AMBWENE MWASONGWE: BINTI WA IMANI

Музыка

Nimeona nikubariki kwa wimbo huu ambao ni ushuhuda wa kweli wa Binti mwenye Imani ambaye nilisimuliwa story yake ya kusisimua sana...
alikuwa na Nia ya kusoma Ila uwezo haukuwepo na alikuwa amezaliwa hamjui baba yake, alipata kazi Dar, kazi za ndani (housemaid) na akaamua kujiendeleza kwa kumuomba boss wake aende shule...
na boss wake alikuwa mwema akamruhusu, lakini ombi la pili lilikuwa gumu zaidi, huyu msichana aliomba akamchukue mama yake kijijini aje afanye kazi za ndani badala yake ili yeye akasoma, ili ule mshahara mdogo mama akichukua awe anamtumia shule imsaidie.
Imani ya namna hii Mungu hawezi iacha ianguke bure.
Kuelekea ibada ya shukrani pamoja na live recording niliyoiandaa mwezi wa December tar 08 Mlimani City... nitakuwa nikikuletea baadhi ya shuhuda na nyimbo kama hizi ili Imani yako pia iinuke.
Kama utataka kutusupport kifedha kufanikisha maandalizi ya ibada hii tafadhari wasiliana nami kwa number 0767619931 na 0713619931 Utaongea nami Ambwene Mwasongwe moja kwa moja.

Пікірлер: 572

  • @brunomapunda831
    @brunomapunda8319 ай бұрын

    Kama imekugusa gonga like, tujuane

  • @user-qs1pl2qh3h

    @user-qs1pl2qh3h

    7 ай бұрын

    Nizaidi unariliwe sana

  • @evaristokayombo9385
    @evaristokayombo93859 ай бұрын

    Unasikiliza nyimbo alafu unawaza aka kazambi kakipumbafu kanakokung'ang'ania kanafanya nini hapa toka kwa jina la Yesu ubarikiwe MTU WA Mungu

  • @magrethkimario5560
    @magrethkimario55609 ай бұрын

    Huu wimbo Umegusa maisha yangu 🥹🙌ni kama nimeimbiwa mimi

  • @JosueElie
    @JosueElie4 ай бұрын

    ibarikiwe tumbu île iliyo kuzaa ambwene, gonga like nione uko hapa 😭😭😭

  • @yokimrossie3536
    @yokimrossie35364 ай бұрын

    We wanipenda kuliko rafiki 😢wewe wanijali kuliko ndugu 😊 Thank God 😢

  • @ezrakayagambe5926
    @ezrakayagambe59269 ай бұрын

    BWANA tuongezee imani

  • @shamirasongati3906
    @shamirasongati39069 ай бұрын

    Verse ya pili imenikosha sana,barua ya binti alionwandikia mama yake kijijini,Inatia moyo sana yan....YUPO NA MUNGU LAKINI ANATAKA NA MAMA YAKE ASIMSAHAU MUNGU❤

  • @estherjacob7874
    @estherjacob78749 ай бұрын

    AMINA,Kweli MUNGU HAMTUPI MWENYE IMANI.kama unaamini weka like.

  • @rahelynocha642
    @rahelynocha6429 ай бұрын

    🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾 Uniazime moyo wako nitarudisha utakatifu ,,,, Powerful

  • @mropeamadeus54
    @mropeamadeus549 ай бұрын

    Nimeelewa Mtumishi

  • @davidmapogo8784
    @davidmapogo87849 ай бұрын

    Huu wimbo kwangu umenifanya kupata nguvu zaidi Mungu ni mwema wakati wote

  • @AdelinaLusekelo-xl4bm
    @AdelinaLusekelo-xl4bm9 ай бұрын

    Ila kaka angu unaimba pia utunzi wa nyimbo 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽 mwimbaji wangu pendwa kutoka Tanzania 🥰🥰🔥 Mungu akutunze 🙏

  • @nathanielanania
    @nathanielanania9 ай бұрын

    Wewe waweza hesabu Machungwa ndani ya mbegu. 🙏

  • @emmanueljustin8650
    @emmanueljustin86509 ай бұрын

    Legendary..mwanamziki wangu wa gospel bora wa Muda wote.!!

  • @wordsofhopewestpalzab4875
    @wordsofhopewestpalzab48759 ай бұрын

    Ambwene mwalimu wangu kila siku pasipo kuchoka naku fata kila siku from UAE

  • @severinaallan3011
    @severinaallan30119 ай бұрын

    Mzee wa Imani Mungu akutunze utunzi wako unagusa na kuganga mioyo nabarikiwa sana kusikiliza nyimbo zako

  • @miryfuraha2193
    @miryfuraha21939 ай бұрын

    Nyie😭😪🙌

  • @elizabethcaleb8510
    @elizabethcaleb85109 ай бұрын

    Nimemfuatilia mwimbaji huyu kwa muda...tangu alipoimba "chozi la haki" ulionisaidia wakati depression iligonga hodi mara kadhaa...Hakika Bwana amemsaidia pamoja na mke wake...🎉🎉Tena Tanzania mumebarikiwa.😊

  • @aureliaissack8309

    @aureliaissack8309

    9 ай бұрын

    Ambwene is a best song writer

  • @stellanekey-bp2oc
    @stellanekey-bp2oc9 ай бұрын

    Nakusubilia mbinguni. Nimeipenda zaid

  • @WITYDijja
    @WITYDijja9 ай бұрын

    Mungu azidi kukuinua mtumishi wa MUNGU ❤nyimbo zako huwa zinanibariki sana🙏

  • @edwardjohn1362
    @edwardjohn13629 ай бұрын

    Nyimbo nxur San mtumish wa mungu

  • @rosemaryraymond8813
    @rosemaryraymond88139 ай бұрын

    Hakika wewe unanipenda Yesu😢😢😢😢😢niazime moyo wako nitarudisha utakatifu

  • @esthersongambele3497

    @esthersongambele3497

    9 ай бұрын

    Ameeen

  • @nipapy9537
    @nipapy95379 ай бұрын

    Mwili wa Kristo tuna baraka ambayo wengi hawajaijua na ni ndugu huyu Ambwene ubarikiw kwa karama nzuri hii uliyo pewa na Mungu .sisi wadogo zako tunajifunza mengi kutoka kwako

  • @MtazameKristoTv
    @MtazameKristoTv9 ай бұрын

    Congratulations 🎉 man of God, someone to like my comment ❤❤

  • @TUMAINICHAPILE
    @TUMAINICHAPILE9 ай бұрын

    Ubalikiwe sana MTumishi wa MUNGU

  • @Monyo04
    @Monyo049 ай бұрын

    Ata ikitokea nisipofanikiwa nitawaambia kuwa ni wewe Mungu tu, japo na Imani na najua Mungu hujawah Muacha Mja wako❤ Great song

  • @JoyceClement-bz8lc
    @JoyceClement-bz8lc9 ай бұрын

    Mungu aendelee kukufungulia neema nyimbo ni nzur sana @ambwene

  • @regak2010
    @regak20109 ай бұрын

    Among The Spirit upon Ambwene's Songs is that of healing brokenhearted. The Spirit of Hope. The Spirit that says tomorrow will be better than today. The Spirit that says it shall be well.

  • @edsonjeconia3257
    @edsonjeconia32579 ай бұрын

    Ubarikiwe kaka ambwene

  • @elishampoki8751
    @elishampoki87519 ай бұрын

    Hom boy❤❤ barikiwa

  • @ajaykilawah2622
    @ajaykilawah26229 ай бұрын

    Wakwanza kucomment😢

  • @kenedypaul1776-ni2nl
    @kenedypaul1776-ni2nl9 ай бұрын

    Huu unatugusa vijana wa kimaskini tuliosoma kwa shida huku tukimtumikia Mungu na akatufanikisha kumaliza salama, Mungu ni mwaminifu kwenye maisha yangu.Nimejawa na ushuhuda kupitia huu uwimbo.

  • @gabrielgodwin7398
    @gabrielgodwin73984 ай бұрын

    kweli ukimtumikia mungu hawezi kukuacha

  • @tonychazzyhanger
    @tonychazzyhanger9 ай бұрын

    My best Tanzanian gospel singer ❤️🙌😭

  • @leonardmhagama5828

    @leonardmhagama5828

    8 ай бұрын

    Very best,smart and really spiritual look

  • @elizanyarusi6154

    @elizanyarusi6154

    6 ай бұрын

    Hongera sana Mtumishi wa Mungu.

  • @jescakimbwili3275
    @jescakimbwili32759 ай бұрын

    Kaka mkubwa barikiwa sana

  • @user-cb7sm8ts2z
    @user-cb7sm8ts2z2 ай бұрын

    Binti wa Imani Ameen

  • @user-tz9pp7fy9x
    @user-tz9pp7fy9x9 ай бұрын

    Daaah nmelia sana nikiwa nakumbuka matendo Makuu ya mungu aliyotenda maishani mwangu 🙏🙏🙏mungu hadanganyi 🙏🙏🥺dear lord your daughter is thankful 🙏🙏baronies sana mzee wa imani

  • @edwardasumwisye3010
    @edwardasumwisye30109 ай бұрын

    Kuna waimbaji wa gospel halafu kuna Ambwene Mwasongwe

  • @antondaniel5673
    @antondaniel56739 ай бұрын

    Amen,kazi nzur bro

  • @g.gwemela5159
    @g.gwemela51599 ай бұрын

    Maombi ya NADHIRI. Ubarikiwe kaka AMBWENE .

  • @lukasnyagah1863
    @lukasnyagah18639 ай бұрын

    Asante kwa wimbo mwema

  • @johntaalumamadembo358
    @johntaalumamadembo3589 ай бұрын

    Ooooh my God...mon Dieu...mon Roi...quelle bonne inspiration...nimejipata kwa maombi yakushukuru after kusikiliza huu wimbo... Ambwene mwasongwe wewe ni Baraka kwa maisha yangu...nakuita kila mara mtu karibu na Mungu...ubarikiwe saana ❤❤🙏🙏🙏🔥

  • @tish6140

    @tish6140

    9 ай бұрын

    Tuma kitu kwa account yake mkono mtupu haulambwi😂

  • @mwikokidorah8654
    @mwikokidorah86549 ай бұрын

    Nyimbo zako zinagusa sana maisha yangu 😢😢 Yesu akutunze kwa ajili ya kazi yake njema

  • @emmyherry9659

    @emmyherry9659

    2 ай бұрын

    Unasemaje yesu amtunze kwani ndiye kampa uhai😂

  • @jisephineadaut5799
    @jisephineadaut57992 ай бұрын

    Kwa imani hyo naamini wewe humtupi mwenye imani😢😢🙏🙏

  • @adelinamaluli4216
    @adelinamaluli42169 ай бұрын

    Wimbo uko na ujumbe mzito asante qwa wimbo huu umetubariki barikiwa na Mungu aendelee kukuinua zaidi.

  • @zabronmwakyo3016
    @zabronmwakyo30169 ай бұрын

    I can't stop listening this testmony, since morning till now I'm on repeat. Asante sana mtumishi wa bwana

  • @gelardjames2595

    @gelardjames2595

    9 ай бұрын

    More blessing uncle Ambwene

  • @janethmollel406
    @janethmollel4069 ай бұрын

    This song makes me to crying 😭😭😭😭😭😭 Mungu hasemi uongo Wala hamtupi mwenye Imani.

  • @MAGDALENANTEZIMANA-hi8bc
    @MAGDALENANTEZIMANA-hi8bc8 ай бұрын

    Mungu akubariki Sana unaimba nyimbo za uwepo zinanibariki pia

  • @MAGDALENANTEZIMANA-hi8bc

    @MAGDALENANTEZIMANA-hi8bc

    8 ай бұрын

    Mungu akuinue kwa viwango vya juu zaidi kuliko Apo ulipo

  • @MAGDALENANTEZIMANA-hi8bc

    @MAGDALENANTEZIMANA-hi8bc

    8 ай бұрын

    Imba kwa malengo ili tusiishie kuimba hapa duniani tukaimbe pia mbinguni pamoja na mwanakondoo

  • @marylinegoodluck-fj1zc
    @marylinegoodluck-fj1zc9 ай бұрын

    Asante MUNGU wangu nakupenda Sana maana huwatumia watumishi wako kunipaa ujumbe kwa wakati sahihi naamini unanipenda kuliko rafiki nimelia machozi ya furaha asanteee MUNGU wangu😭😭😭😭

  • @elizabethbwete3784

    @elizabethbwete3784

    9 ай бұрын

    Wimbo Umenigusa saaana Ubarikiwe Sana kaka ni Mimi Dada Yako Mwana wa Mbwete

  • @priscajonas7805
    @priscajonas78059 ай бұрын

    Ubarikiwe Mno 🙏🙏 Hii nyimbo ni ushuuda kwenye safari Yangu mpambanaji 😢😢

  • @henockmzilo6446
    @henockmzilo64469 ай бұрын

    Napenda nyimbo zako Ambwene❤️❤️

  • @kibonaamenye6878
    @kibonaamenye68789 ай бұрын

    binti wa imani ,, nikama story but yupo na nimemshuhudia. binti akimkumbusha mzazi wake alichowahi kumuahidi awali Binti alimtia moyo mzazi wake yakwamba "*hata kwa hari hii inawezekana na mimi nikafikia malengo yangu ngoja nisome*" hivi juzi amehitimu degree yake ya education.. kweli Mungu yuko atendaye kabla hatujafanya lolote, atusikiaye kilio chetu na maombi yetu kabla hatujatoa sauti yoyote ile. Barikiwa sana nyimbo zako zikafanyike faraja na furaha kwa wenye huzuni

  • @sulupeacecharles1397
    @sulupeacecharles13979 ай бұрын

    Binti wa imani !!! What a testimony!

  • @NiderTV
    @NiderTV9 ай бұрын

    Come on best gospel musical always is you

  • @user-dx5pd8hv4w
    @user-dx5pd8hv4w9 ай бұрын

    MUNGU najua akusubi kumuweka ambwene kwenye Marshall ya watu wengi amefanyika baraka sana

  • @enockkabika9381
    @enockkabika93819 ай бұрын

    Maisha mazuri yapo ingawa mara nyingi yanaletwa na misukosuko kuvumilia ndio njia nzuri ya kufikia malengo ubarikiwe sana ambwene Mungu akutie nguvu ...

  • @sospeterkedmonchitema
    @sospeterkedmonchitema9 ай бұрын

    Mungu akubariki sana

  • @faithwambui861
    @faithwambui8619 ай бұрын

    I logged into Instagram and I came across a part of this song. I was really going through a rough moment of asking God so many questions but the moment I listened to it, it I knew it was from God because of the peace that I experienced within a second. May God bless you for allowing Him to use you.

  • @allymwashambwa5920

    @allymwashambwa5920

    9 ай бұрын

    The same to me

  • @user-lf2hq4ps9z
    @user-lf2hq4ps9z7 ай бұрын

    MUNGU akuzidishe zaidi nakupenda sana huduma yako. Nyimbo zako zote zimejaa ujumbe napenda xanaaa

  • @morinemuhonja9565
    @morinemuhonja95659 ай бұрын

    Amen hii wimbo ni kama umeniona

  • @lilianurio9781
    @lilianurio97819 ай бұрын

    Huyo ni mimi kabisa namshukuru sana Mungu kwa aliponifikisha, namuomba Mungu, mchumba angu Mungu ampe moyo wa imani na ibada na upendo, Amina.

  • @eliasodoyo4512

    @eliasodoyo4512

    Ай бұрын

    n mimi anaongelelea

  • @Lutenganomwakalinga
    @Lutenganomwakalinga9 ай бұрын

    Ndugu yangu kabisa nakukubali sana broo from mibula

  • @user-be4dj7og6o
    @user-be4dj7og6o6 ай бұрын

    mungu akubark kaka angu nyimbo zako zina nibark Kwel

  • @herimboya
    @herimboya9 ай бұрын

    The legend 🔥🔥🔥

  • @ruthmsechu1758
    @ruthmsechu17589 ай бұрын

    Naamini Mungu yupo nami ataifanikisha safari yangu 🙏🙌

  • @RoseUrio-bl3dm
    @RoseUrio-bl3dm9 ай бұрын

    Sifa na Utukufu ni kwa BWANA YESU.

  • @petrokimages8820
    @petrokimages88209 ай бұрын

    I'm blessed with the testimony. Mwenyezi Mungu akufanikishe katika yote , akupe maisha marefu na akilinde kizazi chako.

  • @fridatony5610
    @fridatony56109 ай бұрын

    My favorite song❤🙏😇

  • @8151mussakudely
    @8151mussakudely8 ай бұрын

    Kuna namna ambwene huimba yasiyo imbwa wakat mwingn ni kama anaimba kwa ala za mzik ambao asili yake ni sirini patakatifu 🙏🙏ubarikiwe sana

  • @jamesnyariru5604
    @jamesnyariru56049 ай бұрын

    Very nice 🙏🙏🙏

  • @elijahsaro6611
    @elijahsaro66119 ай бұрын

    My role model from Tanzania hakuna utunzi umeimarika sauti ya ninga iliyojaa upako natamani mungu aniajalie neema nifikie hapa ulipo bro miaka 20sirahisi hongera

  • @benardzacharia1172

    @benardzacharia1172

    9 ай бұрын

    hongera kwa kuwaza utumishi,,,mwemaa but ushauri kidgo,,,hata uwe na saut nzuri vip bila upako watu watakuona wa kawaida tu,,,,hivyoo kuwa na muda mwingi wa kuomba sirini,,,nawe utakuwa mtu mkubwa!!! but sorry kama nimeongea vibaya🙏🙏

  • @stephenmakau4410

    @stephenmakau4410

    9 ай бұрын

    Nimekuelewa vizuri kabisa,haujakosa ❤

  • @kenedypaul1776-ni2nl

    @kenedypaul1776-ni2nl

    9 ай бұрын

    Mtumishi unanibariki sana na uimbaji wako

  • @user-wy8gd1rq4b

    @user-wy8gd1rq4b

    9 ай бұрын

    Mungu akubariki sana Broo, nabarikiwa sana nyimbo zako maana Zina upako mno.

  • @metrinekazungu-ns2pz

    @metrinekazungu-ns2pz

    9 ай бұрын

    @@stephenmakau4410 l

  • @pastorbarakangata606
    @pastorbarakangata6069 ай бұрын

    unaimba vizur ukilita jina la yesu itakua vzr zaidi maana hatuwezi kuwa na imani pasipo yesu yeye ndiye njia kweli na uzma mtu hatamwona Baba pasipo yeye

  • @farajaMezza-qn4be

    @farajaMezza-qn4be

    26 күн бұрын

    Kwani Yesu SI Mungu??

  • @okulimwaifuge7989
    @okulimwaifuge79893 ай бұрын

    Best of the best🎉, usajigwege Mwasongwe🔥🔥🔥🔥

  • @ruthmsechu1758
    @ruthmsechu17589 ай бұрын

    🙌🙌

  • @edmondrahel6918
    @edmondrahel69189 ай бұрын

    Ubarikiwe mwimbaji wangu bora wa muda wote

  • @user-vr4eh4lw2j
    @user-vr4eh4lw2j9 ай бұрын

    Mungu azidi kukupeleka viwango Vingine always u made me to feel in another stage nskizapo nyimbo zako

  • @user-ut1ls8fi8f
    @user-ut1ls8fi8f5 ай бұрын

    Machozi yamenitoka hakikaaa wimbo mzuri Sana upako

  • @user-td9uh3cd9n
    @user-td9uh3cd9n2 ай бұрын

    Huu wimbo una mambo matatu,,! Jambo la kwanza ni ushuhuda wa Binti, Jambo la pili ni mtunzi alijaribu kumuelezea Mungu ni nani ( Praise) na jambo la tatu na la Mwisho ni ibaada, Mwimbaji alikuwa ana mwabudu Mungu ( Worship) Mtumish wa Mungu Mwasongwe, wewe ni Mmoja kati ya waimbaji wachache saana ambao huwa wanaihangaisha saana akili yangu kutafuta dhana kamili ya ujumbe ulio ukusudia kwa sisi Audience wako,,! Mungu aendelee kukutunza saana,,!🙇‍♂️🙇‍♂️🙇‍♂️🙇‍♂️🙇‍♂️

  • @Mwamba-jt5cc

    @Mwamba-jt5cc

    2 ай бұрын

    Amen

  • @rebeccamwaitela224
    @rebeccamwaitela2249 ай бұрын

    MUNGU azidi kukuinua mtumishi, hakika nauona utukufu wa MUNGU na ukuu wa MUNGU kupitia nyimbo zako ubarikiwe 🙏🙏🙏

  • @bestinashadrack7085
    @bestinashadrack70859 ай бұрын

    Oooh My God this is my true story for my life😭😭😭😭 God is Good 😭😭😭😭😭

  • @marthabasyagile1971
    @marthabasyagile19716 ай бұрын

    Kwa kua tumeshampigia goti tunaweza kusimama mbele ya yoyote👏🏻👏🏻👏🏻🙌🏾🙌🏾🙌🏾#powerful

  • @shamirasongati3906
    @shamirasongati39069 ай бұрын

    Hutumii nguvu kubwa kuimba,ila tunabarikiwa sana sana sana✊✊🙌

  • @pharesmwema7
    @pharesmwema79 ай бұрын

    What an inspiration!!! Hamtupi mwenye IMANI.

  • @user-de9gf2wi9o
    @user-de9gf2wi9o9 ай бұрын

    Barikiwa masihi wa BWANA

  • @user-ew9yb1zd8u
    @user-ew9yb1zd8u9 ай бұрын

    Nyimbo imenigusa sana, nikiutafakari ukuu wa MUNGU alipo nitoa ni mbali sana 😔hata kwa hapa nilipo fikia sio kwa akili zangu, ntamtumikia milele.

  • @user-ci2sh3zo2e
    @user-ci2sh3zo2eАй бұрын

    (...)mimi na weza vunja yai kwa jiwe, but wewe wa weza vunja juwe kwa yai(...)😢. AMAZING GOD ❤

  • @adinnitucma9612
    @adinnitucma96129 ай бұрын

    Ubarikiwe mtumishi. wimbo umebariki wengi

  • @pasteurmwagalwaimanimadeule
    @pasteurmwagalwaimanimadeule9 ай бұрын

    Mpendwa wa mwagalwa Imani madeule ubarikiwe

  • @victoriajoseph3101
    @victoriajoseph31019 ай бұрын

    Am blessed with this song🙏🙏

  • @mosesmahinya9654
    @mosesmahinya96549 ай бұрын

    Saut barikiwa na maneno barikiwa kabisa toka ka Mungu

  • @user-mb4cx3tw7o
    @user-mb4cx3tw7o8 ай бұрын

    Kusema ukweri nyimbozako zinanipa furaha sana ubarikiwe sana

  • @BeatriceChalamila
    @BeatriceChalamilaАй бұрын

    Eee Mungu wangu nakuahid kukutumikia naomba unisaidie

  • @maryimonje828
    @maryimonje8289 ай бұрын

    Mungu hamtupi mja wake Ayayayayayaaaaa...... 🤚🤚🤚🤚

  • @safarijeandedieu775
    @safarijeandedieu7759 ай бұрын

    Hallelua hallelua hallelua hallelua hallelua hallelua My favorite artist ❤❤ This story is touching my history ooooo my God 😭😭😭😭😭😭 Brother Ambwene , I really love you , you are a really servant of God , you are a wise man ❤❤ You are a lovely portion in our kingdom.

  • @user-ds5xr5yt2w
    @user-ds5xr5yt2w9 ай бұрын

    Binti wa Imani🙏

  • @loycejames
    @loycejames9 ай бұрын

    Kabala ya hapo halipanga mipango akawake tumaini mbele MUNGU akubariki sana mtumishi 🙏🙏🙌😥😥😥

  • @Ahimidiwe-munisy
    @Ahimidiwe-munisy9 ай бұрын

    Amen🙏

  • @paulinanziku314
    @paulinanziku3149 ай бұрын

    Your songs are part of my life

  • @josephmazala6271
    @josephmazala62719 ай бұрын

    wimbo mzuri sana ....

  • @leonardfabian9767
    @leonardfabian97679 ай бұрын

    Mimi naweza vunja yai kwa jiwe...lakini wewe Bwana waweza vunja jiwe kwa yai ✍️💪. Acha niendelee kukutumikia Maana wewe ni utoshelevu na humtupi mwenye Imani. 🙏🙏

Келесі