Nandy feat Alikiba - Dah! (Official Music Video)REACTION
Музыка
Nandy feat Alikiba - Dah! (Official Music Video)
• Nandy feat Alikiba - D...
#Nandy #Alikiba #Dah
Subscribe my new 2nd channel / @vanisikakavlog
Support me on
Donate M-PESA : +255745121514
Donate PayPal: www.paypal.com/cgi-bin/webscr...
👕 Thank you for making these reaction videos possible by supporting my clothing brand, JUST GO 🌎: van-isikaka.creator-spring.com
𝙏𝙝𝙖𝙣𝙠 𝙔𝙤𝙪 𝙁𝙤𝙧 𝙒𝙖𝙩𝙘𝙝𝙞𝙣𝙜!
🚩 Remember to subscribe and hit the bell "🔔" icon, so you don't miss out of the crazy vibes reaction.
Thank you for stopping by 😎 Welcome to #Vanisikaka🔥🔥 Swahili reactions , VanVlog and good series that happen weekly 🤘🏽🤘🏽
For branding/ sponsors or any artist that want me to react to their music email me at Vanisikaka@gmail.com 🤘🏽🤘🏽
#Vanisikaka #YouKnowWhaat #SwahiliReaction #Unyamwezi
Support me on
Donate PayPal: www.paypal.com/cgi-bin/webscr...
Donate Gofundme: www.gofundme.com/manage/donat...
Join this channel to get access to perks:
/ @vanisikaka
Social media
Facebook: / van.isikaka
Instagram: vanisikaka...
Tiktok: Vanisikaka
Copyright Disclaimer Under Section 107 of the copyright Act 1976, allowance is made for “fair use” for purposes such as criticism, commenting, news, reporting, teaching, scholarship, and research. Fair use is a use permitted by copyright statue that might otherwise be infringing. Non profit, educational or personal use tips the balance in favor of fair use* ALL RIGHTS BELONG TO THEIR RESPECTIVE OWNERS
Пікірлер: 141
Nasema hivii ni haramu tena ni dhambi kubwa mnooo kumfananisha Alikiba na huyo mwambino wenu, tena mkomeee na mlegee 😂😂😂
@chounglee422
5 ай бұрын
Tena sanaa na wambiee
@mrsinia3064
5 ай бұрын
😂😂😂 tena kwa msisitizo kbx
@OmarMuhamed-yw7co
5 ай бұрын
❤❤
@iddsaburi2727
5 ай бұрын
Hairuhusiwi
@winfredkimondiu502
5 ай бұрын
Ongeza volume .....mbona amwingililie nitskuchapa makofi 😂😂😂😂
Nandy ft alikiba. Wametishaa sanaaa🔥🔥🔥🔥❤️💯
That chemistry is very unique , that song is very hit
@wacundirangu1661
5 ай бұрын
Its art. They know their thing.
KIBA wanaochelewa kufanya collabo na wewe wakati huu amabao bado nguvu na sauti unazo watajijutia sana, kwa sababu nyimbo zako zote zinaishi ni ngumu kuchuja kwa haraka, tatizo hawajui tena mahazi haya ya kiharabi na india unaua vibaya,
Sema mwanangu Van unajua... Nyimbo nzuri sema unaifanya iwe nzuri zaidi. Dadeq
Hapa sasa ndio natambua kwanin Alikiba anaitwa king 👑👑👑
Respect to king and prences
Kata 😂😂🫡
Number 1 from USA gettin high ts ts 😂😂😂😂💙
Nyimbo nitamu sana wali nazi 25
Kaka vanny unajua ad unajua tena an unajua ku mshawishi mtu akatazame tena au kusikiliza ngoma much respect and love tyuuu bruh❤🤙🏾🎶
Trending no 1 uko jamani
Unyama
King mmoja tu goat is king 👑 kiba
Love from Rwanda 🇷🇼❤️
❤❤❤❤❤
I love this song ❤❤❤❤❤❤
@user-po7gb6xx1k
5 ай бұрын
❤❤❤LOVE la Haji Manara na Zay❤Ndio imesababisha hii nyimbo Nandy aimbee❤
Uko Congo kwa kweli tuna powa na uyu king
Yaan sauti zao ni tammm❤king kma king and prices 🎉
😅😅😅😅😅 msimu wa king umepigwa bonge la mrababand 😅😅😅😅
Me napenda tu unavo fanya reaction nyimbo za king😊
Hawa TU ndio hunfanya nataman kuitwa msanii😊😊🎉😊
Top
From DRC 🇨🇩,international music. Huyu jama atakuja tutoa roho wengine. Mashairi na sauti kweli kama valentine’s day ilikuwa leo. Proud🎉 kwako pia vanisikaka
Unajua hii nyimbo iko pole imepoa na maneno matamu❤❤❤
Video kali brother!king katisha sana
King ni king tu ... wengine ni magarasa 💯💯💯 mpeni maua yake ali kiba ....
Vani nakukubali san my brother
Unyama vanisikaka🔥🔥🔥🔥
This is one of the dopest timeless song toka Bongo. Can't have enough of it! Hats off! Love from KE 🇰🇪
Hoooohoooohooooo❤❤❤ hiyo ni sauti ya kubembeleza mapenzi❤kwa wenye kujua Love❤❤❤
Bro react wimbo wa John makini, alikiba pamoja na AY wimbo unaitwa pull up.
Dah❤❤❤❤
These songs make love seems sweet
❤❤❤❤❤❤❤
ukisikia mtu anasema mimi nafanya tu wakipenda wapende ndiyo ivi alikiba alizimishi uskii ila kwauzuli tu wanyimbo lazima utazame naukubali kama nigeria vile no kiki ngoma inaenda
Kazi safi kabisa kwa hisani ya ududu wa moyo😂😂😂kingkiba king kiba kabiiiiisa😂😂😂🔋💯🇹🇿
@user-po7gb6xx1k
5 ай бұрын
❤❤❤Bro Ali kiba anatuongezea furaha ya kuongeza umri mrefu❤❤❤
Van katisha
🎉🎉🎉🎉
The GOAT of bongo fleva (King kiba)
@JamesBarongo-ns6uf
5 ай бұрын
Master J aliconfirm😂 #teamkiba♥️🔥🔥
Vitu zetu
Taarifa za Sns husga Sina mashaka nazo kabisa yaani nikiona walichoandika najua ni Cha ukweli good keep it up
❤
Santee❤❤🎉🎉🎉🎉
King Kiba akipatana na Nandy ni chemistry moja hatari sana
@saidbakari2408
5 ай бұрын
Hata akikutana na Cristian Bella unyama unakuwa mwingi sana
Van lsikaka bro ume Tisha kinyamwezi mad love nikiwa Kenya KIAMBU COUNTY THIKA ngoingwa
Una baya boss wangu
mgomba wa ndizi umetisha van
Kali sana
Maharage nazi25😂😂😂😂😂🎉🎉🎉
😅😅😅 king kiba kajifyatua eti kapooza fulani ivo 😅😅😅 hawezi kwenda kutafuta mkwanja, sasa mama la mama nandy ndo asake kweche harafu amletee mzeee baba 😅😅😅😅
@user-kd4gn3xc2m
5 ай бұрын
Yaan kiba fundi afu nandy amevaa uhusika km mtafutaji
@albertkatuga2434
5 ай бұрын
Maisha kama hayo yapo binafsi kuna nyumba nimejionea mwamba ana matatixo ila mke kakomaa na mumewe japo watu wanakosoa, na nifunzo kwa wanawake pale mume anapopatwa na majanga wanasahau kama huyohuyo ndiye alikuwa akimjali wakati mzima😢😢😢
😅😅😅😅😅😅 Nandy nibalaaaaaaaaaaaa
Unyama broh
King ni moto sana I see
Dah apa sina neno isikaka umeshamaliza KING n'a princesse wame tupa mziki mzuri sana
Creative yake hii unik acha king na queen wapewe respect zao
Unyama xna
👑👑👑
Kwetu shega na rhumba🎶 Ali mziki anajua kmmk!
🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
#kingkiba
Uyu king ni kipengele aisee
Apo kwa kisharukha ndy kunabamba zaidii
King Kizito wama shairi duuuh❤❤❤
Jamaaa ameshindikana🤔
The only one King Dah!🔥🔥🔥
❤❤❤❤
😂😂😂 Na ile zombie eti simba hafiki kitu hapa 🇰🇪🧢🧢🧢
Unyama🎉
Fanya reaction ya daah remix unyamaz mwingi
❤❤❤
❤❤❤Ni wali nazi 25❤❤❤❤
Van boya xn yan najikuta nacheka TU Yan huyo ndo king...wali Nazi 25
KIBA❤❤❤ IS ONE TURKEY 🇹🇷 TUJUANE
😂😂😂wasema mtoto wa kiume hali ndizi hivyoo banaa😂😂 UNYAMWEZI
Bro mbona ngoma mpya ya founder Tz auja fanya réaction bro, naomba ningoma kubwa iyo
van fanya reaction na wimbo wa vanilla music #sijazoea
@molyrics1213
5 ай бұрын
Mbn Tyr hiyo kaka
Wasafi kamwe hawawezi kutoa wimbo kama huku wenye unaskia Raha ukiskiza na mzazi Bila aibu
Bonge la Reaction ❤ Nipe reaction ya [keemlyf - aye baba]
Huyu jamaa ananimaliziaga bando kwa hizi Reaction zake❤❤❤❤
@user-po7gb6xx1k
5 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@user-po7gb6xx1k
5 ай бұрын
Mimi hadi sasa hivi bado sijalala anavyotushughulisha😂😅 sasa hivi huku ni karibu ya Alfajir 😂
❤️😍💞🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👌💯
Kingkiba hatar sana huyu kiumbe
Is 2 keys katisha sana
Hapo anasema Wali nazi ishirini na tano
Waly nazy 25 brow
Ilo banda naishi nani😂😂😂
Van wanaishi kuku humo😂😂
Wali ulotiwa nazi ishirini na tano
@jsrtv9784
5 ай бұрын
Umekolea mpaka basi😂😂
Ila xema van isskka una tisha xna
Wali nazi 25, ww una tatizo kaka, mbona iko wapi hii
Matikiti kudondokea mbyeeeeeee😜😜
vani hizo njia utanyaa ujue
Mwambino Kwa kiba NI kinda aombe ushauri kwake na zuchu Kwa Nandi askize sauti na vina vya kweli
SHIDA MBILI KENRAZY FT VISITA
S2 Key's hapa anatakiwa ajiongeze huyu mwamba kaitendea haki beat asijisahau ampikie huyu mfalme mpini mwingine
😂😂❤❤
Bro ni...wali nazi ishirini na tano.
😂😂😂wali nazi 25 bhan
Wali nazi 25 hahaha
Wali nazi vvan sio mali nazi eeee😂😂 wali nazi