SHEIKH SAMAHANI. HADITHI DHAIFU YA KUSOMEA QURAN IPO SAWA. LAKINI NI DHAIFU. JEE WEWE UNAYO HADITHI SAHIHI YA KUKATAZA MAITY KUSOMEWA QURAN AU UMETUMIA SHAHAWA ZAKO KUPINGA?!
@medimisi693020 сағат бұрын
mtume amesema ushuhuda ni wa yule anaeidai . nyinyi ndo mutoe hadithi ya kuthibiti juu ya kusoma kur an.
@HashimSalim-qj7znКүн бұрын
SHEIKH AMEELEZA UKWELI MTUPU JUU YA KAULI YENYE NGUVU JUU YA HILO ILA WATU WA BIDAA WANAANGALIA MASLAHI YAO TU MAANA HIZO NI AJIRA ZA WATU😂
@HamadaZubeirTahir6 күн бұрын
Ni majibu ya kimadhehebu ama
@user-vn6wm8ff9p7 күн бұрын
Huyu anababaisha.
@user-yj5on8cz3e9 күн бұрын
shekh.nauliza viipi mushirikina na allh amesema wakifa hivyo ni finnari jahanamu sasa ukisema utakosea wakati allah ametubashiria kwenye vitabu, mtu akifa mushirikina akutubia allah kasema ni wamotoni sasa tutaachaje kusema huyu finnari jahanamu
@jumamohamed6289 күн бұрын
Kumbe unajuwa kuwa hakuna Ittifaaq juu ya hilo jambo kwa Maulamaa mbona usiweke wazi tu unawafanya Maulamaa walio na rai tofauti yako kuwa wapotofu tu
@rashidissa588711 күн бұрын
Maiti asiombewe kwani nahisi si rahisi kuepuka kusoma Quran.Mara zote husikia" Fatihar", na hapo husomwa surat Alhamdu na kufuata dua.
@abumuhammadmbwana396422 күн бұрын
Maashaallah
@feisaldube729629 күн бұрын
Kumbe tanga waarabu wengi
@HusseinMussa-on8moАй бұрын
Shehe mtu akifariki hali ya kua ana miezi tisa kujifungua je?
@fahadsalim44032 ай бұрын
Allah akupe umri mrefu shekh wangu
@user-sw2fi1gu4j2 ай бұрын
Asante sana kwa hii elimu❤
@SalimuMohamed-nm2mr2 ай бұрын
Mashallah sheikh
@bimumaulid11712 ай бұрын
Mashaalah
@muddylikwena1282 ай бұрын
Allah Akbar
@NurudinHamiss3 ай бұрын
❤❤❤
@FaridAli-xg1sh3 ай бұрын
Mashallah
@user-gp6tl8mw8r3 ай бұрын
Mashaallah
@shamsasaidhumoud1653 ай бұрын
ما شاء الله
@user-wn7gw6no9m3 ай бұрын
MashaAllah karibu Tanga sheikh
@minabuelysee83 ай бұрын
MashaAllah
@yahyamaulana77913 ай бұрын
Ziko rai za ulamaa lakini hii ndo twaona SISI ni thabit. Kwan nyinyi ni nani mpaka mukiona nyinyi ndo haki
@user-yj5on8cz3e8 күн бұрын
Sikuzote Allah umuongoa amtakae watu mtu umezaliwa umekuta mababu zako wanafanya hizo bidaa na wanafundisha misikitini toka mkiwa watoto nani akueleze kitu umuelewe akimuacha kupotea Allah huwezi muongoza hata mtume aliambiwa hilo ww unakuwa unakuta wazee wako wanasoma kuruani makaburini wanasomea mayt arafu aje mtu akupe dalili za wazi kuwa mtume kakataza huwezi muelewa sabu mababu wako ndo walidumu kwenye bidaa hiyo utamuelewaje mtu na allah anasema katika kuruani wale wanaompiga pande mtume ali ya kuwa uwongofu umewababinikia tutawaelekeza watakako wao
@FaridAli-xg1sh3 ай бұрын
Mashallah
@FaridAli-xg1sh3 ай бұрын
Mashallah Allah atujalie miongoni mwa wenye kutubia toba ya kweli
@ahmedalzakwani77553 ай бұрын
Assalam aleikum
@issasalum2743 ай бұрын
Haya ndiyo mawazo ya Ma-Answar Sunna. Hata kumtolea swadaka marehemu mzazi wako kwao ni bid-aaa. Inna Lillahi wa Inna Illayhi Raajiiuun
@user-yj5on8cz3e9 күн бұрын
Acha chuki zako we kama hutaki hakkibunataka kufata uzushi fata si tunamfata mtume wwtu ninyi munaochukia chukieni hakki ndo hiyo alichofanya mtume tutafanya alichokataza tutaacha sasa unaifanyia ukaidi dini ya mungu ww utukaidi sisi unamkadi mtume ndugu sisi kufikisha tuuh
@mohdkhatib2238 күн бұрын
Msikilize vizuri huyo shekh. Huyo sheikh si katika Answar Sunna ila ameongea kwa dalili na huo ndio usahihi. Mtume saw ndio kigezo chetu (role model) katika kila ibada, sasa tukuulize wewe, mbona mtume saw alifiwa na watu wake wengi wakiwemo wanawe lakini hakufanya huo uzushi? Mtume saw amefundisha kila kitu.
@user-yj5on8cz3e8 күн бұрын
Sikuzote Allah akimuacha kupotea mtu huwezi muongoza ww kaka watu washapotezwa na mababu zao na mshehe wao wanaona kumsomea mayt kuruani ile ndo dinni kwenye madrasa zao toka watoto wanafundishwa hizo bidaa na wanazifanya kwahiyo vigumu kuwaongoza watu kama Hawa mpk Allah atake yeye ye alishasema mwenye kumpiga pande mtume aliyakuwa kashabainikiwa na wongofu tutampelekea alikoelekea
@HashimSalim-qj7znКүн бұрын
Hayo ni yako ww kwa sbb huelewi kitu yeye hajazungumza kutoa swadaka
@YaziduIddy-u7pКүн бұрын
@@user-yj5on8cz3eacha ufinyu wa elimu hadithi zipo nyingi tu za kusomea maiti quran thawabu zinamfikia
@ismailmuna16043 ай бұрын
Je Dua Ni Nini Sio Qurani Maana Dua Nyingi Ziko Ndani Ya Qurani Karim RABII GHUFRILL WALIWALUDAYA YAUMA YAKUMULHISAB JE HII SIO AYA KTK QURANI KARIM????
@JumaHashim-wv3ju9 күн бұрын
Ni kweli hujakosea lakini ww mwenyewe jiangalie unapotaka kusoma Quran unaanzaje na unapotaka kuomba dua unaanzaje? hapo utaona tofauti kati ya dua na qurani
@mohdkhatib2238 күн бұрын
Quran si dua elewa, ni muongozo ndani yake kuna kuonya na kubashiri habari njema. Ila kuna aya tunafundishwa jinsi ya kuomba au zinaelezea watu wema walivyokuwa wakiomba na ndio maana hizo tunapoomba dua huwa hatuanzi mwanzo kwasababu tukianza mwanzo kama ilivyo kwenye Quran itakuwa sio dua bali umesoma aya za Quran.
@YaziduIddy-u7pКүн бұрын
@@mohdkhatib223quran ni duwa kubwa sana kwa mfano soma suratul fatiha au kama alivyosema mtume kuwa quran ni tiba
@ismailmuna16043 ай бұрын
Mola Akupe Afya Na Umri Baada Ya Tatizo Hilo Tatizo Jengine Ni Ktk Ugawaji Hiyo Zaka Wanaopewa Wasio Ndio Wanao Takiwa Na Hao Watoaji Wengine Nikwaria Zaka Yake Ni 10 Atoa 15 Lakini Anuka Madeni Kazi Kulipa Hataki Kudhulumu Haki Za Watu Pia Wawekwe Ktk Fungu Gani Maana Ndio Watele Waliojaa Niwazuri Kwenu Mashekhe Ili Msiwatuhumu Lakini Hayo Ndio Matendo Yao
@al_babitv3 ай бұрын
Sheikh naomba namba yako
@mwanamkeshujaabongoflavama71803 ай бұрын
Na pia wanavo sema ujauzito ulo kamiliza siku zaidi ya mia ba kitu sikumbuki uzuri anakua kisha patiwa roho nahisi ndomana inaku sawa akitolewa tumboni
@fatmaalnabhani36093 ай бұрын
Nimeona mtoto atolewe tumboni akiwa hai au amekufa, Subhanallah
@istiqaamazanzibar61683 ай бұрын
Shukran sheikh kwa darsa yenye faida
@suleimanluhanga50583 ай бұрын
Allah bless you our sheik
@ismailmuna16044 ай бұрын
Mola Akupe Umri Na Afya Uzidi Kutukumbusha Na Kutupa Elimu Hakika Uyasemayo Allahkarim Ndio Mjuzi Wa Yote
@husseinally66994 ай бұрын
Mm sina elimu juu ya hilo ila kuna wakati dini inaendana na mazingira Mimi naungana na hao kumtoa mtoto asilimia 100 bila shaka upande huu wapo sahihi haswa kwa wakati huu kuna vifaa kama fetal stethoscope ( hupima mapigo ya moyo ya mtoto) doppler machine Zina kupa uhakika kabisa kua mtoto ya hai , inakuwaje leo umuache? Wakati tayar kashapuliziwa roho na viungo vyake vishakamilika? Pia kuna watoto wanazaliwa wakiwa hawajatimiza muda tena kwa operesheni) ingekua hatudili nao basi kungekua hakuna haja KIUMBE hata kikiwa tumboni kikiwa tayari kisha puliziwa roho na haswa kikiwa full ( mifupa 270) millions of nerves, tissues ) If you kill it, you kill human being even in the womb( tumboni) Pleaae secure its life immediately
@feisaldube72963 ай бұрын
Mashaallah
@saadasuleiman14274 ай бұрын
Subhunallah
@saadasuleiman14274 ай бұрын
Subhunallah
@kibedikamba76164 ай бұрын
Maasha Allah
@fahminasser38554 ай бұрын
Sahihi kabisa
@fahadsalim44034 ай бұрын
Shukran shekh wangu mwalimu wangu wa tanga allah akuongoze uzidi kutupa dawa❤
Пікірлер
ما شاء الله
SHEIKH SAMAHANI. HADITHI DHAIFU YA KUSOMEA QURAN IPO SAWA. LAKINI NI DHAIFU. JEE WEWE UNAYO HADITHI SAHIHI YA KUKATAZA MAITY KUSOMEWA QURAN AU UMETUMIA SHAHAWA ZAKO KUPINGA?!
mtume amesema ushuhuda ni wa yule anaeidai . nyinyi ndo mutoe hadithi ya kuthibiti juu ya kusoma kur an.
SHEIKH AMEELEZA UKWELI MTUPU JUU YA KAULI YENYE NGUVU JUU YA HILO ILA WATU WA BIDAA WANAANGALIA MASLAHI YAO TU MAANA HIZO NI AJIRA ZA WATU😂
Ni majibu ya kimadhehebu ama
Huyu anababaisha.
shekh.nauliza viipi mushirikina na allh amesema wakifa hivyo ni finnari jahanamu sasa ukisema utakosea wakati allah ametubashiria kwenye vitabu, mtu akifa mushirikina akutubia allah kasema ni wamotoni sasa tutaachaje kusema huyu finnari jahanamu
Kumbe unajuwa kuwa hakuna Ittifaaq juu ya hilo jambo kwa Maulamaa mbona usiweke wazi tu unawafanya Maulamaa walio na rai tofauti yako kuwa wapotofu tu
Maiti asiombewe kwani nahisi si rahisi kuepuka kusoma Quran.Mara zote husikia" Fatihar", na hapo husomwa surat Alhamdu na kufuata dua.
Maashaallah
Kumbe tanga waarabu wengi
Shehe mtu akifariki hali ya kua ana miezi tisa kujifungua je?
Allah akupe umri mrefu shekh wangu
Asante sana kwa hii elimu❤
Mashallah sheikh
Mashaalah
Allah Akbar
❤❤❤
Mashallah
Mashaallah
ما شاء الله
MashaAllah karibu Tanga sheikh
MashaAllah
Ziko rai za ulamaa lakini hii ndo twaona SISI ni thabit. Kwan nyinyi ni nani mpaka mukiona nyinyi ndo haki
Sikuzote Allah umuongoa amtakae watu mtu umezaliwa umekuta mababu zako wanafanya hizo bidaa na wanafundisha misikitini toka mkiwa watoto nani akueleze kitu umuelewe akimuacha kupotea Allah huwezi muongoza hata mtume aliambiwa hilo ww unakuwa unakuta wazee wako wanasoma kuruani makaburini wanasomea mayt arafu aje mtu akupe dalili za wazi kuwa mtume kakataza huwezi muelewa sabu mababu wako ndo walidumu kwenye bidaa hiyo utamuelewaje mtu na allah anasema katika kuruani wale wanaompiga pande mtume ali ya kuwa uwongofu umewababinikia tutawaelekeza watakako wao
Mashallah
Mashallah Allah atujalie miongoni mwa wenye kutubia toba ya kweli
Assalam aleikum
Haya ndiyo mawazo ya Ma-Answar Sunna. Hata kumtolea swadaka marehemu mzazi wako kwao ni bid-aaa. Inna Lillahi wa Inna Illayhi Raajiiuun
Acha chuki zako we kama hutaki hakkibunataka kufata uzushi fata si tunamfata mtume wwtu ninyi munaochukia chukieni hakki ndo hiyo alichofanya mtume tutafanya alichokataza tutaacha sasa unaifanyia ukaidi dini ya mungu ww utukaidi sisi unamkadi mtume ndugu sisi kufikisha tuuh
Msikilize vizuri huyo shekh. Huyo sheikh si katika Answar Sunna ila ameongea kwa dalili na huo ndio usahihi. Mtume saw ndio kigezo chetu (role model) katika kila ibada, sasa tukuulize wewe, mbona mtume saw alifiwa na watu wake wengi wakiwemo wanawe lakini hakufanya huo uzushi? Mtume saw amefundisha kila kitu.
Sikuzote Allah akimuacha kupotea mtu huwezi muongoza ww kaka watu washapotezwa na mababu zao na mshehe wao wanaona kumsomea mayt kuruani ile ndo dinni kwenye madrasa zao toka watoto wanafundishwa hizo bidaa na wanazifanya kwahiyo vigumu kuwaongoza watu kama Hawa mpk Allah atake yeye ye alishasema mwenye kumpiga pande mtume aliyakuwa kashabainikiwa na wongofu tutampelekea alikoelekea
Hayo ni yako ww kwa sbb huelewi kitu yeye hajazungumza kutoa swadaka
@@user-yj5on8cz3eacha ufinyu wa elimu hadithi zipo nyingi tu za kusomea maiti quran thawabu zinamfikia
Je Dua Ni Nini Sio Qurani Maana Dua Nyingi Ziko Ndani Ya Qurani Karim RABII GHUFRILL WALIWALUDAYA YAUMA YAKUMULHISAB JE HII SIO AYA KTK QURANI KARIM????
Ni kweli hujakosea lakini ww mwenyewe jiangalie unapotaka kusoma Quran unaanzaje na unapotaka kuomba dua unaanzaje? hapo utaona tofauti kati ya dua na qurani
Quran si dua elewa, ni muongozo ndani yake kuna kuonya na kubashiri habari njema. Ila kuna aya tunafundishwa jinsi ya kuomba au zinaelezea watu wema walivyokuwa wakiomba na ndio maana hizo tunapoomba dua huwa hatuanzi mwanzo kwasababu tukianza mwanzo kama ilivyo kwenye Quran itakuwa sio dua bali umesoma aya za Quran.
@@mohdkhatib223quran ni duwa kubwa sana kwa mfano soma suratul fatiha au kama alivyosema mtume kuwa quran ni tiba
Mola Akupe Afya Na Umri Baada Ya Tatizo Hilo Tatizo Jengine Ni Ktk Ugawaji Hiyo Zaka Wanaopewa Wasio Ndio Wanao Takiwa Na Hao Watoaji Wengine Nikwaria Zaka Yake Ni 10 Atoa 15 Lakini Anuka Madeni Kazi Kulipa Hataki Kudhulumu Haki Za Watu Pia Wawekwe Ktk Fungu Gani Maana Ndio Watele Waliojaa Niwazuri Kwenu Mashekhe Ili Msiwatuhumu Lakini Hayo Ndio Matendo Yao
Sheikh naomba namba yako
Na pia wanavo sema ujauzito ulo kamiliza siku zaidi ya mia ba kitu sikumbuki uzuri anakua kisha patiwa roho nahisi ndomana inaku sawa akitolewa tumboni
Nimeona mtoto atolewe tumboni akiwa hai au amekufa, Subhanallah
Shukran sheikh kwa darsa yenye faida
Allah bless you our sheik
Mola Akupe Umri Na Afya Uzidi Kutukumbusha Na Kutupa Elimu Hakika Uyasemayo Allahkarim Ndio Mjuzi Wa Yote
Mm sina elimu juu ya hilo ila kuna wakati dini inaendana na mazingira Mimi naungana na hao kumtoa mtoto asilimia 100 bila shaka upande huu wapo sahihi haswa kwa wakati huu kuna vifaa kama fetal stethoscope ( hupima mapigo ya moyo ya mtoto) doppler machine Zina kupa uhakika kabisa kua mtoto ya hai , inakuwaje leo umuache? Wakati tayar kashapuliziwa roho na viungo vyake vishakamilika? Pia kuna watoto wanazaliwa wakiwa hawajatimiza muda tena kwa operesheni) ingekua hatudili nao basi kungekua hakuna haja KIUMBE hata kikiwa tumboni kikiwa tayari kisha puliziwa roho na haswa kikiwa full ( mifupa 270) millions of nerves, tissues ) If you kill it, you kill human being even in the womb( tumboni) Pleaae secure its life immediately
Mashaallah
Subhunallah
Subhunallah
Maasha Allah
Sahihi kabisa
Shukran shekh wangu mwalimu wangu wa tanga allah akuongoze uzidi kutupa dawa❤
ما شاء الله شيخنا في ميزان حسناتك
Mashallah
Masha Allah
Alwah akupe afya tele na umri mkubwa skh wetu
Waalekum Salam Warahmatullah Wabarakaruh. Allahuma Ameen yaa Rabbi. Baraka Llahu fiyk. Shukran
Shukran, ujumbe umefika Allah atuwezeshe
وعليكم السلام ورحمة الله وبركاته. اللهم صل وسلم وبارك على نبينا وحبيبنا محمد صلى الله عليه وسلم.
Masha Allah