ALIKIBA KAFUNGUKA KUTOKA NA MWANAMKE HUYU, AELEZA SABABU ZA KUMPOST NA KUMPA ZAWADI YA BIRTHDAY

Пікірлер: 133

  • @pharleserasto3114
    @pharleserasto31149 ай бұрын

    My kingkibaa interview zake huwa anajib kwa akil sana I'm proud of you kingggg

  • @nassorrajabujuma-vj5cl
    @nassorrajabujuma-vj5cl9 ай бұрын

    asalam alaikum alikiba mm nlikua mshabik wako kwamuda mwing ilanimekusahau kwa sasa nikwasababu tu naogopa adhabu za Allah nakuomba ndugu acha mziki mungu hapendi moto wamungu mkali mno tumebakisha mda mchache wa kuish asant

  • @samwelimwaim7136

    @samwelimwaim7136

    9 ай бұрын

    Duuuuhhhh

  • @amanioscar4744

    @amanioscar4744

    9 ай бұрын

    Sure

  • @makamejaku9041

    @makamejaku9041

    9 ай бұрын

    💯

  • @PaulinaSemindu-ob3de

    @PaulinaSemindu-ob3de

    9 ай бұрын

    Aache mzk utamlisha ww? Mbn wakitoa sadaka misikitini kwa pesa z mzk mnapokea? Achen hukum z kijinga z kidunia " mtu hajaiba hajaua mzk ndo unamuingizia kipato bad mnamlaum

  • @hassankheri7593

    @hassankheri7593

    9 ай бұрын

    Usitukane uwo ni ukwel anae mpa kula leo ndo atkae mpa akiacha mzki na siyo mziki ndo una mpa riziki ispokua ni Mungu pekeake.

  • @makkamakka9171
    @makkamakka91719 ай бұрын

    King 👑 kiba we ni mtu na nusu unaakili xana kaka ❤️❤️❤️❤️

  • @Gabrielkalume0
    @Gabrielkalume09 ай бұрын

    Alikiba wewe ni masani mzuri ❤

  • @BAHATIKIBA-ul6wx
    @BAHATIKIBA-ul6wx9 ай бұрын

    King Is 🤴 Only One In Bongo Flavour , No One Like You King 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @isayapaulo668
    @isayapaulo6689 ай бұрын

    Unauwa sana kiba ww ni 👑☑️

  • @ASALABOY
    @ASALABOY9 ай бұрын

    King nimtalamu sana wakupoza maswali y Wandishi

  • @user-tt6jt8pz5m
    @user-tt6jt8pz5m9 ай бұрын

    MASKN AMINA MPE TALAKA MTOTO WA WATU SIO KUMDHALILISHA. HUWEZI KUPATA MWANAMKE KA AMINA. TATIZO UKIOLEWA NA TOTO LA FAMILY MTIHAN mzito yamenkuta mie hayo.afu kiba mwenyewe msanii kiba pasua kichwaa

  • @jenipheraron3566
    @jenipheraron35669 ай бұрын

    I love u u king ur my favorite artist take ur flowers🌺🌺🌺🌷🥀

  • @milliangwalangwala7743
    @milliangwalangwala77438 ай бұрын

    😂 I've watched the whole interview, though I can't understand the language... That's the obsession I have over your craft 🤝😘 Mr Kiba

  • @user-hu3sc4kg1f
    @user-hu3sc4kg1f9 ай бұрын

    Kiba hata wakakutafuta nimgumu wakutowa Siri zake😂😂😂

  • @ngwacahnyagwaswa9979

    @ngwacahnyagwaswa9979

    9 ай бұрын

    Yaan ni msiri na nusu 😂😂

  • @shangwefisima3993
    @shangwefisima39939 ай бұрын

    Hujakosea kwenda Simba utapaa sana huu ni mwanzo tu!

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e9 ай бұрын

    Kiba ni umoja tu bongo❤

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar9 ай бұрын

    Ushakua mtu mzima ' achana na Mambo ya kidunia' Rudi Kwa ALLAH ndugu yangu'

  • @KayagoAziza
    @KayagoAziza9 ай бұрын

    My 👑💖

  • @thethengomba355
    @thethengomba3559 ай бұрын

    No difference between wambea na wandish wa habari, but King as always smart amejibu kwa busara maswali stupid kuhusu private life yake, VIDO VERY MEDIOCRE AGAIN

  • @OmegaKingKas
    @OmegaKingKas9 ай бұрын

    Bado mwanzo hatujasema King 🤗❤

  • @user-tn3gs7kx6m
    @user-tn3gs7kx6m9 ай бұрын

    Big up king

  • @rashidamohamed9927
    @rashidamohamed99279 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂 majibu ya boss wangu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣wambea bwana huyo ndo king mwamba na nusu💯🔥🔥🔥❤️❤️❤️🙏💪💪💪

  • @user-qq6mv6vh3e

    @user-qq6mv6vh3e

    9 ай бұрын

    😂😂

  • @user-tw3eu2ru5o
    @user-tw3eu2ru5o8 ай бұрын

    King we ni moto ady napnda hyo

  • @engribertinnocent7536
    @engribertinnocent75369 ай бұрын

    Nampend saana msanii wangu alikiba isee

  • @Nuh_gayah
    @Nuh_gayah9 ай бұрын

    ❤❤❤ alikiba

  • @HidayaKarim-wy9yc
    @HidayaKarim-wy9yc9 ай бұрын

    Niffa ndo alikupendeza kiba

  • @idrisashelimo307
    @idrisashelimo3079 ай бұрын

    Only one King 🇹🇿 🤴

  • @HidayaOmary-qc9sm
    @HidayaOmary-qc9sm9 ай бұрын

    mashaallah pendeza sana king unyamaa unyama hongera mfalme 🔥👍 king

  • @shadyahamad3724
    @shadyahamad37249 ай бұрын

    Vdo mmbea anataka kujuwa umbeya ila vdo namvyooshea mikono kwa umbeya 😅😅😅

  • @Bongomtaanitv
    @Bongomtaanitv9 ай бұрын

    Much love for you mfalme wa Bongo,, #🇰🇪🇰🇪254

  • @mallemaOg
    @mallemaOg9 ай бұрын

    Huna baya King 🤴

  • @safinamdingi7912
    @safinamdingi79129 ай бұрын

    ❤❤❤❤

  • @barakabutawantemi720
    @barakabutawantemi7209 ай бұрын

    King kibaaaaaa

  • @abedomar5183
    @abedomar51839 ай бұрын

    Ali Kiba mjanja Sana kujibu maswali sema yule demu ni wake anakaa kinondoni na yeye ndo analipa Kodi yake na bado anapiga Kisha ana wivu nae noma

  • @KassimAlly-xp4dz

    @KassimAlly-xp4dz

    9 ай бұрын

    2pe uhakika au ww ndo jirani mwema

  • @abedomar5183

    @abedomar5183

    9 ай бұрын

    @@KassimAlly-xp4dz my friend your small boy you don't know anything, so just close your eyes 👀

  • @swahilifc7614

    @swahilifc7614

    9 ай бұрын

    😂

  • @ChoroTesla

    @ChoroTesla

    9 ай бұрын

    inawezekana kiba hawez muacha yule mchumba...... alivyo msupa.

  • @IdarousPossy

    @IdarousPossy

    9 ай бұрын

    Je na wew ni demu wake mdogo ambae unakaa na mwanam mwenzio

  • @bigirumanalululouise4540
    @bigirumanalululouise45409 ай бұрын

    King❤❤❤❤

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky9 ай бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kiiiiiiiiibaaaa

  • @allymangogasya8068
    @allymangogasya80689 ай бұрын

    Mimi nime sikiya nyimbo ya #diamond #shu n'a #sele ya #mbosso

  • @EusterKabongo-zi6qh
    @EusterKabongo-zi6qh9 ай бұрын

    😍😍😍😍

  • @ChristinaOnditi-el3xo
    @ChristinaOnditi-el3xo9 ай бұрын

    Leo alikiba aemekua kama ana udugu wa damu na Dr kumbuka

  • @lovenessabraham7416
    @lovenessabraham74169 ай бұрын

    Nimeipenda majibu tu 😂😂😂

  • @joramnunu1449
    @joramnunu14499 ай бұрын

    King 🤴

  • @hidayasaid555
    @hidayasaid5559 ай бұрын

    ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤

  • @mandyuwimana7735
    @mandyuwimana77359 ай бұрын

    Intelligent guy ❤❤❤

  • @elevanevance6860
    @elevanevance68609 ай бұрын

    🙏🙏🙏🙏

  • @naplousemukunzi10
    @naplousemukunzi108 ай бұрын

    I lov u king kiba

  • @Chida
    @Chida9 ай бұрын

    Safi sana King 🤴

  • @abidadymaende9867
    @abidadymaende98679 ай бұрын

    King ni king

  • @kidmuzy6155
    @kidmuzy61559 ай бұрын

    anahojiwa alikiba behind the camera tunamsikia #WeZombie😂

  • @uwimananuriat712
    @uwimananuriat7129 ай бұрын

    Mfalme ni mmoja tu

  • @kaskilapela
    @kaskilapela9 ай бұрын

    Mimi ninaswali king Kiba k2g yupo wapi mchizi wa uk

  • @paulinusmrope4930
    @paulinusmrope49309 ай бұрын

    Nimeyakubali majibu yako asee... I salute you

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari45259 ай бұрын

    injoi kiba huna baya.

  • @elisharaphael8680
    @elisharaphael86809 ай бұрын

    Hakika kwa simba utazidi kupaa zaidi

  • @adozenaziz8362
    @adozenaziz83629 ай бұрын

    Yan haka kabig Noma sema haka Nika jangwani

  • @alannyigu3551
    @alannyigu35518 ай бұрын

    Jaman kwani kurudi Kwa Allah Hadi umri uende jaman

  • @nicholauserasto9921
    @nicholauserasto99219 ай бұрын

    Na ujasema

  • @user-fy9pw2zr8l
    @user-fy9pw2zr8l9 ай бұрын

    Eti nini😂😂😂

  • @abuu-bakarshaaban6246
    @abuu-bakarshaaban62469 ай бұрын

    Acha azini tu nyinyi si ndio mnamuona mjanja hvo waandishi wa habari

  • @Jamila-cz5ge
    @Jamila-cz5ge9 ай бұрын

    Acha wafurahiye hiyo no ibilisi kakuvaa chakula au janna au moto. Unajisifia kuimba mizamiri sheitani

  • @dianerditto
    @dianerditto9 ай бұрын

    Vido umezunguuka wee hujapata ulichokitaka😂😂😂huyo ndio ally

  • @blastingpaintingservice8538

    @blastingpaintingservice8538

    9 ай бұрын

    Wee Jamaa umenichekesha sana😅😅😂😂

  • @hanamuson891
    @hanamuson8919 ай бұрын

    Huyu pia mme wa mtu sasa,tena kioo cha jamii heheee

  • @user-tn3gs7kx6m
    @user-tn3gs7kx6m9 ай бұрын

    Unajua kujib maswal ya mashabik king

  • @filskischannel9737
    @filskischannel97379 ай бұрын

    Mbona kama Ngoma la Mondi na la mbosso lasikika back ground. #Shuu na #Selemani

  • @OmarysalumKimweri-li5ki
    @OmarysalumKimweri-li5ki9 ай бұрын

    Milard mmeanza uongo!!!

  • @MohamedKiwanda
    @MohamedKiwanda9 ай бұрын

    ❤❤❤mwamba King 👑 nakukubali sn

  • @sadruhsnow5637
    @sadruhsnow56379 ай бұрын

    Kiba

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj9 ай бұрын

    Bado na utasema tu

  • @rohityalsina1840
    @rohityalsina18409 ай бұрын

    Mama CHIBU mtu mzima hovyo ajui anakwenda wap 😃😃😃😃😃😃 Kiba msenge kwel

  • @zuenahamoud1532
    @zuenahamoud15329 ай бұрын

    Sifa tyu hili kijana

  • @annasolomon9855

    @annasolomon9855

    9 ай бұрын

    Ulimtaka Nini? 😅😅

  • @user-lb4xo9oe4t
    @user-lb4xo9oe4t9 ай бұрын

    huna baya mfalme

  • @user-vi3ck1cw3h
    @user-vi3ck1cw3h9 ай бұрын

    Umejibu kwa akili sana

  • @doreenchuwa3630
    @doreenchuwa36309 ай бұрын

    Baba mkavu huyu 😂😂😂😂

  • @boazambokile2587
    @boazambokile25879 ай бұрын

    Rais wa simba ninani naomba mnijibu hapa au alikiba ndo kawa kolo kweli😂😂😂

  • @luciakahanza3514

    @luciakahanza3514

    9 ай бұрын

    Ni mo dewj hujui kumbe

  • @HAMIDAMIVULE
    @HAMIDAMIVULE9 ай бұрын

    😅😅😅😅😅😅

  • @mucochanella1672
    @mucochanella16729 ай бұрын

    King🔥🔥🔥🔥🇧🇮

  • @salmamakweta1198
    @salmamakweta11989 ай бұрын

    Huwezi tu ukawa unapendwa harafu wewe hupendi

  • @mdmohammed9411
    @mdmohammed94119 ай бұрын

    Ali mkorogo ume kukaa poa sana

  • @reginamanyangu7258
    @reginamanyangu72589 ай бұрын

    Mpe talaka Amina awe huru

  • @modenhosouza5925

    @modenhosouza5925

    9 ай бұрын

    Mamako kapewa?

  • @aishamamy

    @aishamamy

    9 ай бұрын

    ​@@modenhosouza5925😂😂😂😂😂mjinga weee

  • @salimthedon

    @salimthedon

    9 ай бұрын

    ​@@modenhosouza5925😂😂😂

  • @sarahmuhammed6872

    @sarahmuhammed6872

    9 ай бұрын

    ​@@modenhosouza5925yeye anasema amina wa kiba haha semi.mamake,vitu 2 tofauti

  • @pengefeza2563

    @pengefeza2563

    9 ай бұрын

    ​@@modenhosouza5925Mama ajakataa kutoa talakakwa sababu hakuna anae mdai hiyo talaka. Hapa comment inasema Amina apewe talaka yake acha unjanja wa kijinga.

  • @abdulnassir7836
    @abdulnassir78369 ай бұрын

    Mama wengine kila wakiwa watu wazima ndo wanakua tafran, kama mamaake mwambino ndo anazidi kuishi kizungu.

  • @eggysulle7988

    @eggysulle7988

    9 ай бұрын

    😂😂😂

  • @LaithAlghafri-gd3jp

    @LaithAlghafri-gd3jp

    9 ай бұрын

    Mhhhhh

  • @sarahmuhammed6872
    @sarahmuhammed68729 ай бұрын

    Sio wanawake wanaokaa uchi.halafu anakuvuta lips ,msenge sana hyu jamaa,halafu unajiita mume wa mtu

  • @dianajohnson7268
    @dianajohnson72689 ай бұрын

    ila diamond ndio ange perform iyo siku ya simba ungeona moto wake

  • @milles1378

    @milles1378

    9 ай бұрын

    Hujui mziki...performance sio kelele..D ananyimbo ipi sasaiv kali? Km sio makelele😅

  • @Kiulaini

    @Kiulaini

    9 ай бұрын

    Diana tupe ushahidi.. ndo tutaamini

  • @KayagoAziza

    @KayagoAziza

    9 ай бұрын

    Mbona hatukuyaona Rwanda tuache Sisi 😊

  • @rasterwangu9708

    @rasterwangu9708

    9 ай бұрын

    Sasa c angeunguza uwanja na kuharibu sherehe

  • @user-uo6bo3ph6g

    @user-uo6bo3ph6g

    9 ай бұрын

    Moto wa kufanyaje??kwenda kwa bwana ako Diamond tuachie kiba wetu

Келесі