Masjid Al-Tawba Makorora Tanga

Masjid Al-Tawba Makorora Tanga

Khutba Ya Eid Masjid Tawba

Khutba Ya Eid Masjid Tawba

15 April 2023

15 April 2023

6 April 2023

6 April 2023

4 April 2023

4 April 2023

1 April 2023

1 April 2023

Пікірлер

  • @assalamtv8820
    @assalamtv882011 сағат бұрын

    ما شاء الله

  • @hilalkhalfan1452
    @hilalkhalfan1452Күн бұрын

    SHEIKH SAMAHANI. HADITHI DHAIFU YA KUSOMEA QURAN IPO SAWA. LAKINI NI DHAIFU. JEE WEWE UNAYO HADITHI SAHIHI YA KUKATAZA MAITY KUSOMEWA QURAN AU UMETUMIA SHAHAWA ZAKO KUPINGA?!

  • @medimisi6930
    @medimisi693020 сағат бұрын

    mtume amesema ushuhuda ni wa yule anaeidai . nyinyi ndo mutoe hadithi ya kuthibiti juu ya kusoma kur an.

  • @HashimSalim-qj7zn
    @HashimSalim-qj7znКүн бұрын

    SHEIKH AMEELEZA UKWELI MTUPU JUU YA KAULI YENYE NGUVU JUU YA HILO ILA WATU WA BIDAA WANAANGALIA MASLAHI YAO TU MAANA HIZO NI AJIRA ZA WATU😂

  • @HamadaZubeirTahir
    @HamadaZubeirTahir6 күн бұрын

    Ni majibu ya kimadhehebu ama

  • @user-vn6wm8ff9p
    @user-vn6wm8ff9p7 күн бұрын

    Huyu anababaisha.

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e9 күн бұрын

    shekh.nauliza viipi mushirikina na allh amesema wakifa hivyo ni finnari jahanamu sasa ukisema utakosea wakati allah ametubashiria kwenye vitabu, mtu akifa mushirikina akutubia allah kasema ni wamotoni sasa tutaachaje kusema huyu finnari jahanamu

  • @jumamohamed628
    @jumamohamed6289 күн бұрын

    Kumbe unajuwa kuwa hakuna Ittifaaq juu ya hilo jambo kwa Maulamaa mbona usiweke wazi tu unawafanya Maulamaa walio na rai tofauti yako kuwa wapotofu tu

  • @rashidissa5887
    @rashidissa588711 күн бұрын

    Maiti asiombewe kwani nahisi si rahisi kuepuka kusoma Quran.Mara zote husikia" Fatihar", na hapo husomwa surat Alhamdu na kufuata dua.

  • @abumuhammadmbwana3964
    @abumuhammadmbwana396422 күн бұрын

    Maashaallah

  • @feisaldube7296
    @feisaldube729629 күн бұрын

    Kumbe tanga waarabu wengi

  • @HusseinMussa-on8mo
    @HusseinMussa-on8moАй бұрын

    Shehe mtu akifariki hali ya kua ana miezi tisa kujifungua je?

  • @fahadsalim4403
    @fahadsalim44032 ай бұрын

    Allah akupe umri mrefu shekh wangu

  • @user-sw2fi1gu4j
    @user-sw2fi1gu4j2 ай бұрын

    Asante sana kwa hii elimu❤

  • @SalimuMohamed-nm2mr
    @SalimuMohamed-nm2mr2 ай бұрын

    Mashallah sheikh

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid11712 ай бұрын

    Mashaalah

  • @muddylikwena128
    @muddylikwena1282 ай бұрын

    Allah Akbar

  • @NurudinHamiss
    @NurudinHamiss3 ай бұрын

    ❤❤❤

  • @FaridAli-xg1sh
    @FaridAli-xg1sh3 ай бұрын

    Mashallah

  • @user-gp6tl8mw8r
    @user-gp6tl8mw8r3 ай бұрын

    Mashaallah

  • @shamsasaidhumoud165
    @shamsasaidhumoud1653 ай бұрын

    ما شاء الله

  • @user-wn7gw6no9m
    @user-wn7gw6no9m3 ай бұрын

    MashaAllah karibu Tanga sheikh

  • @minabuelysee8
    @minabuelysee83 ай бұрын

    MashaAllah

  • @yahyamaulana7791
    @yahyamaulana77913 ай бұрын

    Ziko rai za ulamaa lakini hii ndo twaona SISI ni thabit. Kwan nyinyi ni nani mpaka mukiona nyinyi ndo haki

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e8 күн бұрын

    Sikuzote Allah umuongoa amtakae watu mtu umezaliwa umekuta mababu zako wanafanya hizo bidaa na wanafundisha misikitini toka mkiwa watoto nani akueleze kitu umuelewe akimuacha kupotea Allah huwezi muongoza hata mtume aliambiwa hilo ww unakuwa unakuta wazee wako wanasoma kuruani makaburini wanasomea mayt arafu aje mtu akupe dalili za wazi kuwa mtume kakataza huwezi muelewa sabu mababu wako ndo walidumu kwenye bidaa hiyo utamuelewaje mtu na allah anasema katika kuruani wale wanaompiga pande mtume ali ya kuwa uwongofu umewababinikia tutawaelekeza watakako wao

  • @FaridAli-xg1sh
    @FaridAli-xg1sh3 ай бұрын

    Mashallah

  • @FaridAli-xg1sh
    @FaridAli-xg1sh3 ай бұрын

    Mashallah Allah atujalie miongoni mwa wenye kutubia toba ya kweli

  • @ahmedalzakwani7755
    @ahmedalzakwani77553 ай бұрын

    Assalam aleikum

  • @issasalum274
    @issasalum2743 ай бұрын

    Haya ndiyo mawazo ya Ma-Answar Sunna. Hata kumtolea swadaka marehemu mzazi wako kwao ni bid-aaa. Inna Lillahi wa Inna Illayhi Raajiiuun

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e9 күн бұрын

    Acha chuki zako we kama hutaki hakkibunataka kufata uzushi fata si tunamfata mtume wwtu ninyi munaochukia chukieni hakki ndo hiyo alichofanya mtume tutafanya alichokataza tutaacha sasa unaifanyia ukaidi dini ya mungu ww utukaidi sisi unamkadi mtume ndugu sisi kufikisha tuuh

  • @mohdkhatib223
    @mohdkhatib2238 күн бұрын

    Msikilize vizuri huyo shekh. Huyo sheikh si katika Answar Sunna ila ameongea kwa dalili na huo ndio usahihi. Mtume saw ndio kigezo chetu (role model) katika kila ibada, sasa tukuulize wewe, mbona mtume saw alifiwa na watu wake wengi wakiwemo wanawe lakini hakufanya huo uzushi? Mtume saw amefundisha kila kitu.

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e8 күн бұрын

    Sikuzote Allah akimuacha kupotea mtu huwezi muongoza ww kaka watu washapotezwa na mababu zao na mshehe wao wanaona kumsomea mayt kuruani ile ndo dinni kwenye madrasa zao toka watoto wanafundishwa hizo bidaa na wanazifanya kwahiyo vigumu kuwaongoza watu kama Hawa mpk Allah atake yeye ye alishasema mwenye kumpiga pande mtume aliyakuwa kashabainikiwa na wongofu tutampelekea alikoelekea

  • @HashimSalim-qj7zn
    @HashimSalim-qj7znКүн бұрын

    Hayo ni yako ww kwa sbb huelewi kitu yeye hajazungumza kutoa swadaka

  • @YaziduIddy-u7p
    @YaziduIddy-u7pКүн бұрын

    ​@@user-yj5on8cz3eacha ufinyu wa elimu hadithi zipo nyingi tu za kusomea maiti quran thawabu zinamfikia

  • @ismailmuna1604
    @ismailmuna16043 ай бұрын

    Je Dua Ni Nini Sio Qurani Maana Dua Nyingi Ziko Ndani Ya Qurani Karim RABII GHUFRILL WALIWALUDAYA YAUMA YAKUMULHISAB JE HII SIO AYA KTK QURANI KARIM????

  • @JumaHashim-wv3ju
    @JumaHashim-wv3ju9 күн бұрын

    Ni kweli hujakosea lakini ww mwenyewe jiangalie unapotaka kusoma Quran unaanzaje na unapotaka kuomba dua unaanzaje? hapo utaona tofauti kati ya dua na qurani

  • @mohdkhatib223
    @mohdkhatib2238 күн бұрын

    Quran si dua elewa, ni muongozo ndani yake kuna kuonya na kubashiri habari njema. Ila kuna aya tunafundishwa jinsi ya kuomba au zinaelezea watu wema walivyokuwa wakiomba na ndio maana hizo tunapoomba dua huwa hatuanzi mwanzo kwasababu tukianza mwanzo kama ilivyo kwenye Quran itakuwa sio dua bali umesoma aya za Quran.

  • @YaziduIddy-u7p
    @YaziduIddy-u7pКүн бұрын

    ​@@mohdkhatib223quran ni duwa kubwa sana kwa mfano soma suratul fatiha au kama alivyosema mtume kuwa quran ni tiba

  • @ismailmuna1604
    @ismailmuna16043 ай бұрын

    Mola Akupe Afya Na Umri Baada Ya Tatizo Hilo Tatizo Jengine Ni Ktk Ugawaji Hiyo Zaka Wanaopewa Wasio Ndio Wanao Takiwa Na Hao Watoaji Wengine Nikwaria Zaka Yake Ni 10 Atoa 15 Lakini Anuka Madeni Kazi Kulipa Hataki Kudhulumu Haki Za Watu Pia Wawekwe Ktk Fungu Gani Maana Ndio Watele Waliojaa Niwazuri Kwenu Mashekhe Ili Msiwatuhumu Lakini Hayo Ndio Matendo Yao

  • @al_babitv
    @al_babitv3 ай бұрын

    Sheikh naomba namba yako

  • @mwanamkeshujaabongoflavama7180
    @mwanamkeshujaabongoflavama71803 ай бұрын

    Na pia wanavo sema ujauzito ulo kamiliza siku zaidi ya mia ba kitu sikumbuki uzuri anakua kisha patiwa roho nahisi ndomana inaku sawa akitolewa tumboni

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani36093 ай бұрын

    Nimeona mtoto atolewe tumboni akiwa hai au amekufa, Subhanallah

  • @istiqaamazanzibar6168
    @istiqaamazanzibar61683 ай бұрын

    Shukran sheikh kwa darsa yenye faida

  • @suleimanluhanga5058
    @suleimanluhanga50583 ай бұрын

    Allah bless you our sheik

  • @ismailmuna1604
    @ismailmuna16044 ай бұрын

    Mola Akupe Umri Na Afya Uzidi Kutukumbusha Na Kutupa Elimu Hakika Uyasemayo Allahkarim Ndio Mjuzi Wa Yote

  • @husseinally6699
    @husseinally66994 ай бұрын

    Mm sina elimu juu ya hilo ila kuna wakati dini inaendana na mazingira Mimi naungana na hao kumtoa mtoto asilimia 100 bila shaka upande huu wapo sahihi haswa kwa wakati huu kuna vifaa kama fetal stethoscope ( hupima mapigo ya moyo ya mtoto) doppler machine Zina kupa uhakika kabisa kua mtoto ya hai , inakuwaje leo umuache? Wakati tayar kashapuliziwa roho na viungo vyake vishakamilika? Pia kuna watoto wanazaliwa wakiwa hawajatimiza muda tena kwa operesheni) ingekua hatudili nao basi kungekua hakuna haja KIUMBE hata kikiwa tumboni kikiwa tayari kisha puliziwa roho na haswa kikiwa full ( mifupa 270) millions of nerves, tissues ) If you kill it, you kill human being even in the womb( tumboni) Pleaae secure its life immediately

  • @feisaldube7296
    @feisaldube72963 ай бұрын

    Mashaallah

  • @saadasuleiman1427
    @saadasuleiman14274 ай бұрын

    Subhunallah

  • @saadasuleiman1427
    @saadasuleiman14274 ай бұрын

    Subhunallah

  • @kibedikamba7616
    @kibedikamba76164 ай бұрын

    Maasha Allah

  • @fahminasser3855
    @fahminasser38554 ай бұрын

    Sahihi kabisa

  • @fahadsalim4403
    @fahadsalim44034 ай бұрын

    Shukran shekh wangu mwalimu wangu wa tanga allah akuongoze uzidi kutupa dawa❤

  • @shamsasaidhumoud165
    @shamsasaidhumoud1654 ай бұрын

    ما شاء الله شيخنا في ميزان حسناتك

  • @mtotowakimanga1443
    @mtotowakimanga14435 ай бұрын

    Mashallah

  • @user-dn3jh6oz8s
    @user-dn3jh6oz8s8 ай бұрын

    Masha Allah

  • @suleimanharoub4982
    @suleimanharoub49828 ай бұрын

    Alwah akupe afya tele na umri mkubwa skh wetu

  • @Nassy2009
    @Nassy20098 ай бұрын

    Waalekum Salam Warahmatullah Wabarakaruh. Allahuma Ameen yaa Rabbi. Baraka Llahu fiyk. Shukran

  • @user-rt6zb1xo1p
    @user-rt6zb1xo1p8 ай бұрын

    Shukran, ujumbe umefika Allah atuwezeshe

  • @samohazakwani6899
    @samohazakwani68998 ай бұрын

    وعليكم السلام ورحمة الله وبركاته. اللهم صل وسلم وبارك على نبينا وحبيبنا محمد صلى الله عليه وسلم.

  • @yassirsalim6386
    @yassirsalim6386 Жыл бұрын

    Masha Allah