ZABURI,TAURAT,INJILI,QURAN VYOTE VITABU VYA WAISLAM WAKRISTO HAWANA KITABU IMAN PETRO MWAKA WA 1997.

Пікірлер: 109

  • @fadhilikawambwa5159
    @fadhilikawambwa51593 жыл бұрын

    ALLAH AKBAR.MOLA MPE PEPO YA JANNAH SHEIKH KATUZINDUA SANA WAISLAM TULIOKUWA TUMELALAKUHUSU BIBLE HATA KUISHIKA TULIKUWA TUNAHOFU.

  • @jumahamis227
    @jumahamis2273 жыл бұрын

    Mungu amlaze mahali pema imani petro.

  • @sabryalkindy9637

    @sabryalkindy9637

    2 жыл бұрын

    kwani ni marehemu? na kama ametangulia mbele ya hakki ..ilikuaje? aliumwa? au ameuliwa na makafiri???

  • @jumahamis227

    @jumahamis227

    2 жыл бұрын

    Alikufa kwa kawaida tu na maradhi ya kawaida.

  • @makenakendi282
    @makenakendi2823 жыл бұрын

    ALLAH BARIIK always

  • @rashidiathumani2300
    @rashidiathumani23002 жыл бұрын

    Mwenyezi mungu akuripe pepo mashekhe wengi waoga sana wanapindisha wanawaogopa makafiri

  • @threebrothers..
    @threebrothers.. Жыл бұрын

    Waisilamu walikuja nyuma wakapata wakristu, halafu mungu WA wakristu na waisilamu sio mmoja,WA wakristu anazaa,WA waisilamu hawezi zaa,ako Naren halafu anakuaga ni sanamu iliyoko Mecca 😂😂😂😂😂uisilamu ni ushetani na upepo,,,,yesu ni mwana WA mungu,mruke juu muanguke itakauka hivyo,shindwe

  • @fatwimatzahrau2327
    @fatwimatzahrau23273 жыл бұрын

    MashaLLAH

  • @mirajisalehe742
    @mirajisalehe7423 жыл бұрын

    Huruma Sana kwake alimkana mwokozi Hadi mwisho.

  • @sawdaasawdaa7903

    @sawdaasawdaa7903

    3 жыл бұрын

    Rofa wamarofa wewe ndio umemukana Allah na mutume muhamadi namanabi wote ukamufata paulo teteya nafsi yako acana na imani petro

  • @ismailyusuph740

    @ismailyusuph740

    2 жыл бұрын

    Mwokozi ni MUNGU tu...!...Soma ww Acha ushabiki’...huyo alikua mtu mkubwa kanisani anajua ya NJE na NDANI mengine ww huyajui ‘ akaondoka huko ‘ ww umebakiza ushabiki bila maandiko’ toa andiko ndani biblia Ukristo ni dini...!..toa andiko MUNGU Aliwaambia muabudu kanisani....!...Yaani nyie mna mtihani...!

  • @muhalakibwana4026

    @muhalakibwana4026

    2 жыл бұрын

    Huruma kwako wewe unaeamini yesu Kafa kuwakomboa na dhambi. Matendo yako ndio uokozi wako yesu kamwe hatabeba mizigo yenu

  • @Mbumbuko
    @Mbumbuko3 жыл бұрын

    Saut siyo nzuri

  • @mangeraalbert7982

    @mangeraalbert7982

    3 жыл бұрын

    Changia machine nzuri, tunuzuliane

  • @mangeraalbert7982
    @mangeraalbert79823 жыл бұрын

    Iman uko swa kka, yarabu akupe mema.

  • @MiziziMti
    @MiziziMti8 күн бұрын

    Huyu hakuwa anajua chochote

  • @charlesmapunda5905
    @charlesmapunda5905 Жыл бұрын

    Huyu jamaa ni muongo mpaka Shetani hapendi maana Mungu hana Muda wa ksikiliza huu upuuzi. Ila ni kumuonea huruma maana hapo hatuumii akili yake zaidi ya Majini Kumuongoza kudanganya Umaa wa waaminio. Yaani wewe hata Mungu hawezi kukusamehe kwasababu ulikua unaongea na akili Timamu, mimi si mkamilifu lakini kwa mafundisho haya wewe ni Mfuasi wa Shetani ulie tukuka hii si akili yako bali ni Majini yanaongea kwaniaba yako

  • @charlesjoseph2092
    @charlesjoseph20923 жыл бұрын

    Waislam Hua Mnachekesha Sana Yani mnaweza kukomalia Kitu na hata maana yake hamuelewi Utasikia Mkisema Taurat zaburi Injli Kimbembe Kinakuja Nini maana Ya Taurati Hamjui Nini maana Ya zaburi hamjui Nini maana Ya Injili Hamjui ila mmekazana Tauarat zaburi Injili hata maana Yake Hamuelewi Hahaha haha yani kua Muislam ni msiba Sana

  • @user-pj8ed9kn6g

    @user-pj8ed9kn6g

    3 жыл бұрын

    Acha ufala ww ndo hamuelew mnapelekwa tu na wanzung muone kwanz 😠😠😠😠

  • @charlesjoseph2092

    @charlesjoseph2092

    3 жыл бұрын

    @@user-pj8ed9kn6g Ukisoma Qurani 16:125 Inasema Waite ujadiliane nao kwa namna iliyobora Si kwa kikashifu au kutukana dini Yao maana kwa kufanya hivyo hutomvuta Mtu, Sasa rafiki Yangu Kwanini unakuja juu na Hasira Kwanini unasema Wazungu ndio wanatuongiza Kwani Kabla ya Wazungu Kuwapo Wakristo Hawakuwapo?? UNAPOSEMA Wazungu wametuletea Imani umeshawahi Kujiuliza Wametoa wapi?? Je Wewe Bira warabu kuja kufanya Biashara Uislam ungeujuilia wapi?? Si Bora hata Wazungu walikuja Kutangaza Injili??? ndio maana nasema Kua Muiislam ni Matatizo Makubwa saaana Baada ya kuja Kueleza maana ya Taurati zaburi na Injili Badala ya kueleza maana yake unakuja Umejaa povu Ndio uislam unasema Hivyo??? Labda nikusaidie Unaposema Wazungu wametuletea Ukristo Sikatai Swali Linakuja Wametoa wapi?? Je wao wamepokea kutoka wapi?? Soma mathayo 28:18-19 Yohana 4:22 Jibu hoja zangu na sio mapovu, Unavyosema Wazungu wameleta ukristo Je wao Wametoa Wapi?? Je Kabla ya Wazungu Ukristo haukuwepo???

  • @mohamedimohamedi8933

    @mohamedimohamedi8933

    3 жыл бұрын

    So you believe God die in cross?who was control universe when God was on cross?

  • @mohamedimohamedi8933

    @mohamedimohamedi8933

    3 жыл бұрын

    @@charlesjoseph2092 ukristo umeanzishwa na wazungu uo ndio Ukweli hamfuati yesu hata kidogo yesu was jews., was sent to twelve nations of Jews

  • @mohamedimohamedi8933

    @mohamedimohamedi8933

    3 жыл бұрын

    @@charlesjoseph2092 imani petro alikuwa mkristo karma wewe lakini kaiona haki Allah amrehemu imani Petro na mpe pepo