WAZIRI MKUU AMHOJI BABA LEVO "ALIKIBA AMECHANGIA TUNATAKA DIAMOND MCHANGO WAKE, MPIGIE HARMONIZE"
Жүктеу.....
Пікірлер: 201
@ireneshao79506 ай бұрын
Nampenda tuu waziri mkuu ...Mungu azid kumtunza
@rukydaudy30056 ай бұрын
Ally kiba ni wet wte .hapa nimepnda sana
@allenonesmomwebembezi62486 ай бұрын
Daaaah!! Baba Levo na Mwijaku mnafanya kazi kubwa nyie wapuuzi
@salomewandya7257
6 ай бұрын
Hahaha saana
@user-hd5bg8qw1b
6 ай бұрын
YANI LAKI 1 HUONI AIBU JUMBA LA KIFAHARI UNATOA LAKI DUUH😊
@hamisishabani8864
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@priscamgala3555
5 ай бұрын
@mcmwitatv19516 ай бұрын
Watanzania tunapenda sana kuishi katika ufeki.
@Duanny-jm8fr6 ай бұрын
😂😂😂😂😂 imekaa vizurii aiseeh🙌🙌🙌
@vincentauxerbius75546 ай бұрын
Joti amepigwa na kitu kizito😂😂😂😂🏃🏃🏃🏃
@issahhussein19226 ай бұрын
"Usiniangushe" akapiga na bismillah 😅 nimecheka sanaa
@lasteckmmary97416 ай бұрын
Dar, hakuna nchi kama tanzania bhanaa. Mungu endelea kutulindia amani yetu?
@stylishgenius9886
6 ай бұрын
Amina ❤❤❤
@ahmedmohammed24106 ай бұрын
Naipenda Tanzania yangu❤
@sheryphamwenevalley61246 ай бұрын
Na mngekua na michango km hivi kwa ndugu zetu wanaoteseka kwa kukosa huduma, maradhi yanavowasibu hakika tungekua mbali sana, hapo tulipo Kuna mtu anateseka kwa elfu moja tu😭😭😭😭
@fatinamsuya1305
6 ай бұрын
Acha tu ndugu yangu inauma Sana alafu inauma tena😢😢😢
@abdallahmakombo3866
6 ай бұрын
Halafu shida si kuugua TU, Mambo mengi!!! Kwa hiyo Hata yanayofanyika ni sehemu ya maisha !!! MAISHA ni kuyaishi na ndio yalivyo TU haijalishi watu wana shida KIASI Gani!!!
@sheryphamwenevalley6124
6 ай бұрын
@@abdallahmakombo3866 jitambue shida zinatofautiana, km ww hujui shida Kaa kimya, nchi mazezeta wengi ndio mana hatuendelei
@jumapiliissa4835
6 ай бұрын
Uondoukweli aisee
@geofkabo7843
6 ай бұрын
Kunakuishi halaf kunakudumu pia kunamaisha. Tuelewe kitu kimoja ila ni ngumu kuelewa ila tuseme kuishi ni kuchagua
@Xavierdecristo6 ай бұрын
King kama king 👑👑 salute kwa king
@zomasamweli6 ай бұрын
Mweshimiwa lile sio gorofa ni ngazi za kuwekea matenk😂😂😂
@BAHATIAPALALEBernard-pd8xq
6 ай бұрын
Dah😂
@saidissa4741
6 ай бұрын
Hahahhahha
@zomasamweli
6 ай бұрын
@@saidissa4741 yaani baba levo anavunja mbavu
@user-pt9vm4vd1d6 ай бұрын
Dh ila mwijaku kaupeleka uchawa kwenye level za juu😂😂😂
@breymbasa3451
6 ай бұрын
Mwanzilishi wa Uchawa ni nani kati ya hao wawili kama unakumbuka
@donaldmartin-ps2ig
6 ай бұрын
Chawa wa kwanza ni baba levo
@donaldmartin-ps2ig
6 ай бұрын
Chawa wa kwanza ni baba levo
@johnsilima1629
2 ай бұрын
Chawa wa kwanza ni baba levo na Alistote
@betrackjasson66986 ай бұрын
Joty kazimwa kinoman😢😢😢😢😢😢
@MrTop-wj7no6 ай бұрын
😂😂😂😂 eti jumba la 1.3B?? Hivi huyu Mwijaku anajua 1.3B Tsh?? Afu anakuja kuchangia laki??😂
@KassimAlly-xp4dz
6 ай бұрын
Chizi yule
@user-yy2oq8kg9p6 ай бұрын
Alikiba atabaki kuwa king siku zote
@georgejohny6422
6 ай бұрын
Kivip ss king kwako,,,hyo n king mavi au kipusa😂😂
@olicendayihimbaze4074
6 ай бұрын
Karare bhana wewe ndo mavii@@georgejohny6422
@SuleAmber-lw2tx
6 ай бұрын
@@georgejohny6422Ulitaka awe King nani😂😂 kwendraaaa hukoooo mchawiii weweee
@user-pk2zr7om2p
6 ай бұрын
@@georgejohny6422Wivu tu
@annasolomon9855
6 ай бұрын
@@georgejohny6422kwetu kama wew sio king ni kwako mavi wew sura kama nyani wa Lubondo.. Huoni baba levo anasema alikiba ni WA kwetu sote 😅
@Markhomestz6 ай бұрын
Eti hapokeagi simu zake 😂😂😂
@giztony20096 ай бұрын
Hili senge linajikutaga linajipendekeza kwa watu na kujifanya yupo karibu yke mbona leo halijapokelewa simu@ poor mwijaku
@Josephkp6296 ай бұрын
Joti hii shughul 😊 auonekan kabiss 3:54
@stevenbupamba41616 ай бұрын
nzuri hii
@lelomellowtz6 ай бұрын
😂😂😂Mjini shule wadau sio vyeti😂
@victormathias9194
6 ай бұрын
😂😂😂😂
@meedyshow88076 ай бұрын
Doto magali angekuwepo .ange wapigia matajiri watano tu lingeisha
@gustavompemba1781
6 ай бұрын
Ana viwango hvo
@Kuminamoja19956 ай бұрын
Safi sana mwijaku 😂😂😂
@CEDOTV-pu9cw6 ай бұрын
❤
@ilakizajabari82916 ай бұрын
Joti kayakanyaga kukutana na vichaa zaidi yake 😂😂😂😂
@eddyempire97976 ай бұрын
Ndo uwezo wangu, nmetoka kwenye ujenzi😂
@jumakapilima7295
6 ай бұрын
Hahahaha,,,,tatizo ni kufeki maisha
@kaizangaile44696 ай бұрын
Hongera sana PM
@linetshavu6 ай бұрын
Nimependa Waziri mkuu anavyochangamsha genge na machawa pro😂
@Joviti1756 ай бұрын
Baba levo na mwijaku mbona mmembania joti?
@mfalmekaitaba24256 ай бұрын
Aahhhh ety hile siyo ghorofa ni ngazi za kuwekea ma-tank😅😅😅
@davidmziray20486 ай бұрын
Yaani hao chawa hata protocol hawajui mmewatos wapi
@user-xx6uf5kj9w6 ай бұрын
mwamba sanaa mheshimiwa waziri wetu wa nguvu
@derickdenis42236 ай бұрын
I love my country
@koyiasunga97856 ай бұрын
Joti yaani kafunikwa na baba levo na mwijaku
@tambajordan55956 ай бұрын
😢dah
@mangalilikilawe67886 ай бұрын
Ngazi za kukwea kwenye matenk
@MrTop-wj7no
6 ай бұрын
😂😂😂
@hassanwaziri9126 ай бұрын
Hawa wajamaa wanachekesha Sana kwakweli🎉🎉🎉
@JacquelineMahumbe6 ай бұрын
Barikiwa mkuu
@yayanews68706 ай бұрын
Nice
@user-px3po9lt8g6 ай бұрын
❤ Tanzania
@j...8766 ай бұрын
JOTI kazima kweli!!!😮😮
@husseinhamis1428
6 ай бұрын
Daah co pow jamaa kapotezwa gafla mpak co pow aloo
@saidissa4741
6 ай бұрын
Haha
@AggreyHamisi-og2fm6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 laki moja , mwijaku 🙌🙌🙌
@happinesstvm.
6 ай бұрын
3k ya kenya 😂😂😂😂
@jumakapilima7295
6 ай бұрын
Hahahaha,,,
@talents7934
6 ай бұрын
@@happinesstvm.Ya kenya inafanyaje hapa Tanzania?? Mbona wakenya mnakuwa wajinga sana? Mnalialia Unga hamna kama mateja ila bado mnatufuatilia tu nikimpigia simu waziri awafungie mipaka hapa mtakufa nyie kama kuku😢
@jrsaid4270
6 ай бұрын
@@happinesstvm.Sasa we wa Kenya unahusikaje huku ni Tanzania kiherehere inakusumbua
Yaaan mtu kajenga nyumba ya 1.3B afu anatoa mchango wa laki 1 😂😂😂🙌
@davidshaban7375
6 ай бұрын
Ile nyumba ikizidi sana 400M iko hapa mtaani ninapoishi
@afratrad7214
6 ай бұрын
Hao ndio waha
@zeddymourice4249
6 ай бұрын
😂😂😂😂nimeipenda hiyo
@BarbaraPatience-qt9cc
6 ай бұрын
Hahahaha
@innocentmgaya5688
6 ай бұрын
Amebanwa na ujenzi 😂
@emilioadremaneadremane27066 ай бұрын
King🎉🎉🎉🎉🎉
@joycehaule97176 ай бұрын
Hahahhahahahahahahahahahahahahhahahahahahahahahahahahahaa waziri mkuu leo umejionea mambo aisee wanachekesha sana hawa watu
@babazizu12556 ай бұрын
Mh rais mh mziri mkuu itifak izingatiwe nimependa hamasa hii aisee ht timu ye2 ikiona hvyo mnaipa moyo mungu awalinde aisee
@saidabdurahman96316 ай бұрын
Waha waheshimike Tz 😂😂😂
@user-sl9pq7xn1k6 ай бұрын
Bismilah rabil aghalameen 😂😂😂😂mwijaku dah
@godfreykarata37106 ай бұрын
😂laki mmmmh
@mohamedsalum94656 ай бұрын
Wizara ikichangia millioni 8 pesa za wizara si ni pesa za wananchi jamaniiiiiii
@homeboy23076 ай бұрын
Harafu utasikia wizara hazina hela ila ninyi watu muwe mnakumbuka
@magomakabanja4806 ай бұрын
Dotto Magari Unaona Hao Wamba Wanavyo Pewa Heshima na Serikali
@petercostakisoka6 ай бұрын
Daah apo ndy nimejua iyo nyumba ni bosheni akuna kitu laki moja
@konimaster58686 ай бұрын
so funny
@manmaster5366 ай бұрын
Sawa
@Mrpromotiongroup6 ай бұрын
MH.waziri mkuu Mrpromotiongroup wana mchango wao wa mipira org kila mwaka mitatu
@priscillahmushi44756 ай бұрын
Jamani majaliwa awe Rais tuu
@greaterjustin22316 ай бұрын
Palipo na MWIBA mwijaku na Baba levo wengine hawapenyi cheki joto alivofichwa
@mbarakasaidi82436 ай бұрын
Hapa kwajoti bora angelala tu😂😂😂😂😂😂
@ibrahjoel72836 ай бұрын
Masikini joti😅😅😅
@geoufo28586 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@aronbenjamin6706 ай бұрын
😂😂😂😂😂 mwijaku ni balaaa
@abdulmajidmageja65626 ай бұрын
Hii nchi inapesa nyingi sana mbana wanaichi tuna njaa hatakama ujitume vp
@samoramussa53366 ай бұрын
Bado sijaielewa nchi hii shikeni kitu kimoja hutujui mpira wala michezo uhalibifu wapesa yanini, kwanini msiwekeze jambo moja mkashinda, ikumbukwe shule nyingi sana tanzania tunalia walimu hakuna, nimajengo tu na alama D.E.F.0 ndozinazidi.
@fahadfaraj6474
6 ай бұрын
We jamaaa unaishi dunia ipi ? Leo hii Michezo ni ajira kubwa tena ya uhakika izo shule unazosema ndio hizo watu kutwa wanamaliza vyuo wako mtaani hata kazi hawana na hawana uhakika Michezo ni ajira kama ajira nyingine so usiidharua kila kitu kina umuhimu wake.
@samoramussa5336
6 ай бұрын
@@fahadfaraj6474 kwahiyo tulipe ada bila walimu sio, nini namaanisha elim ndio imebaba vyote hivyo michezo haina maana kama vyanzo vyake vimekufa, angalia nikitu gani wanachangisha yani tim zataifa wangesema tunachangisha kwa sababu yakuwekeza vipaji akademi.
@fahadfaraj6474
6 ай бұрын
@@samoramussa5336 unajina la shujaa wangu wa siku zote nashindwa hata kutoa Maneno makali kinachofanyika ni kuwekeza timu ni nyingi wao hawana uwezo wa kuzimanage ipasavyo ivyo wamehusisha na watu nao wachangie timu zao hapo ni kuwawezesha hao wanamichezo kuna watu kupitia hizo games wataonekana na hata kupata mafanikio ilo ni la sasa bajeti ya elimu iko sufficient kulinganisha na ya Michezo ndo mana kuna mtu yuko radhi mwanae asiende shule ya serikali ila amlipie binafsi lakini kwa hawa wanamichezo wao nafasi yao ikoje kiuhalisia
@MTAVASSYTv
6 ай бұрын
4:23 hakika umishiwa na tafakuri, fikiria upya hii ni nchi sio familia ya watu 20.
@renamalima55586 ай бұрын
Wizara wanachukua zile zile za Wizara Na Matumizi ya ofisi ndio wanaahidi. Wengine wanatoa zao mfukoni.mbona kama maigizo. Serikali inatoa Pesa mfuko huu Na kuweka mfuko mwingine. Kile kile ndio Yale yale
@talents7934
6 ай бұрын
Wachache sana wenye Akili wataelewa hii sanaa ya Maigizo yani wizara inachangia? Kwani wizara inapataje fedha zake? Au Inafanya biashara? Eti wamechangia si ni Sawa na kutoa fedha mfuko wa mbele kupeleka mfuko wa nyuma? 😢 Elimu inahitajika sana kwetu sisi Watanzania nimecheka huku Nalia Eti wizara imechangia Milioni Nane😢😅😅
@muzafarsharif94656 ай бұрын
Tanzania mpaka viongozi wao ni Wasanii na wapenda kiki😂😂😂😂
@ahz6907
6 ай бұрын
Ndio style nchi zetu zinaongozwa 😂
@nuruhhussein1676 ай бұрын
Kasimu majariwa ❤ ishi tu miaka yote kwa kweli
@EricaBizuru-jp9by6 ай бұрын
Jaman joti sio chawa tafathali msiwe mnamualika kwenye shuhuli za upiga debe
@mussatete2618
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@mohamedially53306 ай бұрын
Huyu jamaa afya ya akili mbovu sasa kila ukisemeshwa we unasema na nyumba ya bilion 1.3
@JustineIshebakaki-ns7fd6 ай бұрын
Wez ao
@hashimlowela2946 ай бұрын
😃😃😃😃😃hapa palikua patam
@teachingtruthmission21406 ай бұрын
WAZIRI MAJALIWA NAMPENDA SAANA
@user-lv6ul4lz4e6 ай бұрын
Shule ya msingi chamazi Dovya, Mbagara Temeke tumeagizwa mikeka haina viti!!!
@fabiansemba4918
6 ай бұрын
Kweli?
@mikemutabuzi36656 ай бұрын
dah joti😂
@Tarzan_cat6 ай бұрын
Joti amechacha😂
@khadidjaabdi-hd8py6 ай бұрын
Baba leo kasalit amri mfalme niwetu sotee😅😅😅
@ManotiMabanza6 ай бұрын
Jux. Yeye mbona hachangii au kwakua yeye msomi mwenzenu kasomea CHINA
@angelmunduli33916 ай бұрын
Jmn Joti😢😢
@samniza17636 ай бұрын
Machawa wakiwa kazini lol!
@EzekielTv496 ай бұрын
Taifa stars watafungwa mechi zote,,, badala ya kuwekeza kwenye kelele mngewekeza kwenye kutengengeza wachazaji wa maana
@vanessajames21926 ай бұрын
Waziri kazi anayo kwa hawa wehu
@giddie_barnabas6 ай бұрын
Ghorofa la B mchango laki shenzi kabisa huyu😂😂😂
@geralddeus14346 ай бұрын
Ila hawa jamaa wametoboa kiboya mnooo😂
@kennethbenjamin2756 ай бұрын
Ehh aise ngj ninyamaze
@user-tc7fh1mv8f6 ай бұрын
😅😂😂
@charleschao98096 ай бұрын
Joti anaonewa 😁
@user-wo5wl7jo4f6 ай бұрын
Joti 😢
@jimmylema8830
6 ай бұрын
Joti kazimwa
@user-zl5mt6lk4n
6 ай бұрын
😅😅😅😂 nlikuwa nina stress sana lkn hii coment imenichekesha sana dah et joti😢
Mnaacha kuchangia wamama wanakufa hospitali kwa kukosa 150000 kwa ajili ya kujifungua mnafanya ujinga tu hapo
@SHULE_YA_KRISTO6 ай бұрын
Joti kama alitaka kuchangia kitu....!.
@gilliardgodfriend57456 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@fredyemmanuel43036 ай бұрын
Wanachangia nini mbona Mimi sielewi
@barakajoseph22346 ай бұрын
Mheshimiwa waziri mkuu ningependa kuchangia sh elfu 50 ni ile tu hamkuweka utaratibu wa kuweka namba ya mchango kutoka kwa wananchi wengne ambao hawakuwa live apo
Пікірлер: 201
Nampenda tuu waziri mkuu ...Mungu azid kumtunza
Ally kiba ni wet wte .hapa nimepnda sana
Daaaah!! Baba Levo na Mwijaku mnafanya kazi kubwa nyie wapuuzi
@salomewandya7257
6 ай бұрын
Hahaha saana
@user-hd5bg8qw1b
6 ай бұрын
YANI LAKI 1 HUONI AIBU JUMBA LA KIFAHARI UNATOA LAKI DUUH😊
@hamisishabani8864
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@priscamgala3555
5 ай бұрын
Watanzania tunapenda sana kuishi katika ufeki.
😂😂😂😂😂 imekaa vizurii aiseeh🙌🙌🙌
Joti amepigwa na kitu kizito😂😂😂😂🏃🏃🏃🏃
"Usiniangushe" akapiga na bismillah 😅 nimecheka sanaa
Dar, hakuna nchi kama tanzania bhanaa. Mungu endelea kutulindia amani yetu?
@stylishgenius9886
6 ай бұрын
Amina ❤❤❤
Naipenda Tanzania yangu❤
Na mngekua na michango km hivi kwa ndugu zetu wanaoteseka kwa kukosa huduma, maradhi yanavowasibu hakika tungekua mbali sana, hapo tulipo Kuna mtu anateseka kwa elfu moja tu😭😭😭😭
@fatinamsuya1305
6 ай бұрын
Acha tu ndugu yangu inauma Sana alafu inauma tena😢😢😢
@abdallahmakombo3866
6 ай бұрын
Halafu shida si kuugua TU, Mambo mengi!!! Kwa hiyo Hata yanayofanyika ni sehemu ya maisha !!! MAISHA ni kuyaishi na ndio yalivyo TU haijalishi watu wana shida KIASI Gani!!!
@sheryphamwenevalley6124
6 ай бұрын
@@abdallahmakombo3866 jitambue shida zinatofautiana, km ww hujui shida Kaa kimya, nchi mazezeta wengi ndio mana hatuendelei
@jumapiliissa4835
6 ай бұрын
Uondoukweli aisee
@geofkabo7843
6 ай бұрын
Kunakuishi halaf kunakudumu pia kunamaisha. Tuelewe kitu kimoja ila ni ngumu kuelewa ila tuseme kuishi ni kuchagua
King kama king 👑👑 salute kwa king
Mweshimiwa lile sio gorofa ni ngazi za kuwekea matenk😂😂😂
@BAHATIAPALALEBernard-pd8xq
6 ай бұрын
Dah😂
@saidissa4741
6 ай бұрын
Hahahhahha
@zomasamweli
6 ай бұрын
@@saidissa4741 yaani baba levo anavunja mbavu
Dh ila mwijaku kaupeleka uchawa kwenye level za juu😂😂😂
@breymbasa3451
6 ай бұрын
Mwanzilishi wa Uchawa ni nani kati ya hao wawili kama unakumbuka
@donaldmartin-ps2ig
6 ай бұрын
Chawa wa kwanza ni baba levo
@donaldmartin-ps2ig
6 ай бұрын
Chawa wa kwanza ni baba levo
@johnsilima1629
2 ай бұрын
Chawa wa kwanza ni baba levo na Alistote
Joty kazimwa kinoman😢😢😢😢😢😢
😂😂😂😂 eti jumba la 1.3B?? Hivi huyu Mwijaku anajua 1.3B Tsh?? Afu anakuja kuchangia laki??😂
@KassimAlly-xp4dz
6 ай бұрын
Chizi yule
Alikiba atabaki kuwa king siku zote
@georgejohny6422
6 ай бұрын
Kivip ss king kwako,,,hyo n king mavi au kipusa😂😂
@olicendayihimbaze4074
6 ай бұрын
Karare bhana wewe ndo mavii@@georgejohny6422
@SuleAmber-lw2tx
6 ай бұрын
@@georgejohny6422Ulitaka awe King nani😂😂 kwendraaaa hukoooo mchawiii weweee
@user-pk2zr7om2p
6 ай бұрын
@@georgejohny6422Wivu tu
@annasolomon9855
6 ай бұрын
@@georgejohny6422kwetu kama wew sio king ni kwako mavi wew sura kama nyani wa Lubondo.. Huoni baba levo anasema alikiba ni WA kwetu sote 😅
Eti hapokeagi simu zake 😂😂😂
Hili senge linajikutaga linajipendekeza kwa watu na kujifanya yupo karibu yke mbona leo halijapokelewa simu@ poor mwijaku
Joti hii shughul 😊 auonekan kabiss 3:54
nzuri hii
😂😂😂Mjini shule wadau sio vyeti😂
@victormathias9194
6 ай бұрын
😂😂😂😂
Doto magali angekuwepo .ange wapigia matajiri watano tu lingeisha
@gustavompemba1781
6 ай бұрын
Ana viwango hvo
Safi sana mwijaku 😂😂😂
❤
Joti kayakanyaga kukutana na vichaa zaidi yake 😂😂😂😂
Ndo uwezo wangu, nmetoka kwenye ujenzi😂
@jumakapilima7295
6 ай бұрын
Hahahaha,,,,tatizo ni kufeki maisha
Hongera sana PM
Nimependa Waziri mkuu anavyochangamsha genge na machawa pro😂
Baba levo na mwijaku mbona mmembania joti?
Aahhhh ety hile siyo ghorofa ni ngazi za kuwekea ma-tank😅😅😅
Yaani hao chawa hata protocol hawajui mmewatos wapi
mwamba sanaa mheshimiwa waziri wetu wa nguvu
I love my country
Joti yaani kafunikwa na baba levo na mwijaku
😢dah
Ngazi za kukwea kwenye matenk
@MrTop-wj7no
6 ай бұрын
😂😂😂
Hawa wajamaa wanachekesha Sana kwakweli🎉🎉🎉
Barikiwa mkuu
Nice
❤ Tanzania
JOTI kazima kweli!!!😮😮
@husseinhamis1428
6 ай бұрын
Daah co pow jamaa kapotezwa gafla mpak co pow aloo
@saidissa4741
6 ай бұрын
Haha
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 laki moja , mwijaku 🙌🙌🙌
@happinesstvm.
6 ай бұрын
3k ya kenya 😂😂😂😂
@jumakapilima7295
6 ай бұрын
Hahahaha,,,
@talents7934
6 ай бұрын
@@happinesstvm.Ya kenya inafanyaje hapa Tanzania?? Mbona wakenya mnakuwa wajinga sana? Mnalialia Unga hamna kama mateja ila bado mnatufuatilia tu nikimpigia simu waziri awafungie mipaka hapa mtakufa nyie kama kuku😢
@jrsaid4270
6 ай бұрын
@@happinesstvm.Sasa we wa Kenya unahusikaje huku ni Tanzania kiherehere inakusumbua
Hapa kama una stress zinatoka 😂😂😂
😂😂😂😂 Dah! Joti alivyonyamaza hapo, Ila mwijaku anavyoomba Harmonize asimuangushe dah🤣🤣🤣🤣🤣🤣
waziri kumbe anaangaliaga udaku
Yaaan mtu kajenga nyumba ya 1.3B afu anatoa mchango wa laki 1 😂😂😂🙌
@davidshaban7375
6 ай бұрын
Ile nyumba ikizidi sana 400M iko hapa mtaani ninapoishi
@afratrad7214
6 ай бұрын
Hao ndio waha
@zeddymourice4249
6 ай бұрын
😂😂😂😂nimeipenda hiyo
@BarbaraPatience-qt9cc
6 ай бұрын
Hahahaha
@innocentmgaya5688
6 ай бұрын
Amebanwa na ujenzi 😂
King🎉🎉🎉🎉🎉
Hahahhahahahahahahahahahahahahhahahahahahahahahahahahahaa waziri mkuu leo umejionea mambo aisee wanachekesha sana hawa watu
Mh rais mh mziri mkuu itifak izingatiwe nimependa hamasa hii aisee ht timu ye2 ikiona hvyo mnaipa moyo mungu awalinde aisee
Waha waheshimike Tz 😂😂😂
Bismilah rabil aghalameen 😂😂😂😂mwijaku dah
😂laki mmmmh
Wizara ikichangia millioni 8 pesa za wizara si ni pesa za wananchi jamaniiiiiii
Harafu utasikia wizara hazina hela ila ninyi watu muwe mnakumbuka
Dotto Magari Unaona Hao Wamba Wanavyo Pewa Heshima na Serikali
Daah apo ndy nimejua iyo nyumba ni bosheni akuna kitu laki moja
so funny
Sawa
MH.waziri mkuu Mrpromotiongroup wana mchango wao wa mipira org kila mwaka mitatu
Jamani majaliwa awe Rais tuu
Palipo na MWIBA mwijaku na Baba levo wengine hawapenyi cheki joto alivofichwa
Hapa kwajoti bora angelala tu😂😂😂😂😂😂
Masikini joti😅😅😅
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂 mwijaku ni balaaa
Hii nchi inapesa nyingi sana mbana wanaichi tuna njaa hatakama ujitume vp
Bado sijaielewa nchi hii shikeni kitu kimoja hutujui mpira wala michezo uhalibifu wapesa yanini, kwanini msiwekeze jambo moja mkashinda, ikumbukwe shule nyingi sana tanzania tunalia walimu hakuna, nimajengo tu na alama D.E.F.0 ndozinazidi.
@fahadfaraj6474
6 ай бұрын
We jamaaa unaishi dunia ipi ? Leo hii Michezo ni ajira kubwa tena ya uhakika izo shule unazosema ndio hizo watu kutwa wanamaliza vyuo wako mtaani hata kazi hawana na hawana uhakika Michezo ni ajira kama ajira nyingine so usiidharua kila kitu kina umuhimu wake.
@samoramussa5336
6 ай бұрын
@@fahadfaraj6474 kwahiyo tulipe ada bila walimu sio, nini namaanisha elim ndio imebaba vyote hivyo michezo haina maana kama vyanzo vyake vimekufa, angalia nikitu gani wanachangisha yani tim zataifa wangesema tunachangisha kwa sababu yakuwekeza vipaji akademi.
@fahadfaraj6474
6 ай бұрын
@@samoramussa5336 unajina la shujaa wangu wa siku zote nashindwa hata kutoa Maneno makali kinachofanyika ni kuwekeza timu ni nyingi wao hawana uwezo wa kuzimanage ipasavyo ivyo wamehusisha na watu nao wachangie timu zao hapo ni kuwawezesha hao wanamichezo kuna watu kupitia hizo games wataonekana na hata kupata mafanikio ilo ni la sasa bajeti ya elimu iko sufficient kulinganisha na ya Michezo ndo mana kuna mtu yuko radhi mwanae asiende shule ya serikali ila amlipie binafsi lakini kwa hawa wanamichezo wao nafasi yao ikoje kiuhalisia
@MTAVASSYTv
6 ай бұрын
4:23 hakika umishiwa na tafakuri, fikiria upya hii ni nchi sio familia ya watu 20.
Wizara wanachukua zile zile za Wizara Na Matumizi ya ofisi ndio wanaahidi. Wengine wanatoa zao mfukoni.mbona kama maigizo. Serikali inatoa Pesa mfuko huu Na kuweka mfuko mwingine. Kile kile ndio Yale yale
@talents7934
6 ай бұрын
Wachache sana wenye Akili wataelewa hii sanaa ya Maigizo yani wizara inachangia? Kwani wizara inapataje fedha zake? Au Inafanya biashara? Eti wamechangia si ni Sawa na kutoa fedha mfuko wa mbele kupeleka mfuko wa nyuma? 😢 Elimu inahitajika sana kwetu sisi Watanzania nimecheka huku Nalia Eti wizara imechangia Milioni Nane😢😅😅
Tanzania mpaka viongozi wao ni Wasanii na wapenda kiki😂😂😂😂
@ahz6907
6 ай бұрын
Ndio style nchi zetu zinaongozwa 😂
Kasimu majariwa ❤ ishi tu miaka yote kwa kweli
Jaman joti sio chawa tafathali msiwe mnamualika kwenye shuhuli za upiga debe
@mussatete2618
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
Huyu jamaa afya ya akili mbovu sasa kila ukisemeshwa we unasema na nyumba ya bilion 1.3
Wez ao
😃😃😃😃😃hapa palikua patam
WAZIRI MAJALIWA NAMPENDA SAANA
Shule ya msingi chamazi Dovya, Mbagara Temeke tumeagizwa mikeka haina viti!!!
@fabiansemba4918
6 ай бұрын
Kweli?
dah joti😂
Joti amechacha😂
Baba leo kasalit amri mfalme niwetu sotee😅😅😅
Jux. Yeye mbona hachangii au kwakua yeye msomi mwenzenu kasomea CHINA
Jmn Joti😢😢
Machawa wakiwa kazini lol!
Taifa stars watafungwa mechi zote,,, badala ya kuwekeza kwenye kelele mngewekeza kwenye kutengengeza wachazaji wa maana
Waziri kazi anayo kwa hawa wehu
Ghorofa la B mchango laki shenzi kabisa huyu😂😂😂
Ila hawa jamaa wametoboa kiboya mnooo😂
Ehh aise ngj ninyamaze
😅😂😂
Joti anaonewa 😁
Joti 😢
@jimmylema8830
6 ай бұрын
Joti kazimwa
@user-zl5mt6lk4n
6 ай бұрын
😅😅😅😂 nlikuwa nina stress sana lkn hii coment imenichekesha sana dah et joti😢
@user-wo5wl7jo4f
6 ай бұрын
😂😂joti anajitahid nae aonekane machawa awaelew😂
😂😂😂
Hahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅
Mwijaku 😅😅😅
Mnaacha kuchangia wamama wanakufa hospitali kwa kukosa 150000 kwa ajili ya kujifungua mnafanya ujinga tu hapo
Joti kama alitaka kuchangia kitu....!.
😂😂😂😂😂😂😂😂
Wanachangia nini mbona Mimi sielewi
Mheshimiwa waziri mkuu ningependa kuchangia sh elfu 50 ni ile tu hamkuweka utaratibu wa kuweka namba ya mchango kutoka kwa wananchi wengne ambao hawakuwa live apo
😂😃
Fred vunja Bei mlimsahau