Hello! Welcome to my KZread Channel.
My Name is Godlove M.
A small boy from Africa with a dream of travelling all around the World and share my all traveling experiences with you my friends.
Let's travel together and the best support you can give me is by subscribing to my channel 🤝
Thank you for your support and enjoy the videos.
My Contacts
WhatsApp: +255714578020
Email: [email protected]
Пікірлер
2nd thing, kupiga nyimbo za kisiasa kusifia chama fulani nayo hyo si sawa. Huu ni usafiri wa umma na si wa watu wa itikadi fulani tu. Kwenye hili tuacheni ulimbukeni!
Sijapenda mandhari ya chooni. Mazingira yako wet sana na vitu havipo kwenye mpangilio
Nme pakumbuka san hom
Kak umtisha san
Nzuri kaka Godlove m.
Shukrani sana kaka
Barabara inatoka uwanja wa kimataifa hata haina taa za kumlika mwanga hata ile ya njia nane nayo pia haina taa
Video nzuri lakin unaikimbiza ,bora kukata vipande ambavyo si muhim sana ili spidi ibaki kawaida
Kwani wewe ukienda nchi za watu wanaongea kiswahili.
Ni vizuri kuonesha maisha harisi ya Watanzania sio waoneshe gorofa moja zuri pale mjini tuh wengi wetu atuishi ktk magorofa don’t be shame kwa hayo mapagare
home sweet home
🎉
Hizo nyumba bana
pamoja sana kaka Godlove m
Maisha halisi ya mtanzania unaonyesha kila kitu hata usipoonyesha wanaotaka kufahamu Tanzania wana google na wanapata kila kitu
Wafanyakazi wa SGR waongee kiswahili na kiingereza kwani inawezekana wasafiri wengine hawajui kiswahili
ukiwa kwenye train ya uingereza au ufaransa wanaongea kiswahili?
Hivi mnaona sifa kuonyesha hayo mapagala vijumba utadhani sio watu wanaishi sio kila kitu kuonyesha akili gani hiyo
Bora tuone wapi panavuja tuparekebishe hamna aibu yoyote ni uhalisia maskini wapo hata ulaya
Mambo yote yawe ya digital Sio kila siku kutangazia watu Mambo hayo yamepitwa na wakati Pia control ticket kuwe kwa digital Kwenyesimu hata mtu akiwa na ticket paper akaguliwe under machine control
I hope they keep it clean and working
When is EMU and double decker trains start the operations ?
25th july
@@mduda_i okay baby
Yani mbeya kupo ovyo ovyo
Naikubali mwanza
❤❤
Do they drug those animals?
No brother
We need creative artistic shed for passagers during raining time whether bording or awaiting outside the building.
Tunaweza! Ubunifu uendelee viwandani sio kulalamika sukari na mafuta havitoshi tu. Ardhi ipo, uwezo tunao. Kukosa ubunifu, uvivu na uzembe ndio tatizo!
Kabisaa
Tell me. What happens when raining heavily, how will passengers outside the shade board?
They will be watered 😂
Everything is ok
Contractor has done a wonderful job now the challenge is operation and maintanance plan ,things we are not Good at.
True that.. Hopefully they will be able to maintain it.
This is lovely we want to see this in all Africa
Yes 💪💪💪
Hummm nice pic lahore metro from pakistan or dar es salam metro proudly from senegal❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Thankyou
Oh Noooo .. kumBe U shaBkia MwaniTesaa.unTd .. not WAtchin Tenaaa
Mabingwa wa FA 😂😂
It will train our people to manage time
Kama mkenya nawahongera watanzania kuondoa yule mkora
Wakati umetimia tutumie umeme BRT badala ya disel tuokoe fedha za kigeni. Umeme tunao wakutosha. Tuweke mfumo wa umeme mabasi ya mijini au Treni ndogo za mijini za umeme. Okoa fedha badala ya kuongeza kodi tu. Hili likifanyika pamoja na mifumo ya kupunguza rushwa nchi itakuwa tajiri zaidi.
Video bora. Hata hivyo, baadhi ya watazamaji wako wanaweza kupendelea mandhari katika kasi ya kawaida, si ya kusambazwa kwa haraka.
Kwa hio daraja la uchumi vyoo vya kuchuchumaa
Ndio vya kuchuchumaaa
kwa utamaduni wa tanzania na nchi nyingi za afrika na asia, vyoo vya kukaa ni uchafu na vinakwaza watu, maeneo ya watu wengi, huwa vinawekwa kwaajili ya walemavu na wazee, wengi hawapendi kushare vyoo vya kukaa na watu wengi
Rip jpm
🙏
Bravo! Nice video. This is the video we were waiting. All other videos were too administrative focusing on interview with TRC big bosses...no trip details.
Thank you. I really appreciate 🙏
you mean in this case you arrived after 2hr 10 minutes.... inaeleweka kwa sababu ya kusimama katika kila kituo kutoka Morogoro, safari safi sana asante kwa video
Part ya mwisho nilikosea ilikuwa lisaa limoja 1 na dakika 50.
1 hour and 10 minutes not two hours, infact wamefika dakika 20 kabla ya muda ulotangazwa kiwa watatumia
Pamoja sana kaka Godlove m.
Shukrani sana kaka
Safi sana tz oyeeeee
Kazi nzuri sana
duh kumbe Ina speed
Kuna maeneo nimeongeza speed ila average speed wakati wa safari ni around 100 -120 km per hour. Japo Inaweza fika mpaka 160 per hour
Morogoro to Dar imetumia 1h 10minutes???
@@sanciroandrea8826 1 and 50 minutes
Airport to learn
The best video so far
Magufuli
💪💪
Oyeeeee🎉🎉
Great video do more
Thank you very much..I really appreciate
Train ni nzuri sana kwa ndani ongereni sana
Shukrani sana
R.I.P.JPM
🙏
Safi Sana mkuu , video nziri
Shukrani sana Mkuu
Good work better than other videos...but failed to show speed limit, food offered,seat classes,and other services offered
Thank you..Hopefully next time 🙏