AIBU KUBWA! LEMA AMTUKANA RAIS SAMIA NA WAZIRI MKUU MAJALIWA HADHARANI AWAAMBIWA VIONGOZI MABOYA

Спорт

#lema #raissamia #majaliwa

Пікірлер: 36

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon106418 күн бұрын

    HAWA WATU WANAHITAJ MTU KAMA MWAMPOSA AWAOMBEE MAKE KAMA KUNAKITU HAKIKO SAWA AU NYIE MMAONAJE😢😢

  • @zengomikomangwa9264
    @zengomikomangwa926418 күн бұрын

    Kwa hotuba kama hizo. CHADEMA watasubiri sana.

  • @bonifacekalima5273

    @bonifacekalima5273

    11 күн бұрын

    Yaani kwa sasa seera za za chadema kwanza ni keelo,,labda kwasababu wao posho za ziara ,seela zi meisha

  • @ShukuruSanga-rq1lt
    @ShukuruSanga-rq1lt18 күн бұрын

    Huna swaga kaka acha ccm ifanye kazi npo nAmibia

  • @Jamesmokolalaizer
    @Jamesmokolalaizer18 күн бұрын

    Hata wewe boya 2 kwann wewe unaakili

  • @user-bz5ti6op6z
    @user-bz5ti6op6z17 күн бұрын

    Timiza tu ratiba bwana huna msaada wowote

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya856118 күн бұрын

    Lema siasa za matusi zimepitwa na wakati .Umekuwa kama kichekesho Lema .Lema ungekuwa na pesa nyingi sijuwi ungekuwaje .CCM huiwezi Lema

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam432518 күн бұрын

    Ziloooo

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula18 күн бұрын

    Lema umekonda sana jamani

  • @rashidhamad6501
    @rashidhamad650118 күн бұрын

    Hapo alipo kama hayuko sawa

  • @harunimwambene1599
    @harunimwambene159918 күн бұрын

    Selikari imejenga miundo mbinu Kila Kona jukumu la kutumia punda ni la mwananchi mwenyewe selikari haiwezi kuwanunulia magari ya kutumia wananchi kama UNAWEZA wewe wanunulie japo pikipiki tukuone. Neno boya linatoka wapi ndio maana ulikimbia nchi kwa sababu ya akili Yako mbovu. Sasa wewe. Tengenza hoja mtasubiri sana kwenye nchi hii

  • @robertphilip385

    @robertphilip385

    17 күн бұрын

    Chawa mkubwa wewe

  • @pwaniseries
    @pwaniseries18 күн бұрын

    Kuna Baadhi yenu Sera zao zinashawishi hata Sera zako zipo zinazoshawishi ila kuna zingine kaka unatumia maneno makali

  • @abelluhende1422
    @abelluhende142218 күн бұрын

    Lema umechoka Mimi naipenda chadema lakini kwa kauli zako ni kichefuchefu na una kauli za kukejeli maisha ya wananchi.

  • @bonifacekalima5273

    @bonifacekalima5273

    11 күн бұрын

    Yaani seera za kijinga,,halafu baadae waseme tumeibiwa kuula kumbe hawakuwa na seera za kuwambia wananchi baali walikuwa wanaleta story kwenye majukwaa

  • @mbikamtanganaki
    @mbikamtanganaki16 күн бұрын

    Damu za watu zinamgeuka kuwateka watu na kuwalipa alafu waseme ccm

  • @mbikamtanganaki
    @mbikamtanganaki16 күн бұрын

    Mbona sion watu hapo nimajungu tu watoa taarifa

  • @LusajoKabuka
    @LusajoKabuka17 күн бұрын

    Kumbe nawewe ulikua mbunge ulikua boya we acha matusi wambie ulifanya nini

  • @elioimer8423
    @elioimer842317 күн бұрын

    Jenga hoja Lema watu watakuelewa , jazba , kejeli na lugha 😅zisifaa haina afya.

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole743812 күн бұрын

    Boya wewe siyo Anna Kilango

  • @jacksonmsele1500
    @jacksonmsele150017 күн бұрын

    Ila huyu mtu huyu

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole743812 күн бұрын

    Tatizo lenu nyie Chama cha Chadema Saccoss matusi mtahangaika sanaaaa

  • @HASSANMKUYASALUM-wu4ey
    @HASSANMKUYASALUM-wu4ey15 күн бұрын

    HODARI WA KUZUA NA UGOMBANISHI KWA MWEZI MACHUKUA RUZUKU Tsh MILLION MIA NNE mmefanya NINI zaidi ya kudanganya wananchi kuficha matumizi mabovu ya uharibifu WA Kodi za watanzania tu

  • @TarimoMangi
    @TarimoMangi16 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @mbikamtanganaki
    @mbikamtanganaki16 күн бұрын

    Bado hamjashawishi wezi nyie wauwaji ccm Bado IPO juu

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s17 күн бұрын

    Kamanada lema punguza kidogo maneno yenye uwelekeo wa madharau na matusi ila zidisha maneno yenye ushawishi na kuonyesha madhaifu ya wenzako

  • @hajjisanga789
    @hajjisanga78916 күн бұрын

    Tunapenda vyama vya siasa viingie bungeni lakini tuwe na busara ktk kujenga hoja hata mungu kasema hivyo sasa kama utatukana au maneno makali huwezi kutoboa yani yule alie shika mpin hatokubali matusi

  • @AlphaxardMRusweka-jr1wi

    @AlphaxardMRusweka-jr1wi

    15 күн бұрын

    Aliyeshika mpini,kwani nani,na wewe hujielewi .aliyeshika mpini ni wananchi .GNEZ

  • @AlphaxardMRusweka-jr1wi

    @AlphaxardMRusweka-jr1wi

    15 күн бұрын

    GENZ ndo anayeamua nani ashike dola na GENZ hao hao ndo wanapmfurahia na kumsikiliza

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa615917 күн бұрын

    Sasa we lifisiyemu unataka fisiyemu. Iachwe ifanye kazi gani miaka 64 inatosha nyie tulieni sindano iwaingie

  • @ashachitemo7816
    @ashachitemo781617 күн бұрын

    Huyu mpumbavu ana dharau KUBWA sana....!!

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn18 күн бұрын

    Ya leo kali CCM MJIANDAYE SANA MTAKOSA VITI VINGI VYA UBUNGE

  • @SharifaOmary-ui8vs

    @SharifaOmary-ui8vs

    18 күн бұрын

    Hana maajabu

  • @user-vl4rz6lf6d
    @user-vl4rz6lf6d16 күн бұрын

    Mbwa Kama huyu hafai kuwa mjimbe wa nyumba kumi nyie mnaomsikiliza kiongozi wa maboya Duniani ingieni yutiubu halafu andika Kariakoo ya mwaka 64 halafu linganisha na sasa yeye boya huyo aliwahi Mbunge kafanyanini ? Hakufanya chochote zaidi ya wezi mbwa wewe

  • @saidramadhan71
    @saidramadhan7118 күн бұрын

    Mbwa wewe

  • @elioimer8423
    @elioimer842317 күн бұрын

    Jenga hoja Lema watu watakuelewa , jazba , kejeli na lugha 😅zisifaa haina afya.

Келесі