MAMA ALIYEMWAGA MACHOZI MBELE YA MWANAE ASIMULIA, "NISIMTUPE AMA KUMUUA, NISAMEHE MWANANGU"

Пікірлер: 118

  • @islamsadiki7259
    @islamsadiki72592 жыл бұрын

    Sote tuseme alhamdullah

  • @jacklinnajackson4554
    @jacklinnajackson45542 жыл бұрын

    Maisha hakika nia safari ,hongera kwa kumpata mwanao,. Mimi nami nawatafuta watoto wangu Rebeka na Neema tumepotezana nao toka mwaka 2013

  • @abdulshakurothman5719
    @abdulshakurothman57192 жыл бұрын

    Alhamdulillah, Mama mama mama 💖

  • @magrethmbuma3045
    @magrethmbuma30452 жыл бұрын

    Nyieee mnaolaumu mnaongeaa tuu hamjui ugumu wa maisha baadhi ya watu wanaopitia....cha kumshukuru Mungu ni alitunza mimba na akazaa na akamkabidhi kwa baba yake.Wacheni kujifanya Miungu watu jamaanii maisha yanatofautiana

  • @gladysmwendwa3660

    @gladysmwendwa3660

    2 жыл бұрын

    Si mungu watu inamaana kina mama wanaokaa na watoto wao kwa magumu yote ni waajabu

  • @dorcaskidoti249

    @dorcaskidoti249

    2 жыл бұрын

    Kbs mpenz hawajui shida wanazo pitia wanawake

  • @magrethmbuma3045

    @magrethmbuma3045

    2 жыл бұрын

    @@gladysmwendwa3660 Wanayo mpnz huyu hakuwa na chochote halafu ukumbuke mtoto akiwa mdogo lazima upate wa kumuachia ndio ufanye hata hiyo kazi yenyewe....kwa ulivyosikia nani angemuachia mwanae ili akafanye kazi na hakuna hata na chumba kidogo weee wachaa maneno ww maisha yaone tuu kama hujapata mtihani huwezi elewa mtihani wa huyu mama

  • @zalhayahya5658

    @zalhayahya5658

    2 жыл бұрын

    Watu wengine wanapenda kulaumu mtu ashakuambia alikua hana muelekeo hana mama hana baba kashafukuzwa nyumbani angefanyaje afadhali hakumtupa hakumuuwa kamkabidhi babake

  • @magrethmbuma3045

    @magrethmbuma3045

    2 жыл бұрын

    @@zalhayahya5658 Yaani wengine wanajifanya hawajui shida tatizo ndugu yangu.

  • @yvetteuwase2740
    @yvetteuwase27402 жыл бұрын

    Asante mutoto mzuri ❤️💯

  • @Madmax_kingTz
    @Madmax_kingTz2 жыл бұрын

    Mama ndio mfariji wa familia,, baba ndio msimamizi wa familia .. Eeeh Mwenyezi MUNGU walinde wanawake wote wanaonyanyaswa huko majumbani lakini bado wanapigania watoto wao.. pia Eeeh Mwenyezi MUNGU wape mioyo ya ukakamavu wale woote waliotokwa au kukimbiwa na wazazi wao.. tutokapo twapajua tuendako hatujui🥰🥰🥰🥰

  • @rahmahassan1157

    @rahmahassan1157

    2 жыл бұрын

    Amin

  • @archardtegelelwa5867

    @archardtegelelwa5867

    2 жыл бұрын

    Qqqqqqq h

  • @salamakahindi3038

    @salamakahindi3038

    2 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭😭😭very sad aki

  • @nasranasranasriyahay9119
    @nasranasranasriyahay91192 жыл бұрын

    Wallah niliteseka na mimba nikaza Bado mdogo nikajifungua baba yup bize na wanawake ndio San San naona ataakisiikia wamekufa atafurah mana anaga mapenz nikaona maisha magumu nikamuachi mama angu nikatoloka nililudi kumuomba msamah badae San ila sikuwai kumuacha bila msahada chumba kimoja mm watoto nikasema apana leo Hii mama naughty tumemjengea tumfungulia duka

  • @muraqsunnyva3462
    @muraqsunnyva34622 жыл бұрын

    Inauma sana wanawake tunaumizwa sana na wazazi wenzetu mwanaume wachache ni waelewa ila wengine mmmh mtihani tuu

  • @emanuel1269
    @emanuel12692 жыл бұрын

    Akuna lawama apo Clouds ongeleni

  • @mariamhamisi598
    @mariamhamisi5982 жыл бұрын

    Mashaallah damu ni nzito kuliko maji

  • @greenermichael2057
    @greenermichael20572 жыл бұрын

    Asante Mungu sikuwahi kuwaza kuwatelekeza wanangu na tayari wamekua mmoja Yuko chuo na mwingine Yuko advance MUNGU NI MWAMINIFU SANA

  • @mwajumakudema5840
    @mwajumakudema58402 жыл бұрын

    "Tangu nimesikia mama kaja sijapata usingizi "dah maskin hii statement imenifanya nitoe machozi

  • @mariakibwana3700
    @mariakibwana37002 жыл бұрын

    Kipindi kizuri sana, wekeni kutafuta marafiki pia.

  • @hannansdeliciousfood4261
    @hannansdeliciousfood42612 жыл бұрын

    Kaona bora ampeleke kwa babaake kuliko kumtupa.....kafanya kitu sahih alikuwa hana njia ya kumtunza na baba alikuwa mara hana matunzo wala hakuwa tayari kumlea...hivyo akatumia njia hiyo

  • @jenipherkavusha1661
    @jenipherkavusha16612 жыл бұрын

    Hongera sana mtoto

  • @dolphinegechuki7707
    @dolphinegechuki77072 жыл бұрын

    Amen 🙏🙏

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor78472 жыл бұрын

    💕

  • @khadijaissa1734
    @khadijaissa17342 жыл бұрын

    Alhamdul llah

  • @aminasalim8708
    @aminasalim87082 жыл бұрын

    🙏😭

  • @mariamyusufyusuf1117
    @mariamyusufyusuf11172 жыл бұрын

    Asalamu alakum naomba nambayenu plz

  • @jovinathaphilipo6385
    @jovinathaphilipo63852 жыл бұрын

    Mtoto mzur jaman

  • @mmwantika6346
    @mmwantika63462 жыл бұрын

    Ameni

  • @yvetteuwase2740
    @yvetteuwase27402 жыл бұрын

    My God 😭😭😭😭😭😭❤️

  • @matridawilium9945
    @matridawilium99452 жыл бұрын

    Omba rehema sana kea mungu

  • @DamaIbra
    @DamaIbra2 ай бұрын

    Da hu hujambo dada

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum72792 жыл бұрын

    MUNGU YU MWEMA 😢😢

  • @lunangabenjamin3121
    @lunangabenjamin312121 күн бұрын

    Sio vya maswali mingi wanafanana ukijuchunguza vizuri.duh miaka mingi sasa mama una miaka 40 na ila kabla hujasema miaka uliyomzaa kijana mpaka sasa nilikuwa nafikiri uko kwenye 50 navitu.yaani unanizidi miaka2 ila muonekano wako na mama yangu mzazi mbona kama mnaendana kiumbri.na mama yangu anakuzidi miaka 18.

  • @cityathuman4278
    @cityathuman42782 жыл бұрын

    Mipia natafuta watoto wangu 3kutoka 2010 paka saai wako na babayao ,huko tz miniko Kenya ,hatakama kwamawasiliano

  • @mariamyusufyusuf1117
    @mariamyusufyusuf11172 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭

  • @DamaIbra
    @DamaIbra2 ай бұрын

    Ntakupataje?

  • @niselanyakato3033
    @niselanyakato30332 жыл бұрын

    jamani

  • @nasraanasraa4815
    @nasraanasraa48152 жыл бұрын

    wahoo nifulaha katika familiya yote

  • @neemazee1864
    @neemazee18642 жыл бұрын

    Jmn wekeni na marafiki pia..

  • @roseshedrack9209
    @roseshedrack92092 жыл бұрын

    Jamani mimi baba angu natamani kumjua anaitwa adamu mwambora

  • @ashamahadi5281

    @ashamahadi5281

    2 ай бұрын

    Adam Mwambona yupo

  • @gwajetheentertainer363
    @gwajetheentertainer3632 жыл бұрын

    ILA WASHUA BHANAAA 😀😀 ETI MTAJUA WENYEWE

  • @fatumajumanne3529
    @fatumajumanne35292 жыл бұрын

    Kuna wa2 wanaish maisha ambayo hawez kumiliki hata mlo 1 kwa cku ckulaumu hujaua na hukum2pa ulmpeleka kwao MUNGU amjaze kher mtt ya kusamehe na mengne maana wwngne wangeshakudhallsha.

  • @sabraabdilnasir8826

    @sabraabdilnasir8826

    2 жыл бұрын

    Aa huyu hakukoseya hata kidogo yeye mwenyewe kashafukuzwa hana kazi hajui aanze wapi wengine huwauwa watoto yeye kampeleka kwao kwa baba yake mbona kafanya vizuri wakupongezwa hasa mimi nnadadada zangu 2 wababa mmoja mbona wote kaleya mama angu mpaka wamekuwa na wazee wao walikuwa wanakuja nyumbani wanapanga wanapangua na mama yangu mpaka leo wanasikilizana

  • @hejmabohejhej9
    @hejmabohejhej92 жыл бұрын

    Mtoto kamkubali mamaake sasa yule shangazi kujilizaliza tu

  • @sweetluc2660
    @sweetluc26602 жыл бұрын

    Jamani hata kama umemizwa na Bwana Ako Mme wako ndio kumwuacha mtoto wa miezi 2 hii unahitaji moyo kweli Mi hapana nitaenda naye tu kokote kule

  • @greenermichael2057

    @greenermichael2057

    2 жыл бұрын

    Mie sowezagi hata kula jaman tunatofautiana mtazamo

  • @hamidaala2832

    @hamidaala2832

    Жыл бұрын

    hatari.mi.siwe.zi

  • @ahmadsalim4417

    @ahmadsalim4417

    7 ай бұрын

    Sasa kumpeleka kwa babake na akalelewa na kutanga tanga nae bila huduma yyte mwisho amtupe bora nn?

  • @Zahrazahra-ue7bp
    @Zahrazahra-ue7bp2 жыл бұрын

    Kuunganisha family mnaenda adi mikoan au mnatafuta dar pekeyake

  • @salamakombo3257

    @salamakombo3257

    2 жыл бұрын

    Hadi mikoani wanatuma nauli

  • @Zahrazahra-ue7bp

    @Zahrazahra-ue7bp

    2 жыл бұрын

    Inshaallah nina mwanangu yupo tabora sijamuona mda namimi nipo mbari kidogo maisha yamenibana tangu 2016 nirionana nae

  • @ashangalawa9492

    @ashangalawa9492

    2 жыл бұрын

    @@Zahrazahra-ue7bp subiri mwakani mwezi wa5 watatangaza km huko mkoani kuna namb ya cm wanatoa lkn km utaenda ofisini itakuwa vizuri zaidi

  • @neemazee1864
    @neemazee18642 жыл бұрын

    2002 mambo ya simu yalikuwa akuna eti jmn kweri?????

  • @sumimarco933

    @sumimarco933

    2 жыл бұрын

    Simu zilikuwepo japo zilikuwa kwa wale wenye uwezo kidogo kwa mtu wa Hali ya chini uwezo wa simu kumiliki ilikuwa ni ngumu

  • @masalakulwa7601

    @masalakulwa7601

    2 жыл бұрын

    We ulikua nayo

  • @magdalenapeter419

    @magdalenapeter419

    2 жыл бұрын

    Zilikua kwa mmoja mmoja

  • @dorcaskidoti249

    @dorcaskidoti249

    2 жыл бұрын

    @@masalakulwa7601 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @sumimarco933

    @sumimarco933

    2 жыл бұрын

    @@masalakulwa7601 wakati huo sikuwa nayo

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat63522 жыл бұрын

    Huyu Mama Msenge tu. Huwezi kumuacha Mtoto wa miezi 2 kwa mwanaume ukiwa ndiye uliye na maziwa ya mumnyonhesha. Unaweza kuua pia.

  • @mdzainb3722

    @mdzainb3722

    2 жыл бұрын

    Ata wwe msenge mbwa mmoja wwe mnajua kutomba hudum hana mbwa nyie

  • @ahmadsalim4417

    @ahmadsalim4417

    7 ай бұрын

    Kumbe angemtunzaje na ushaskia hata kwao alifukuzwa? Au angemtupa jaani ndo ingekua bora?

  • @suzanamwangingo2995
    @suzanamwangingo29952 жыл бұрын

    Mimi mwenyewe mateso yalinizidi ilibidi niondoke niwaache watoto

  • @khadijamisayo7476

    @khadijamisayo7476

    2 жыл бұрын

    kama hauna uwezo sawa, ila kama una uwezo usiwaache watoto

  • @benadethafrancis5223

    @benadethafrancis5223

    2 жыл бұрын

    @@khadijamisayo7476 hata omba omba Yuko barabarani na wanae. Ni roho ngumu tu.

  • @maidamwaipopo9603

    @maidamwaipopo9603

    2 жыл бұрын

    @@khadijamisayo7476 mimi sikuwaacha niliondoka nao nikalala chini nyumba ya kupanga

  • @maidamwaipopo9603

    @maidamwaipopo9603

    2 жыл бұрын

    @@benadethafrancis5223 yaani anaroho ya jiwe

  • @hanifaomar7438

    @hanifaomar7438

    2 жыл бұрын

    @@maidamwaipopo9603 na mm kwakweli nianguka nao nikasimama nao nimelea kwashida mm mungu ndio anajua sina kazi sina bazi lakini mungu nimkubwa wamekuwa japo haikuwa lahisi

  • @hichayasin7244
    @hichayasin72442 жыл бұрын

    MAMA UNAROHO MBAYA WEWE!!!LOOOOO!!!!!!!!?

  • @mdzainb3722

    @mdzainb3722

    2 жыл бұрын

    Kama wwe

  • @jenabmakobeh3694
    @jenabmakobeh36942 жыл бұрын

    Mm nisinge kusamehe ww mwanamke kabisa

  • @hannansdeliciousfood4261

    @hannansdeliciousfood4261

    2 жыл бұрын

    Hujui yalimkuta yepi...na mbali na hayo...mama hana makosa pia usimhukumu ww muwachie Mungu ndie anajuwa hukmu yke

  • @dorcaskidoti249

    @dorcaskidoti249

    2 жыл бұрын

    Ww apo ulipo huna kosa lolote na hujawahi kosea mtu wala Mungu wako? Bd unapumua usinene yote ukamaliza maisha yanaweza kkugeuka ndg

  • @mdzainb3722

    @mdzainb3722

    2 жыл бұрын

    Kwani wee ndo nani 😏😏😏😏

  • @jenabmakobeh3694

    @jenabmakobeh3694

    2 жыл бұрын

    @@mdzainb3722 watakaje kwani

  • @dorcaskidoti249

    @dorcaskidoti249

    2 жыл бұрын

    @@mdzainb3722 apo chacha kuna mwingine alisema kama mm ndo ningekuwa mwanao usingeniona maisha yako yote, nikasema sas ww kuniona mm itanisaidia nn kwa mfano hata usiponiona? Wanawake tunapitia ving tunavumilia ndo maana wengine wanafia kwenye ndoa wanavumilia kisa wtt ila ni bora uondoke kuliko kufa

  • @yuriaudi9746
    @yuriaudi97462 жыл бұрын

    Wajing wana wake mnatupa watt

  • @marrysamweli833
    @marrysamweli8332 жыл бұрын

    Sasa we mama hatahaya sin kenge ww eti baba alikuwa hatunzi ndio miezi 2?naulijuwa katakufa lione komwe ka soko labugurun

  • @magdalenaashery3742

    @magdalenaashery3742

    2 жыл бұрын

    Utakua hujui

  • @salmanassor8732

    @salmanassor8732

    2 жыл бұрын

    Mhhhhhhh

  • @halimamasai2234

    @halimamasai2234

    2 жыл бұрын

    👎👎👎👎👎

  • @lydialaurian4734

    @lydialaurian4734

    2 жыл бұрын

    Angalia na mazingira...alikua na miaka 17/18 na akafukuzwa nyumbani Sasa akili za kumtunza huyo mtoto pekeyake au angemlea vip pekeyake...hujawah fukuzwa kwenu ww na unaujauzito juu ndo mana..

  • @kiehbhzh7044

    @kiehbhzh7044

    2 жыл бұрын

    masha Allha❤

Келесі