Join this channel to access its benefits: / @biblianuruyadunia
Жүктеу.....
Пікірлер: 119
@gatekanene5753 Жыл бұрын
Kweli kila mtu na kipaji cake kinaco mustahili mimi nashangaa venye mwalimu Ndacha anajibu kwa maandiko na hana kitabu cocote mikononi mwake lakini sura na mistari na aya zote zimepangwa kicwani na hakoseyi kweli MUNGU ni wahajabu sana kweli Ndacha Mungu alikupendeley sana na uwe unamshukuru MUNGU kwa hilo maan sii vya wote mtu anaweza tamani kuwa kama wewe kwa uwo uwezo uliyo pewa na MUNGU lakini isiwezekane sisi wengine tunashika maandiko uyo mda baada ya masahaa ma tatu tayari yamesha poteya kicwani hakika mwalimu wangu Ndacha MUNGU azidi kukutumiya kama combo na kwa sababu hiyo uyo uyo MUNGU aliye kupa hico kipawa ca kuhubiri bila uoga ao kudanganya kama wanavyo fanya wengi hakika MUNGU atazidi kukulinda kwaajili ya kazi zake unazo zifanya ubarikiwe sana na mwisho wa dahari utapewa kile MUNGU alico kuandaliya ikiwemo uzima wa milele so usiogope wanadam ao vitisho vya watu wasiyo kuelewa kwa sababu aliye kuweka hapo ni mkuu zaidi ya hao wanao kupinga MUNGU akubariki sana Mwalimu wangu Ndacha tunakufatiliya sana ingekuw inawezekana MUNGU angetaka basi angekutuma huku uarabuni Saudi Arabia 🇸🇦 ili wapate neno la uzima wenda hata watatu waweze kuokoka ila sasa hiyo ni ngumu san ila MUNGU akiamuwa yote yanawezekan na anaweza kukulinda kwa garama kubwa sana ili warabu waweze kumjuwa MUNGU wa kweli wa mbinguni.
@boscojohnny8980
Жыл бұрын
Ndabonye umuntu wiwacu akurikirana uyu mugabo...jew yarantwaye ubwenge...ndamukurikirana buri musi
@gatekanene5753
Жыл бұрын
@@boscojohnny8980 ego vrm jewe uyu nu mwaka wa gatatu nkurikiran akazi kiwe keza yahawe n UHORAHO ndamukunda cane arafasha imitima yabantu beshi
@boscojohnny8980
Жыл бұрын
Wow nivyiza kweli ...najew maz kumwigirako vyinshi...ndakunda nokuja aho aba ari
@gatekanene5753
Жыл бұрын
@@boscojohnny8980 uri muri Kenya 🇰🇪? Jewe ndamurabir aha kur you tube ndi Saudi Arabia 🇸🇦
@saphinalutaha9077
10 ай бұрын
Unashangaa ktabu chenyewe kimoja je mashekhe wanaohifadh vtabu 30kchwan nikawaida sana
@navokisembo Жыл бұрын
Ndacha barikiwa hawa waislamu shida yao wanaogopa kukiri ukweli yaani bora waende jehanamu. Dini yao ni ya kuogopeshana kazi wananayo
@MAHOYAoMAoCATHOLIC9 ай бұрын
Mwalimu Ndacha Mungu akumbaliki na akupee nguvu.. na more wisdom..
@marthamasha3251 Жыл бұрын
Yani huyu mwalimu ndacha anafundisha hoja zilizo waziwazi kabisa.... Mimi binafsi kupitia hii channel nimejifundisha mengi sana nlokuwa siyajui, la kwanza, sikuwa najua waislam imani yao, na dini yao kwa ujumla.... Kumbe nihivoooo.... Wacha niwapite na mkono kushoto. Mimi mkristo forever
@teddclive1506 Жыл бұрын
I love Ndacha's teachings; he builds his arguments on the books. Islam is Moh'd's faith
@lewisomondi90596 ай бұрын
Hakika namkubali Pastor Dacha , 100%
@johngikiru54005 ай бұрын
I love the teaching of the messager of Christ,pstr Francis dacha
@hayman9 Жыл бұрын
On Behalf of my Family, my Village people, my Ancestors and also my Wicked Landlord, we approve NDACHA IS THE MESSENGER FROM GOD 😂😍💯🔥
@naftalioletipia5812
Жыл бұрын
I totally agree with you
@ezekielmwamba9106
Жыл бұрын
Amen
@mrfactsthenimwanzo9571
Жыл бұрын
I agree
@morinyoparks8073
Жыл бұрын
Ni Eliyah wa wakati huu.....NO ONE DEFEATS HIM IN SCRIPTURES
@dicksonmandeka6461
3 ай бұрын
Pplp
@ezekielmwamba9106 Жыл бұрын
Amen Mwalimu Ndacha Roho wa Mungu ako nawe popote utakuwa na yote yatawezekana kwa jina la Yesu Kristo.
@gilliardgodfriend5745 Жыл бұрын
Ndasha ongeza mikutano mataifa mbalimbali huku Kilimanjaro😊
@jameskazungu8965 Жыл бұрын
Hongera mwalimu Ndacha kwa mafundisho mema
@user-xx6wk8et2o11 ай бұрын
Mungu akubaliki sana pastor ndacha
@user-dz3yj4zi5t7 ай бұрын
Hawa watu nivichwa ngumu Sana ukweri banajuwa Ilaniwa potevu wisramu 2
@CLIVEMNYASA Жыл бұрын
Kwako Ndacha, Nimemuelewa YESU💥💥💥💥
@janekimwetich Жыл бұрын
Waislamu wako na matatizo, only God will intervene them
@saphinalutaha907710 ай бұрын
Uislam ndo dn msujudieni mwenyezmngu Mana hata malaika mbiguni wanamsujudia mungu achana kupotosha watu
@KEVIN-SAINA8 ай бұрын
two of my favorites.. Ndacha na Mana Hamisi Mwagarashi... mashairi amebobea
@abelkombo4169 Жыл бұрын
SALAMU KUTOKA SWISSLAND EUROPE,MWALIMU DACHA MUNGU YWAKUTUMIYA KUFANYA KAZI NZURI.
@muvurwanezaanitha742 Жыл бұрын
Mtumishi Wa Mungu Mungu Akulunde najuwa vita nikali sababu awowandungu zetu simchezo ubarikiwe sana
@mwanashagladys458111 ай бұрын
Amen
@skwtv8133 Жыл бұрын
Waislamu mko na shida ya kuelewa ukweli mlio upata mkaleta uongo wa Quran 😭😭😭😭😭😭😭
@skwtv8133 Жыл бұрын
Heko mwalimu Ndacha okoa Hawa makafiri
@boscojohnny8980 Жыл бұрын
Mtu wa Mungu Ndacha ....nakuomba utuletee kipindi hiki hii erea ya Nairobi-Umoja please 🙏
@saphinalutaha907710 ай бұрын
Daaa ety mungu anazaa subhalla 😂😂😂😂😂😂 ametakaska na kla aina ya uchafu
@saphinalutaha907710 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 mungu nimuumbaji tu hana mke wala mwana ana waja wake tu
@richardkiarie7445 Жыл бұрын
Jeremiah 1:10
@miltonchemalan946 Жыл бұрын
FBII nafwatilia sana
@user-fn1sr7jq7g8 ай бұрын
God bless you Ndacha , very soon I'll join in the ministry
@mush337 Жыл бұрын
Matendo yako kama yanafanana na ya yesu hutaitaji kuita yesu mwana wa mungu au mungu ndio watu wa dunia wajue wewe unamjua mungu,matendo yako tu yataonyesha wewe unamjua yesu. Kuna wanafunzi wa yesu ambao walikuwa wanamjua yesu kama mwalimu,Rabi,nNabii lakini waliitwa wafuasi wa yesu mwana matendo Yao yalifanana na ya yesu. Yesu alikuja duniani Ili watu wamuamini yeye,Kujua yesu alikufa Kwa ajili ya dhambi zako na anahitaji uwe mtakatifu imetosha kumjua mungu,hata Uite yesu mfalme bila kumuita mwana wa mungu Kwa sababu unafuata matendo ya huyo mfalme imetosha wewe kuwa mbinguni
@saphinalutaha907710 ай бұрын
Ety yesu alimwta we mwanamke😂😂😂😂😂 bible ni ktabu cha mchongo
@mush337 Жыл бұрын
Kuna wale ambao walikuwa wanajua yesu kama nabii wa mungu na hawana makosa hata kidogo,ukishajua yesu ni nabii wa mungu kukubali kutenda kulingana na matakwa yake ndio ukamilifu wa kumjua mungu,hata uamini kuwa yesu ni mwalimu hakuna makosa, ukamilifu wa kumuamini yeye ni kufuata jinsi anavyokuamuru,huezi sema humjui yesu ilihali matendo yako na yake yanafanana,na huezi sema unamjua inihali matendo yako haifanana na ule yesu. Wanafunzi wa yesu walijulikana na wananchi Sio Kwa sababu walikuwa wakiita yesu mwana wa mungu ila matendo Yao yalifanana
@francismuriki7851 Жыл бұрын
Vipi unatamatiza Leo na kibali ni Hadi tarehe ishirini
@fredrickgitonga1972 Жыл бұрын
Elimu ya Biblia ni bahari kubwa kuielewa ni mpaka huwe na roho mtakatifu dio akueleweshe , kwa maana mambo ya Biblia ni mambo ya rohoni, na Mambo ya Qur'an ni Mambo ya mwilini,
@saphinalutaha907710 ай бұрын
😂😂😂😂😂 acha uongo
@Abigael-ir8gv Жыл бұрын
God thank you for your child bless him 🙏
@user-wc7xg1ve9l8 ай бұрын
Amen😅😮
@MosesMomanyi-rf1kn Жыл бұрын
Kweli tuna kazi ,kwa kuwaubiria waislamu
@Arishafa547
Жыл бұрын
Labda uwaendee wabaniani waislam wame kamilika kila pembe INNA DINA GHINDALLAH AL HISILAM
@opujejoshmahjoshmah1432 Жыл бұрын
Waislaam Sasa. Leo wameshindwa kupinga Yesu ni Mwana wa Mungu,kibano na Ngoma Iko Sasa Kwa wanaTritarian GCSDA hao ndio wamegeuka Waislaam na Wayahudi wa leo.plz Trinity people let's join together we preach about Our Lord Begotten son of God Acts10:38-40
@felicienshela4932
Жыл бұрын
( Utatu + uislamu = 1 👈🏾) ni hatari sana kabisa, 😂😂😂😂, 🇨🇩
@mush337 Жыл бұрын
Na je Kuna wale walikuwa wanaamini yesu ni mungu hio wakati na Je yesu mwenyewe aliambia Nini wale ambao waliamini yeye kuwa mungu?Uite yesu mungu uko sawa,umuite mfalme uko sawa,umuite baba uko sawa,umuite high priest uko sawa,umuite kondoo iondoayo dhambi uko sawa,umuite mwana wa mungu uko sawa,manabii walimuita majina tofautitofauti, umuite Rabi uko sawa hutaenda mtoni Kwa sababu eti uliita yesu mungu au mwana,utaenda mtoni maana uliiba,ulisini,ulikataa sabato,ulitamani ,ulitukana etc.Utasimama mbele ya mwenyezi mungu sababu ya matendo yako Wala Sio Kwa sababu ya kuita yesu mungu ,Wala Sio Kwa sababu ya kuita roho mtakatifu mungu,kama uliita roho mtakatifu mungu akakataa kuitika hapo ndipo makosa Iko lakini kama aliitika makosa ni yake Sio yako. Wakati Yohana alitaka kuabudu malaika ,malaika alikataa,mbona wakati roho mtakatifu aliitwa mungu hakatai? Mungu hachunguziki ,unaeza chunguza amri zake lakini huezi kumchunguza mungu
@breaking13327 Жыл бұрын
Good
@mush337 Жыл бұрын
Kwa Bibilia kuliwai kuwa na kuhani mwanamke?
@jacksonkilonzo1439 Жыл бұрын
huyu mwislamu n mbimbumbu tuu analazimisha elimu yakie ya msikitini tuuu
@ElizaNjeri-zn2nb Жыл бұрын
Alafu mwalimu ningekuomba ukuje wangige market juu Kuna mahubiri ya kuchanganya watu pia uislamu unaingia wakati ulikua mwimuto wengi hawakujua lakini ukija wangige utasafisha uchafu wote
@jesusislord9190 Жыл бұрын
Malaika amekuwa mtume kwa wana wa Israel...malaika.. huyu eti kasim ..ndio mtu anaweza kucheka mkristo..kuwa hujui kitu kunakutokujua zaidi ya huku kwa kasim??
@jesusislord9190 Жыл бұрын
Waislam hawawezi .. kuwa binaadam wa kawaida Allah anasema ninakujieni
@Arishafa547
Жыл бұрын
📢📢📢Yaan mnaangaika sana ila tu hamna lolote
@jesusislord9190
Жыл бұрын
@@Arishafa547 Allah anasema ninakujieni kwahiyo Allah aliwajia wana wa Israel??
@Arishafa547
Жыл бұрын
@@jesusislord9190 nika kujieni nin🙄
@jesusislord9190
Жыл бұрын
@@Arishafa547 sasa haujui??
@jesusislord9190 Жыл бұрын
Ndacha ivi huwa unapoteza muda sana kwann?? Usimuulize wapi Quran au khadith Allah anaweza kuitwa Baba
@richardkiarie7445 Жыл бұрын
Pull down lier from warambu
@janenjeri9750 Жыл бұрын
I think the demons inside every Muslim is what makes them hard to believe..c kupenda kwao...ask yourself mbona mwislamu akipagawa anasomea?
@jeanmuzaliwa9023 Жыл бұрын
sasa imekuwaje leo ndio final likoni,mbona kibali ni cha 2weeks nini shida?
@dicksonkoech9528 Жыл бұрын
Waislamu n wagumu kuelewa
@noahwamalwa4385
Жыл бұрын
wanajua ukweli lakini ni ushabiki tu...
@MariaWambugha-nh1wh
Жыл бұрын
Huyo jamaa wa mapete na rafiki yake muwapatiege dakika 10 basi zaidi ya muda huu hapo hapana watakuchoke bure mwalimu Ndacha kama walimu wao walikinbia wao ninani waweze haja zako mwalimu😮😮😮😮😮😮😮😮😮
@Arishafa547 Жыл бұрын
Kelele zako zote mazinge Ana kupiga na kitu kizito kichwani 😂😂😂😂😂😂😂😂😂💯
@georgeonyango5376
Жыл бұрын
Fwatilia vizuri,Mazinga hamfiki Ndacha.Mimi Leo nimeona Korani haina ujumbe hata kidogo.
@sylvestersamwel8210
Жыл бұрын
Mazinge hana chochote na lolote kwa habari ya Maandiko Matakatifu( BIBLIA ) ila ni comedian na mchumia tumbo.
@Arishafa547
Жыл бұрын
@@sylvestersamwel8210 bibilia ipi takatifu📢📢📢📢📢
@JESUSISLO891
Жыл бұрын
Kama kuna mtu Hana hoja hata kidogo ni mazinge
@navokisembo
Жыл бұрын
Mazinge ni zero hoja kama ndo mnamtegemea mmekula kwao. Kazi yake kufoka na kukashifu. Yesu ndo habari iliyopo
@Mejaclub6 ай бұрын
Ndacha kiboko cha waislam,hasaa dr Sulle anamuogopa sana mwalimu Ndacha. Huyu Ndacha ndiye ame tumwa duniani ili atuelekeze.
@aminahmed678 Жыл бұрын
Ndacha akili kama kuku
@janenjeri9750
Жыл бұрын
Sikizeni ukweli kabla giza kuingia
@alsamali6964 Жыл бұрын
Kwa hiyo ukiulizwa nini dini yako unasema Yesu ? 😂😂😂😂😂😂
@ludovickmutalemwa7387
Жыл бұрын
Ndiyo
@alsamali6964
Жыл бұрын
Hapohapo ni mungu na ni mwanamungu. 😁😁😁😁😁
@boretum287
Жыл бұрын
Ni Yesu ndio..kwasababu,dini ni ni?Ni njia Kwa minajili ya Quran,Yani Njia..maanake 'dini' ni ligha ya kiarabu,Kwa kiswahili ni njia..naye Yesu asema 'mimi ndie njia ya kweli na uzima..."
@jesusislord9190 Жыл бұрын
Kumbe hata majini ni Allah kumbe hata maneno ya majini ni maneno ya Allah??
@saphinalutaha9077
10 ай бұрын
Alla ni mungu na majn yameumbwa na mungu ladhma yamsujudie mungu
@jesusislord9190
10 ай бұрын
@@saphinalutaha9077 kwani mtu hajaumbwa na MUNGU?
@saphinalutaha9077
10 ай бұрын
@@jesusislord9190 mtu nae ameumbwa na mungu na muishukuru Qur'an imewafundsha kuhusu Majin isgekuwa Qur'an msngejua Kama Kuna majn,🤣🤣🤣🤣🤣
@jesusislord9190
10 ай бұрын
@@saphinalutaha9077 kweli?? Quran imefundisha kuhusu majini?? Wale YESU alikuwa anawakemea walikuwa Muhhamad??
@saphinalutaha9077
10 ай бұрын
@@jesusislord9190 kumbe na kwenye Bible wametanjwa ee Sasa mbona mnaweweseka kla kilcho umbwa na mwenyezmngu ladhma kumsujudia na majn yameumbwa na mungu mnashangaa majn 🤣🤣🤣shangaeni bas na Surat rad Mana Qur'an haijaacha ktu,
@alsamali6964 Жыл бұрын
Huu anaoufanya NDACHA NI UFALA. Kwa mujibu wa quran 3:49. 1.yesu katumwa (mtume) 2.yesu atafanya miujiza lakini kwa idhini ya m/mungu. (Hata mitume wengine walipewa miujiza yao lakini kwa idhini ya m/mungu) Sasa hapo wapi panapoonyesha yesu ni mtoto wa mungu au ni mungu?
@benjathekingofficialshows
Жыл бұрын
Tulia dawa ikuingie
@elishajuma179
Жыл бұрын
Koran inapinga yesu na Wala haimujui kabisa
@alsamali6964
Жыл бұрын
@@elishajuma179 Toa ushahidi tuamini. Kwa sababu quran ndo kitabu pekee kinachoeleza maisha ya yesu kwa usahihi kabisa. Lete aya au andiko linaloashiria kumkataa yesu ili jumapili twende kanisani pamoja. NASUBIRI
@noelaezekieli
Жыл бұрын
Katia wislamu hawahi kuonekana mtu mwenye kipaji kikubwa kama mwalimu ndacha hâta mazinge hawezi akamfikia Mungu zmbariki n'a kumpa maisha marefu
@noelaezekieli
Жыл бұрын
Yesu kuitwa moto wa Mungu au Mungu sio wongo hiyo ndio Biblia waislamu wanashindwa kujua sababu habari za roho hawajui Wana mjua yesu Katika mwili baada ya kuzaliwa n'a maria my ukipenda hue uhungu wa yesu nilazima Uwe mkristo
@janenjeri9750 Жыл бұрын
Mtume Muhammad ni false prophet 👹
@johnngige5794 Жыл бұрын
I found these passegs in hadith, islam is full of comedy 4.506: Narrated Abu Huraira: The Prophet said, "When any human being is born. Satan touches him at both sides of the body with his two fingers, except Jesus, the son of Mary, whom Satan tried to touch but failed, for he touched the placenta-cover instead." FROM THE HADITH OF SAHIH MUSLIM, vol. 1, #751: Abu Sufyan reported it on the authority of Jabir that he had heard the apostle of Allah say: "When Satan hears the call to prayer, he runs away to a distance like that of Rauha". Sulaiman said: "I asked him about Rauha." He replied, "It is at a distance of 36 miles from Medina." BUKHARI'S HADITH CONTINUED 2.245: Narrated 'Abdullah : A person was mentioned before the Prophet and he was told that he had kept on sleeping till morning and had not got up for the prayer. The Prophet said, "Satan urinated in his ears." 4.492: Narrated 'Abdullah: It was mentioned before the Prophet that there was a man who slept the night till morning (after sunrise). The Prophet said, "He is a man in whose ears (or ear) Satan had urinated." AND FROM THE HADITH OF SAHIH MUSLIM Book 41, Number 7131: [5] Narrated Abu Sa'id al-Khudri: Allah's Apostle said: When one of you yawns, he should try to restrain it with the help of his hand since it is the Satan that enters therein.
@janenjeri9750
Жыл бұрын
😂😂lol lemmi first
@KoomeNzima-lp4ql Жыл бұрын
Amen
@stevenmwakimi3731
Жыл бұрын
TANZANIA NINAKUFUATILIA SANA MWALIMU NDACHA.
@noelaezekieli
Жыл бұрын
Waislamu hawezi kuhelewa Biblia kwasababu hawajui habari za Roho mtakatifu wao ni watu wa mwili habari za Roho kwao ni hupuhuzi wao wanamjua yesu baada ya kuzaliwa n'a mariamu
Пікірлер: 119
Kweli kila mtu na kipaji cake kinaco mustahili mimi nashangaa venye mwalimu Ndacha anajibu kwa maandiko na hana kitabu cocote mikononi mwake lakini sura na mistari na aya zote zimepangwa kicwani na hakoseyi kweli MUNGU ni wahajabu sana kweli Ndacha Mungu alikupendeley sana na uwe unamshukuru MUNGU kwa hilo maan sii vya wote mtu anaweza tamani kuwa kama wewe kwa uwo uwezo uliyo pewa na MUNGU lakini isiwezekane sisi wengine tunashika maandiko uyo mda baada ya masahaa ma tatu tayari yamesha poteya kicwani hakika mwalimu wangu Ndacha MUNGU azidi kukutumiya kama combo na kwa sababu hiyo uyo uyo MUNGU aliye kupa hico kipawa ca kuhubiri bila uoga ao kudanganya kama wanavyo fanya wengi hakika MUNGU atazidi kukulinda kwaajili ya kazi zake unazo zifanya ubarikiwe sana na mwisho wa dahari utapewa kile MUNGU alico kuandaliya ikiwemo uzima wa milele so usiogope wanadam ao vitisho vya watu wasiyo kuelewa kwa sababu aliye kuweka hapo ni mkuu zaidi ya hao wanao kupinga MUNGU akubariki sana Mwalimu wangu Ndacha tunakufatiliya sana ingekuw inawezekana MUNGU angetaka basi angekutuma huku uarabuni Saudi Arabia 🇸🇦 ili wapate neno la uzima wenda hata watatu waweze kuokoka ila sasa hiyo ni ngumu san ila MUNGU akiamuwa yote yanawezekan na anaweza kukulinda kwa garama kubwa sana ili warabu waweze kumjuwa MUNGU wa kweli wa mbinguni.
@boscojohnny8980
Жыл бұрын
Ndabonye umuntu wiwacu akurikirana uyu mugabo...jew yarantwaye ubwenge...ndamukurikirana buri musi
@gatekanene5753
Жыл бұрын
@@boscojohnny8980 ego vrm jewe uyu nu mwaka wa gatatu nkurikiran akazi kiwe keza yahawe n UHORAHO ndamukunda cane arafasha imitima yabantu beshi
@boscojohnny8980
Жыл бұрын
Wow nivyiza kweli ...najew maz kumwigirako vyinshi...ndakunda nokuja aho aba ari
@gatekanene5753
Жыл бұрын
@@boscojohnny8980 uri muri Kenya 🇰🇪? Jewe ndamurabir aha kur you tube ndi Saudi Arabia 🇸🇦
@saphinalutaha9077
10 ай бұрын
Unashangaa ktabu chenyewe kimoja je mashekhe wanaohifadh vtabu 30kchwan nikawaida sana
Ndacha barikiwa hawa waislamu shida yao wanaogopa kukiri ukweli yaani bora waende jehanamu. Dini yao ni ya kuogopeshana kazi wananayo
Mwalimu Ndacha Mungu akumbaliki na akupee nguvu.. na more wisdom..
Yani huyu mwalimu ndacha anafundisha hoja zilizo waziwazi kabisa.... Mimi binafsi kupitia hii channel nimejifundisha mengi sana nlokuwa siyajui, la kwanza, sikuwa najua waislam imani yao, na dini yao kwa ujumla.... Kumbe nihivoooo.... Wacha niwapite na mkono kushoto. Mimi mkristo forever
I love Ndacha's teachings; he builds his arguments on the books. Islam is Moh'd's faith
Hakika namkubali Pastor Dacha , 100%
I love the teaching of the messager of Christ,pstr Francis dacha
On Behalf of my Family, my Village people, my Ancestors and also my Wicked Landlord, we approve NDACHA IS THE MESSENGER FROM GOD 😂😍💯🔥
@naftalioletipia5812
Жыл бұрын
I totally agree with you
@ezekielmwamba9106
Жыл бұрын
Amen
@mrfactsthenimwanzo9571
Жыл бұрын
I agree
@morinyoparks8073
Жыл бұрын
Ni Eliyah wa wakati huu.....NO ONE DEFEATS HIM IN SCRIPTURES
@dicksonmandeka6461
3 ай бұрын
Pplp
Amen Mwalimu Ndacha Roho wa Mungu ako nawe popote utakuwa na yote yatawezekana kwa jina la Yesu Kristo.
Ndasha ongeza mikutano mataifa mbalimbali huku Kilimanjaro😊
Hongera mwalimu Ndacha kwa mafundisho mema
Mungu akubaliki sana pastor ndacha
Hawa watu nivichwa ngumu Sana ukweri banajuwa Ilaniwa potevu wisramu 2
Kwako Ndacha, Nimemuelewa YESU💥💥💥💥
Waislamu wako na matatizo, only God will intervene them
Uislam ndo dn msujudieni mwenyezmngu Mana hata malaika mbiguni wanamsujudia mungu achana kupotosha watu
two of my favorites.. Ndacha na Mana Hamisi Mwagarashi... mashairi amebobea
SALAMU KUTOKA SWISSLAND EUROPE,MWALIMU DACHA MUNGU YWAKUTUMIYA KUFANYA KAZI NZURI.
Mtumishi Wa Mungu Mungu Akulunde najuwa vita nikali sababu awowandungu zetu simchezo ubarikiwe sana
Amen
Waislamu mko na shida ya kuelewa ukweli mlio upata mkaleta uongo wa Quran 😭😭😭😭😭😭😭
Heko mwalimu Ndacha okoa Hawa makafiri
Mtu wa Mungu Ndacha ....nakuomba utuletee kipindi hiki hii erea ya Nairobi-Umoja please 🙏
Daaa ety mungu anazaa subhalla 😂😂😂😂😂😂 ametakaska na kla aina ya uchafu
😂😂😂😂😂😂 mungu nimuumbaji tu hana mke wala mwana ana waja wake tu
Jeremiah 1:10
FBII nafwatilia sana
God bless you Ndacha , very soon I'll join in the ministry
Matendo yako kama yanafanana na ya yesu hutaitaji kuita yesu mwana wa mungu au mungu ndio watu wa dunia wajue wewe unamjua mungu,matendo yako tu yataonyesha wewe unamjua yesu. Kuna wanafunzi wa yesu ambao walikuwa wanamjua yesu kama mwalimu,Rabi,nNabii lakini waliitwa wafuasi wa yesu mwana matendo Yao yalifanana na ya yesu. Yesu alikuja duniani Ili watu wamuamini yeye,Kujua yesu alikufa Kwa ajili ya dhambi zako na anahitaji uwe mtakatifu imetosha kumjua mungu,hata Uite yesu mfalme bila kumuita mwana wa mungu Kwa sababu unafuata matendo ya huyo mfalme imetosha wewe kuwa mbinguni
Ety yesu alimwta we mwanamke😂😂😂😂😂 bible ni ktabu cha mchongo
Kuna wale ambao walikuwa wanajua yesu kama nabii wa mungu na hawana makosa hata kidogo,ukishajua yesu ni nabii wa mungu kukubali kutenda kulingana na matakwa yake ndio ukamilifu wa kumjua mungu,hata uamini kuwa yesu ni mwalimu hakuna makosa, ukamilifu wa kumuamini yeye ni kufuata jinsi anavyokuamuru,huezi sema humjui yesu ilihali matendo yako na yake yanafanana,na huezi sema unamjua inihali matendo yako haifanana na ule yesu. Wanafunzi wa yesu walijulikana na wananchi Sio Kwa sababu walikuwa wakiita yesu mwana wa mungu ila matendo Yao yalifanana
Vipi unatamatiza Leo na kibali ni Hadi tarehe ishirini
Elimu ya Biblia ni bahari kubwa kuielewa ni mpaka huwe na roho mtakatifu dio akueleweshe , kwa maana mambo ya Biblia ni mambo ya rohoni, na Mambo ya Qur'an ni Mambo ya mwilini,
😂😂😂😂😂 acha uongo
God thank you for your child bless him 🙏
Amen😅😮
Kweli tuna kazi ,kwa kuwaubiria waislamu
@Arishafa547
Жыл бұрын
Labda uwaendee wabaniani waislam wame kamilika kila pembe INNA DINA GHINDALLAH AL HISILAM
Waislaam Sasa. Leo wameshindwa kupinga Yesu ni Mwana wa Mungu,kibano na Ngoma Iko Sasa Kwa wanaTritarian GCSDA hao ndio wamegeuka Waislaam na Wayahudi wa leo.plz Trinity people let's join together we preach about Our Lord Begotten son of God Acts10:38-40
@felicienshela4932
Жыл бұрын
( Utatu + uislamu = 1 👈🏾) ni hatari sana kabisa, 😂😂😂😂, 🇨🇩
Na je Kuna wale walikuwa wanaamini yesu ni mungu hio wakati na Je yesu mwenyewe aliambia Nini wale ambao waliamini yeye kuwa mungu?Uite yesu mungu uko sawa,umuite mfalme uko sawa,umuite baba uko sawa,umuite high priest uko sawa,umuite kondoo iondoayo dhambi uko sawa,umuite mwana wa mungu uko sawa,manabii walimuita majina tofautitofauti, umuite Rabi uko sawa hutaenda mtoni Kwa sababu eti uliita yesu mungu au mwana,utaenda mtoni maana uliiba,ulisini,ulikataa sabato,ulitamani ,ulitukana etc.Utasimama mbele ya mwenyezi mungu sababu ya matendo yako Wala Sio Kwa sababu ya kuita yesu mungu ,Wala Sio Kwa sababu ya kuita roho mtakatifu mungu,kama uliita roho mtakatifu mungu akakataa kuitika hapo ndipo makosa Iko lakini kama aliitika makosa ni yake Sio yako. Wakati Yohana alitaka kuabudu malaika ,malaika alikataa,mbona wakati roho mtakatifu aliitwa mungu hakatai? Mungu hachunguziki ,unaeza chunguza amri zake lakini huezi kumchunguza mungu
Good
Kwa Bibilia kuliwai kuwa na kuhani mwanamke?
huyu mwislamu n mbimbumbu tuu analazimisha elimu yakie ya msikitini tuuu
Alafu mwalimu ningekuomba ukuje wangige market juu Kuna mahubiri ya kuchanganya watu pia uislamu unaingia wakati ulikua mwimuto wengi hawakujua lakini ukija wangige utasafisha uchafu wote
Malaika amekuwa mtume kwa wana wa Israel...malaika.. huyu eti kasim ..ndio mtu anaweza kucheka mkristo..kuwa hujui kitu kunakutokujua zaidi ya huku kwa kasim??
Waislam hawawezi .. kuwa binaadam wa kawaida Allah anasema ninakujieni
@Arishafa547
Жыл бұрын
📢📢📢Yaan mnaangaika sana ila tu hamna lolote
@jesusislord9190
Жыл бұрын
@@Arishafa547 Allah anasema ninakujieni kwahiyo Allah aliwajia wana wa Israel??
@Arishafa547
Жыл бұрын
@@jesusislord9190 nika kujieni nin🙄
@jesusislord9190
Жыл бұрын
@@Arishafa547 sasa haujui??
Ndacha ivi huwa unapoteza muda sana kwann?? Usimuulize wapi Quran au khadith Allah anaweza kuitwa Baba
Pull down lier from warambu
I think the demons inside every Muslim is what makes them hard to believe..c kupenda kwao...ask yourself mbona mwislamu akipagawa anasomea?
sasa imekuwaje leo ndio final likoni,mbona kibali ni cha 2weeks nini shida?
Waislamu n wagumu kuelewa
@noahwamalwa4385
Жыл бұрын
wanajua ukweli lakini ni ushabiki tu...
@MariaWambugha-nh1wh
Жыл бұрын
Huyo jamaa wa mapete na rafiki yake muwapatiege dakika 10 basi zaidi ya muda huu hapo hapana watakuchoke bure mwalimu Ndacha kama walimu wao walikinbia wao ninani waweze haja zako mwalimu😮😮😮😮😮😮😮😮😮
Kelele zako zote mazinge Ana kupiga na kitu kizito kichwani 😂😂😂😂😂😂😂😂😂💯
@georgeonyango5376
Жыл бұрын
Fwatilia vizuri,Mazinga hamfiki Ndacha.Mimi Leo nimeona Korani haina ujumbe hata kidogo.
@sylvestersamwel8210
Жыл бұрын
Mazinge hana chochote na lolote kwa habari ya Maandiko Matakatifu( BIBLIA ) ila ni comedian na mchumia tumbo.
@Arishafa547
Жыл бұрын
@@sylvestersamwel8210 bibilia ipi takatifu📢📢📢📢📢
@JESUSISLO891
Жыл бұрын
Kama kuna mtu Hana hoja hata kidogo ni mazinge
@navokisembo
Жыл бұрын
Mazinge ni zero hoja kama ndo mnamtegemea mmekula kwao. Kazi yake kufoka na kukashifu. Yesu ndo habari iliyopo
Ndacha kiboko cha waislam,hasaa dr Sulle anamuogopa sana mwalimu Ndacha. Huyu Ndacha ndiye ame tumwa duniani ili atuelekeze.
Ndacha akili kama kuku
@janenjeri9750
Жыл бұрын
Sikizeni ukweli kabla giza kuingia
Kwa hiyo ukiulizwa nini dini yako unasema Yesu ? 😂😂😂😂😂😂
@ludovickmutalemwa7387
Жыл бұрын
Ndiyo
@alsamali6964
Жыл бұрын
Hapohapo ni mungu na ni mwanamungu. 😁😁😁😁😁
@boretum287
Жыл бұрын
Ni Yesu ndio..kwasababu,dini ni ni?Ni njia Kwa minajili ya Quran,Yani Njia..maanake 'dini' ni ligha ya kiarabu,Kwa kiswahili ni njia..naye Yesu asema 'mimi ndie njia ya kweli na uzima..."
Kumbe hata majini ni Allah kumbe hata maneno ya majini ni maneno ya Allah??
@saphinalutaha9077
10 ай бұрын
Alla ni mungu na majn yameumbwa na mungu ladhma yamsujudie mungu
@jesusislord9190
10 ай бұрын
@@saphinalutaha9077 kwani mtu hajaumbwa na MUNGU?
@saphinalutaha9077
10 ай бұрын
@@jesusislord9190 mtu nae ameumbwa na mungu na muishukuru Qur'an imewafundsha kuhusu Majin isgekuwa Qur'an msngejua Kama Kuna majn,🤣🤣🤣🤣🤣
@jesusislord9190
10 ай бұрын
@@saphinalutaha9077 kweli?? Quran imefundisha kuhusu majini?? Wale YESU alikuwa anawakemea walikuwa Muhhamad??
@saphinalutaha9077
10 ай бұрын
@@jesusislord9190 kumbe na kwenye Bible wametanjwa ee Sasa mbona mnaweweseka kla kilcho umbwa na mwenyezmngu ladhma kumsujudia na majn yameumbwa na mungu mnashangaa majn 🤣🤣🤣shangaeni bas na Surat rad Mana Qur'an haijaacha ktu,
Huu anaoufanya NDACHA NI UFALA. Kwa mujibu wa quran 3:49. 1.yesu katumwa (mtume) 2.yesu atafanya miujiza lakini kwa idhini ya m/mungu. (Hata mitume wengine walipewa miujiza yao lakini kwa idhini ya m/mungu) Sasa hapo wapi panapoonyesha yesu ni mtoto wa mungu au ni mungu?
@benjathekingofficialshows
Жыл бұрын
Tulia dawa ikuingie
@elishajuma179
Жыл бұрын
Koran inapinga yesu na Wala haimujui kabisa
@alsamali6964
Жыл бұрын
@@elishajuma179 Toa ushahidi tuamini. Kwa sababu quran ndo kitabu pekee kinachoeleza maisha ya yesu kwa usahihi kabisa. Lete aya au andiko linaloashiria kumkataa yesu ili jumapili twende kanisani pamoja. NASUBIRI
@noelaezekieli
Жыл бұрын
Katia wislamu hawahi kuonekana mtu mwenye kipaji kikubwa kama mwalimu ndacha hâta mazinge hawezi akamfikia Mungu zmbariki n'a kumpa maisha marefu
@noelaezekieli
Жыл бұрын
Yesu kuitwa moto wa Mungu au Mungu sio wongo hiyo ndio Biblia waislamu wanashindwa kujua sababu habari za roho hawajui Wana mjua yesu Katika mwili baada ya kuzaliwa n'a maria my ukipenda hue uhungu wa yesu nilazima Uwe mkristo
Mtume Muhammad ni false prophet 👹
I found these passegs in hadith, islam is full of comedy 4.506: Narrated Abu Huraira: The Prophet said, "When any human being is born. Satan touches him at both sides of the body with his two fingers, except Jesus, the son of Mary, whom Satan tried to touch but failed, for he touched the placenta-cover instead." FROM THE HADITH OF SAHIH MUSLIM, vol. 1, #751: Abu Sufyan reported it on the authority of Jabir that he had heard the apostle of Allah say: "When Satan hears the call to prayer, he runs away to a distance like that of Rauha". Sulaiman said: "I asked him about Rauha." He replied, "It is at a distance of 36 miles from Medina." BUKHARI'S HADITH CONTINUED 2.245: Narrated 'Abdullah : A person was mentioned before the Prophet and he was told that he had kept on sleeping till morning and had not got up for the prayer. The Prophet said, "Satan urinated in his ears." 4.492: Narrated 'Abdullah: It was mentioned before the Prophet that there was a man who slept the night till morning (after sunrise). The Prophet said, "He is a man in whose ears (or ear) Satan had urinated." AND FROM THE HADITH OF SAHIH MUSLIM Book 41, Number 7131: [5] Narrated Abu Sa'id al-Khudri: Allah's Apostle said: When one of you yawns, he should try to restrain it with the help of his hand since it is the Satan that enters therein.
@janenjeri9750
Жыл бұрын
😂😂lol lemmi first
Amen
@stevenmwakimi3731
Жыл бұрын
TANZANIA NINAKUFUATILIA SANA MWALIMU NDACHA.
@noelaezekieli
Жыл бұрын
Waislamu hawezi kuhelewa Biblia kwasababu hawajui habari za Roho mtakatifu wao ni watu wa mwili habari za Roho kwao ni hupuhuzi wao wanamjua yesu baada ya kuzaliwa n'a mariamu
Amen