AFUKUZWA KWA MAMA MKWE|MWANAMKE KASEMA TUACHANE ANITAKI TENA
Жүктеу.....
Пікірлер: 35
@pendoanzigar317226 күн бұрын
kikibwa ni tumchangie atibiwe kuhusu mke tuwaachie wenyewe maana wanaume uwa wanaumiza sana wanawake wakiwa kwenye starehe ila wakipatikana ndo wanajishusha hapo lazima ukimbiwe tu ataechamba atajijua mwenyewe nimeongea ukweli afu sijali wala nini
@AminaLibisa26 күн бұрын
Daah pole sana kaka Mungu ni mwema utasaidika tu Kwa uwezo wa Allah mimi nilimuona tu mazungumzo yake yule mwanaume wanawake wengine hawana uruma japo alimsifia kwamba ni mke bra kumbe wanamng'ong'a kidogo kaka usikate tamaa utapona tu InshAllah na mke utapata
@AminaLibisa26 күн бұрын
Kaka fabi uyo mwanamke hana mapenzi mwanamke mwenye akili asingemtamukia maneno kama ayo ukiwa mwenzie mgonjwa nimejisikia vibaya sana Inshallah Mungu yupo atakuonyesha njia
@fatumadiwani409825 күн бұрын
Hao si binaadamu, hatari hii imani inaisha kwa kuwa mume mgonjwa unamfukuza je wewe mke hatima yako unaijuwa,pole sana kaka allah atakupa shifaa na utapona na maisha yako yatakuwa mazuri na wao waone haya hata kukuangalia usoni
@janemusumba82025 күн бұрын
Pole Sana utapona Mungu yuko
@Dafetty25 күн бұрын
Pole sana brother Allah with you
@user-xk7vy4gb6g26 күн бұрын
Heee yamekuwa hayo?? Jamani mkewe alihojiwa mara ya kwanza akakili kuwa anampenda mume kwa shida na raha kumbe alikuwa anatulixha matango pori
@rukiaiddyyahaya9506
22 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@user-xk7vy4gb6g
22 күн бұрын
@@rukiaiddyyahaya9506 aisee wanawake wengi wakiona mume yupo taabani hawezi kutafuta pesa tena huwa wanakimbia Wanaume nao wakiona mke yupo taabani wanakutelekeza yani sikuhizi ngoma droo kukimbiana
@omanoman204426 күн бұрын
Atakula nin masikin jaman wanawake achen roho mbaya
@zainabmunezero579726 күн бұрын
Huyo mwanamke hana mapenzi kabisa na mume wake akipona alee mtoto wake na kujali maisha yake.
@rayaabdul-gm3hc25 күн бұрын
Kaka angu kuwa na subra utachangiwa utapata matibabu na utajengewa nyumba .utaowa mke mwema tena mwenye imani na mungu inshallah mungu atafunguwa milango ya kheri
@user-dx1hz3ow7k26 күн бұрын
Pole kaka maumivu unayopitia ni ww mwenyewe unayajua kikubwa kumuomba Mungu akufanyie wepesi kwa kira jambo
@hyy411426 күн бұрын
Subhanna Allah walifunga ndoa Kwan muulizen huenda walikuwa wanaishi tu
@user-df6ui9ro8s24 күн бұрын
Ila huy dad hakutumia busar kabisa kila kit kinamda tupean subra na uvumiliv jaaman usimtenge mtu kisa maradh au umaskin au ulemavu😢
@zenajuma651926 күн бұрын
Nenda kwa nabii kiboko Cha wachawi buza kwa lulenge utapona kama ni mambo ya kiswahili
@omanoman204426 күн бұрын
Kwa mtiy yeyote naukiw una matatizo hata awe ndug hapo ujifunze kituy tuy
@ruqaiamohammed34525 күн бұрын
Mmh mbona ghafla sana na wakat cjui uko ukwen miaka mingi ?😢faby huyo kaka aende hospital maana akisha ambiwa matibabu gharama ndio atajua shi ngap tupo pamoja nae
@user-nd8gg4ig7m26 күн бұрын
Sauti ipo mbona
@omanoman204426 күн бұрын
Et nampigia sim hapokei imekuw den duuh mungu wangu
@MonaJuma-cp3jg
26 күн бұрын
Sikasema mwenye amkumbushe
@omanoman2044
26 күн бұрын
@@MonaJuma-cp3jg saw lakin hapokei sim angeachana nae tuy
@MonaJuma-cp3jg
26 күн бұрын
Siunajuaukiwa nashida wawakm mjinga
@omanoman2044
26 күн бұрын
@@MonaJuma-cp3jg nikweli wallah
@DativaMbowe
25 күн бұрын
@@MonaJuma-cp3jg nimependa ulivyo mjibu nakiukweli nini mimi nilimwambia anikumbushe tukiwa tumejaribu kuongea tufanyaje mpango wa doctor mmoja tuangalie jins yakufanya vipimo vya canser, ila nimemcheki jioni nayaleo mungu ni mwema, atapata matibabu😢😢
@emmymatigula487026 күн бұрын
Hospital gani jamani? Kama ni Muhimbili si wanakuambia bei kamili Na yeye alisema ma mkwe wanampenda na mke anampenda Nakumbuka mlimuhoji Hapa mbona hapaeleweki
@FatumaMuya
26 күн бұрын
Huyo ni mgonjwa hawezi kusema kila kitu Mbele ya mkwe na mkewe ukiangalia ni mgonjwa .
@valenakomba768626 күн бұрын
Sasa mbona hakuna sauti . Unapofanya kitu jaribu kuchnguza marambilimbili . Mswahili.
@user-zv7qq9ew4u
26 күн бұрын
Mbona saut ipo
@dtvonline2099
26 күн бұрын
sauti ipo ndugu yangu mbona maybe simu yako
@FatimaAli-of4gh
26 күн бұрын
Simu yako sauti ipo mwanzo mpaka mwisho
@ruqaiamohammed345
25 күн бұрын
Saut ipo bhn wee
@omanoman204426 күн бұрын
Sasa kumbe aliuliza anazunguka zunguka nin duuh mungu akufanyie wepes wallah mtihan san
Пікірлер: 35
kikibwa ni tumchangie atibiwe kuhusu mke tuwaachie wenyewe maana wanaume uwa wanaumiza sana wanawake wakiwa kwenye starehe ila wakipatikana ndo wanajishusha hapo lazima ukimbiwe tu ataechamba atajijua mwenyewe nimeongea ukweli afu sijali wala nini
Daah pole sana kaka Mungu ni mwema utasaidika tu Kwa uwezo wa Allah mimi nilimuona tu mazungumzo yake yule mwanaume wanawake wengine hawana uruma japo alimsifia kwamba ni mke bra kumbe wanamng'ong'a kidogo kaka usikate tamaa utapona tu InshAllah na mke utapata
Kaka fabi uyo mwanamke hana mapenzi mwanamke mwenye akili asingemtamukia maneno kama ayo ukiwa mwenzie mgonjwa nimejisikia vibaya sana Inshallah Mungu yupo atakuonyesha njia
Hao si binaadamu, hatari hii imani inaisha kwa kuwa mume mgonjwa unamfukuza je wewe mke hatima yako unaijuwa,pole sana kaka allah atakupa shifaa na utapona na maisha yako yatakuwa mazuri na wao waone haya hata kukuangalia usoni
Pole Sana utapona Mungu yuko
Pole sana brother Allah with you
Heee yamekuwa hayo?? Jamani mkewe alihojiwa mara ya kwanza akakili kuwa anampenda mume kwa shida na raha kumbe alikuwa anatulixha matango pori
@rukiaiddyyahaya9506
22 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@user-xk7vy4gb6g
22 күн бұрын
@@rukiaiddyyahaya9506 aisee wanawake wengi wakiona mume yupo taabani hawezi kutafuta pesa tena huwa wanakimbia Wanaume nao wakiona mke yupo taabani wanakutelekeza yani sikuhizi ngoma droo kukimbiana
Atakula nin masikin jaman wanawake achen roho mbaya
Huyo mwanamke hana mapenzi kabisa na mume wake akipona alee mtoto wake na kujali maisha yake.
Kaka angu kuwa na subra utachangiwa utapata matibabu na utajengewa nyumba .utaowa mke mwema tena mwenye imani na mungu inshallah mungu atafunguwa milango ya kheri
Pole kaka maumivu unayopitia ni ww mwenyewe unayajua kikubwa kumuomba Mungu akufanyie wepesi kwa kira jambo
Subhanna Allah walifunga ndoa Kwan muulizen huenda walikuwa wanaishi tu
Ila huy dad hakutumia busar kabisa kila kit kinamda tupean subra na uvumiliv jaaman usimtenge mtu kisa maradh au umaskin au ulemavu😢
Nenda kwa nabii kiboko Cha wachawi buza kwa lulenge utapona kama ni mambo ya kiswahili
Kwa mtiy yeyote naukiw una matatizo hata awe ndug hapo ujifunze kituy tuy
Mmh mbona ghafla sana na wakat cjui uko ukwen miaka mingi ?😢faby huyo kaka aende hospital maana akisha ambiwa matibabu gharama ndio atajua shi ngap tupo pamoja nae
Sauti ipo mbona
Et nampigia sim hapokei imekuw den duuh mungu wangu
@MonaJuma-cp3jg
26 күн бұрын
Sikasema mwenye amkumbushe
@omanoman2044
26 күн бұрын
@@MonaJuma-cp3jg saw lakin hapokei sim angeachana nae tuy
@MonaJuma-cp3jg
26 күн бұрын
Siunajuaukiwa nashida wawakm mjinga
@omanoman2044
26 күн бұрын
@@MonaJuma-cp3jg nikweli wallah
@DativaMbowe
25 күн бұрын
@@MonaJuma-cp3jg nimependa ulivyo mjibu nakiukweli nini mimi nilimwambia anikumbushe tukiwa tumejaribu kuongea tufanyaje mpango wa doctor mmoja tuangalie jins yakufanya vipimo vya canser, ila nimemcheki jioni nayaleo mungu ni mwema, atapata matibabu😢😢
Hospital gani jamani? Kama ni Muhimbili si wanakuambia bei kamili Na yeye alisema ma mkwe wanampenda na mke anampenda Nakumbuka mlimuhoji Hapa mbona hapaeleweki
@FatumaMuya
26 күн бұрын
Huyo ni mgonjwa hawezi kusema kila kitu Mbele ya mkwe na mkewe ukiangalia ni mgonjwa .
Sasa mbona hakuna sauti . Unapofanya kitu jaribu kuchnguza marambilimbili . Mswahili.
@user-zv7qq9ew4u
26 күн бұрын
Mbona saut ipo
@dtvonline2099
26 күн бұрын
sauti ipo ndugu yangu mbona maybe simu yako
@FatimaAli-of4gh
26 күн бұрын
Simu yako sauti ipo mwanzo mpaka mwisho
@ruqaiamohammed345
25 күн бұрын
Saut ipo bhn wee
Sasa kumbe aliuliza anazunguka zunguka nin duuh mungu akufanyie wepes wallah mtihan san