ALIKIBA ATOA YA MOYONI KUHUSU DIAMOND UNAWEZA UKAWA UNAPENDWA HUJUI UNAPENDEWA NN SHOW MCHANA BALAA
Ойын-сауық
Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
#entertainment #news #music #funny
Пікірлер: 50
Tuna subiri matokeyo tu maana nimerudiliya Mara kaza ALAFU king challenge zidanyike iyi nyimbo Yaki mataifa sana from Congo naomba liké zangu ata 10
Alikiba tokea uanzishe media umebadilika bravo 👍
King leo nmekuelewa sass ntaanza kukusapoti sass umekuwa
King unabusara ya kikubwa ,umeongea point kuhusu Diamond
Natamani mondi na kiba kufanya kazi moja tu.
Maisha haya yanahitaji Sana busara na busara siku zote ukuweka sehem Salama na kukufanyia ueleweke Zaidi ata kwaasiekuelewa,, roho nzuri Ni mtaji WA maisha. Utu uzima dawa nmefurahi kuskia maneno mazuri King Kiba.. Tanzania ndio nchi yetu.. ❤Big up kaka
Pamoja kiba umeongea vizuli sana
Alikiba amejugunduwa sasa apa ni rapa toka 🇨🇩
Kwanzia Leo naku follow 💪💪💪💪
Hakuwa hivi huyu mnaonielewa mnanielewa hata diamond alivyoanza kuingia kwenye cooperate issues akaanza kumzungumzia Ali positive so Hawa wote Wana chuki zao wanazijua wenyewe
@erickmillanei4346
6 күн бұрын
Hakuna Chuki Personal Ni Biashara 2 brother
@dalalizanzibar9583
6 күн бұрын
Nacheka neno "Hakuwa hivi"😂😂
Nimekupenda Sana Alikiba wewe ni kaka wa Diamond ❤❤❤❤❤❤
@user-dm7ez2ks9u
2 күн бұрын
Kum e umeloona jlo kia kba n kaka mond anatakiwa amhexhmu pia❤❤❤❤❤❤ love sana kaka me napenda kukuita tiger
Kiba mi siyo fany wako ila kwa mahojiano haya umenivuta. Kafanye tu challenge ya Komasava , kusema kweli itatrend kuliko hata ile ya brown
Nakubali king umetisha sanaaa mzeee one love
King akiongea ameongea🔥
Nice one kiba❤
Umezungmza vzl
🙏 leo Alikiba narudia kuwa shabiki yako kwaku muunga mkono Diamond maana Diamond ana roho nzuri angalia watoto alio watowa kina rayvanny huyo mwengine asie kuwa na shukrani Ila Alikiba Ungana na kijana mwenzako mpeperushe bendera ya inchi Tz
@user-dm7ez2ks9u
2 күн бұрын
Kwel kiba ww n kjana songa mbele babaaaa
Kaka wa mziki kikubwa zaidi asante
sawa sawa king kiba tujenge tanzania sisi ni wale wale
🎉🎉
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
King kichwa sana mkali,
God's plan
Kiba hapo sijui ilikuaje Mzee Kuna ulakin Ila freSh leo umenirudisha kidogo
Glad
sawa king kiba
Umeongea
Kiba amekuwa 🎉
Kiba umeogea poa sana bro
NOW DAYS WASANII WANANYOOSHEANA ROHO👍👍
Wasanii wangu pendwa kabisa ni mondi, kiba, afande sele na blue. Na wengine pia nawakubali
Usikubali kufanya músic na damond ni mchawi Ana kutafuta ashushe laki akuwezi❤
@Lilmbunah
6 күн бұрын
Ma lofa mpo wengi 😂
@Lifelessons911
3 күн бұрын
We fala kwel
@user-dm7ez2ks9u
2 күн бұрын
Hapana ushukumu kabla hujahkumiwa mpendwa kiba n kaka mond et in tanzania
Leo hata mimi nimeanza kuwa shabiki wako umeongea vizuri kuhusu diamond tunapenda tusikie hivyo
Mi natka colabo yenu
2:10 2:14
Hiyo ndio maana ya kuwa mfalume
Rahaaaa....kukuwa na busara
@user-dm7ez2ks9u
2 күн бұрын
Kabisa
Ali kiba kakua sasa
utukubali tu WCB alokua hmkubal simb ni mchawi
Waandishi umewashuka hawajapata walichokipata
🎉🎉🎉
Imeisha hiyo king amesema bas tumefunga ilo 😊