Huo ndiyo uongozi tunao uhitaji big up kwakusimama kutetea haki #zitto
@wilbroadsiyonga58896 жыл бұрын
Waitangazie uhuru kigoma kama sio tanzania!
@iddiaman64186 жыл бұрын
Nmekuelewa zitto ..nakupenda sana nondo mungu akuvushe na amlipe kila mmoja sawa na matendo yake
@amanrashid99936 жыл бұрын
Mlimtuma kakosea mashart sasa yanawatokea puani
@jumajaffary96986 жыл бұрын
Ili iwe haki isiishie kwa huyo kijana Nondo tuu kila mtu wa kigoma , Arusha , kagera , Mtwara wapeleke vyeti vya kuzaliwa vya babu zao na bibi zao maana wako mpakani ...Haipendezi kwanini tumefikia hapa , ukimuonea huyu kijana mnapata nini ? Kila mkihutubia mnaanza na kumtaja Mungu ..Mungu yupi ? Kwa sababu mungu anapinga dhuluma na hujma , muogopeni Allah
@Tiffany3406 жыл бұрын
mpeleke tu zwazwaa mwenzio
@machelengamachelengafatuma68626 жыл бұрын
Safi sana
@khalidunited59786 жыл бұрын
safi mh zito wanataka kutuletea upuuzi kwani mtu kuzaliwa kigoma imekua ndosababu chuki binfsi ninaiman nahili watashindwa kisa namkasa kijana wawatu anamsimamo allha karem atakusimamia songa mbele sio kila mtu anaabudu miungu watu
@shabanmtasha95586 жыл бұрын
Zito sasa kawa zwazwa
@neemaswai83846 жыл бұрын
Safi sana Mh.Zito,mpeleke na weka mambo yote wazi
@rayanalhabsi80296 жыл бұрын
mimi natoa maoni yangu tanzania sasaivi umekua mtihani paspot tukitaka kubadilisha tunambiwa tuwe na chet cha kuzaliwa cha baba na mama ndio tupate paspot kwahiyo wengine wazazi wetu awana cheti cha kuzaliwa
@rayanalhabsi8029
6 жыл бұрын
awana chet cha kuzaliwa wangefanya utaratibu wakupeleka kadi ya kupigia kula ingepata kutusaidia maana wengine hatuna hivyo vyeti sisi tz lakini tunapewa mikakati migumu
@RomwardWM6 жыл бұрын
Verry nice
@prof.innozittotz59586 жыл бұрын
Rais wa Kigoma
@santyhassan41866 жыл бұрын
Aisee hata aibu hamna? Duh!
@eliphaziamon87946 жыл бұрын
sio nondo pekee kila MTU Tanzania inabid apelekwe kwenye uhamiaji achunguzwa
@ndikumanajackson90126 жыл бұрын
Kigoma in BURNDI in HISTORY
@olaislogiru27786 жыл бұрын
Duu hii ndo Tz
@yusuphmruma17714 жыл бұрын
Kweli hii serekali haina haki ata kidogo leo mtanzania sio mtanzania kwakuatu anaipinga serekali wakati unaweza ukakuta hao ndosio watanzania ndomaana hawana roo zakitanzania
@salmadashlaquimanelaquiman44276 жыл бұрын
Unatafuta kkkk una jipya kka mkubwa mmeishiwa sela mmekua na sela za matukio ssa kikitokea k2 ndio mpate Cha kuongea polen sana msha poteana ssa
@eliphaziamon87946 жыл бұрын
wachaga ,wamasai ,wakuliya irijino yao Kenya ,wahaya Uganda,wamakonde msumbij ,kwa nn watu wa kigoma tu?waha tuamken tujivue utumwa tuwe huru ,tutadhalilishwa ivi mpka lini
@deuscr18436 жыл бұрын
😂😂😂huyu angekua mchagga lazima ungesikia ni mkenya
@eliphaziamon87946 жыл бұрын
kigoma ili tuwe huru tuacha kuambiwa sio RAIA wa Tanzania ,inabidi kutafta Uhuru wetu ikibid hata kwakumwaga damu
@KADALAtv2556 жыл бұрын
Nchi ina vituko hii
@asiazuberi97226 жыл бұрын
Nendeni mkajue mbivu na mbichi
@brightonfils18356 жыл бұрын
Anatafutia ugali famia yake zitto,sote tunajua sia ni uongo mtupu tena mchezo mchafu
zito tangaza lolote watu wa kigoma tupo tayari make wamezid kutubagua hao mbwa
@jumanguru6706 жыл бұрын
Huyo mondo baadae atakua MTU mkubwa sn!!
@sayoclassicsayoclassic77596 жыл бұрын
Hivii kwani kigoma iko Tz au iko sauzi mbona sielewi jaman mmhm
@deogratiashaule52246 жыл бұрын
Awe mwangalifu watamtumia kutafuta kick mwisho wa siku ataachwa peke yake.
@bkdbkd86836 жыл бұрын
mbona ukiwa mtu unasema ukweli unazushiwa sio mtanzania duuu mm napita tuu
@shabanikibana42796 жыл бұрын
Psmoja zitto wewe ndio unafaa kuwa rais maana unasfa zote za urais busara, mzalendo, siasa zako zakistaarabu, umesoma vizuri una maono nk ila kwavile watanzania wengi wanafuata mkumbo wa uchama badala yakumchagua kiongozi anaefaa km wewe nk lakn ipo cku itafika zamu yenu tu mnafanya mambo makubwa sana wapinzani wetu mpaka ccm tunalijua hilo sema roho mbaya zetu tu
@kijanamatata71356 жыл бұрын
kwani haya mambo yanatokea Tanzania au nchi gani?? nipo Dodoma sijui kiswahili, nijuzeni tafadhali
@henryndosi8569
6 жыл бұрын
Hata wewe zitto tuna mashaka na wewe sio mtanzania kwa mienendo yako
@kijanamatata7135
6 жыл бұрын
Henry Ndosi duuh
@jonaselias77296 жыл бұрын
kukosa hekima sio tuu kuvua nguo hadharani hamjaambiawa Nondo sio mtanzania rasmi ila tuu nisababu za kiuchunguzi...na baada ya hapo hatua zingine zingefuata kwanini msingesubiri mpaka mwisho muone dhamira zao ndio muanze kelele zenu za kichawi....????
@eliphaziamon8794
6 жыл бұрын
Jonas Elias kwanin achunguzwe yy tu wakat wa Tanzania weng
@sir.josephmbeya7017
6 жыл бұрын
Jonas Elias Dhamira chafuuuuuu imekwisha onekanaaa, kama walimpa mikopo chuo iweje leo kuhoji uraia wakee?
@officialkamdudu6 жыл бұрын
Pumbavu wanasiasa wamemponza kijana wa watu kakosa masomo. Haya msaidieni arudi shule sasa
@khalidunited5978
6 жыл бұрын
Official Kamdudu wewe sio mtu nimdudu kama jina lako hilo neno la zwazwa umeliiga kutoka kwa msomi mh zito
@officialkamdudu
6 жыл бұрын
Khalid United zwazwa ndio nn ?
@hashimumkunda3482
6 жыл бұрын
Leo kapata tuzo. mtasemaje wajinga?
@aichaabdul58446 жыл бұрын
Badala ya kusoma na kujua kilichokupeleka chuo unaenda kuangaika na siasa halafu kwa bahati mbaya siasa zenyewe huziwezi. Ni aibu sana kidato cha I hadi cha VI halafu umefika chuo bado hujui unachokitaka
@khalidunited5978
6 жыл бұрын
Emmanuel Kavishe hayakuhusa
@officialkamdudu
6 жыл бұрын
Mi hua nawambia watu unaweza ukamaliza madarasa yote ila bado ukawa huna akili. Ndio ya huyu Nondo.
@khalidunited5978
6 жыл бұрын
Official Kamdudu kama wewe ulivyo jinga unadhani kila mtu anaakili kama zako
@diniyangu7415
6 жыл бұрын
Emmanuel Kavishe Usicoment mpaka mtu akajua unatumika.... Cc tuliopita chuo ndo tunajua vigezo vya kumchagua kiongozi wa wanafunzi ni lazima awe na sifa Kama za nondo na wengine cwataji.... Ulitaka asiongee juu ya hali tete mpka kifo kutokea... Nyie ndo wale tunaunga mkono hoja tunajua mko wengi humu mnatumika kudiscourage comment za mitandao ili tuone ni sawa haki kufichwa.... Ludi English course labda utaelewa
@aichaabdul5844
6 жыл бұрын
Dini Yangu,-------- unavyosema "nirudi English course labda ndio nitaelewa" unamaanisha nini kaka. Ningeomba tuwasiliane zaidi kama itawezekana.
@abbysaad7476 жыл бұрын
Watu wa Kigoma tuliopo Dsm tunajua Mbunge wetu yupo Kigoma Ujiji anawatumikia wananchi kwenye Jimbo lenye Halmashauri zilizopata hati chafu ya ukaguzi wa mahesabu, Nenda Kigoma kajenge mji kwa ustawi wa Kigoma yetu Brother. .
@adolfkambala18756 жыл бұрын
hivi uhamiaji hawana kazi za kufanya,sasa km sio mtanzania ni raianwa wapi?kweli damu ya akwelina inamlilia mungu itafahamika tu,mara mbunge hoi,mara viongozi wa chadema ndani segedansi,mara iringa mara abdul dar,mara sio raia,mara kafikuzwa shule,damu nzito kuliko maji
magufuli tangaza watu wa kigoma sio wa Tanzania tujue la kufanya
@ccmchadema81076 жыл бұрын
nyie nnao mlaumu nondo kosa lake nn mjuwe bila akwilin akwelina kupigwa lisasi aya yote nondo yasinge mkuta au alivyo sema kamanda na wazilii usika ajiuzuru cyo fea mungu awalaaani yote mnao mwangaisha uyu kijana wa watu
Пікірлер: 66
Zitto ww ndio mbunge kweli nimekukubali🙌🙌
upo vizuri zitto kabwe tuko pamoja
Safi sana zitto
Good idea zitto kabwe..!
Big up mbunge wetu Tupo nyuma yako
Huo ndiyo uongozi tunao uhitaji big up kwakusimama kutetea haki #zitto
Waitangazie uhuru kigoma kama sio tanzania!
Nmekuelewa zitto ..nakupenda sana nondo mungu akuvushe na amlipe kila mmoja sawa na matendo yake
Mlimtuma kakosea mashart sasa yanawatokea puani
Ili iwe haki isiishie kwa huyo kijana Nondo tuu kila mtu wa kigoma , Arusha , kagera , Mtwara wapeleke vyeti vya kuzaliwa vya babu zao na bibi zao maana wako mpakani ...Haipendezi kwanini tumefikia hapa , ukimuonea huyu kijana mnapata nini ? Kila mkihutubia mnaanza na kumtaja Mungu ..Mungu yupi ? Kwa sababu mungu anapinga dhuluma na hujma , muogopeni Allah
mpeleke tu zwazwaa mwenzio
Safi sana
safi mh zito wanataka kutuletea upuuzi kwani mtu kuzaliwa kigoma imekua ndosababu chuki binfsi ninaiman nahili watashindwa kisa namkasa kijana wawatu anamsimamo allha karem atakusimamia songa mbele sio kila mtu anaabudu miungu watu
Zito sasa kawa zwazwa
Safi sana Mh.Zito,mpeleke na weka mambo yote wazi
mimi natoa maoni yangu tanzania sasaivi umekua mtihani paspot tukitaka kubadilisha tunambiwa tuwe na chet cha kuzaliwa cha baba na mama ndio tupate paspot kwahiyo wengine wazazi wetu awana cheti cha kuzaliwa
@rayanalhabsi8029
6 жыл бұрын
awana chet cha kuzaliwa wangefanya utaratibu wakupeleka kadi ya kupigia kula ingepata kutusaidia maana wengine hatuna hivyo vyeti sisi tz lakini tunapewa mikakati migumu
Verry nice
Rais wa Kigoma
Aisee hata aibu hamna? Duh!
sio nondo pekee kila MTU Tanzania inabid apelekwe kwenye uhamiaji achunguzwa
Kigoma in BURNDI in HISTORY
Duu hii ndo Tz
Kweli hii serekali haina haki ata kidogo leo mtanzania sio mtanzania kwakuatu anaipinga serekali wakati unaweza ukakuta hao ndosio watanzania ndomaana hawana roo zakitanzania
Unatafuta kkkk una jipya kka mkubwa mmeishiwa sela mmekua na sela za matukio ssa kikitokea k2 ndio mpate Cha kuongea polen sana msha poteana ssa
wachaga ,wamasai ,wakuliya irijino yao Kenya ,wahaya Uganda,wamakonde msumbij ,kwa nn watu wa kigoma tu?waha tuamken tujivue utumwa tuwe huru ,tutadhalilishwa ivi mpka lini
😂😂😂huyu angekua mchagga lazima ungesikia ni mkenya
kigoma ili tuwe huru tuacha kuambiwa sio RAIA wa Tanzania ,inabidi kutafta Uhuru wetu ikibid hata kwakumwaga damu
Nchi ina vituko hii
Nendeni mkajue mbivu na mbichi
Anatafutia ugali famia yake zitto,sote tunajua sia ni uongo mtupu tena mchezo mchafu
uhamiaji niwapuuzi kwahiyo sisi tuotokea mikoa ilio pakana namipaka siyo tz naona mmekosa maalifa minawashauli muanzie kwahuyo magufuli
zito tangaza lolote watu wa kigoma tupo tayari make wamezid kutubagua hao mbwa
Huyo mondo baadae atakua MTU mkubwa sn!!
Hivii kwani kigoma iko Tz au iko sauzi mbona sielewi jaman mmhm
Awe mwangalifu watamtumia kutafuta kick mwisho wa siku ataachwa peke yake.
mbona ukiwa mtu unasema ukweli unazushiwa sio mtanzania duuu mm napita tuu
Psmoja zitto wewe ndio unafaa kuwa rais maana unasfa zote za urais busara, mzalendo, siasa zako zakistaarabu, umesoma vizuri una maono nk ila kwavile watanzania wengi wanafuata mkumbo wa uchama badala yakumchagua kiongozi anaefaa km wewe nk lakn ipo cku itafika zamu yenu tu mnafanya mambo makubwa sana wapinzani wetu mpaka ccm tunalijua hilo sema roho mbaya zetu tu
kwani haya mambo yanatokea Tanzania au nchi gani?? nipo Dodoma sijui kiswahili, nijuzeni tafadhali
@henryndosi8569
6 жыл бұрын
Hata wewe zitto tuna mashaka na wewe sio mtanzania kwa mienendo yako
@kijanamatata7135
6 жыл бұрын
Henry Ndosi duuh
kukosa hekima sio tuu kuvua nguo hadharani hamjaambiawa Nondo sio mtanzania rasmi ila tuu nisababu za kiuchunguzi...na baada ya hapo hatua zingine zingefuata kwanini msingesubiri mpaka mwisho muone dhamira zao ndio muanze kelele zenu za kichawi....????
@eliphaziamon8794
6 жыл бұрын
Jonas Elias kwanin achunguzwe yy tu wakat wa Tanzania weng
@sir.josephmbeya7017
6 жыл бұрын
Jonas Elias Dhamira chafuuuuuu imekwisha onekanaaa, kama walimpa mikopo chuo iweje leo kuhoji uraia wakee?
Pumbavu wanasiasa wamemponza kijana wa watu kakosa masomo. Haya msaidieni arudi shule sasa
@khalidunited5978
6 жыл бұрын
Official Kamdudu wewe sio mtu nimdudu kama jina lako hilo neno la zwazwa umeliiga kutoka kwa msomi mh zito
@officialkamdudu
6 жыл бұрын
Khalid United zwazwa ndio nn ?
@hashimumkunda3482
6 жыл бұрын
Leo kapata tuzo. mtasemaje wajinga?
Badala ya kusoma na kujua kilichokupeleka chuo unaenda kuangaika na siasa halafu kwa bahati mbaya siasa zenyewe huziwezi. Ni aibu sana kidato cha I hadi cha VI halafu umefika chuo bado hujui unachokitaka
@khalidunited5978
6 жыл бұрын
Emmanuel Kavishe hayakuhusa
@officialkamdudu
6 жыл бұрын
Mi hua nawambia watu unaweza ukamaliza madarasa yote ila bado ukawa huna akili. Ndio ya huyu Nondo.
@khalidunited5978
6 жыл бұрын
Official Kamdudu kama wewe ulivyo jinga unadhani kila mtu anaakili kama zako
@diniyangu7415
6 жыл бұрын
Emmanuel Kavishe Usicoment mpaka mtu akajua unatumika.... Cc tuliopita chuo ndo tunajua vigezo vya kumchagua kiongozi wa wanafunzi ni lazima awe na sifa Kama za nondo na wengine cwataji.... Ulitaka asiongee juu ya hali tete mpka kifo kutokea... Nyie ndo wale tunaunga mkono hoja tunajua mko wengi humu mnatumika kudiscourage comment za mitandao ili tuone ni sawa haki kufichwa.... Ludi English course labda utaelewa
@aichaabdul5844
6 жыл бұрын
Dini Yangu,-------- unavyosema "nirudi English course labda ndio nitaelewa" unamaanisha nini kaka. Ningeomba tuwasiliane zaidi kama itawezekana.
Watu wa Kigoma tuliopo Dsm tunajua Mbunge wetu yupo Kigoma Ujiji anawatumikia wananchi kwenye Jimbo lenye Halmashauri zilizopata hati chafu ya ukaguzi wa mahesabu, Nenda Kigoma kajenge mji kwa ustawi wa Kigoma yetu Brother. .
hivi uhamiaji hawana kazi za kufanya,sasa km sio mtanzania ni raianwa wapi?kweli damu ya akwelina inamlilia mungu itafahamika tu,mara mbunge hoi,mara viongozi wa chadema ndani segedansi,mara iringa mara abdul dar,mara sio raia,mara kafikuzwa shule,damu nzito kuliko maji
Unamtetea kama siyo mtz siyo tu, kaa utulie Zito unawashwa washwa nini
@khalidunited5978
6 жыл бұрын
Emmanuel Daniel we chizi
magufuli tangaza watu wa kigoma sio wa Tanzania tujue la kufanya
nyie nnao mlaumu nondo kosa lake nn mjuwe bila akwilin akwelina kupigwa lisasi aya yote nondo yasinge mkuta au alivyo sema kamanda na wazilii usika ajiuzuru cyo fea mungu awalaaani yote mnao mwangaisha uyu kijana wa watu
@khalidunited5978
6 жыл бұрын
salima Kaniki kweli maneno yako walaniwe ujinga unawasumbua tatizo wanaabudu miungu watu
@charlesmakuri792
6 жыл бұрын
Hakuna msijaze ujinga Tanzania
@khalidunited5978
6 жыл бұрын
Charles Makuri ujinga ndii nini