NIFFER AFUNGUKA NINA MAHUSIANO NA ALIKIBA NDOA NI MWAKA HUU/NIMENUNUA SAA YA MILIONI 6 DUBAI.
Ойын-сауық
East African number one KZread channel for Gossips,Sports as well as Politics News owned By BONGO PLUS
KANUNI NA MUONGOZO
Tunaripoti Matukio ya watu mashuhuri katika nyanja ya burudani, Michezo Filamu na mitindo ya maisha kwa kuzingatia misingi ya uandishi wa habari hapa nchini. Kufuata misingi kwa kuripoti habari zenye uwiano na usawa ndani yake,kutokuingilia faragha ya mtu,Kujiepusha na mambo yote yanayoweza kuleta sinto fahamu katika jamii yanayoweza kusababisha uchochezi.
NB:Tuna uhuru wa kufuta maoni yasiyokuwa na maadili au yenye matusi makali.
WeAreEverywhere
#entertainment #exclusive #trending #diamondplatnumz #wasafi #ayotv #update #updatenews #udaku #gossip #mwijaku #babalevo #tanzania #kenya #manara #hajimanara #bongo #habari #justinbieber #bieber #rap #hiphop #hiphopmusic #pop #rnb #rnbmusic #exclusivenews #tmz #tmztrends #arianagrande
Пікірлер: 20
Ni shifa niffer na alikiba shabiki yenu number one
Nampongeza Niffer kua Mke wa King Kiba
@BongoPlus
10 ай бұрын
ACHA HIZO MKE WANGUU BUAANA LOL
🔥🔥🔥
Mtoto yuko vizuri hata Amina pia ni mbati..
Wallahi utakuja kulipa vile unavyo mfania Amina wallahi tena
Mbona we dada mbaya ila poz ndo zina ku push
@umsulaiman7468
Жыл бұрын
We malaya tu yatakwisha hayo hashuo tu
Si mzuri km mkewe Amina jamani
Hilinizimwiiiii
Sheria wanne
Nimzuri sana❤
Tatizo wabongo hamuendi bila Kiki
Herman from Zambia Ali na niffer wanaendana Sana
@BongoPlus
Жыл бұрын
hmmmm na mkewe je ?
Huyu dada anakimbilia kiki kwa alli kiba
@helenkambi3918
Жыл бұрын
Kweli kabisa
Kwani wameachana na patric kanumba eh aya maisha jamani
@umsulaiman7468
Жыл бұрын
Ah pozi kama jidume tu mbona ulibishi eti huna mahusiano