No video

WIN 20190506 12 18 43 Pro

Пікірлер: 35

  • @jamilshisia5929
    @jamilshisia59294 жыл бұрын

    Huyo mwanadada ameuliza swali nzuri sana mbna hiyo aya huwa mnaivunja kivipi

  • @abcdg1995
    @abcdg19953 жыл бұрын

    Praise God Teacher Francis Ndasha MAY GOD Almighty bless you beyond repair

  • @charlesmerrill771
    @charlesmerrill7715 жыл бұрын

    Mungu Awabariki Mwalimu Ndacha na Onyango, tunu mtapata

  • @user-rf5tz5ft2y
    @user-rf5tz5ft2y5 жыл бұрын

    Ninawapata kabisa Mungu awabariki

  • @mussajoshua1261
    @mussajoshua12615 жыл бұрын

    Rev.ndasha Mungu awenawe daima

  • @shishshikoh4979
    @shishshikoh49794 жыл бұрын

    Good Job Ndacha

  • @abcdg1995
    @abcdg19953 жыл бұрын

    We shall go on with spreading the good news about Christ massage by every means available ..in God we trust

  • @simeonnyamwaya8407

    @simeonnyamwaya8407

    11 ай бұрын

    Hatari sana

  • @michaelsyuma3860
    @michaelsyuma3860 Жыл бұрын

    Watching reply from Mombasa 001 County

  • @janenjenga5639
    @janenjenga56395 жыл бұрын

    Sema kabisa.nautuletee mjandala na wawakurino.

  • @jamilshisia5929
    @jamilshisia59294 жыл бұрын

    Ndacha acha kudanganya huyo mwanadada, sema tu huna elimu, mbna hizo ngoma mnaweka kwa kanisa, na mbna hamfunikangi vichwa vyenu? Wapi andiko linasema mwanamke aubiri acha uongo ndacha, unafuata Paulo na alipeana wakristo kwa shetani ili amfunze nyie mshindwe

  • @simonnzuki8884
    @simonnzuki8884 Жыл бұрын

    You guys I like your questions

  • @jaredonyancha40200
    @jaredonyancha40200 Жыл бұрын

    Luke24:1, Exodus 31:15-16,Quran 2:65, Ezekiel 20:20, Exodus 20:8and verses talk about the sabbath

  • @janekwahada580
    @janekwahada5805 жыл бұрын

    Mungu hakuweka Sunday, lakini Bible inasema fanya kazi siku 6 siku ya 7 ni siku ya bwana. Pia Mungu alisema katika vihongozi wa duniyani mimi ndiyo niliwachanguwa muwasikiye kama taiffa la Kanye sarikali imetie siku ya bwana waka weka siku za kazi ni sita siku ya 7 sarikali ikaweka siku ya bwana. Na Mungu aliamuru tuwasikiza na siku hiyo ndiyo watu wote wakaona siku ya wotu wote kuambudu ni Sunday so tunateda yele MUNGU alisema siku 6 fanye kazi siku 7 kupumusika hatufanye hivyo.

  • @amaniurio1657

    @amaniurio1657

    4 жыл бұрын

    Na mm hapo ndo na shanga maana mwenyewe wanasema siku 6 za kaz siku ya 7 ndo ya ibada ss iyo siku ya Saba inaitwa he maana yy anasema n .jumamoc jumamoc n siku ya Saba mm najua sanday ndo siku ya 7ii

  • @emmanuelcantozy7156
    @emmanuelcantozy71563 жыл бұрын

    Karibu mtwapa mchungaji

  • @abcdg1995
    @abcdg19953 жыл бұрын

    If you believe in God he will never let your feets slips to fall he will hold your hand..Praise God Teacher Francis Ndasha can somebody say kachaaa

  • @adalbertkatabaro153

    @adalbertkatabaro153

    2 жыл бұрын

    Hahahahahaha you make me laugh

  • @adalbertkatabaro153

    @adalbertkatabaro153

    2 жыл бұрын

    Kachaaaa....

  • @abcdg1995
    @abcdg19953 жыл бұрын

    @ Ribabababababa Shikayamamasuka Likayamamamusuka Rikayabobobobobo Somebody say kachaaa Praise Teacher Francis Ndasha please spr my ribs BRO kudos Ribabababababa katarobobosaya kaliambalisukumandaniyakabati somebody say kachaaa Praise

  • @juliuswaitathu8995
    @juliuswaitathu8995 Жыл бұрын

    Ndacha nimeanza kuwa na Shaka na ww. Kwa nn Ezekiel 21:26 God was speaking to the king ndio maana aliqwa ananiambiaatoe taji: (2)Malaika akaamurishwa amvarishe Joshua kilemba zekaria 3:5. (3)1timothy 2:8,,,,,,wanawake wanyamaze.swali tukuskie ama tuskie Paul?????u are good pastor bt don't convince our mind bro

  • @juliuswaitathu8995
    @juliuswaitathu8995 Жыл бұрын

    Joshua 6:14-15,,Wana wa Israeli walizunguka siku sita na siku ya Saba mji wa Jericho....swali ni siku gani walipumzika ya sabato???????

  • @GilesKhamis

    @GilesKhamis

    Жыл бұрын

    Bado hujui kwamba sabato jmamosii????

  • @janekwahada580
    @janekwahada5805 жыл бұрын

    My brother yote unayo neno ni mandiko ya kweli ya Mungu natena unabiri ndani ya Bible. Yangu sipingi neno lolote katika hayo, lakini nikunungunika kwa ajili wote tunataka kumuona Mungu ama kuingia katika ufalume wa MUNGU. Langu ni hili katika warumi 13:1-9,Serekali yetu ya kenya ama Africa yote wametii amari ya Mungu siku 6 fanye kazi siku ya 7 usifanye kazi, mimi langu ni hii siku ya bwana YESU Christo ni kutoka morning to evening na ni muchana si usiku juu Mungu alijuwa muchana ndiyo mtu anafanya kazi na ndiyo masaa yeye anasema usifanye kazi siku hiyo. Jumamosi sarikali ndiyo imewaka siku ya 6 jumapili ndiyo siku ya 7 so huyu dakitari, mwanye kufanya bank, watu wote wanafanye kazi ya Serekali wasiende kuambudu? Wewe tayari unawafungiye watu wengine kuambudu juu jumamosi wako kazi. Siku ya jumapili Serekali mbele za Mungu hawana kosa, siku 6 fanye siku ya 7 kupumusika sasa huyu wa jumamosi kakumbali kuwazuhiya watu wengine kuambudu lakini kamuruhusu akaa kwa nyumba asifanye kazi apumusika lakini si siku ya Mungu. Tusitazame siku ni siku ngani mbali tutazame hakika siku ya 7 unafanye yele MUNGU kasema katika Bible kwa sababu Bible inasema muji wa Bwana utajulikana kwa mataifa ni kumbukumbu la torati

  • @saitotisapiyo7167

    @saitotisapiyo7167

    5 жыл бұрын

    Hahaha siku ya sabato jumamosi usi fanye kazi yeyote soma bibilia vizuri. Iyo serekali una sema ina fanya kinyume na bibilia. Sunday vile yesu Ali fufuka Ali patana na wawili wa wanafunzi wake waki enda shamba so Sunday si siku ya sabato. Tena Friday jione una pumzika hadi asubuhi soma luke 23:52-53-53

  • @janekwahada580

    @janekwahada580

    5 жыл бұрын

    @@saitotisapiyo7167 my question is all want to see God those who work in government want will they do.

  • @saitotisapiyo7167

    @saitotisapiyo7167

    5 жыл бұрын

    @@janekwahada580 God will judge them ndo manake una ambiwa si kila mtu ata uwona ufalme wa Mungu myb ata ni mtu mumoja ata ingia so bibilia ndo una fwata zaidi ju ndo njia yako sikila kitu una fwata ya serekali

  • @janekwahada580

    @janekwahada580

    5 жыл бұрын

    @@saitotisapiyo7167 so we close to others doors, kwa sababu siyo wote watakao ingiya ufalume wa MUNGU. Wakolosai 2:16-20.ikawa wewe wasabato umeshika siku ya sabato ndiyo lakini huya tendi mampanzi ya MUNGU huyu wa jumapili kwa sababu ya sabato lakini anayatenda yote Mapenzi ya nani atauona uafalume wake?

  • @janekwahada580

    @janekwahada580

    5 жыл бұрын

    Hapa MUNGU alisema siku ya sabato but katika hapo akasema hivi, wala wako, wala binti yako, wala Mtumwa wako, wala mjakazi wako, wala mnyama wako wa kufuga, wala mgeni aliye ndani ya malango yako. Na hili andiko Warumi 13:1-4,12:17-21 .mimi niko katika country isiyoo mujuwa YESU Christo hakuna kanisa na kukuwa nataka kumfuta YESU Christo na katika andiko nimekupa kutoka 20:10.

  • @janetkahada5206
    @janetkahada52064 жыл бұрын

    Hata jumamosi Mungu hakuweka Sabato imetokana nano saba, kutoka 2:2. Hata Bible hakuna neno jumamosi.

  • @janetkahada5206

    @janetkahada5206

    4 жыл бұрын

    @@user-cq4ve8id2t alikuwa nani kama uwesilamu Muhammad Ndiye ameanzisha hajuwi kusoma wala kuandika, hakujuwa imani nini, you don't think before you talk. Qur'una inasema ulizani wale walikuweko kambla ya nyinyi, qur'una yanyewe so who are you to listen to you out work is to take you more full. Because you want to force all properties to be musilim and the Quran tells you go back to those who where they before you.

  • @janetkahada5206

    @janetkahada5206

    4 жыл бұрын

    @@user-cq4ve8id2t to take with you is to West my data

  • @janetkahada5206

    @janetkahada5206

    4 жыл бұрын

    @@user-cq4ve8id2t which gospel are we preaching kama unakata maandiko ya mwenyezi MUNGU, kama ni gospel neno lolote katika Bible ungesimama kinyume nayo. Hata Tito amekusema.

  • @janetkahada5206

    @janetkahada5206

    4 жыл бұрын

    @@user-cq4ve8id2t kama unajuwa YESU alifunza kwa upole na unyenyekevu mbona unapingana yale yy alifunza kuuliza maswali hayana musingi na unajuwa ukweli. So you do what you know about and asking the things you understand. The Bible says if you do what you know you will not forgive. May God forgive you. That's why I say Tito knows you very well, ndiyo that why I see l be far to person like you.