LIVE: SHEIKH OTHMAN MAALIM - ADUI YETU NI UFUKARA

Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
#ijitimai_zanzibar_2019,
#tabligh_FIYSABILLAH

Пікірлер: 101

  • @sahimalbatawy3372
    @sahimalbatawy33725 жыл бұрын

    ww shekh Othman fund mungu akupe wepes uzid ufund ww ndo miongon mwa warith Wa mitume niombeee dua na mm Allah snipe nguvu na snipe wepes Wa kutoa ili tuupoteze umasikn .ukiikubal hii gonga like .

  • @humudmmanga6483

    @humudmmanga6483

    3 жыл бұрын

    Katika haya mawaidha musitutilie miziki hii ni mawaidha ya dini .lazima muheshimu mawaidha .

  • @FrancisRichard-vs1yp
    @FrancisRichard-vs1yp11 ай бұрын

    Mashaallah!!shekh wewe ni fundi wa daawah!!mwenyez Mungu akulinde na akujaalie malipo makubwa ambayo hukutaraji

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan24998 ай бұрын

    Mashallah, Jazakallahu kher shekhe Othman Maalim, Nakupenda kwaajili ya Allah 🙏Allah akubariki sana 🙏

  • @rackymayugi6815
    @rackymayugi68155 жыл бұрын

    Mashaa Allah. Sheikh Allah akulipe kila laheri na akuepushe na kila lashari. Ameen yarabil alameen

  • @almassoud3109
    @almassoud31094 жыл бұрын

    Mashallah. Wallah raha ilioje hii Allah ampe maisha marefu sheikh Othman azidi kutupa ukumbusho

  • @user-dx5lz6du4y
    @user-dx5lz6du4y5 жыл бұрын

    Shehe Othman maalem niombee dua mtto wangu nayy apate elimu kama yakwako

  • @adamzdamz6592

    @adamzdamz6592

    5 жыл бұрын

    in shaa llah allah kareem

  • @almassoud3109
    @almassoud31095 жыл бұрын

    Faida ilioje. Raha ilioje. Elimu ilioje aliyokupa jallla fiy ulaaa. Allah akupe afya na umri wa kufikisha zaid na zaid ya haya

  • @fatumaramadhanmashaallahal9966
    @fatumaramadhanmashaallahal99665 жыл бұрын

    Shukran ya ustad ana isma bin qatar wajazaka Allahu heri Allah ya hidiki wayahad umatul Muhammad salalahu alay wasalam

  • @ashurarashid418
    @ashurarashid4186 ай бұрын

    Maashallah sheikh othman maalim allah akuzidi shie yenye hp duniani na kesho akhera unatuelimisha Alhamdulilah Allah atakulipa

  • @XYZHome
    @XYZHome5 жыл бұрын

    This man is chosen, Tabaarakallah. May Allah acceptance be showered on him,and I ask Allah for forgiveness .

  • @angeljax296

    @angeljax296

    2 жыл бұрын

    you all prolly dont care at all but does someone know of a trick to get back into an instagram account?? I stupidly lost my account password. I love any help you can offer me!

  • @jonahfinn6852

    @jonahfinn6852

    2 жыл бұрын

    @Angel Jax instablaster :)

  • @angeljax296

    @angeljax296

    2 жыл бұрын

    @Jonah Finn i really appreciate your reply. I found the site thru google and im in the hacking process atm. Takes quite some time so I will get back to you later when my account password hopefully is recovered.

  • @angeljax296

    @angeljax296

    2 жыл бұрын

    @Jonah Finn it worked and I now got access to my account again. I am so happy! Thanks so much you saved my account!

  • @jonahfinn6852

    @jonahfinn6852

    2 жыл бұрын

    @Angel Jax happy to help :)

  • @nawawiitara7909
    @nawawiitara79095 жыл бұрын

    Jazaaka llahu sheikh othman maalim Kheir kubwa hii ktv nawashukur sana kwa Kazi kubwa hii safi sana namuomba allah awalipe kher Km kuna mtu anamchukia Sheikh Othman maalim basi mtu huyo achunguze nafsi yake vizuri

  • @fatmamsafiri2763
    @fatmamsafiri27634 жыл бұрын

    Mashallah shekh Othman nataman siku moja uje nikuone Ana kwa Ana nataman wallah namuomba Allah anijalie nikuone

  • @salmatalhiyn3225
    @salmatalhiyn32255 жыл бұрын

    Assalam Alaykum Warahmatullah Wabarakatuh...Shukran Ktv tz Online Kwa Kutufikishie Kheri Hizi Namuomba Allah Awazidishie Rizki Zenu Na Awaruzuku Afya Njema Na Uhai Mrefu Wenye Kheri...Pia Naomba CD Ya Haya Mawaidha In Shaa Allah Zinapatikana Wapi Naomba Unisaidie

  • @alimohamedalisaid7040
    @alimohamedalisaid70405 жыл бұрын

    Mashallha nice darasa mungu akuzidisia ameen thuma ameen and good life ameen thuma ameen

  • @solangeirakoze1289
    @solangeirakoze12892 жыл бұрын

    My favorite sheikh ever MashaAllah. Allah akuhifadhi duniani n akhera amiin

  • @zabibunyirasafali852
    @zabibunyirasafali8524 жыл бұрын

    Allah azidi kuongezea maisha mema Othman maalim

  • @mams1892
    @mams18925 жыл бұрын

    Allah akuhifadhi Sheikh wetu Othman

  • @adamzdamz6592
    @adamzdamz65925 жыл бұрын

    thanks othman maalim listening from qatarx allah akupe more and more sababu twapata mafunzo bora zaidi

  • @OmanOm-wy5wj
    @OmanOm-wy5wj3 ай бұрын

    Shukrani sàna shehe yaani tunàfarijikà sànà kiroho❤❤

  • @mudimaarifa9394
    @mudimaarifa93945 жыл бұрын

    Mungu atufanyie wepesi kwa kila hatua waislamu🤲🏻

  • @leyouthaaljabri4949

    @leyouthaaljabri4949

    5 жыл бұрын

    Shukran Shekhe kwa ukumbosho Allah akuhifadhi kwa kila hatua Allah akupe umri mrefu uzidi kutufindi uislamu

  • @hdhdhdhdhdhd6933
    @hdhdhdhdhdhd69335 жыл бұрын

    Allah akujaalie kila lahery shekh wetu nauzid kutuelekeza

  • @OmarAli-ev4cn
    @OmarAli-ev4cn5 жыл бұрын

    Mashallah! ! Othuman malim ALLAH akupe umr mrefu wenye her nawewe!

  • @fatmaaly9686
    @fatmaaly96865 жыл бұрын

    Mashaallah atupe mwisho mwema sisi pamoja na wazazi wetu na waislamu kwa ujumla 🕋

  • @rkenea4262

    @rkenea4262

    5 жыл бұрын

    Ameen ya Raab

  • @kamilaabdi2310
    @kamilaabdi23103 жыл бұрын

    Jazakallakheiran, my favourite sheikh of all tym....

  • @ambestambest9165
    @ambestambest91654 жыл бұрын

    I love othuman maalim

  • @samirnaty8774
    @samirnaty87745 жыл бұрын

    Masha Allah shehe umetufungua na mengi ambayo tulikua na was was nayo in sha Allah mungu akulipe kwa ujira wako

  • @jokhanassor3507
    @jokhanassor35075 жыл бұрын

    Naam uasafi ni faradhi sheikh Othman 🌷☺

  • @zoharimohammed1569
    @zoharimohammed15695 жыл бұрын

    wageita tuko pamoja nimeumia saana kukosa shughuri hii Allah awape kheri

  • @alhajrahassan89
    @alhajrahassan894 жыл бұрын

    Allah bariq sheikh wetu Othman maalim

  • @yassinsenge3675
    @yassinsenge36754 жыл бұрын

    Sheikh Othman Maalim Allah akubarik ktk utoaji wa mawaidha na Darsa zenye tija kwetu na atufanyie wepesi sisi wapokeaji hakika tusiishie ktk kusikiliza pasi kuyafanyia kazi kwa yakini tutapiga hatua Inshaallah

  • @jamalkishangu
    @jamalkishangu8 ай бұрын

    Sheikh umeeleza mambo mazito sana, na yatabaki juu katika mizani mpaka siku ya kiama.

  • @ahmedhamisi328
    @ahmedhamisi3282 жыл бұрын

    Masha Allah shekh othuman mwenyezi mungu kuzidishie umri ili Yazidi mutual nasaa

  • @mubirirashidi
    @mubirirashidi Жыл бұрын

    Mashaaallah ❤️❤️❤️ shkh wetu othman Maalim i love you allah azidi kukubaarik

  • @mams1892
    @mams18925 жыл бұрын

    Jazzakallahu kheir

  • @nureyna629
    @nureyna6295 жыл бұрын

    Maasha-Allaah sheikh Othmaan Allah akupe umri mrefu waje kufaid na watoto wetu Inshaa-Allah... Mwenyezi Mungu atujaalie tuwe wepesi ktk kutowa Mali zetu ktk mambo ya kheri Inshaa-Allah..

  • @muhsinmahamba2629
    @muhsinmahamba26295 жыл бұрын

    masha Allah shekhe mungu akupe umri mrefu

  • @ashooraashoora1180
    @ashooraashoora11805 жыл бұрын

    Jazzakumllah Khery

  • @ndimimaskati3641

    @ndimimaskati3641

    5 жыл бұрын

    Allahu akbar

  • @hilalisaidseif8483
    @hilalisaidseif84834 жыл бұрын

    Hazina ya umma Masha Allah

  • @fatmarashid1843
    @fatmarashid18433 жыл бұрын

    Mansha allah shekhe othumani Mawaidha mazuri sanaaa Yakweli kabisa mansha allah Allah akupe umri

  • @saeedsaeed7381
    @saeedsaeed73815 жыл бұрын

    Mashallah mawaidha mazuri

  • @fatumamasudi2153

    @fatumamasudi2153

    5 жыл бұрын

    MashaAllah sheikh Uthman,Allah atupe mwisho mwema

  • @fatmaamour5103
    @fatmaamour51035 жыл бұрын

    mashallah

  • @shabanimarijani662
    @shabanimarijani6625 жыл бұрын

    Mwenyezi mungu atakuongoza inshaallah.

  • @aishajeaninejeanine8934
    @aishajeaninejeanine89345 жыл бұрын

    shukran sheikh watu Allah akujalie kila la heri.

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea50835 жыл бұрын

    Inahitaji kutumia akili sana kutafahamu haya nawaidha ya sheikh othman vyenginevo utahisi kakosea

  • @myoutubecom-gg7sb
    @myoutubecom-gg7sb3 жыл бұрын

    MashaAllah

  • @jokhanassor3507
    @jokhanassor35075 жыл бұрын

    Maashallah tupo pamoja kma niko kidoti vile 🌷🌷🌷

  • @jasminamani3828
    @jasminamani38285 жыл бұрын

    Masha Allah mungu akuzidishie

  • @abeidaadiseif4781
    @abeidaadiseif47813 жыл бұрын

    Allah atuaafikiishe kutokuzipa uzito ikhtilafu isiwe sababu ya kufariqiana.

  • @faizasaid8262
    @faizasaid82625 жыл бұрын

    Mashallah

  • @adamzdamz6592

    @adamzdamz6592

    5 жыл бұрын

    zanzibar mambo mazurii maa shaa llah

  • @mumys7999
    @mumys79995 жыл бұрын

    Masha Allah

  • @khalfankhamis6346

    @khalfankhamis6346

    4 жыл бұрын

    Mumy S mashaallah

  • @salehzz290
    @salehzz2905 жыл бұрын

    MA SHA ALLAH

  • @rkenea4262
    @rkenea42625 жыл бұрын

    Masha Allah ya Othman

  • @salehsuleyman933
    @salehsuleyman9335 жыл бұрын

    Thnk my maalim we love you

  • @alshukilialshukili9610
    @alshukilialshukili96105 жыл бұрын

    Allah awape kheri

  • @faulatafahmi7733
    @faulatafahmi77335 жыл бұрын

    Nimewapata Alhamdulillah...muko Tamaaman kabisa

  • @asmmaasmma1172
    @asmmaasmma11725 жыл бұрын

    Man sha Allah

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati36415 жыл бұрын

    Asalaam aleykum, mbona mmewasahau mashehe wetu ambao wako jela wa UAMSHOy?

  • @faulatafahmi7733

    @faulatafahmi7733

    5 жыл бұрын

    Kweli

  • @fatmaaly9686

    @fatmaaly9686

    5 жыл бұрын

    Kweli lkn kila mwaka hawasemi kwa7bu maneno yote wanapangiwa na serekali hawawezi kutaja mashekhe roho zinauma kila mtu anasemakwanini maada ya mashekhe inaachwanyuma

  • @abdinuraden1806
    @abdinuraden18068 ай бұрын

    ❤very interesting

  • @yasirahmed3515
    @yasirahmed35153 жыл бұрын

    Maashaallah Tabaarakallahu

  • @keiazizi5746
    @keiazizi57463 жыл бұрын

    Allah akuzidishie elimu

  • @jimjam4162
    @jimjam41625 жыл бұрын

    MASHA ALLAH sh. Othman Maalim.

  • @safilarose6247
    @safilarose62472 жыл бұрын

    Assalamu Walaikum Warahmatuh Wabarakatuh.

  • @zulekhaabdalla7408
    @zulekhaabdalla74084 жыл бұрын

    Thakbir

  • @hamisally5850
    @hamisally58505 жыл бұрын

    Pamoja san

  • @neemagambere9987
    @neemagambere99875 жыл бұрын

    mashallah.malimu

  • @faulatafahmi7733
    @faulatafahmi77335 жыл бұрын

    Alhamdulillah nafurahi

  • @ummuraw6372

    @ummuraw6372

    5 жыл бұрын

    M.Mungu awalipe kheri daima watumishi wote wa KTV hii ni sadaka kwenu kwa ssi tulio mbali tunahisi tupo ktk viwanja kwa kweli tunafarajika pia ALLAH awalipe kheri wahadhiri wote. Amiin

  • @abdukhamis436

    @abdukhamis436

    5 жыл бұрын

    Mashallah Allah awadumishe mashekhe wetu Na maamiri wetu WA markaz akiwemo amiri mkuu amir Ali khamis mwinyi Kwa kuifanikisha ijtimai Allah awajaze kheri nyingi

  • @sabraham5308
    @sabraham53085 жыл бұрын

    Ihtilafu zinakubalika katika wananazuoni wote,na Allahu yaalamu,kwa sasa mambo yamo kwenye vitabu na faridhatu ilmu alla kulli muslimu,tusiwe na jazba,tuache hawaa za nafsi zetu, bidaa itabakia kuwa bidaa,na haitokubalika,kufuatwa ni upotevu tu,tusije tukapotea,ya kufuatwa aliyotuelekeza mtume Muhammad SAW na Quran kwa mujibu wa mtume alivyoshushiwa,Juu ya wote na hao aliowataja,walihitifiana ,ihtilafu ndogo ndogo na katika wote hawa hawakupata kufanya bidaa kubwa ya maulidi,na sote tunampenda tunamsalia mtume katika kila sala,za fardhi na sunna,na kila tunapomuomba Allah subhana wataala,tuache kujitukuza kupita kiasi,mtukufu ni Allah,tumtukuze Allah subhana wataala na tumfuate mtume aliyotuelekeza.Barakallahu feequm.

  • @aliyomar9140

    @aliyomar9140

    5 жыл бұрын

    Saad Mohammed wew bwegee....kwani yametajwa maulid.....wew ugonjwa wako maulid......wew hufanyi bidaa?hebu soma kwnza........wew mwenyeo bidaaaa tupu........

  • @aishahamadi9605

    @aishahamadi9605

    5 жыл бұрын

    Saad Mohammed Allah akupe ufahamu..Ama kwa hakika Sheikh Othman ameeleza kwa ufasaha sana walakin kutokamana na comment yako inaonekana una gonjwa la dhanna kiilmu huenda ukawa humuelewa ndio maana umeingiza mada ya maukid hapa usilolijua na nina imani sheikh Othman alieleza kiufasaha kuhusu suala zima la maulid walakin yako no chuki....ondoa hilo akhui sote ni wamoja

  • @adamzdamz6592

    @adamzdamz6592

    5 жыл бұрын

    @@aishahamadi9605 htilafu zinakubalika katika wananazuoni wote,na Allahu yaalamu,kwa sasa mambo yamo kwenye vitabu na faridhatu ilmu alla kulli muslimu,tusiwe na jazba,tuache hawaa za nafsi zetu, bidaa itabakia kuwa bidaa,na haitokubalika,kufuatwa ni upotevu tu,tusije tukapotea,ya kufuatwa aliyotuelekeza mtume Muhammad SAW na Quran kwa mujibu wa mtume alivyoshushiwa,Juu ya wote na hao aliowataja,walihitifiana ,ihtilafu ndogo ndogo na katika wote hawa hawakupata kufanya bidaa kubwa ya maulidi,na sote tunampenda tunamsalia mtume katika kila sala,za fardhi na sunna,na kila tunapomuomba Allah

  • @aishahamadi9605

    @aishahamadi9605

    5 жыл бұрын

    @@adamzdamz6592 akhui Allah akuzidishie ilmu na akuongoze ila nakushauri sikiza faswaha alizoziongea sheikh...mada imehusu adua yetu ni Ufukara na akarambaramba kwenye ikhtilaaf...maadamu wewe chuki unayo juu ya msimamo wa Sheikh othmaan kuhusu maulid wataka msimamo wako ndio usikizwe...yeye anayo sababu ya kusherehekea maulid...walakin nyinyi ndio munaojiona wema kuwapa wenzenu moto na pepo...nikikwambia nitajie uharamu wa Maulid huna hata sababu moja na utakazozitaja hazitoshabahiana na maulid tunayoyajua sisi bali utatafuta viasbab vidogovidogo ambavyo hata sisi twapingana navyo katika kusherehekea maulid...Maulid hakuna bid'aa ndani yake na pepo haingii yeyote ila kwa Rahma za Allah....ikiwa umeshindwa na ilmu ya "mujtahidun" katika kueleza mambo haya usitumie KZread pia wewe maana ni BID'AA hakuna mtume wala swahaba wala tabieeen alietumia KZread...Tafakari na utambue kuna ilmu za mujtahideen usiwe shabiki wa shekhe flani mukawa mwawapa watu majina yasiyostahili mukiwaingiza na kuwatoa watu kwenye uislamu munavyotaka nyinyi haifai sote ni wamoja na bid'aa za wazi pia sisi twazijua na twazipinga. ASSALAMU ALAIKUM

  • @adamzdamz6592

    @adamzdamz6592

    5 жыл бұрын

    kila siku nasikiza mawaidha ya otman from qatar hakika maalim is profosional in islam kila darasa, allah ampe kekhma zaidi @@aishahamadi9605

  • @laylisaid9563
    @laylisaid95635 жыл бұрын

    👏👏👏💖👑💝🤲🙏

  • @shelinswai3926
    @shelinswai39264 жыл бұрын

    This year Hakuna hutba mpya za shekh

  • @halimamsafiri1532
    @halimamsafiri15325 жыл бұрын

    Naomba kwa aliokuwa nayo video hii anitumie 0717195547

  • @daprince7545

    @daprince7545

    5 жыл бұрын

    Ishaallah ntakutumia kwa whtpps

  • @mudimaarifa9394
    @mudimaarifa93945 жыл бұрын

    Allah akuweke akupe maisha marefu

  • @aminamhina9129
    @aminamhina9129 Жыл бұрын

    Masha Allah