WAZIRI MKUU AMHOJI BABA LEVO "ALIKIBA AMECHANGIA TUNATAKA DIAMOND MCHANGO WAKE, MPIGIE HARMONIZE"

Пікірлер: 201

  • @ireneshao7950
    @ireneshao79506 ай бұрын

    Nampenda tuu waziri mkuu ...Mungu azid kumtunza

  • @rukydaudy3005
    @rukydaudy30056 ай бұрын

    Ally kiba ni wet wte .hapa nimepnda sana

  • @allenonesmomwebembezi6248
    @allenonesmomwebembezi62486 ай бұрын

    Daaaah!! Baba Levo na Mwijaku mnafanya kazi kubwa nyie wapuuzi

  • @salomewandya7257

    @salomewandya7257

    6 ай бұрын

    Hahaha saana

  • @user-hd5bg8qw1b

    @user-hd5bg8qw1b

    6 ай бұрын

    YANI LAKI 1 HUONI AIBU JUMBA LA KIFAHARI UNATOA LAKI DUUH😊

  • @hamisishabani8864

    @hamisishabani8864

    6 ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @priscamgala3555

    @priscamgala3555

    5 ай бұрын

  • @mcmwitatv1951
    @mcmwitatv19516 ай бұрын

    Watanzania tunapenda sana kuishi katika ufeki.

  • @Duanny-jm8fr
    @Duanny-jm8fr6 ай бұрын

    😂😂😂😂😂 imekaa vizurii aiseeh🙌🙌🙌

  • @vincentauxerbius7554
    @vincentauxerbius75546 ай бұрын

    Joti amepigwa na kitu kizito😂😂😂😂🏃🏃🏃🏃

  • @issahhussein1922
    @issahhussein19226 ай бұрын

    "Usiniangushe" akapiga na bismillah 😅 nimecheka sanaa

  • @lasteckmmary9741
    @lasteckmmary97416 ай бұрын

    Dar, hakuna nchi kama tanzania bhanaa. Mungu endelea kutulindia amani yetu?

  • @stylishgenius9886

    @stylishgenius9886

    6 ай бұрын

    Amina ❤❤❤

  • @ahmedmohammed2410
    @ahmedmohammed24106 ай бұрын

    Naipenda Tanzania yangu❤

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley61246 ай бұрын

    Na mngekua na michango km hivi kwa ndugu zetu wanaoteseka kwa kukosa huduma, maradhi yanavowasibu hakika tungekua mbali sana, hapo tulipo Kuna mtu anateseka kwa elfu moja tu😭😭😭😭

  • @fatinamsuya1305

    @fatinamsuya1305

    6 ай бұрын

    Acha tu ndugu yangu inauma Sana alafu inauma tena😢😢😢

  • @abdallahmakombo3866

    @abdallahmakombo3866

    6 ай бұрын

    Halafu shida si kuugua TU, Mambo mengi!!! Kwa hiyo Hata yanayofanyika ni sehemu ya maisha !!! MAISHA ni kuyaishi na ndio yalivyo TU haijalishi watu wana shida KIASI Gani!!!

  • @sheryphamwenevalley6124

    @sheryphamwenevalley6124

    6 ай бұрын

    @@abdallahmakombo3866 jitambue shida zinatofautiana, km ww hujui shida Kaa kimya, nchi mazezeta wengi ndio mana hatuendelei

  • @jumapiliissa4835

    @jumapiliissa4835

    6 ай бұрын

    Uondoukweli aisee

  • @geofkabo7843

    @geofkabo7843

    6 ай бұрын

    Kunakuishi halaf kunakudumu pia kunamaisha. Tuelewe kitu kimoja ila ni ngumu kuelewa ila tuseme kuishi ni kuchagua

  • @Xavierdecristo
    @Xavierdecristo6 ай бұрын

    King kama king 👑👑 salute kwa king

  • @zomasamweli
    @zomasamweli6 ай бұрын

    Mweshimiwa lile sio gorofa ni ngazi za kuwekea matenk😂😂😂

  • @BAHATIAPALALEBernard-pd8xq

    @BAHATIAPALALEBernard-pd8xq

    6 ай бұрын

    Dah😂

  • @saidissa4741

    @saidissa4741

    6 ай бұрын

    Hahahhahha

  • @zomasamweli

    @zomasamweli

    6 ай бұрын

    @@saidissa4741 yaani baba levo anavunja mbavu

  • @user-pt9vm4vd1d
    @user-pt9vm4vd1d6 ай бұрын

    Dh ila mwijaku kaupeleka uchawa kwenye level za juu😂😂😂

  • @breymbasa3451

    @breymbasa3451

    6 ай бұрын

    Mwanzilishi wa Uchawa ni nani kati ya hao wawili kama unakumbuka

  • @donaldmartin-ps2ig

    @donaldmartin-ps2ig

    6 ай бұрын

    Chawa wa kwanza ni baba levo

  • @donaldmartin-ps2ig

    @donaldmartin-ps2ig

    6 ай бұрын

    Chawa wa kwanza ni baba levo

  • @johnsilima1629

    @johnsilima1629

    2 ай бұрын

    Chawa wa kwanza ni baba levo na Alistote

  • @betrackjasson6698
    @betrackjasson66986 ай бұрын

    Joty kazimwa kinoman😢😢😢😢😢😢

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no6 ай бұрын

    😂😂😂😂 eti jumba la 1.3B?? Hivi huyu Mwijaku anajua 1.3B Tsh?? Afu anakuja kuchangia laki??😂

  • @KassimAlly-xp4dz

    @KassimAlly-xp4dz

    6 ай бұрын

    Chizi yule

  • @user-yy2oq8kg9p
    @user-yy2oq8kg9p6 ай бұрын

    Alikiba atabaki kuwa king siku zote

  • @georgejohny6422

    @georgejohny6422

    6 ай бұрын

    Kivip ss king kwako,,,hyo n king mavi au kipusa😂😂

  • @olicendayihimbaze4074

    @olicendayihimbaze4074

    6 ай бұрын

    Karare bhana wewe ndo mavii​@@georgejohny6422

  • @SuleAmber-lw2tx

    @SuleAmber-lw2tx

    6 ай бұрын

    ​@@georgejohny6422Ulitaka awe King nani😂😂 kwendraaaa hukoooo mchawiii weweee

  • @user-pk2zr7om2p

    @user-pk2zr7om2p

    6 ай бұрын

    ​@@georgejohny6422Wivu tu

  • @annasolomon9855

    @annasolomon9855

    6 ай бұрын

    ​@@georgejohny6422kwetu kama wew sio king ni kwako mavi wew sura kama nyani wa Lubondo.. Huoni baba levo anasema alikiba ni WA kwetu sote 😅

  • @Markhomestz
    @Markhomestz6 ай бұрын

    Eti hapokeagi simu zake 😂😂😂

  • @giztony2009
    @giztony20096 ай бұрын

    Hili senge linajikutaga linajipendekeza kwa watu na kujifanya yupo karibu yke mbona leo halijapokelewa simu@ poor mwijaku

  • @Josephkp629
    @Josephkp6296 ай бұрын

    Joti hii shughul 😊 auonekan kabiss 3:54

  • @stevenbupamba4161
    @stevenbupamba41616 ай бұрын

    nzuri hii

  • @lelomellowtz
    @lelomellowtz6 ай бұрын

    😂😂😂Mjini shule wadau sio vyeti😂

  • @victormathias9194

    @victormathias9194

    6 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @meedyshow8807
    @meedyshow88076 ай бұрын

    Doto magali angekuwepo .ange wapigia matajiri watano tu lingeisha

  • @gustavompemba1781

    @gustavompemba1781

    6 ай бұрын

    Ana viwango hvo

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja19956 ай бұрын

    Safi sana mwijaku 😂😂😂

  • @CEDOTV-pu9cw
    @CEDOTV-pu9cw6 ай бұрын

  • @ilakizajabari8291
    @ilakizajabari82916 ай бұрын

    Joti kayakanyaga kukutana na vichaa zaidi yake 😂😂😂😂

  • @eddyempire9797
    @eddyempire97976 ай бұрын

    Ndo uwezo wangu, nmetoka kwenye ujenzi😂

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    6 ай бұрын

    Hahahaha,,,,tatizo ni kufeki maisha

  • @kaizangaile4469
    @kaizangaile44696 ай бұрын

    Hongera sana PM

  • @linetshavu
    @linetshavu6 ай бұрын

    Nimependa Waziri mkuu anavyochangamsha genge na machawa pro😂

  • @Joviti175
    @Joviti1756 ай бұрын

    Baba levo na mwijaku mbona mmembania joti?

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba24256 ай бұрын

    Aahhhh ety hile siyo ghorofa ni ngazi za kuwekea ma-tank😅😅😅

  • @davidmziray2048
    @davidmziray20486 ай бұрын

    Yaani hao chawa hata protocol hawajui mmewatos wapi

  • @user-xx6uf5kj9w
    @user-xx6uf5kj9w6 ай бұрын

    mwamba sanaa mheshimiwa waziri wetu wa nguvu

  • @derickdenis4223
    @derickdenis42236 ай бұрын

    I love my country

  • @koyiasunga9785
    @koyiasunga97856 ай бұрын

    Joti yaani kafunikwa na baba levo na mwijaku

  • @tambajordan5595
    @tambajordan55956 ай бұрын

    😢dah

  • @mangalilikilawe6788
    @mangalilikilawe67886 ай бұрын

    Ngazi za kukwea kwenye matenk

  • @MrTop-wj7no

    @MrTop-wj7no

    6 ай бұрын

    😂😂😂

  • @hassanwaziri912
    @hassanwaziri9126 ай бұрын

    Hawa wajamaa wanachekesha Sana kwakweli🎉🎉🎉

  • @JacquelineMahumbe
    @JacquelineMahumbe6 ай бұрын

    Barikiwa mkuu

  • @yayanews6870
    @yayanews68706 ай бұрын

    Nice

  • @user-px3po9lt8g
    @user-px3po9lt8g6 ай бұрын

    ❤ Tanzania

  • @j...876
    @j...8766 ай бұрын

    JOTI kazima kweli!!!😮😮

  • @husseinhamis1428

    @husseinhamis1428

    6 ай бұрын

    Daah co pow jamaa kapotezwa gafla mpak co pow aloo

  • @saidissa4741

    @saidissa4741

    6 ай бұрын

    Haha

  • @AggreyHamisi-og2fm
    @AggreyHamisi-og2fm6 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 laki moja , mwijaku 🙌🙌🙌

  • @happinesstvm.

    @happinesstvm.

    6 ай бұрын

    3k ya kenya 😂😂😂😂

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    6 ай бұрын

    Hahahaha,,,

  • @talents7934

    @talents7934

    6 ай бұрын

    ​@@happinesstvm.Ya kenya inafanyaje hapa Tanzania?? Mbona wakenya mnakuwa wajinga sana? Mnalialia Unga hamna kama mateja ila bado mnatufuatilia tu nikimpigia simu waziri awafungie mipaka hapa mtakufa nyie kama kuku😢

  • @jrsaid4270

    @jrsaid4270

    6 ай бұрын

    ​@@happinesstvm.Sasa we wa Kenya unahusikaje huku ni Tanzania kiherehere inakusumbua

  • @rizikiabdalla2501
    @rizikiabdalla25016 ай бұрын

    Hapa kama una stress zinatoka 😂😂😂

  • @consolathambuya2239
    @consolathambuya22396 ай бұрын

    😂😂😂😂 Dah! Joti alivyonyamaza hapo, Ila mwijaku anavyoomba Harmonize asimuangushe dah🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mamamwajei8789
    @mamamwajei87896 ай бұрын

    waziri kumbe anaangaliaga udaku

  • @AggreyHamisi-og2fm
    @AggreyHamisi-og2fm6 ай бұрын

    Yaaan mtu kajenga nyumba ya 1.3B afu anatoa mchango wa laki 1 😂😂😂🙌

  • @davidshaban7375

    @davidshaban7375

    6 ай бұрын

    Ile nyumba ikizidi sana 400M iko hapa mtaani ninapoishi

  • @afratrad7214

    @afratrad7214

    6 ай бұрын

    Hao ndio waha

  • @zeddymourice4249

    @zeddymourice4249

    6 ай бұрын

    😂😂😂😂nimeipenda hiyo

  • @BarbaraPatience-qt9cc

    @BarbaraPatience-qt9cc

    6 ай бұрын

    Hahahaha

  • @innocentmgaya5688

    @innocentmgaya5688

    6 ай бұрын

    Amebanwa na ujenzi 😂

  • @emilioadremaneadremane2706
    @emilioadremaneadremane27066 ай бұрын

    King🎉🎉🎉🎉🎉

  • @joycehaule9717
    @joycehaule97176 ай бұрын

    Hahahhahahahahahahahahahahahahhahahahahahahahahahahahahaa waziri mkuu leo umejionea mambo aisee wanachekesha sana hawa watu

  • @babazizu1255
    @babazizu12556 ай бұрын

    Mh rais mh mziri mkuu itifak izingatiwe nimependa hamasa hii aisee ht timu ye2 ikiona hvyo mnaipa moyo mungu awalinde aisee

  • @saidabdurahman9631
    @saidabdurahman96316 ай бұрын

    Waha waheshimike Tz 😂😂😂

  • @user-sl9pq7xn1k
    @user-sl9pq7xn1k6 ай бұрын

    Bismilah rabil aghalameen 😂😂😂😂mwijaku dah

  • @godfreykarata3710
    @godfreykarata37106 ай бұрын

    😂laki mmmmh

  • @mohamedsalum9465
    @mohamedsalum94656 ай бұрын

    Wizara ikichangia millioni 8 pesa za wizara si ni pesa za wananchi jamaniiiiiii

  • @homeboy2307
    @homeboy23076 ай бұрын

    Harafu utasikia wizara hazina hela ila ninyi watu muwe mnakumbuka

  • @magomakabanja480
    @magomakabanja4806 ай бұрын

    Dotto Magari Unaona Hao Wamba Wanavyo Pewa Heshima na Serikali

  • @petercostakisoka
    @petercostakisoka6 ай бұрын

    Daah apo ndy nimejua iyo nyumba ni bosheni akuna kitu laki moja

  • @konimaster5868
    @konimaster58686 ай бұрын

    so funny

  • @manmaster536
    @manmaster5366 ай бұрын

    Sawa

  • @Mrpromotiongroup
    @Mrpromotiongroup6 ай бұрын

    MH.waziri mkuu Mrpromotiongroup wana mchango wao wa mipira org kila mwaka mitatu

  • @priscillahmushi4475
    @priscillahmushi44756 ай бұрын

    Jamani majaliwa awe Rais tuu

  • @greaterjustin2231
    @greaterjustin22316 ай бұрын

    Palipo na MWIBA mwijaku na Baba levo wengine hawapenyi cheki joto alivofichwa

  • @mbarakasaidi8243
    @mbarakasaidi82436 ай бұрын

    Hapa kwajoti bora angelala tu😂😂😂😂😂😂

  • @ibrahjoel7283
    @ibrahjoel72836 ай бұрын

    Masikini joti😅😅😅

  • @geoufo2858
    @geoufo28586 ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @aronbenjamin670
    @aronbenjamin6706 ай бұрын

    😂😂😂😂😂 mwijaku ni balaaa

  • @abdulmajidmageja6562
    @abdulmajidmageja65626 ай бұрын

    Hii nchi inapesa nyingi sana mbana wanaichi tuna njaa hatakama ujitume vp

  • @samoramussa5336
    @samoramussa53366 ай бұрын

    Bado sijaielewa nchi hii shikeni kitu kimoja hutujui mpira wala michezo uhalibifu wapesa yanini, kwanini msiwekeze jambo moja mkashinda, ikumbukwe shule nyingi sana tanzania tunalia walimu hakuna, nimajengo tu na alama D.E.F.0 ndozinazidi.

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    6 ай бұрын

    We jamaaa unaishi dunia ipi ? Leo hii Michezo ni ajira kubwa tena ya uhakika izo shule unazosema ndio hizo watu kutwa wanamaliza vyuo wako mtaani hata kazi hawana na hawana uhakika Michezo ni ajira kama ajira nyingine so usiidharua kila kitu kina umuhimu wake.

  • @samoramussa5336

    @samoramussa5336

    6 ай бұрын

    @@fahadfaraj6474 kwahiyo tulipe ada bila walimu sio, nini namaanisha elim ndio imebaba vyote hivyo michezo haina maana kama vyanzo vyake vimekufa, angalia nikitu gani wanachangisha yani tim zataifa wangesema tunachangisha kwa sababu yakuwekeza vipaji akademi.

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    6 ай бұрын

    @@samoramussa5336 unajina la shujaa wangu wa siku zote nashindwa hata kutoa Maneno makali kinachofanyika ni kuwekeza timu ni nyingi wao hawana uwezo wa kuzimanage ipasavyo ivyo wamehusisha na watu nao wachangie timu zao hapo ni kuwawezesha hao wanamichezo kuna watu kupitia hizo games wataonekana na hata kupata mafanikio ilo ni la sasa bajeti ya elimu iko sufficient kulinganisha na ya Michezo ndo mana kuna mtu yuko radhi mwanae asiende shule ya serikali ila amlipie binafsi lakini kwa hawa wanamichezo wao nafasi yao ikoje kiuhalisia

  • @MTAVASSYTv

    @MTAVASSYTv

    6 ай бұрын

    4:23 hakika umishiwa na tafakuri, fikiria upya hii ni nchi sio familia ya watu 20.

  • @renamalima5558
    @renamalima55586 ай бұрын

    Wizara wanachukua zile zile za Wizara Na Matumizi ya ofisi ndio wanaahidi. Wengine wanatoa zao mfukoni.mbona kama maigizo. Serikali inatoa Pesa mfuko huu Na kuweka mfuko mwingine. Kile kile ndio Yale yale

  • @talents7934

    @talents7934

    6 ай бұрын

    Wachache sana wenye Akili wataelewa hii sanaa ya Maigizo yani wizara inachangia? Kwani wizara inapataje fedha zake? Au Inafanya biashara? Eti wamechangia si ni Sawa na kutoa fedha mfuko wa mbele kupeleka mfuko wa nyuma? 😢 Elimu inahitajika sana kwetu sisi Watanzania nimecheka huku Nalia Eti wizara imechangia Milioni Nane😢😅😅

  • @muzafarsharif9465
    @muzafarsharif94656 ай бұрын

    Tanzania mpaka viongozi wao ni Wasanii na wapenda kiki😂😂😂😂

  • @ahz6907

    @ahz6907

    6 ай бұрын

    Ndio style nchi zetu zinaongozwa 😂

  • @nuruhhussein167
    @nuruhhussein1676 ай бұрын

    Kasimu majariwa ❤ ishi tu miaka yote kwa kweli

  • @EricaBizuru-jp9by
    @EricaBizuru-jp9by6 ай бұрын

    Jaman joti sio chawa tafathali msiwe mnamualika kwenye shuhuli za upiga debe

  • @mussatete2618

    @mussatete2618

    6 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @mohamedially5330
    @mohamedially53306 ай бұрын

    Huyu jamaa afya ya akili mbovu sasa kila ukisemeshwa we unasema na nyumba ya bilion 1.3

  • @JustineIshebakaki-ns7fd
    @JustineIshebakaki-ns7fd6 ай бұрын

    Wez ao

  • @hashimlowela294
    @hashimlowela2946 ай бұрын

    😃😃😃😃😃hapa palikua patam

  • @teachingtruthmission2140
    @teachingtruthmission21406 ай бұрын

    WAZIRI MAJALIWA NAMPENDA SAANA

  • @user-lv6ul4lz4e
    @user-lv6ul4lz4e6 ай бұрын

    Shule ya msingi chamazi Dovya, Mbagara Temeke tumeagizwa mikeka haina viti!!!

  • @fabiansemba4918

    @fabiansemba4918

    6 ай бұрын

    Kweli?

  • @mikemutabuzi3665
    @mikemutabuzi36656 ай бұрын

    dah joti😂

  • @Tarzan_cat
    @Tarzan_cat6 ай бұрын

    Joti amechacha😂

  • @khadidjaabdi-hd8py
    @khadidjaabdi-hd8py6 ай бұрын

    Baba leo kasalit amri mfalme niwetu sotee😅😅😅

  • @ManotiMabanza
    @ManotiMabanza6 ай бұрын

    Jux. Yeye mbona hachangii au kwakua yeye msomi mwenzenu kasomea CHINA

  • @angelmunduli3391
    @angelmunduli33916 ай бұрын

    Jmn Joti😢😢

  • @samniza1763
    @samniza17636 ай бұрын

    Machawa wakiwa kazini lol!

  • @EzekielTv49
    @EzekielTv496 ай бұрын

    Taifa stars watafungwa mechi zote,,, badala ya kuwekeza kwenye kelele mngewekeza kwenye kutengengeza wachazaji wa maana

  • @vanessajames2192
    @vanessajames21926 ай бұрын

    Waziri kazi anayo kwa hawa wehu

  • @giddie_barnabas
    @giddie_barnabas6 ай бұрын

    Ghorofa la B mchango laki shenzi kabisa huyu😂😂😂

  • @geralddeus1434
    @geralddeus14346 ай бұрын

    Ila hawa jamaa wametoboa kiboya mnooo😂

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin2756 ай бұрын

    Ehh aise ngj ninyamaze

  • @user-tc7fh1mv8f
    @user-tc7fh1mv8f6 ай бұрын

    😅😂😂

  • @charleschao9809
    @charleschao98096 ай бұрын

    Joti anaonewa 😁

  • @user-wo5wl7jo4f
    @user-wo5wl7jo4f6 ай бұрын

    Joti 😢

  • @jimmylema8830

    @jimmylema8830

    6 ай бұрын

    Joti kazimwa

  • @user-zl5mt6lk4n

    @user-zl5mt6lk4n

    6 ай бұрын

    😅😅😅😂 nlikuwa nina stress sana lkn hii coment imenichekesha sana dah et joti😢

  • @user-wo5wl7jo4f

    @user-wo5wl7jo4f

    6 ай бұрын

    😂😂joti anajitahid nae aonekane machawa awaelew😂

  • @user-tc7fh1mv8f
    @user-tc7fh1mv8f6 ай бұрын

    😂😂😂

  • @Shedycleva
    @Shedycleva6 ай бұрын

    Hahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅

  • @RobertChacha-hb9re
    @RobertChacha-hb9re6 ай бұрын

    Mwijaku 😅😅😅

  • @user-it8su6ss5v
    @user-it8su6ss5v6 ай бұрын

    Mnaacha kuchangia wamama wanakufa hospitali kwa kukosa 150000 kwa ajili ya kujifungua mnafanya ujinga tu hapo

  • @SHULE_YA_KRISTO
    @SHULE_YA_KRISTO6 ай бұрын

    Joti kama alitaka kuchangia kitu....!.

  • @gilliardgodfriend5745
    @gilliardgodfriend57456 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @fredyemmanuel4303
    @fredyemmanuel43036 ай бұрын

    Wanachangia nini mbona Mimi sielewi

  • @barakajoseph2234
    @barakajoseph22346 ай бұрын

    Mheshimiwa waziri mkuu ningependa kuchangia sh elfu 50 ni ile tu hamkuweka utaratibu wa kuweka namba ya mchango kutoka kwa wananchi wengne ambao hawakuwa live apo

  • @georgempepo6112
    @georgempepo61126 ай бұрын

    😂😃

  • @leopoldconstantine8099
    @leopoldconstantine80996 ай бұрын

    Fred vunja Bei mlimsahau

Келесі