Experience Tanzania's First Electric Train from Morogoro to Dar es salaam City (Economy Class) 🙌
Remember to Subscribe to My Channel.
Жүктеу.....
Пікірлер: 21
@ibrahimathiane243425 күн бұрын
Hummm nice pic lahore metro from pakistan or dar es salam metro proudly from senegal❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@vinny.morales10 күн бұрын
Sijapenda mandhari ya chooni. Mazingira yako wet sana na vitu havipo kwenye mpangilio
@KamiliKapeta-yr3uc28 күн бұрын
Safi sana tz oyeeeee
@godlove20
28 күн бұрын
Kazi nzuri sana
@user-fl3fb5gh6b28 күн бұрын
Rip jpm
@godlove20
28 күн бұрын
🙏
@MusirAdam-gt3vd28 күн бұрын
Pamoja sana kaka Godlove m.
@godlove20
28 күн бұрын
Shukrani sana kaka
@samasob823328 күн бұрын
you mean in this case you arrived after 2hr 10 minutes.... inaeleweka kwa sababu ya kusimama katika kila kituo kutoka Morogoro, safari safi sana asante kwa video
@godlove20
28 күн бұрын
Part ya mwisho nilikosea ilikuwa lisaa limoja 1 na dakika 50.
@filamupictures9349
28 күн бұрын
1 hour and 10 minutes not two hours, infact wamefika dakika 20 kabla ya muda ulotangazwa kiwa watatumia
@exaverysimon106428 күн бұрын
duh kumbe Ina speed
@godlove20
28 күн бұрын
Kuna maeneo nimeongeza speed ila average speed wakati wa safari ni around 100 -120 km per hour. Japo Inaweza fika mpaka 160 per hour
@sanciroandrea8826
28 күн бұрын
Morogoro to Dar imetumia 1h 10minutes???
@godlove20
28 күн бұрын
@@sanciroandrea8826 1 and 50 minutes
@kisutabora591428 күн бұрын
Kwa hio daraja la uchumi vyoo vya kuchuchumaa
@godlove20
28 күн бұрын
Ndio vya kuchuchumaaa
@filamupictures9349
28 күн бұрын
kwa utamaduni wa tanzania na nchi nyingi za afrika na asia, vyoo vya kukaa ni uchafu na vinakwaza watu, maeneo ya watu wengi, huwa vinawekwa kwaajili ya walemavu na wazee, wengi hawapendi kushare vyoo vya kukaa na watu wengi
@vinny.morales10 күн бұрын
2nd thing, kupiga nyimbo za kisiasa kusifia chama fulani nayo hyo si sawa. Huu ni usafiri wa umma na si wa watu wa itikadi fulani tu. Kwenye hili tuacheni ulimbukeni!
@Assu89Ma2ly-xt4np14 күн бұрын
Video nzuri lakin unaikimbiza ,bora kukata vipande ambavyo si muhim sana ili spidi ibaki kawaida
@timo.544928 күн бұрын
Video bora. Hata hivyo, baadhi ya watazamaji wako wanaweza kupendelea mandhari katika kasi ya kawaida, si ya kusambazwa kwa haraka.
Пікірлер: 21
Hummm nice pic lahore metro from pakistan or dar es salam metro proudly from senegal❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Sijapenda mandhari ya chooni. Mazingira yako wet sana na vitu havipo kwenye mpangilio
Safi sana tz oyeeeee
@godlove20
28 күн бұрын
Kazi nzuri sana
Rip jpm
@godlove20
28 күн бұрын
🙏
Pamoja sana kaka Godlove m.
@godlove20
28 күн бұрын
Shukrani sana kaka
you mean in this case you arrived after 2hr 10 minutes.... inaeleweka kwa sababu ya kusimama katika kila kituo kutoka Morogoro, safari safi sana asante kwa video
@godlove20
28 күн бұрын
Part ya mwisho nilikosea ilikuwa lisaa limoja 1 na dakika 50.
@filamupictures9349
28 күн бұрын
1 hour and 10 minutes not two hours, infact wamefika dakika 20 kabla ya muda ulotangazwa kiwa watatumia
duh kumbe Ina speed
@godlove20
28 күн бұрын
Kuna maeneo nimeongeza speed ila average speed wakati wa safari ni around 100 -120 km per hour. Japo Inaweza fika mpaka 160 per hour
@sanciroandrea8826
28 күн бұрын
Morogoro to Dar imetumia 1h 10minutes???
@godlove20
28 күн бұрын
@@sanciroandrea8826 1 and 50 minutes
Kwa hio daraja la uchumi vyoo vya kuchuchumaa
@godlove20
28 күн бұрын
Ndio vya kuchuchumaaa
@filamupictures9349
28 күн бұрын
kwa utamaduni wa tanzania na nchi nyingi za afrika na asia, vyoo vya kukaa ni uchafu na vinakwaza watu, maeneo ya watu wengi, huwa vinawekwa kwaajili ya walemavu na wazee, wengi hawapendi kushare vyoo vya kukaa na watu wengi
2nd thing, kupiga nyimbo za kisiasa kusifia chama fulani nayo hyo si sawa. Huu ni usafiri wa umma na si wa watu wa itikadi fulani tu. Kwenye hili tuacheni ulimbukeni!
Video nzuri lakin unaikimbiza ,bora kukata vipande ambavyo si muhim sana ili spidi ibaki kawaida
Video bora. Hata hivyo, baadhi ya watazamaji wako wanaweza kupendelea mandhari katika kasi ya kawaida, si ya kusambazwa kwa haraka.