LIVE: SHEIKH OTHMAN MAALIM - ADUI YETU NI UFUKARA
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
#ijitimai_zanzibar_2019,
#tabligh_FIYSABILLAH
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
#ijitimai_zanzibar_2019,
#tabligh_FIYSABILLAH
Пікірлер: 101
ww shekh Othman fund mungu akupe wepes uzid ufund ww ndo miongon mwa warith Wa mitume niombeee dua na mm Allah snipe nguvu na snipe wepes Wa kutoa ili tuupoteze umasikn .ukiikubal hii gonga like .
@humudmmanga6483
3 жыл бұрын
Katika haya mawaidha musitutilie miziki hii ni mawaidha ya dini .lazima muheshimu mawaidha .
Mashaallah!!shekh wewe ni fundi wa daawah!!mwenyez Mungu akulinde na akujaalie malipo makubwa ambayo hukutaraji
Mashallah, Jazakallahu kher shekhe Othman Maalim, Nakupenda kwaajili ya Allah 🙏Allah akubariki sana 🙏
Mashaa Allah. Sheikh Allah akulipe kila laheri na akuepushe na kila lashari. Ameen yarabil alameen
Mashallah. Wallah raha ilioje hii Allah ampe maisha marefu sheikh Othman azidi kutupa ukumbusho
Shehe Othman maalem niombee dua mtto wangu nayy apate elimu kama yakwako
@adamzdamz6592
5 жыл бұрын
in shaa llah allah kareem
Faida ilioje. Raha ilioje. Elimu ilioje aliyokupa jallla fiy ulaaa. Allah akupe afya na umri wa kufikisha zaid na zaid ya haya
Shukran ya ustad ana isma bin qatar wajazaka Allahu heri Allah ya hidiki wayahad umatul Muhammad salalahu alay wasalam
Maashallah sheikh othman maalim allah akuzidi shie yenye hp duniani na kesho akhera unatuelimisha Alhamdulilah Allah atakulipa
This man is chosen, Tabaarakallah. May Allah acceptance be showered on him,and I ask Allah for forgiveness .
@angeljax296
2 жыл бұрын
you all prolly dont care at all but does someone know of a trick to get back into an instagram account?? I stupidly lost my account password. I love any help you can offer me!
@jonahfinn6852
2 жыл бұрын
@Angel Jax instablaster :)
@angeljax296
2 жыл бұрын
@Jonah Finn i really appreciate your reply. I found the site thru google and im in the hacking process atm. Takes quite some time so I will get back to you later when my account password hopefully is recovered.
@angeljax296
2 жыл бұрын
@Jonah Finn it worked and I now got access to my account again. I am so happy! Thanks so much you saved my account!
@jonahfinn6852
2 жыл бұрын
@Angel Jax happy to help :)
Jazaaka llahu sheikh othman maalim Kheir kubwa hii ktv nawashukur sana kwa Kazi kubwa hii safi sana namuomba allah awalipe kher Km kuna mtu anamchukia Sheikh Othman maalim basi mtu huyo achunguze nafsi yake vizuri
Mashallah shekh Othman nataman siku moja uje nikuone Ana kwa Ana nataman wallah namuomba Allah anijalie nikuone
Assalam Alaykum Warahmatullah Wabarakatuh...Shukran Ktv tz Online Kwa Kutufikishie Kheri Hizi Namuomba Allah Awazidishie Rizki Zenu Na Awaruzuku Afya Njema Na Uhai Mrefu Wenye Kheri...Pia Naomba CD Ya Haya Mawaidha In Shaa Allah Zinapatikana Wapi Naomba Unisaidie
Mashallha nice darasa mungu akuzidisia ameen thuma ameen and good life ameen thuma ameen
My favorite sheikh ever MashaAllah. Allah akuhifadhi duniani n akhera amiin
Allah azidi kuongezea maisha mema Othman maalim
Allah akuhifadhi Sheikh wetu Othman
thanks othman maalim listening from qatarx allah akupe more and more sababu twapata mafunzo bora zaidi
Shukrani sàna shehe yaani tunàfarijikà sànà kiroho❤❤
Mungu atufanyie wepesi kwa kila hatua waislamu🤲🏻
@leyouthaaljabri4949
5 жыл бұрын
Shukran Shekhe kwa ukumbosho Allah akuhifadhi kwa kila hatua Allah akupe umri mrefu uzidi kutufindi uislamu
Allah akujaalie kila lahery shekh wetu nauzid kutuelekeza
Mashallah! ! Othuman malim ALLAH akupe umr mrefu wenye her nawewe!
Mashaallah atupe mwisho mwema sisi pamoja na wazazi wetu na waislamu kwa ujumla 🕋
@rkenea4262
5 жыл бұрын
Ameen ya Raab
Jazakallakheiran, my favourite sheikh of all tym....
I love othuman maalim
Masha Allah shehe umetufungua na mengi ambayo tulikua na was was nayo in sha Allah mungu akulipe kwa ujira wako
Naam uasafi ni faradhi sheikh Othman 🌷☺
wageita tuko pamoja nimeumia saana kukosa shughuri hii Allah awape kheri
Allah bariq sheikh wetu Othman maalim
Sheikh Othman Maalim Allah akubarik ktk utoaji wa mawaidha na Darsa zenye tija kwetu na atufanyie wepesi sisi wapokeaji hakika tusiishie ktk kusikiliza pasi kuyafanyia kazi kwa yakini tutapiga hatua Inshaallah
Sheikh umeeleza mambo mazito sana, na yatabaki juu katika mizani mpaka siku ya kiama.
Masha Allah shekh othuman mwenyezi mungu kuzidishie umri ili Yazidi mutual nasaa
Mashaaallah ❤️❤️❤️ shkh wetu othman Maalim i love you allah azidi kukubaarik
Jazzakallahu kheir
Maasha-Allaah sheikh Othmaan Allah akupe umri mrefu waje kufaid na watoto wetu Inshaa-Allah... Mwenyezi Mungu atujaalie tuwe wepesi ktk kutowa Mali zetu ktk mambo ya kheri Inshaa-Allah..
masha Allah shekhe mungu akupe umri mrefu
Jazzakumllah Khery
@ndimimaskati3641
5 жыл бұрын
Allahu akbar
Hazina ya umma Masha Allah
Mansha allah shekhe othumani Mawaidha mazuri sanaaa Yakweli kabisa mansha allah Allah akupe umri
Mashallah mawaidha mazuri
@fatumamasudi2153
5 жыл бұрын
MashaAllah sheikh Uthman,Allah atupe mwisho mwema
mashallah
Mwenyezi mungu atakuongoza inshaallah.
shukran sheikh watu Allah akujalie kila la heri.
Inahitaji kutumia akili sana kutafahamu haya nawaidha ya sheikh othman vyenginevo utahisi kakosea
MashaAllah
Maashallah tupo pamoja kma niko kidoti vile 🌷🌷🌷
Masha Allah mungu akuzidishie
Allah atuaafikiishe kutokuzipa uzito ikhtilafu isiwe sababu ya kufariqiana.
Mashallah
@adamzdamz6592
5 жыл бұрын
zanzibar mambo mazurii maa shaa llah
Masha Allah
@khalfankhamis6346
4 жыл бұрын
Mumy S mashaallah
MA SHA ALLAH
Masha Allah ya Othman
Thnk my maalim we love you
Allah awape kheri
Nimewapata Alhamdulillah...muko Tamaaman kabisa
Man sha Allah
Asalaam aleykum, mbona mmewasahau mashehe wetu ambao wako jela wa UAMSHOy?
@faulatafahmi7733
5 жыл бұрын
Kweli
@fatmaaly9686
5 жыл бұрын
Kweli lkn kila mwaka hawasemi kwa7bu maneno yote wanapangiwa na serekali hawawezi kutaja mashekhe roho zinauma kila mtu anasemakwanini maada ya mashekhe inaachwanyuma
❤very interesting
Maashaallah Tabaarakallahu
Allah akuzidishie elimu
MASHA ALLAH sh. Othman Maalim.
Assalamu Walaikum Warahmatuh Wabarakatuh.
Thakbir
Pamoja san
mashallah.malimu
Alhamdulillah nafurahi
@ummuraw6372
5 жыл бұрын
M.Mungu awalipe kheri daima watumishi wote wa KTV hii ni sadaka kwenu kwa ssi tulio mbali tunahisi tupo ktk viwanja kwa kweli tunafarajika pia ALLAH awalipe kheri wahadhiri wote. Amiin
@abdukhamis436
5 жыл бұрын
Mashallah Allah awadumishe mashekhe wetu Na maamiri wetu WA markaz akiwemo amiri mkuu amir Ali khamis mwinyi Kwa kuifanikisha ijtimai Allah awajaze kheri nyingi
Ihtilafu zinakubalika katika wananazuoni wote,na Allahu yaalamu,kwa sasa mambo yamo kwenye vitabu na faridhatu ilmu alla kulli muslimu,tusiwe na jazba,tuache hawaa za nafsi zetu, bidaa itabakia kuwa bidaa,na haitokubalika,kufuatwa ni upotevu tu,tusije tukapotea,ya kufuatwa aliyotuelekeza mtume Muhammad SAW na Quran kwa mujibu wa mtume alivyoshushiwa,Juu ya wote na hao aliowataja,walihitifiana ,ihtilafu ndogo ndogo na katika wote hawa hawakupata kufanya bidaa kubwa ya maulidi,na sote tunampenda tunamsalia mtume katika kila sala,za fardhi na sunna,na kila tunapomuomba Allah subhana wataala,tuache kujitukuza kupita kiasi,mtukufu ni Allah,tumtukuze Allah subhana wataala na tumfuate mtume aliyotuelekeza.Barakallahu feequm.
@aliyomar9140
5 жыл бұрын
Saad Mohammed wew bwegee....kwani yametajwa maulid.....wew ugonjwa wako maulid......wew hufanyi bidaa?hebu soma kwnza........wew mwenyeo bidaaaa tupu........
@aishahamadi9605
5 жыл бұрын
Saad Mohammed Allah akupe ufahamu..Ama kwa hakika Sheikh Othman ameeleza kwa ufasaha sana walakin kutokamana na comment yako inaonekana una gonjwa la dhanna kiilmu huenda ukawa humuelewa ndio maana umeingiza mada ya maukid hapa usilolijua na nina imani sheikh Othman alieleza kiufasaha kuhusu suala zima la maulid walakin yako no chuki....ondoa hilo akhui sote ni wamoja
@adamzdamz6592
5 жыл бұрын
@@aishahamadi9605 htilafu zinakubalika katika wananazuoni wote,na Allahu yaalamu,kwa sasa mambo yamo kwenye vitabu na faridhatu ilmu alla kulli muslimu,tusiwe na jazba,tuache hawaa za nafsi zetu, bidaa itabakia kuwa bidaa,na haitokubalika,kufuatwa ni upotevu tu,tusije tukapotea,ya kufuatwa aliyotuelekeza mtume Muhammad SAW na Quran kwa mujibu wa mtume alivyoshushiwa,Juu ya wote na hao aliowataja,walihitifiana ,ihtilafu ndogo ndogo na katika wote hawa hawakupata kufanya bidaa kubwa ya maulidi,na sote tunampenda tunamsalia mtume katika kila sala,za fardhi na sunna,na kila tunapomuomba Allah
@aishahamadi9605
5 жыл бұрын
@@adamzdamz6592 akhui Allah akuzidishie ilmu na akuongoze ila nakushauri sikiza faswaha alizoziongea sheikh...mada imehusu adua yetu ni Ufukara na akarambaramba kwenye ikhtilaaf...maadamu wewe chuki unayo juu ya msimamo wa Sheikh othmaan kuhusu maulid wataka msimamo wako ndio usikizwe...yeye anayo sababu ya kusherehekea maulid...walakin nyinyi ndio munaojiona wema kuwapa wenzenu moto na pepo...nikikwambia nitajie uharamu wa Maulid huna hata sababu moja na utakazozitaja hazitoshabahiana na maulid tunayoyajua sisi bali utatafuta viasbab vidogovidogo ambavyo hata sisi twapingana navyo katika kusherehekea maulid...Maulid hakuna bid'aa ndani yake na pepo haingii yeyote ila kwa Rahma za Allah....ikiwa umeshindwa na ilmu ya "mujtahidun" katika kueleza mambo haya usitumie KZread pia wewe maana ni BID'AA hakuna mtume wala swahaba wala tabieeen alietumia KZread...Tafakari na utambue kuna ilmu za mujtahideen usiwe shabiki wa shekhe flani mukawa mwawapa watu majina yasiyostahili mukiwaingiza na kuwatoa watu kwenye uislamu munavyotaka nyinyi haifai sote ni wamoja na bid'aa za wazi pia sisi twazijua na twazipinga. ASSALAMU ALAIKUM
@adamzdamz6592
5 жыл бұрын
kila siku nasikiza mawaidha ya otman from qatar hakika maalim is profosional in islam kila darasa, allah ampe kekhma zaidi @@aishahamadi9605
👏👏👏💖👑💝🤲🙏
This year Hakuna hutba mpya za shekh
Naomba kwa aliokuwa nayo video hii anitumie 0717195547
@daprince7545
5 жыл бұрын
Ishaallah ntakutumia kwa whtpps
Allah akuweke akupe maisha marefu
Masha Allah