja
Listen to Tommy Flavour on Digital Streaming:
Audiomack:audiomack.com/artist/tommyflavour
Apple Music:music.apple.com/us/artist/tommy-flavour/1512282474
Boomplay:www.boomplay.com/share/artist/2161313
KZread:kzread.info/dron/yeiUQ37pRLYnjTwsoAvZBA.html
Spotify:open.spotify.com/artist/71Jz2mbUErvv3YnRSLJTAu
Follow Tommy Flavour on Social Media:
Instagram: Tommyflavour
Facebook:web. iamtommyflavour
Twitter: Tommyflavour/
Triller:triller.co/@tommyflavour
TikTok:www.tiktok.com/@Tommyflavourtz
Follow Marioo on Social Media:
Instagram: marioo_tz
Facebook:web. thisismarioo/
TikTok:www.tiktok.com/@marioo_bad
KZread:www.youtube.com/@MariooOfficialMusic
Written & Performed by: Tommy Flavour & Marioo
+For More Information Booking Tommy Flavour:
Contact: emailtommyflavour@gmail.com
©2023 Ziiki Media & Kings Music Records.All Rights Reserved.
#TommyFlavour #Marioo #Nakuja
Пікірлер: 192
timu king tujua hapa kwa lake
Hii team inainjoy sana sema tu hawataki kushow off maisha yao ila wanainjoy sio siri
Kumbe marioo alipanic😂😂😂🙌 Kweli tommy ni jinamizi la muziki
@adamhashimu4462
Жыл бұрын
😅😅hatar
Tommy ni full package maelekezo n muhimu iki Kazi iwe kubwa
kama umegundua huo ni mjengo mpya wa kiba kule mbezi beach makonde gonga 👍
@supertallone1902
Жыл бұрын
Nikusanue tuu...uyo King anamijengo mingi sana ya wapangaji na hataki watu wajue😅😅izi n za chini ya kapeti😎
@johjohns4021
Жыл бұрын
@@supertallone1902 nakutajia 3 nazo zifaham kuna hio kwenye kideo,,moja ipo kunduchi kipindi kavamiwa na majambazi akahama kapangisha,;moja ipo njian njia ya tabata segerea ambayo nayo kahama,,sahiv anaish tabata unashuka sanene amabako karibu yake kajenga msikiti mi ndo naswali hapo!!!kiufupi anapo ishi yeye npo mkabala pembeni kuna nyumba za kupanga ndo nakaa apo.
@supertallone1902
Жыл бұрын
@@johjohns4021 ndio ivyo na nyingine anasimamia AbduKiba...hawa watu wapo vizuri kimaisha ni vile wako wasiri
@sabanajunior3243
Жыл бұрын
Tafuteni pesa mjivunie na jasho lenu huyo alikiba atawasaidia chchte shabiki mandazi
@supertallone1902
Жыл бұрын
@@sabanajunior3243 anatusaidia sana tuu...pesa tunatafuta na Kiba anatuhamasisha vijana so usiringie pesa maana muda wowote mambo yanaweza badilika acha wivu😂😂
Team King 👑 piga makofi
Marioo ananga maneno mingi yeye anataka too apangwe 🤣🤣👊
@daggerslick
Жыл бұрын
Umeona eeh😂😂😂😂😂
Dah kumbe studio session ilkua poa hvi safi sana ,naona umoja wa Kings music💪🔥👍
Kumbe king pia alikua studio 🔥🔥🔥
Unyam ulikuwa ni mwingii bro nakukubari sanaa brother Tommy🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
I knew it from the word go lazma kuna mchango wa Mfalme mahali...bt the jam is wow and infact it's my favorite right now 🙏♥️♥️👌🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Marioo mnyamaaa Nakuaminia mdogo wangu kip up🎶🎶
Dah mlipingana sana na mkatoa kitu kizuri sana 🙌🙌🙌
Mwanangu Tommy flavour
Maunyama mwingi yaani
Tommy ni noma sana 100%
Can see my young upcoming kings k2ga, marioo and Tommy flavour much much more love 💕💕..... always following you 👌👑💪🥰🥰🥰🥰🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬
I like the unity among you guys. One love 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nafurahi kuona Marioo kajikubali na kushirikisha king kiba ❤❤
Tunawapenda king music👑👑👑👑
Hii studio session ya nakuja imekuwa on trending😂😂🙌 ndo mtambue kuwa wimbo ni mkubwaaaaa
King's music for life🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nakubaliii
King sharing wisdom 💯
Good job guys🙌 tommy flavour your my favorite 😍🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Pale mnapokutana wote mnajua lazma mijadala iwepo ili kazi iwe nzu na kweli kitu ni 💥
King Kama king big up bro❤️😘
Young King Tommy👑
Mziki mzuri lazima maandilizi yake yawe na mawazo ya watu wengi kwaiy mumetixha 💯
Tommy 🔥🔥🔥🔥❤️❤️
Nice Jam. You put work into it.. Love the intro... Saaanaa Big up from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪... ❤❤🎉
No wonder they make hits it's a collective thing
Tommy nyimbo ii kaua jamn anajua uyu kijanah
Alafu wee sijapenda ulivoimba😁😁😁
@allenonesmomwebembezi6248
Жыл бұрын
😂😂😂😂 kiba kazingua 😂
Fundi wa mziki aliinama kwanza akasklza kwa kisha akatoa ushauri ngoma ikatoka na ngoma ikaenda mtaani hongera sana kingkiba kwel ww ni teacher wa mziki wa bongoflave
@sabanajunior3243
Жыл бұрын
Unashabiki wa kindezi wewe
Young King on the beat
unajua sana brother
Kali bro
Vous faites un grand boulot les gars, vraiment félicitation pour le morceau 🇨🇩🔥🇨🇩👏🔥🇨🇩👏
@arleneilunga9202
Жыл бұрын
La chanson entière est déjà sur KZread mon frère
Muziki umetoka mbali sana leo kurekod sio tena kusimama na mike kubwaa easy way
King is king I think is Rimix good g Jobs 💥💥💥
Very humble Tommy ❤❤❤ huna baya dogo 👏👏👏
Nime penda 🤝🤝 unit 🔥💯💯
Ngoma ya marioo kumbe marioo noma sanaaa
Oooh tommy tupe section two unyama sana
Y'all did a good job💯💯✔✔
Clean Click 💯💯🇰🇪🇰🇪
Kaka Tommy hii ni another banger kweliii🔥🔥🔥🔥🔥
Tommy nakupenda mwezio😅
Tommy a caminho de sucesso
@iamkajuju._
Жыл бұрын
Very true, 💕
Mnajua hogeren sana mmefanya kitu kizur sana🙌🙌🙌🙌
Kali
Keep it up tommy ❤️❤️.
Big up guyz
❤❤❤❤❤ bila idad Kwa kings music end broo bad marioo
Marioo kafanya jambo la msingi sana namkubali sana
Kiba bhana
🇰🇪🇰🇪🇰🇪 much love from this side of the world 🌎
Hit nakuja 🎧💥
Hii ngoma nikali Sana 🔥🔥🔥
Eti cjapenda ulivyoimba. 😂 😂 Kiba bana.
Chama langu Mpo vizur
Tommy nakufatilia sana
Music mzuri ni combination ya watu WENGI
Studio bedroom💥
Nimependa how mna work together good sana baddie x king music hivi ndio inavyotakiwa
🔥🔥🔥🔥🔥
Kiba fund jaman
Jamani hiyo mijibwa mmeiskia nyie
King 👑 kibaa
Safi sanaaa
Nakubali sanaa
Vanilla extract the game
Ngoma karisna🙏
Tommy nakukubali sana🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Team king
Part 2 plz
Kizazi Sana'a boss
NI yakweli
wanaogopa kumbishia alkiba 😆😆😆😆
Unyama 🙌
Tommy wamoto 🔥🔥🔥
Tommy 🔥🔥🔥
Wow was so amazing
Hot hit🔥🔥🔥🔥🔥
Kali sana
Jmn classic combination lkn muwe na Watoto wa kike bhn😂😂😂😂😂 Wanaume tu
Keep it up good job
Amazing good job
Hit
🔥🔥🔥🔥💪
🔥🔥🔥❤️❤️
one of my best
King's Music Juu
Unyama san
Hawa jamaa ni noma sana
kiukweli office zenu za kong’s music noma
Mzee unajua sana mzee tommy
💥💥💥💥💥💥
Tommy una kitu,utafika mbali.