MashaAllah shekh umesema ukwl kabisa Allah akuhifadhi
@hamisasalehe2427 Жыл бұрын
Assalaam alaykum ee umati Muhammad! ALLAH ndie atakulipa hii elimu utupayo! Shukrani kwa darsa zako hazikinai kusikiliza. Najifunza jipya kila ninaposikiliza darsa zako. Jazzakallah khair.
@suraiya3151 Жыл бұрын
Allah akutunze sheikh wetu InshaAllah 🤲🙏🏼❤️🥰💕
@amirimohammed2875 Жыл бұрын
Yahalaah tujalie mwisho mwema na shehe wetu umpe moyo usiokinai yalabi🤲
@hamidaalhabsi8568 Жыл бұрын
Ewemwenyezi mungu tujalie tuwe katika watu wako uliowachagua na utuondoshee kwa kila ulio tuharimishia yaarabi ameen 🙏🙏🙏
@user-qs8kc3xf6g
Жыл бұрын
Ameen ya rabb
@ferroaboo3459
Жыл бұрын
Ameen
@salmakinjo4543
Жыл бұрын
Ameen
@ArafaAmirAmir-ci7ld
9 ай бұрын
Amin thumma amin
@ramlaleila374 Жыл бұрын
Subhana Allah 😭😭😭
@husseinalieth4346 Жыл бұрын
Maasha Allah..Allah akuhifadhi
@mwanasitibakari3255 Жыл бұрын
Mashaallah mwenyezi mungu akuzidishie umri sheikh ss pia twajifinza kupitia mawaidh yako Allah akuzidishie malipo
@HBoga Жыл бұрын
Mashallah sheikh wetu Othman Maalim. Kusema tu ukweli napenda sana kusikiliza darsa zako. Nikiwa kazini, naeka mwaidha yako na uskia raha sana kwa vile unatoa mawaidha kwa hekima na mara zengine kwa ucheshi. Mungu akuzidishie elimu na umri mrefu ili tuzidi kufaidika na mawaidha yako
@abdaladelo371
Жыл бұрын
❤ inshaallh taaala yarabi
@halimasaid5781 Жыл бұрын
Tunaelimika SI haba , Allah akujaze kheri
@ulamaashaban8039 Жыл бұрын
ALLAH ajaalie wenye kusikia na kufuata
@aminaomary4889 Жыл бұрын
Inshallah mung hakujaze khery inshallah ❤❤❤❤
@AthumanSalehe-nl7di Жыл бұрын
Mwenyezi mungu akulipe kila la heri shekh nasi tunaokusikiliza darasa zako atulipe inshaalah
@mohamedalimwangare Жыл бұрын
Shukran mjombangu @ Othman Maalim. Wanaudhubillahy siku hizi watu wanasambaza kwa Kutumia simu sio kwa sauti au sura ilonukuliwa.
@saumusalimuhassan2499 Жыл бұрын
Mashallah, Jazakallahu kher shekhe Othman Maalim
@NyirarukundoAisha-sc7np
Жыл бұрын
Asalamu alaykimu
@jumahamad372310 ай бұрын
Allah akuhifadh ustadh wangu maaalim wangu kheri na baraka iwe kwko
@user-bc4rm3oh7i Жыл бұрын
Mola akulipe kheri duniani na Akhera.
@ramamganga7227 Жыл бұрын
Allah akuzidishie kher uzid kutuelimisha in sha Allah
@awatifalghanim1106 Жыл бұрын
Subhana Allah...Mungu atuepushe na mambo kama haya. Amin
@masoudnasor8920
Жыл бұрын
Abdul
@shabantwaibu1075
7 ай бұрын
Amiin
@habibahusein3883 Жыл бұрын
Tunajifunza mengi San kupitia mihadhara yako Allah bless you shekh Othman
@kalamuMedia
Жыл бұрын
Akujaalie nawe
@nadiaahishakiye8170 Жыл бұрын
Shukrani kwadarsa🙏😊Allah akujalie mwisho mwem
@rashidimrangi1953 Жыл бұрын
Allah atunusuru na mashaka hayo inshaallah
@FeswalMohamedislamMohamed Жыл бұрын
AA shekh wangu mm Niko Kenya lamu kisiwani nakukaribisha lamu joo shekh utupe dawa uwatowe ushamba mashekh WA huku nampenda darasa lako mm tafadhali mungu akikujaliya njoo lamu tafadhali naomba shekh wangu njoo lamu wabilahi tawfik ishallah niombeya duwa na mm mwanao tafadhali Sana'a
@dalfatsoud4867 Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu atujaalie tuwe waja wake waliotakasika na atuvue na mitihani
@salmahussein80768 ай бұрын
🙏🙏asante shekhe kwa somo zuri
@yasminyusuf-1508 Жыл бұрын
ما شاء الله ❤️
@user-fd7ev8iy3s7 ай бұрын
Naam hakika maneno yako kaka angu mashallah mashallah hongera sana sana 🤲🙏
Ustadh mungu akuhifadhi akulinde akupe umri napenda darsa zako zaufaswaha wala humlengi MTU mungu akupe umri nasi atuongoze
@AthumaniChaurembo
9 ай бұрын
Maa' Shaa Allah kwa kutupa waadhi unaotunasihi namna Bora ya kuishi ktk ardhi, Allah azidi kukuongoza ktk khayraati,
@alimzee Жыл бұрын
🙏🙏🙏
@samirasadasalum5974 Жыл бұрын
Shukrani sana sheikh wngu
@saidmwidin8662
Жыл бұрын
【 ALLAH 】 tupe subra nJemaa Yah mawaidha YaLioYoo kuwa na mafundish0 boraaa kwe2
@suraiya3151 Жыл бұрын
🤲🤲🤲🥰🥰😍
@miishhassn Жыл бұрын
🙏🙏🙏❤🙏
@hashimwaziri3583 Жыл бұрын
Swadacta
@extraknowledge47098 ай бұрын
swadakta
@naimajeddara8687 Жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤❤👌
@msafiriafraha2080 Жыл бұрын
mtukufu mtume s.a.w amesema kwamba al-haqqu murrah yaani ukweli ni mchungu aliendelea kwa kusema sema ukweli hata Kama unakudhuru na Quraan Karim huthibitisha kauli hiyo ndani ya surah al-Ahzab ,kuulu kaulan sadida yaani sema ukweli katika kila hali kwahiyo dini inasema watu wadumu katika ukweli hakuna kauli hizi za kusema eti uwongo umeruhusiwa katika mazingira fulani
@msafiriafraha2080
Жыл бұрын
@@gallibmhammed8971 hakuna nabii aliyedanganya hata mmoja ndani ya Quraan Karim
@msafiriafraha2080
Жыл бұрын
@@gallibmhammed8971 huna unachokijua katika Quraan na mashekhe wako ,manabii wote ni watu watakatifu ,hakuna Mahala waliposema uongo ,onesha aya hiyo ,wewe unabidi unioneshe aya ambayo Allah Mtukufu amesema kwamba nabii Ibrahim a.s alisema uongo (auzubillah mindhaaliq)
@imranbanda3963 Жыл бұрын
Muhammad Bachu must learn from sh othman muallim
@mansourkhamis457
Жыл бұрын
🙆
@idrissaomba8803 Жыл бұрын
mbona sauti inakatika saaaana?
@kalamuMedia
Жыл бұрын
Kulikuwa na tatizo la kiufundi Pole
@hamadigwau1889
Жыл бұрын
Ni ukweli wenye uhakika ndani yake
@sadakheri1795
Жыл бұрын
Mashaallah mungu awapeni upendo zaidi nazaidi kutuelimisha mwalimu wetu
Пікірлер: 81
MashaAllah shekh umesema ukwl kabisa Allah akuhifadhi
Assalaam alaykum ee umati Muhammad! ALLAH ndie atakulipa hii elimu utupayo! Shukrani kwa darsa zako hazikinai kusikiliza. Najifunza jipya kila ninaposikiliza darsa zako. Jazzakallah khair.
Allah akutunze sheikh wetu InshaAllah 🤲🙏🏼❤️🥰💕
Yahalaah tujalie mwisho mwema na shehe wetu umpe moyo usiokinai yalabi🤲
Ewemwenyezi mungu tujalie tuwe katika watu wako uliowachagua na utuondoshee kwa kila ulio tuharimishia yaarabi ameen 🙏🙏🙏
@user-qs8kc3xf6g
Жыл бұрын
Ameen ya rabb
@ferroaboo3459
Жыл бұрын
Ameen
@salmakinjo4543
Жыл бұрын
Ameen
@ArafaAmirAmir-ci7ld
9 ай бұрын
Amin thumma amin
Subhana Allah 😭😭😭
Maasha Allah..Allah akuhifadhi
Mashaallah mwenyezi mungu akuzidishie umri sheikh ss pia twajifinza kupitia mawaidh yako Allah akuzidishie malipo
Mashallah sheikh wetu Othman Maalim. Kusema tu ukweli napenda sana kusikiliza darsa zako. Nikiwa kazini, naeka mwaidha yako na uskia raha sana kwa vile unatoa mawaidha kwa hekima na mara zengine kwa ucheshi. Mungu akuzidishie elimu na umri mrefu ili tuzidi kufaidika na mawaidha yako
@abdaladelo371
Жыл бұрын
❤ inshaallh taaala yarabi
Tunaelimika SI haba , Allah akujaze kheri
ALLAH ajaalie wenye kusikia na kufuata
Inshallah mung hakujaze khery inshallah ❤❤❤❤
Mwenyezi mungu akulipe kila la heri shekh nasi tunaokusikiliza darasa zako atulipe inshaalah
Shukran mjombangu @ Othman Maalim. Wanaudhubillahy siku hizi watu wanasambaza kwa Kutumia simu sio kwa sauti au sura ilonukuliwa.
Mashallah, Jazakallahu kher shekhe Othman Maalim
@NyirarukundoAisha-sc7np
Жыл бұрын
Asalamu alaykimu
Allah akuhifadh ustadh wangu maaalim wangu kheri na baraka iwe kwko
Mola akulipe kheri duniani na Akhera.
Allah akuzidishie kher uzid kutuelimisha in sha Allah
Subhana Allah...Mungu atuepushe na mambo kama haya. Amin
@masoudnasor8920
Жыл бұрын
Abdul
@shabantwaibu1075
7 ай бұрын
Amiin
Tunajifunza mengi San kupitia mihadhara yako Allah bless you shekh Othman
@kalamuMedia
Жыл бұрын
Akujaalie nawe
Shukrani kwadarsa🙏😊Allah akujalie mwisho mwem
Allah atunusuru na mashaka hayo inshaallah
AA shekh wangu mm Niko Kenya lamu kisiwani nakukaribisha lamu joo shekh utupe dawa uwatowe ushamba mashekh WA huku nampenda darasa lako mm tafadhali mungu akikujaliya njoo lamu tafadhali naomba shekh wangu njoo lamu wabilahi tawfik ishallah niombeya duwa na mm mwanao tafadhali Sana'a
Mwenyezi Mungu atujaalie tuwe waja wake waliotakasika na atuvue na mitihani
🙏🙏asante shekhe kwa somo zuri
ما شاء الله ❤️
Naam hakika maneno yako kaka angu mashallah mashallah hongera sana sana 🤲🙏
Alhamdulillah MashaAllah MashaAllah Bismillah MashaAllah
ماشاالله
Alhamndulilah maneno ya hekima MashaaAllah
Manshaalla nakupenda kwa Jili ya Allah
Allah akubariki ustadhi Othman hekima
Mashallah my favourite one💞🙏
MASHA ALLAH
Kul-hak wainkana-muuran (sema kweli japakuwa chungu)
Baraka za Allah juu yako sheikh Uthman
Mungu akujaze afia mwalim wetu
Maashallah 🥰
Mashallah
Shukurani sana kwa Mawaidha nzuri
Namskize Shekh Othman maalim nikiwa Saudi Arabia
Manshallah
Mashaa llah umesema ukweli kabisaaa
🙏 Yaarab tuongoze jaman
Allah Akbar
❤alalh
🙏🙏🙏 shukran sheikh
Yaarab tuongoze kufanya khery
mashaallah
Shukran shekh
@swabraathman
Жыл бұрын
Ustadh mungu akuhifadhi akulinde akupe umri napenda darsa zako zaufaswaha wala humlengi MTU mungu akupe umri nasi atuongoze
@AthumaniChaurembo
9 ай бұрын
Maa' Shaa Allah kwa kutupa waadhi unaotunasihi namna Bora ya kuishi ktk ardhi, Allah azidi kukuongoza ktk khayraati,
🙏🙏🙏
Shukrani sana sheikh wngu
@saidmwidin8662
Жыл бұрын
【 ALLAH 】 tupe subra nJemaa Yah mawaidha YaLioYoo kuwa na mafundish0 boraaa kwe2
🤲🤲🤲🥰🥰😍
🙏🙏🙏❤🙏
Swadacta
swadakta
❤❤❤❤❤❤❤👌
mtukufu mtume s.a.w amesema kwamba al-haqqu murrah yaani ukweli ni mchungu aliendelea kwa kusema sema ukweli hata Kama unakudhuru na Quraan Karim huthibitisha kauli hiyo ndani ya surah al-Ahzab ,kuulu kaulan sadida yaani sema ukweli katika kila hali kwahiyo dini inasema watu wadumu katika ukweli hakuna kauli hizi za kusema eti uwongo umeruhusiwa katika mazingira fulani
@msafiriafraha2080
Жыл бұрын
@@gallibmhammed8971 hakuna nabii aliyedanganya hata mmoja ndani ya Quraan Karim
@msafiriafraha2080
Жыл бұрын
@@gallibmhammed8971 huna unachokijua katika Quraan na mashekhe wako ,manabii wote ni watu watakatifu ,hakuna Mahala waliposema uongo ,onesha aya hiyo ,wewe unabidi unioneshe aya ambayo Allah Mtukufu amesema kwamba nabii Ibrahim a.s alisema uongo (auzubillah mindhaaliq)
Muhammad Bachu must learn from sh othman muallim
@mansourkhamis457
Жыл бұрын
🙆
mbona sauti inakatika saaaana?
@kalamuMedia
Жыл бұрын
Kulikuwa na tatizo la kiufundi Pole
@hamadigwau1889
Жыл бұрын
Ni ukweli wenye uhakika ndani yake
@sadakheri1795
Жыл бұрын
Mashaallah mungu awapeni upendo zaidi nazaidi kutuelimisha mwalimu wetu
@mdika3811
Жыл бұрын
@@kalamuMedia🙏🙏
Mashallah
Mashallah