MashaAllah Allahu kuhifadhi na atujalie nasisi tunao kusikiliza tuyafate inshaAllah
@balkisamisi21315 ай бұрын
Barakallahufik sheikh wetu
@AbdulrahmanUbaa5 ай бұрын
Allah akupe Umri Mrefu wenye Kheri nawe katika kutuelimisha na kuwaelimisha wasio jua alafu akajifanya anajua
@user-cp2ns5cz6t4 ай бұрын
ALLAH akupe jannah
@hshshsshjdjejjejejejej98235 ай бұрын
Masha Allah
@misbahmagezi49654 ай бұрын
Sheikh maalim Allah akuhifadhi
@ZalkaEid-hp5js5 ай бұрын
Maashaallah shukran shekhe wetu Allah akupe umr mrefu
@RashidIsmail-rw6pm5 ай бұрын
جزاك الله خيرا❤❤❤
@mohdiddi82035 ай бұрын
MashaAllah khutba nzuri sheikh wetu
@jaybrashikhamis39705 ай бұрын
Masha Allah... Baraka Allah fiik
@user-oc8uo9rl3u5 ай бұрын
Asante Shekhe zitakase nafsi zetu na za wale ambao hawana Mashekhe wa kuzitakasa nafsi zao
@zuzadomikano3765
5 ай бұрын
Kweli atusafishe nafsizetu ,kumbe ndio sababu unachukilia kwa Durusizako Adhimu Allah stukade nuru na imani kwahayo umetukumbusha ,Allah akutuhifadhie Allamawetu wa Asri HII.
@OmarJuma-og4kd5 ай бұрын
جزاك الله الخير
@saidimtoni11485 ай бұрын
Naaam shekh ,Allah akuhifadh shekh wetu
@muhammadkassim6291
5 ай бұрын
Amiin
@farijalakhalid55585 ай бұрын
Shukran sheikh upepo kwa kutuletea ujumbe huu
@apexmombasa68095 ай бұрын
Ma sha Allah kwa Mawaidha Mazuri
@user-ti8ox7mo1o5 ай бұрын
Swadakta❤
@user-no7rg2jq3k5 ай бұрын
Dah! Namuomba Allah anikutanishe na shekhe huyu inshaallah wakuelewa ataelewa tu tuache upinzani usio na maana Allah atuongoze inshallah
@abdukhan4718
5 ай бұрын
Assalaam Alykum vip hali kaka. Uko wapi..
@user-zo9tv4vj7s5 ай бұрын
Alhamdulilla mwenyezimungu amzidishie shehe uthmani ilim namuongoze mawaydha mazuri yanatufunza mengi lakini alicho kikusudiya sico
@SirajuKhalidi-sz6gu
5 ай бұрын
Kwann sicho
@ebrahimosman54775 ай бұрын
🤲🙏
@HajiAhmed-xh7jz5 ай бұрын
Maneno makubwa kabisa baarakallah
@HajiAhmed-xh7jz5 ай бұрын
Baarakallah fyka
@user-zj9of1wx2v5 ай бұрын
Kila la kheri sheghe wetu
@user-sy1qp5eg1s27 күн бұрын
Wewe ulitaka alumbane au vp?
@saphinalutaha90775 ай бұрын
Had shekhe othuman ameingilia uyo kjana atubie mwenyezmngu asije kumuadhbu namkubar sana shekhe othuman maalim
@user-zo9tv4vj7s
5 ай бұрын
Mungu akuzidishie Elim mawaydha mazuri tunafaidika Sama unacho kikusudiya sico
@mohdkhatib223
5 ай бұрын
Othman maalim ndio nani, ni sufi na masufi ni punda wa mashia
@saphinalutaha9077
5 ай бұрын
@@mohdkhatib223 napenda Sana mafundsho yake suf sjui Shia cjui saraf mm nnachofata mafundsho anayo yatoa hakuna sehem anapo tukana Wala kukegel uislam wote ni waislam kubaguana munafurahisha makafir mungu akupe afya njema
@saba-gv3mj
5 ай бұрын
@@mohdkhatib223sheikh othman malim ni mwanachuoni mzuri Allah amzidishie ilimu ila mtume s a w alisema kutakuja zama watazuka watu wakiwatusi wanazuoni wake ww ni moja wao kama unavotukana watu punda itakuwa ww moja wahao punda mana punda yuwamjua punda mwenzake mungu akuongoze
@saba-gv3mj
5 ай бұрын
@@mohdkhatib223sheikh othman malim ni mwanachuoni mzuri Allah amzidishie ilimu ila mtume s a w alisema kutakuja zama watazuka watu wakiwatusi wanazuoni wake ww ni moja wao kama unavotukana watu punda itakuwa ww moja wahao punda mana punda yuwamjua punda mwenzake mungu akuongoze
@alvenmunroe99805 ай бұрын
Mwenye chanal mbona umeweka picha ya uyo shehe mwengine wakat shekhe Othman hakumtaja yy, unaweza ukasababisha chuki kwa watu wake
@mohdkhatib2235 ай бұрын
Haji UPAPA hujui kitu ila upumbavu tu ndo unakusumbua
@sadathboutique6253
5 ай бұрын
Wewe utakuwa chizi wa kiwango cha juu sio bule nenda hospital
@mohdkhatib223
5 ай бұрын
@@sadathboutique6253 na wewe ni mpumbavu wa kisufi. Maana kama alivyosema imaam Shafy mtu akiingia katika usufi asbuhi haitofika mchana atakuwa mpumbavu
@yussufhamad37215 ай бұрын
Ukweli usemwe masufi wanapenda kuyasema mambo kiujumla jumla na hawa wanakosolewa kwa hoja na burhan hawatarajui wala hawabainishi haki kama walowakosoa wamekosea wao ktl moja mbili tatu matokeo yake wananyamaza kimnya kama hawapo halafu wanasisitiza umoja feki watu na ww Othman maalim umekosolewa kielimu mara nyingi Tu umekaa kimnya sasa hii si hiyana kwa jamii?
@EtihadBega
5 ай бұрын
Ukimya jibu la mjinga
@mirajiyombe1601
5 ай бұрын
Unataka watu watakasike ..nyie masalaf mnaonyesha watakasif sana ..kibri mnacho nyie tazkiya .
@subiriabd
5 ай бұрын
Halafu wanajiita اهل حديث uislamu umeharamisha kuukata ukoo wao ndio wa mwanzo kuukata ukoo maadam hupo kwenye منحج yao hata salamu wakati mwengine hupewi seuze kutembeleleana kujuuuliana shida na mwenzako huko hawapo kabisa maadam hupo kwenye manhaj hutoshirikiana na lolote. Na pia ni washirikina kama washirikina wengine haiwezekani ww ukatoa hukumu kumwabia muislamu mwenzako كلاب نار au kafiri yule au maneno yanayofanana na hayo wakati Allah pekee ndie anaejua " alieongoka katika njia" (Israa). SALAF wanajiona wao tu ndio waliongoka na kuwa sawa katika dini kumbe ni kunyume chake na hii yote cause hawaijui QURAN mafhoom yake laiti wangeisoma quran haki ya kusomwa kwake na kuifahamu kabisa عبدن wasingefanya wanayofanya leo .Naomba kuwasilisha hapo kwanza
@abdukhan4718
5 ай бұрын
Sasa Mushawatia watu motoni. Wewe unataka wajibu nini.. na mushasem ni watu wa bidaa ni watu wa motoni... sasa wewe wataka watoke motoni waje wajibu hoja😂😂😂
Пікірлер: 57
MashaAllah Allahu kuhifadhi na atujalie nasisi tunao kusikiliza tuyafate inshaAllah
Barakallahufik sheikh wetu
Allah akupe Umri Mrefu wenye Kheri nawe katika kutuelimisha na kuwaelimisha wasio jua alafu akajifanya anajua
ALLAH akupe jannah
Masha Allah
Sheikh maalim Allah akuhifadhi
Maashaallah shukran shekhe wetu Allah akupe umr mrefu
جزاك الله خيرا❤❤❤
MashaAllah khutba nzuri sheikh wetu
Masha Allah... Baraka Allah fiik
Asante Shekhe zitakase nafsi zetu na za wale ambao hawana Mashekhe wa kuzitakasa nafsi zao
@zuzadomikano3765
5 ай бұрын
Kweli atusafishe nafsizetu ,kumbe ndio sababu unachukilia kwa Durusizako Adhimu Allah stukade nuru na imani kwahayo umetukumbusha ,Allah akutuhifadhie Allamawetu wa Asri HII.
جزاك الله الخير
Naaam shekh ,Allah akuhifadh shekh wetu
@muhammadkassim6291
5 ай бұрын
Amiin
Shukran sheikh upepo kwa kutuletea ujumbe huu
Ma sha Allah kwa Mawaidha Mazuri
Swadakta❤
Dah! Namuomba Allah anikutanishe na shekhe huyu inshaallah wakuelewa ataelewa tu tuache upinzani usio na maana Allah atuongoze inshallah
@abdukhan4718
5 ай бұрын
Assalaam Alykum vip hali kaka. Uko wapi..
Alhamdulilla mwenyezimungu amzidishie shehe uthmani ilim namuongoze mawaydha mazuri yanatufunza mengi lakini alicho kikusudiya sico
@SirajuKhalidi-sz6gu
5 ай бұрын
Kwann sicho
🤲🙏
Maneno makubwa kabisa baarakallah
Baarakallah fyka
Kila la kheri sheghe wetu
Wewe ulitaka alumbane au vp?
Had shekhe othuman ameingilia uyo kjana atubie mwenyezmngu asije kumuadhbu namkubar sana shekhe othuman maalim
@user-zo9tv4vj7s
5 ай бұрын
Mungu akuzidishie Elim mawaydha mazuri tunafaidika Sama unacho kikusudiya sico
@mohdkhatib223
5 ай бұрын
Othman maalim ndio nani, ni sufi na masufi ni punda wa mashia
@saphinalutaha9077
5 ай бұрын
@@mohdkhatib223 napenda Sana mafundsho yake suf sjui Shia cjui saraf mm nnachofata mafundsho anayo yatoa hakuna sehem anapo tukana Wala kukegel uislam wote ni waislam kubaguana munafurahisha makafir mungu akupe afya njema
@saba-gv3mj
5 ай бұрын
@@mohdkhatib223sheikh othman malim ni mwanachuoni mzuri Allah amzidishie ilimu ila mtume s a w alisema kutakuja zama watazuka watu wakiwatusi wanazuoni wake ww ni moja wao kama unavotukana watu punda itakuwa ww moja wahao punda mana punda yuwamjua punda mwenzake mungu akuongoze
@saba-gv3mj
5 ай бұрын
@@mohdkhatib223sheikh othman malim ni mwanachuoni mzuri Allah amzidishie ilimu ila mtume s a w alisema kutakuja zama watazuka watu wakiwatusi wanazuoni wake ww ni moja wao kama unavotukana watu punda itakuwa ww moja wahao punda mana punda yuwamjua punda mwenzake mungu akuongoze
Mwenye chanal mbona umeweka picha ya uyo shehe mwengine wakat shekhe Othman hakumtaja yy, unaweza ukasababisha chuki kwa watu wake
Haji UPAPA hujui kitu ila upumbavu tu ndo unakusumbua
@sadathboutique6253
5 ай бұрын
Wewe utakuwa chizi wa kiwango cha juu sio bule nenda hospital
@mohdkhatib223
5 ай бұрын
@@sadathboutique6253 na wewe ni mpumbavu wa kisufi. Maana kama alivyosema imaam Shafy mtu akiingia katika usufi asbuhi haitofika mchana atakuwa mpumbavu
Ukweli usemwe masufi wanapenda kuyasema mambo kiujumla jumla na hawa wanakosolewa kwa hoja na burhan hawatarajui wala hawabainishi haki kama walowakosoa wamekosea wao ktl moja mbili tatu matokeo yake wananyamaza kimnya kama hawapo halafu wanasisitiza umoja feki watu na ww Othman maalim umekosolewa kielimu mara nyingi Tu umekaa kimnya sasa hii si hiyana kwa jamii?
@EtihadBega
5 ай бұрын
Ukimya jibu la mjinga
@mirajiyombe1601
5 ай бұрын
Unataka watu watakasike ..nyie masalaf mnaonyesha watakasif sana ..kibri mnacho nyie tazkiya .
@subiriabd
5 ай бұрын
Halafu wanajiita اهل حديث uislamu umeharamisha kuukata ukoo wao ndio wa mwanzo kuukata ukoo maadam hupo kwenye منحج yao hata salamu wakati mwengine hupewi seuze kutembeleleana kujuuuliana shida na mwenzako huko hawapo kabisa maadam hupo kwenye manhaj hutoshirikiana na lolote. Na pia ni washirikina kama washirikina wengine haiwezekani ww ukatoa hukumu kumwabia muislamu mwenzako كلاب نار au kafiri yule au maneno yanayofanana na hayo wakati Allah pekee ndie anaejua " alieongoka katika njia" (Israa). SALAF wanajiona wao tu ndio waliongoka na kuwa sawa katika dini kumbe ni kunyume chake na hii yote cause hawaijui QURAN mafhoom yake laiti wangeisoma quran haki ya kusomwa kwake na kuifahamu kabisa عبدن wasingefanya wanayofanya leo .Naomba kuwasilisha hapo kwanza
@abdukhan4718
5 ай бұрын
Sasa Mushawatia watu motoni. Wewe unataka wajibu nini.. na mushasem ni watu wa bidaa ni watu wa motoni... sasa wewe wataka watoke motoni waje wajibu hoja😂😂😂
@ramadhaniissa6703
5 ай бұрын
Wee ni mwanga unawaangia watu usiku