nazipenda sana nyimbo za ambwene mwasongwe nikiwa kwenye wakati mgumu huwa nafarijika 🙏🙏🙏
@JuliethiDominikus7 сағат бұрын
😢😢😢😢
@SindanoMosses11 сағат бұрын
Leo 3/8/2024 huu niwimbo unanifanya nisikate tamaa wimbo unaishi ktk moyo wangu 🎉ambwene napenda nyimbo zako mungu akulinde
@mrmartinipaul246411 сағат бұрын
Mungu akubariki sana ila naomba tena,, tuwekee KZread ile nyimbo ya HAKUNA WA KUFANANA NAYE
@mrmartinipaul246412 сағат бұрын
Mmmh japo ni ngum kuachilia😢😢😢 Imagne ada yoote nililipa mimi alivaa atakavyo akamiliki sim za gharama na pc kwasbb yangu then baada ya kumaliza chuo kaniblock na kuolewa na mwingine eti kisa ameona akiolewa na mm hawez kuwa na sauti kwangu milele coz nimemtoa matopen😢😢😢😢
@mrmartinipaul246412 сағат бұрын
Mungu akubariki sana ila naomba tena,, tuwekee KZread ile nyimbo ya HAKUNA WA KUFANANA NAYE
@mrmartinipaul246412 сағат бұрын
Mungu akubariki sana ila naomba tena,, tuwekee KZread ile nyimbo ya HAKUNA WA KUFANANA NAYE
@mrmartinipaul246412 сағат бұрын
Mungu akubariki sana ila naomba tena,, tuwekee KZread ile nyimbo ya HAKUNA WA KUFANANA NAYE
@eastartmagazine476115 сағат бұрын
❤❤❤❤❤
@UwimanaPascasie-fx4uz20 сағат бұрын
❤
@AnnieProsper22 сағат бұрын
2024??❤
@deodatusmwacha719Күн бұрын
Kama uliwahi kupita mapito magumu na kudhani kabisa hutoweza kuvuka😭😭😭mara pap! Ukayavuka lazima ukisikia huu wimbo ulie😭😭😭 ASANTE BWANA KWA KUNIKUMBUKA 😭😭😭
@moseskulola6913Күн бұрын
Heeeeee Mungu tufudishe kuomba Mungu wangu wewe die unatutie guvu mungu
@JohnSute-f6lКүн бұрын
Kweli mungu anazidikutenda 🙏🙏
@patrickmuiruri1499Күн бұрын
Karibu Yesu, Jesus welcome in my heart, Reign God..
@ogwarotv4090Күн бұрын
My all-time favoitite
@johnnyingi12632 күн бұрын
Mwaka ni 2024.. kama ulikuja hapa 2042 likw hii comment tujue kama bado nitakuwa hai.
@MbukeChangu2 күн бұрын
Nimewakumbuka wazazi wangu na bib zangu wote Leo nipo mwenyewe tu Dunian kana kwamba sikuzaliwa Sina wakumwambia shida zangu Leo mme wangu nimeanza nae kutafuta tulipo yafikia mafanikio akanifukiza na kunisimanga ntaenda wapi Sina kwetu lakin namtukuza mungu Leo kwa wimbo huu maana kanipa mtiani huu kwa sababu anajua nauweza Amina mungu wangu
@user-vb5bw4qq8pКүн бұрын
Pole sana
@Fredy_masangala2 күн бұрын
MUNGU wa mbinguni, ashukuruwe Sana Sana, Kwa kutufikisha Leo Friday august 1/8/2024 God bless you unae soma comment hii 🙏🏼
@user-be8iv8hl5r2 күн бұрын
ni kweli kabisa ni Yesu tu
@JosueKihumulendi2 күн бұрын
Abwene mungu akupe maicha marefu
@noeljaphet63393 күн бұрын
😭🙏
@WeBrandex3 күн бұрын
THE REAL JAM ... TO DANCE WITH ANGLES...💥
@PreciousPolle3 күн бұрын
Wimbo mzuri unanifariji ameee🎉
@OdaBihimana-do6rb3 күн бұрын
Papa Ambwene,ubarikiwesana mpaka ushangae wimbohu huwa unanibarikizaidi.Kweli Mungu akubarikizaidi nazaidi,na azidi kukupaka mafuta.Nyimbozako zinaupako waroho mtakatifu.Nakutegea from USA.
@GameCheatsCodes3 күн бұрын
ni MUNGU mwenyewe
@aminafideli81323 күн бұрын
🙏🙏
@hellenjoseph383 күн бұрын
❤️2024 Mungu ni mwema
@winasher56733 күн бұрын
🤲🤲🤲30/7/2024🙏
@kulwamartin2953 күн бұрын
04:50-6:15
@bernadethaevarist8813 күн бұрын
30/07/2024 ..🙏
@ThomasMoindi-ii8zo4 күн бұрын
Sisi wote viumbe vyako sifa zote kwako
@glorykasanga76634 күн бұрын
Nimeuona huu wimbo upendo TV ikabidi nijee nimeupenda sana❤
@Estinaluvanda4 күн бұрын
Tumetoka mbali
@Estinaluvanda4 күн бұрын
❤ song
@ImeldaMyinga4 күн бұрын
Karibu yesu moyoni mwangu karibu kwa watoto wangu karibu kwa ndungu zangu karibu kwa mama yangu 😭😭
@andulilemwakalinga76354 күн бұрын
Ameeb wimbo mzur
@leticiamakoye48714 күн бұрын
Wasaidieni wake zenu wavae kibibilia
@MwajumaKamanga4 күн бұрын
Mungu akubariki kaka
@LucasJoachim-p5d4 күн бұрын
Lucky mashala kiukweli binafsi bado nipo kwenye kpndi kigum kwenye ndoa yng na as no kwaka mmoja tu Wa ndoa ila kabla tunaishi bola kufunga ndoa tulishi vzur wimbo unanitia nguvu SNA Amen
@HudhaimaJoseph4 күн бұрын
Mm nimuislam lakini nakubali sana nyimbo zako zina mafundisho mazuri mungu akubariki❤
@Steven-p8s5 күн бұрын
🎉🎉
@AlmasiMonica5 күн бұрын
Amen god thanks for the gift of life
@augustintumaini92995 күн бұрын
Barikiwa mutumishi wa Mungu
@maryammsuya85375 күн бұрын
July 2024 and always blessed u are a blessing man of God, keep on Koinoniaring with our Lord
@user-op7yu8nq6k5 күн бұрын
Oooh thanks Jesus
@kassebo5 күн бұрын
Ameeee
@kassebo5 күн бұрын
nifungulie mbingu 🎤🎤🎤🎤
@user-zg2yx7mf3n5 күн бұрын
Nice song 4reva
@sporamdaa14376 күн бұрын
🙏🙏🙏😭😭😭
@MiriamLameck6 күн бұрын
Leo nimemkumbuka mama yangu na mme wangu baada ya kusikiliza wimbo huu! Nimelia sana jaman uwiii
Пікірлер
nazipenda sana nyimbo za ambwene mwasongwe nikiwa kwenye wakati mgumu huwa nafarijika 🙏🙏🙏
😢😢😢😢
Leo 3/8/2024 huu niwimbo unanifanya nisikate tamaa wimbo unaishi ktk moyo wangu 🎉ambwene napenda nyimbo zako mungu akulinde
Mungu akubariki sana ila naomba tena,, tuwekee KZread ile nyimbo ya HAKUNA WA KUFANANA NAYE
Mmmh japo ni ngum kuachilia😢😢😢 Imagne ada yoote nililipa mimi alivaa atakavyo akamiliki sim za gharama na pc kwasbb yangu then baada ya kumaliza chuo kaniblock na kuolewa na mwingine eti kisa ameona akiolewa na mm hawez kuwa na sauti kwangu milele coz nimemtoa matopen😢😢😢😢
Mungu akubariki sana ila naomba tena,, tuwekee KZread ile nyimbo ya HAKUNA WA KUFANANA NAYE
Mungu akubariki sana ila naomba tena,, tuwekee KZread ile nyimbo ya HAKUNA WA KUFANANA NAYE
Mungu akubariki sana ila naomba tena,, tuwekee KZread ile nyimbo ya HAKUNA WA KUFANANA NAYE
❤❤❤❤❤
❤
2024??❤
Kama uliwahi kupita mapito magumu na kudhani kabisa hutoweza kuvuka😭😭😭mara pap! Ukayavuka lazima ukisikia huu wimbo ulie😭😭😭 ASANTE BWANA KWA KUNIKUMBUKA 😭😭😭
Heeeeee Mungu tufudishe kuomba Mungu wangu wewe die unatutie guvu mungu
Kweli mungu anazidikutenda 🙏🙏
Karibu Yesu, Jesus welcome in my heart, Reign God..
My all-time favoitite
Mwaka ni 2024.. kama ulikuja hapa 2042 likw hii comment tujue kama bado nitakuwa hai.
Nimewakumbuka wazazi wangu na bib zangu wote Leo nipo mwenyewe tu Dunian kana kwamba sikuzaliwa Sina wakumwambia shida zangu Leo mme wangu nimeanza nae kutafuta tulipo yafikia mafanikio akanifukiza na kunisimanga ntaenda wapi Sina kwetu lakin namtukuza mungu Leo kwa wimbo huu maana kanipa mtiani huu kwa sababu anajua nauweza Amina mungu wangu
Pole sana
MUNGU wa mbinguni, ashukuruwe Sana Sana, Kwa kutufikisha Leo Friday august 1/8/2024 God bless you unae soma comment hii 🙏🏼
ni kweli kabisa ni Yesu tu
Abwene mungu akupe maicha marefu
😭🙏
THE REAL JAM ... TO DANCE WITH ANGLES...💥
Wimbo mzuri unanifariji ameee🎉
Papa Ambwene,ubarikiwesana mpaka ushangae wimbohu huwa unanibarikizaidi.Kweli Mungu akubarikizaidi nazaidi,na azidi kukupaka mafuta.Nyimbozako zinaupako waroho mtakatifu.Nakutegea from USA.
ni MUNGU mwenyewe
🙏🙏
❤️2024 Mungu ni mwema
🤲🤲🤲30/7/2024🙏
04:50-6:15
30/07/2024 ..🙏
Sisi wote viumbe vyako sifa zote kwako
Nimeuona huu wimbo upendo TV ikabidi nijee nimeupenda sana❤
Tumetoka mbali
❤ song
Karibu yesu moyoni mwangu karibu kwa watoto wangu karibu kwa ndungu zangu karibu kwa mama yangu 😭😭
Ameeb wimbo mzur
Wasaidieni wake zenu wavae kibibilia
Mungu akubariki kaka
Lucky mashala kiukweli binafsi bado nipo kwenye kpndi kigum kwenye ndoa yng na as no kwaka mmoja tu Wa ndoa ila kabla tunaishi bola kufunga ndoa tulishi vzur wimbo unanitia nguvu SNA Amen
Mm nimuislam lakini nakubali sana nyimbo zako zina mafundisho mazuri mungu akubariki❤
🎉🎉
Amen god thanks for the gift of life
Barikiwa mutumishi wa Mungu
July 2024 and always blessed u are a blessing man of God, keep on Koinoniaring with our Lord
Oooh thanks Jesus
Ameeee
nifungulie mbingu 🎤🎤🎤🎤
Nice song 4reva
🙏🙏🙏😭😭😭
Leo nimemkumbuka mama yangu na mme wangu baada ya kusikiliza wimbo huu! Nimelia sana jaman uwiii
Pole sana